Nitaarifa nzuri sana lkn kama mnaushahidi wa kuwa Nabii Sleman alipita hapo muuweke. Km hmn cvyema kuchanganya mambo yakiimani ktk Business zenu,mtaonekn wazushi,namtakosa value.
AL FATTAH TV ONLN kama ckosei ni taasis inayojihusisha hasa na mambo ya kiislam ila inakuele kwenye vipindi vyenu lazima back voice iwe music wakat nasheed zipo zilokua hazina ala za music...?? Ebu liangalien hili mcijibebeshe jukum maana music na uislam ni vitu tofaut mcjaribu kuvinasibisha
Nakumbuka babu yanagu aliniambia zamani kulikua na kuku wengi wakienyeji weupe sana na walikua hawana mwenyewe na wlikuwa watu wanaruhusiwa kuchinja na kula apo hurusiwi kuondoka nao sijui kwa SSA kama bado wapo aliye isulia yeye aliwakuta na hadi Leo yupo hai
ASALAM ALAYKU JAMANI MUCWE NA WACWAC NIKWELI HII ISTORYA IMO MM NIMEISOMA KATIKA KITABU KILICHOANDIKWA NA HUSEN BASHIR KINAITWA DOLA KONGWE YA ZANZIBA KUTOKA OMAN HADI KONGO HICTORIYA NI YAKWELI JAMANI
Nabii muhammad alikuja kuwasadikisha mitume wote walopita nyuma wenzetu wanaona choyo ss waislamu kuwataja mitume walopita nyuma kabla ya muhammad ata tukio la hijja wanakasirika tukilinasibisha na nabii ibrahim wakristo tunakwambieni mitume wote walikuja na neno moja na wametumwa na mungu mmoja wametofautiana ktk sheria tu kila mmoja kapewa sheria kutokana na wakati wake
Nimesubiria kusikia neno nabii suleiman alipita hapa, ila mpaka video Inaisha sijaskia 🤔
Ahhh !!! Wallai hata mi nilikuwa nasubiria icho kitu sasa inakuwaje mambo haya ??
Mpumbavuuu kabisa ..hajui kazi yake
Nitaarifa nzuri sana lkn kama mnaushahidi wa kuwa Nabii Sleman alipita hapo muuweke.
Km hmn cvyema kuchanganya mambo yakiimani ktk Business zenu,mtaonekn wazushi,namtakosa value.
Naam uko sahih
sheikh nassor bachu
nabii sleiman alipta pemba yeye nawafanya kaz wake walkuwa majini alpo ondoka aliwachaa baazi inasemekana lakn
Dullah kesi@ Beee...🤔
tupeni ushahidi Kama nabiisleiman alipita hapo
Njoo methali huku zipo kumbu kumbu nyingi ushahidi utaupata
Mashallwa. Mungu .utuzidishiye. Imani katika pembamba mzima
Yaan kama mpuuzi wewe...mpuuzi hujui kuitendea tasinia yako haki ...katafute boti ukavue samaki..pumbavu kabisa
AL FATTAH TV ONLN kama ckosei ni taasis inayojihusisha hasa na mambo ya kiislam ila inakuele kwenye vipindi vyenu lazima back voice iwe music wakat nasheed zipo zilokua hazina ala za music...?? Ebu liangalien hili mcijibebeshe jukum maana music na uislam ni vitu tofaut mcjaribu kuvinasibisha
Wacheni kukipaisha kisiwa cha pemba mpk watu wakakiona bora kuliko makkah
Abuanma Abubakar ni kweli
Ivo civo mada invosem ach upuuz ww hupend anglia t
Historia ya kuja nabii sleiman zanzibar sio za kweli
Mbona kichwa cha habari hakiendani na habari yenyewe
Mwanahamis Juma wanasema uongo haliyakuwa hii ni taasisi ya kiislam
Wanapotosha umma
unawazimu we hadith za paukwa na pakawa pelekeni hakufika Othman maalimu na maulaamaa wengne kina ameir Tajo atafika nabii sleiman
Alikua akitokea wapi na alienda wap
mungu awape nguvu
Nimefrah nyumbni kabisa
Maa shaa allah
Mashaallah kuzuri, Shukran Alfatah itabidi tukatembee uko
naomba kipindi cha leo 9/9/2018 ktk kijiji cha shikazako kisiwan pemba
mashallah
Msifanye biashara zenu zikawa na uongo mbona sijasikiya neno nabii wacheni uzushi tupeni dalili
Shukran Al Fatah tv kwa kutuonesha kisiwa cha misali pemba kuzuri
Masha alalh
Nakumbuka babu yanagu aliniambia zamani kulikua na kuku wengi wakienyeji weupe sana na walikua hawana mwenyewe na wlikuwa watu wanaruhusiwa kuchinja na kula apo hurusiwi kuondoka nao sijui kwa SSA kama bado wapo aliye isulia yeye aliwakuta na hadi Leo yupo hai
ASALAM ALAYKU JAMANI MUCWE NA WACWAC NIKWELI HII ISTORYA IMO MM NIMEISOMA KATIKA KITABU KILICHOANDIKWA NA HUSEN BASHIR KINAITWA DOLA KONGWE YA ZANZIBA KUTOKA OMAN HADI KONGO HICTORIYA NI YAKWELI JAMANI
Nabii muhammad alikuja kuwasadikisha mitume wote walopita nyuma wenzetu wanaona choyo ss waislamu kuwataja mitume walopita nyuma kabla ya muhammad ata tukio la hijja wanakasirika tukilinasibisha na nabii ibrahim wakristo tunakwambieni mitume wote walikuja na neno moja na wametumwa na mungu mmoja wametofautiana ktk sheria tu kila mmoja kapewa sheria kutokana na wakati wake
kweli kupata kunataka ujanja mpka hawa nao kichwa cha habari feki...wapiga dili ...shkamooo njaa.
Kufika kwa nabii suleiman ktk icho kiswa mim pia napata mashaka juu ya hilo.......labda km mtu alete uthibitisho
nimependa beats ya back iyo
Wanafki hao alfatah tv munawazushia manabii wetu unafik
Watazamaji wenu wana akili timam. Kipindi chenu kizuri ila kichwa cha habari haiendani.
ALIKUJA KUTAFUTA DHAHABU NABII SULEIMANI NA MAJINI NIKWLI GANDO
nimekuja hapa kwa kichwa cha habari ila cjaona kuzungumziwa nabii Suleiman(A.S)
nabii suleiman kufika ni uzushi na uongo mkubwa ...kuweni makini na taarifa zenu musipotoshe ummah
nabii suleiman kufika ni uzushi na uongo mkubwa ...kuweni makini na taarifa zenu musipotoshe ummah
Allahu Akbar
mashallah
fuck you,nmefka hapo hakuna jipya
@@pascalmoussa5111 km umefika sw, sasa hio fuck you inakuaje?
Maasha Allah
Alafu wapemba wote walo coment wanapenda kujifagilia.. Zanzbr yote ni nzr sio pemba2
Kivip sjakuelewa
Mashaallah ni kweli kabisa aso amini m/mungu atamuamini shetan maluun
Barakllah pemba
Kichwa Cha habar SF but story tofaut Kwa nn
جزيرة الخضراء
kapita pemba
Allahu Akbar.Mashaallah.
Nice Pemba
Mashalah
Kwetu nkuzuri ati najivunia kua mpemba.ILOVE MY HOME.karibu pemba aliekua si kwao aje na aondoke.
khalid khalid acha ubaguzi huo dunia mapito tu hii
uzur wenu kwa kula popo