HIKI NDICHO KISIWA ALICHOPITA NABII SULEIMAN PEMBA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 73

  • @nureyna629
    @nureyna629 5 ปีที่แล้ว +11

    Nimesubiria kusikia neno nabii suleiman alipita hapa, ila mpaka video Inaisha sijaskia 🤔

    • @masoudmasoud8138
      @masoudmasoud8138 5 ปีที่แล้ว

      Ahhh !!! Wallai hata mi nilikuwa nasubiria icho kitu sasa inakuwaje mambo haya ??

    • @najashdawood9680
      @najashdawood9680 ปีที่แล้ว

      Mpumbavuuu kabisa ..hajui kazi yake

  • @salehmussasaid1136
    @salehmussasaid1136 6 ปีที่แล้ว +6

    Nitaarifa nzuri sana lkn kama mnaushahidi wa kuwa Nabii Sleman alipita hapo muuweke.
    Km hmn cvyema kuchanganya mambo yakiimani ktk Business zenu,mtaonekn wazushi,namtakosa value.

  • @dullahaboud311
    @dullahaboud311 6 ปีที่แล้ว

    sheikh nassor bachu

  • @dullahkesi9547
    @dullahkesi9547 5 ปีที่แล้ว

    nabii sleiman alipta pemba yeye nawafanya kaz wake walkuwa majini alpo ondoka aliwachaa baazi inasemekana lakn

  • @aliudiy4921
    @aliudiy4921 6 ปีที่แล้ว +8

    tupeni ushahidi Kama nabiisleiman alipita hapo

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln ปีที่แล้ว

      Njoo methali huku zipo kumbu kumbu nyingi ushahidi utaupata

  • @zeanamohamed4072
    @zeanamohamed4072 5 ปีที่แล้ว +1

    Mashallwa. Mungu .utuzidishiye. Imani katika pembamba mzima

  • @najashdawood9680
    @najashdawood9680 ปีที่แล้ว

    Yaan kama mpuuzi wewe...mpuuzi hujui kuitendea tasinia yako haki ...katafute boti ukavue samaki..pumbavu kabisa

  • @hamidjuma4621
    @hamidjuma4621 6 ปีที่แล้ว +10

    AL FATTAH TV ONLN kama ckosei ni taasis inayojihusisha hasa na mambo ya kiislam ila inakuele kwenye vipindi vyenu lazima back voice iwe music wakat nasheed zipo zilokua hazina ala za music...?? Ebu liangalien hili mcijibebeshe jukum maana music na uislam ni vitu tofaut mcjaribu kuvinasibisha

  • @abuanmarabubakar
    @abuanmarabubakar 5 ปีที่แล้ว +1

    Wacheni kukipaisha kisiwa cha pemba mpk watu wakakiona bora kuliko makkah

    • @nadyakisho811
      @nadyakisho811 4 ปีที่แล้ว

      Abuanma Abubakar ni kweli

    • @mohdahmada1061
      @mohdahmada1061 2 ปีที่แล้ว

      Ivo civo mada invosem ach upuuz ww hupend anglia t

  • @abuanmarabubakar
    @abuanmarabubakar 5 ปีที่แล้ว +1

    Historia ya kuja nabii sleiman zanzibar sio za kweli

  • @mwanahamisjuma3361
    @mwanahamisjuma3361 6 ปีที่แล้ว +5

    Mbona kichwa cha habari hakiendani na habari yenyewe

    • @khamishassan8603
      @khamishassan8603 6 ปีที่แล้ว +1

      Mwanahamis Juma wanasema uongo haliyakuwa hii ni taasisi ya kiislam

    • @mwanahamisjuma3361
      @mwanahamisjuma3361 6 ปีที่แล้ว

      Wanapotosha umma

  • @hamnakituumupumbatupumohd8505
    @hamnakituumupumbatupumohd8505 5 ปีที่แล้ว +1

    unawazimu we hadith za paukwa na pakawa pelekeni hakufika Othman maalimu na maulaamaa wengne kina ameir Tajo atafika nabii sleiman

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 6 ปีที่แล้ว +1

    Alikua akitokea wapi na alienda wap

  • @salehkhamiss3545
    @salehkhamiss3545 6 ปีที่แล้ว +3

    mungu awape nguvu

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 6 ปีที่แล้ว +1

    Nimefrah nyumbni kabisa

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung2410 6 ปีที่แล้ว +2

    Maa shaa allah

  • @صوتالعاطفة
    @صوتالعاطفة 6 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah kuzuri, Shukran Alfatah itabidi tukatembee uko

  • @salehkhamiss3545
    @salehkhamiss3545 6 ปีที่แล้ว +1

    naomba kipindi cha leo 9/9/2018 ktk kijiji cha shikazako kisiwan pemba

  • @seifrashid9332
    @seifrashid9332 6 ปีที่แล้ว +3

    mashallah

  • @otponline1277
    @otponline1277 4 ปีที่แล้ว

    Msifanye biashara zenu zikawa na uongo mbona sijasikiya neno nabii wacheni uzushi tupeni dalili

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid5864 6 ปีที่แล้ว +1

    Shukran Al Fatah tv kwa kutuonesha kisiwa cha misali pemba kuzuri

  • @fahdmohd3027
    @fahdmohd3027 6 ปีที่แล้ว +2

    Masha alalh

  • @amouramour7143
    @amouramour7143 5 ปีที่แล้ว

    Nakumbuka babu yanagu aliniambia zamani kulikua na kuku wengi wakienyeji weupe sana na walikua hawana mwenyewe na wlikuwa watu wanaruhusiwa kuchinja na kula apo hurusiwi kuondoka nao sijui kwa SSA kama bado wapo aliye isulia yeye aliwakuta na hadi Leo yupo hai

  • @mohdali7612
    @mohdali7612 6 ปีที่แล้ว

    ASALAM ALAYKU JAMANI MUCWE NA WACWAC NIKWELI HII ISTORYA IMO MM NIMEISOMA KATIKA KITABU KILICHOANDIKWA NA HUSEN BASHIR KINAITWA DOLA KONGWE YA ZANZIBA KUTOKA OMAN HADI KONGO HICTORIYA NI YAKWELI JAMANI

  • @ludacrissrangiyabank3737
    @ludacrissrangiyabank3737 5 ปีที่แล้ว

    Nabii muhammad alikuja kuwasadikisha mitume wote walopita nyuma wenzetu wanaona choyo ss waislamu kuwataja mitume walopita nyuma kabla ya muhammad ata tukio la hijja wanakasirika tukilinasibisha na nabii ibrahim wakristo tunakwambieni mitume wote walikuja na neno moja na wametumwa na mungu mmoja wametofautiana ktk sheria tu kila mmoja kapewa sheria kutokana na wakati wake

  • @kheirmbarouk8373
    @kheirmbarouk8373 6 ปีที่แล้ว

    kweli kupata kunataka ujanja mpka hawa nao kichwa cha habari feki...wapiga dili ...shkamooo njaa.

  • @abdullahsaid6540
    @abdullahsaid6540 6 ปีที่แล้ว

    Kufika kwa nabii suleiman ktk icho kiswa mim pia napata mashaka juu ya hilo.......labda km mtu alete uthibitisho

  • @jesusnetworkministry
    @jesusnetworkministry 6 หลายเดือนก่อน

    nimependa beats ya back iyo

  • @lidoahmed6696
    @lidoahmed6696 4 ปีที่แล้ว

    Wanafki hao alfatah tv munawazushia manabii wetu unafik

  • @bakarimakumbato1740
    @bakarimakumbato1740 6 ปีที่แล้ว

    Watazamaji wenu wana akili timam. Kipindi chenu kizuri ila kichwa cha habari haiendani.

  • @mohdali7612
    @mohdali7612 6 ปีที่แล้ว

    ALIKUJA KUTAFUTA DHAHABU NABII SULEIMANI NA MAJINI NIKWLI GANDO

  • @TheChidonline
    @TheChidonline 6 ปีที่แล้ว

    nimekuja hapa kwa kichwa cha habari ila cjaona kuzungumziwa nabii Suleiman(A.S)

  • @thekingman7715
    @thekingman7715 6 ปีที่แล้ว

    nabii suleiman kufika ni uzushi na uongo mkubwa ...kuweni makini na taarifa zenu musipotoshe ummah

  • @thekingman7715
    @thekingman7715 6 ปีที่แล้ว

    nabii suleiman kufika ni uzushi na uongo mkubwa ...kuweni makini na taarifa zenu musipotoshe ummah

  • @clovetv_pba
    @clovetv_pba 6 ปีที่แล้ว +2

    Allahu Akbar

    • @alihamad6046
      @alihamad6046 6 ปีที่แล้ว +1

      mashallah

    • @pascalmoussa5111
      @pascalmoussa5111 6 ปีที่แล้ว

      fuck you,nmefka hapo hakuna jipya

    • @clovetv_pba
      @clovetv_pba 6 ปีที่แล้ว

      @@pascalmoussa5111 km umefika sw, sasa hio fuck you inakuaje?

  • @عايشهسعيد-ض5ذ
    @عايشهسعيد-ض5ذ 6 ปีที่แล้ว +1

    Maasha Allah

  • @amejuma8194
    @amejuma8194 5 ปีที่แล้ว

    Alafu wapemba wote walo coment wanapenda kujifagilia.. Zanzbr yote ni nzr sio pemba2

  • @hadiyamussa5824
    @hadiyamussa5824 5 ปีที่แล้ว

    Mashaallah ni kweli kabisa aso amini m/mungu atamuamini shetan maluun

  • @fatmajumaa1069
    @fatmajumaa1069 6 ปีที่แล้ว +1

    Barakllah pemba

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 6 ปีที่แล้ว

    Kichwa Cha habar SF but story tofaut Kwa nn

  • @احمدالكندي-و6و
    @احمدالكندي-و6و 5 ปีที่แล้ว

    جزيرة الخضراء

  • @dullahkesi9547
    @dullahkesi9547 5 ปีที่แล้ว

    kapita pemba

  • @allyhemed2276
    @allyhemed2276 6 ปีที่แล้ว

    Allahu Akbar.Mashaallah.

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 6 ปีที่แล้ว

    Nice Pemba

  • @maalimrashad3594
    @maalimrashad3594 6 ปีที่แล้ว

    Mashalah

  • @khalidkhalid-ks6wd
    @khalidkhalid-ks6wd 6 ปีที่แล้ว +1

    Kwetu nkuzuri ati najivunia kua mpemba.ILOVE MY HOME.karibu pemba aliekua si kwao aje na aondoke.