Safi sana Sns Nawapata vizuri sana Munafanya kazi mzuri sana Mungu awabariki ❤
Asante kaka sisi tusiojua vingereza😂😂😂😂tumekuelewa vizuri sana
Ooooh Lord stand with the People of Kenya to have peace?? From Tanzania
Asante kuongeya kiswahili 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Saut Tu ya mtangazaj inatamanisha kusikikiza moja ya best sound Tanzania
Hajahusika kwani polisi niwa nani hio damu haiwezi enda bure RUTO itakutesa sana hii kitu😢😢😢😢😢
Sns is the best now tz
Exactly yan ktk online tv...hii ni atar na wakiendelea hiv watafika mbal mno
Kwa kiswahili Safi sana.
Umefanya vizuri kuwatafsiria hao jirani zetu maana wengi wao ingewapita tu
Mbona rais wenu alishindwa kuongea English huko ulaya😂 mnajifanyaga wazungu nyie
Wewe hapo juu unayewaabudu waingereza ona sasa matatizo yaliyopo sell outs,King wa uingereza kukaribishwa na kutandikiwa zulia jekundumk.Kasumba
.NI MHIMU KUIHESHIMU LUGHA YAKO KWANZA KAMA WAFANYAVYO WAZUNGU WENYEWE.RAISI ANAIHESHIMU LUGHA YAKE YA TAIFA NA WAINGEREZA WANATUHESHIMU KWA KUWA NA LUGHA YETU IMARA NA KUTOKUWA NA UKABILA🎉IAM PROUD OF MY NATION.GOD KEEP ON BLESSING MY BELOVED COUNTRY.NEVER KILL EACH OTHER.IN GOD I TRUST.
Umefanya vizuri kwa kuongeya kiswahili poleni sana kwa vifo vimetokeya na omba wakenya mpende Amani na mpende inchi yenu usalama nikitu muhimu kwenu usalama gusa kilammoja
wenu
WaKenya wanapenda nchi yao kuliko yeyote yule na ndio maana wanapigania haki yao sio kama waTZ ambao uhuru wenyewe walipewa kwa sahani !
Mnao shukuru kwa Sky kutafsiri hii inshu kwa kiswahili jifunzeni Lugha kujua kichina ,kirusi na kinyakole ni utajiri wa lugha wala sio ushamba kujua lugha yeyote ile.
@@yusufuheri6524 Muache kiburi cha upuzi, kiingereza ndio lugha ya mawasiliano ulimwengu mzima......Musiwe wajinga jamani
Shida ya huyu bwana uongo ni mwingi
kwani Magufuri si alikuwa kiongozi mzuri alivyofariki nani alie hoji
nashangaa sisi wa tanzania tunakosoa sana kenya kuliko kuwaombea ili wasiingie kwenye vita
ruto akitokw nani atakuwa kiongozi mzuri wakenya ni wazungu vuchani kama hauwajui
@@aftapat5365ndugu yangu hivi unamsikia Ruto na tension yake kuhusu hayo maandamano?Halafu kuna namna unapaswa kuelewa Magufuli hakuwa mtu wa mikopo kaka huyu anakopa Sanaa hicho ndio kitu wakenya hawataki sababu inachochea ongezeko la kodi.
Umefanya vizuri kuleta kiswahili
Tatizo lako Ruto unaongeya sana Alafu ahadi zako ni hewa
Zakayo must go 😂😂😂😂
He's nice president on my opinion
Nimependa waandishi wanavyo hoji TZ MKALE SHORT COURSE HUKO
I support Ruto by the way
SNS media yetu pendwa
asante sna kaka Sky na SnS yote kwajumla💝
Ruto don’t care about life 😢😢Shem on him😢
Brother Sky tunashkur kututasfiria Kwa kiswahili
duh aisee kumbe Kenya wanaletaga mswaada wa fedha kwa uma kwanza kisha wanarudisha bungeni kujadli? wanaraha kweli..51:08-55:13
Mungu akubaliki sana simulizi na sauti
SNS to the Top 💪🏼🤍🤍🤍
This guy ICC must visit him again
Sns to the world 🇹🇿💥💥💥🫡sound bora kutokea 🇹🇿
Inapaswa kuwa funzo kwa nchi nyingine za Africa especially East Africa,watu wanaimba Democracy lakini kuitekeleza inakuwa ngumu kwa kuwa wanajali interest zao..Ona sasa huyu anajikanyaga tu anashindwa kujibu kama kiongozi mkuu wa nchi every answer he give contains numbers of what he call facts but they are not sensitive indeed,Poor Ruto.
I support #ruto must GOO am a kenyan
Naomba Prof Jamal Mstafa the story book Tz help me to have him.
Heko 💪 our journalist
Afadhali angaliomba msamaha na siyo kujikosha.Wale waliouawa wapate fidia tena kubwa. Ni binadamu na siyo kuku😢😢Tanzania tusije tukajiingiza
Kwenye balaa kama hili,maongezi ni mhimu na amani kama ilivyo kawaida yetu na msingi wetu Lema na upumbavu wake wa kutoka ughaibuni kutaka vijana wafanye fujo ni wendawazimu.mtupu bila kusahau kuwa Lema ni mjinga fulani😢.
😢😢
Hongera mwandishi kutujuzaa
Malaika anayesema uongo huwa hana tofauti na shetani anayesema ukweli huyu bwana aliwatumia polisi kuua wakenya githurai Mimi mwenyewe ni shuhuda
Wakumbuka mwaka 2007 wakikuyu wengi walichomwa kiambaa katika kanisa bila huruma
Yani Kuna uchochezi nyuma ya pazia na chuki pia
Tunamjua yeye ni muuwaji toka zamani na ni mwizi toka tumboni Mungu anisamehe kwa hili huyu anamdomo sana na kiburi
This prizo he’s talking nonsense, he should wait this Tuesday and save the rest
Safi safisana kwa kutafsi kiswahi
Matokeo. Yaufaransa
He can't even reply the first question. WTF ???😜😜😜 Kweli Ruto must go.
RUTO MUST GO ZAKAYO SHUKA shaitwan 👹👹👹👹👹👹👹👹
Mm nasema hv Bado tanzania
Huyu rais ni jeuri sana ataki kuwasikiliza watu wake alafu analinganisha mali pmj na watu waliofariki 😢 alafu yupo tayari kwa chochote yani mbwai mbwai wakati ajatimiza alivyoahidi 😢alafu anakua mjeuri kama watu wake 😢USHAURI WANGU NI..... WALE VIJANA WANAO ANDAMANA WAINGIE NA MOTO MTAANI TU.
SnS 🎉
Mr President mungu halali utalipa tu kwa njia yoyote ile damu ya MTU haimwagiki bure.
hiyo ndio kenya
Mbali na yote, waandishi wa habari wa Tanzania wana kitu cha kujifunza hapo kuwacha uwoga nakuhoji vitu vyenye maslai mapana ya Taifa.
Ruto ruto toka tu kwa amani toka toka wewe NG'ombe ata uongeee toka
Plz do all the recommendation of the genz and resign mr president
Huyu ruto ana chake....
Ndio ngoma inaaza.....
Linus is incompetent to represent in that meeting he is too emotional and represents his own feelings, I real like the other two, are very objective and well equipped and accommodated
wamepangwa wamtafute kiongozi wa waandamaji ili awepo nae waojiwe
Mlad ayo🎉🎉
Ruto must go
We don't want him anymore
Now he is calling all those Kenyans in maandamano criminals? Shame on you Ruto. No empathy, no emotions, nothing.
Zakayo must go
lakini mbona hawakumuuliza kuzarau mahakama ambayo ilitoa hukumu polisi kenya wasiende Haiti lakini kawapeleka. ukweli hakuna la maana waandishi walichomuuliza
Wewe unachanganya mchanga kwenye chakula, hapa wanauliza kuhusu matukio ya mgomo kenya, haiti wapi na wapi
Kwahivyo Rais Ruto na Makamo wake hawaivi kwenye chungu kimoja.
HUYU JAMA NI MUONGOO HATUMTAKII TUSHACHOKANAYE ALIKUA WAPII MIAKA MIWILI YOTE KUTENDA ANAYOYASEMA
Hata anadanganya hadanganyangi. Usijefanya mieleka na nguruwe. Nyote mtachafuka lakini nguruwe anapenda hivyo sana
He is concerned of those whose lost businesses but the same individual is merciless of those homes he demolished. Douvlble speech
POLENI JIRANI ZETU NA KIUKWELI BAADHI YA VIONGOZI WETU WA KIAFRICA
BADO WANAENDESHA NCHI CHINI YA MATAIFA MAKUBWA
Kila nchi Africa lazima iwe na nchi kubwa inayo isaidia kimaendeleo na kiusalama.
Ile siku wazungu wataacha kutuchagulia viongozi ndio itakuwa wakati wa africa kuendelea huyu alikuwa hajakuwa tayari kuwa raisi coz amepatikana flat footed hana majibu hana watu wakumpa information anabaki akibahatisha majibu...
Makosa makubwa kuunguza mali za nchi,hivyo basi waombe wanavyovitaka kwa amani bila uharibifu
Yaani luto anawaza kukopa tirion 2 tu anaona nying Kati Kuna mtu kalamba za wakorea kusin kama 4
Kenya wapo na 73% debt cap Tanzania mpo na 34% debt cap inshot mnafanya vizuri sana
Ukipunguza hasira na chuki utajua Kenya ipo kwenye tatizo zito na one way or another lazima nchi ilipe either leo au kesho, Ruto anamakosa yake kweli ilabado anajitahidi kwa kweli.
Mr president weka jeshi kila Countys tunataka amani
So, the criminals mobilized youths and killed them? What was the motive?
HUYO HASTAHILI KUWA RAIS KABISA AONDOKE AKAFIYE NAHUKO ALIBADILIKA WAKATI ALIENDA KUKUTANA BIDEN ASI WADANGANYE HAKUNA KITU ATA SAIDIA IYO NI UONGO🎉🎉🎉🎉
Shetani huyu yu must go hatukutaki full stop
Yaan apa africa kazi ipo yeye anakodi ndege anatumia pesa nyingi alafu anaawambia watu kuwa lazima wakope kwa ajiri ya nini au safarizako za marekani na kujiongezea posho na vyakula vizur bungen
Huyu anaiga ulaya kutia tax na inchiyake ni africa watumusiitike hiyo ulaya ni ulayatu na africa ni africatu ulaya ni inchi tajiri na africa ni inchi masking kwanini huyumwizi aige ulaya kutia tax????
Why does he always lie? Then what happened in Githurai and why did it happen?
Binafs ruto nmekuelewa chaguo n la wakenya kukopa na kuendelea kua watumwa wa wazungu ama.kupambana na tax kuimarsha uchum.
Kuua wandamanaji wa amani ni jambo baya sana,Ruto amezingirwa Hana pa kwenda na hata Marekani kwa hili watamtosa.
Atubu ndio shida ya kutaka Urais kwa gharama yoyote.
Hatapata amani Hadi anaenda kaburini
Hakuna mtu anamini ruto kenya.Ruto akikuambia leo ni jumapili na calender ameshika chunga sana anaweza kuwa anakuonsha calender ta 2020. Hiki ndick kiwango cha urongo ruto yuko nayo.
Sasa Kuna picha zilikuwa zikinyesha watoto wanatupa mawe sema kosa ni kutumia risasi za moto
Waafrika tunapenda ubabe siutoke upunguze mauaji au Kama nataka Amani Mwite Railla Mujenge nchi chukuwa mifano ya waliokutangulia
Hadui yetu alikua uhuru ruto alionya akabadingwa jina la mwizi ila twamwona mmbaya kwa sasa lakini yeye ndio masiah wetu
Kibongo bongo umuhoji Rais hiyo mzee nyote mnatupwa ndani, wa Tz tunachakujifunza.
Imemponza marekani aache kihelehele Cha kwenda nchi za ulaya
Hafai hata maongezi yake hayakuwa na tijaa tutamtuwa 2027 Insha'Allah
AKA BACHUCHU MOMBASA 001
+254
Kesho tunaenda maandamano upya..lazma huyu jamaa ashuke.
Ruto must go with his taxes
Anaetangaza mtz mswahili sio mzungu mweusi wakenya 😂😂
Wana SNS sisi ndio wakenya na tunajwa Kila ambacho kilifanyika Kenya uyu RUTO ameongea uwongo yote kama anasema mtu Mmoja ndio alifariki Githurai na ni watu wengi walipigwa risasi... Atupatie paybill ya china tujilipie deni wenyewe
Thats what am talking about 1:08:1:12:43- his trips to foreign countries has potential impact to the growth of Kenya's economy- USA- he came back with a $1billion Data center facility to be built in Naivasha. Also the CHIPS manufacturing has set Kenya to be part of it. Then China - Roads, Technical equipments kwenye vyuo vikuu. Duuh aloo...Jamaa sio mchezo Rais wa Kenya kongole baba
Kamahawezi KunyongaWafisadi ,walanguzi wamadawa yakuleviya Aondoke.
Watanzania hatuamini amani katika kumwaga damu.Hiyo ni mbegu ya ubeberu,colonialism walituua na kututawala kimabavu.Mwafrika kwa ujinga wetu anafikiria kuwa kuua ndiyo sifa😢Hata polisi anafikiria kuua ndiyo ushujaa.
Kumbukeni south Afrika.
Wazungu wenyewe polisi haruhusiwi kuua.Afrika tunauana kama kuku,kwa vile akili yetu ndogo kama kuku😢wanaopenda fujo na vifo waende Gaza au Ukraine
Huyu Ruto wakenya wangemshulikia kumuondoa madarakani bilahivo atakuja kuivuruga nchii kueni namakini kunawatu nyumayake wanae muendesha akili kusambaratisha wakenya 😂😂😂😂
I still believe Ruto is the right man for the job. He only needs someone to advise him to resign!!!
@@MuniraShughuli-kc7vj try to understand usilete makasiriko kua mpole coz ujanielewa
Very true but only if anaweza sikiliza hao advisers coz ruto anaubabe wa kujua kila kitu
Ruto umekanyaga moto
Tumieni busara kumaliza migogoro bila vifo
Translate to Arabic
Huyu shetani bado anatuma watu kuwauwa wananchi nakuwateka nyara,bado anatmia vibaraka wake kiwaumiza wakenya, kiufupu huyu hajabadilika, ruto hujui kuongoza achilia kiti uende zako,maana unazidi kujihaibisha na dunia inakushangaa
Jamani tukumbuke kuwa tumerithi capitalism,ni hatari.Viongozi wanajisahau kuwa wao ni wananchi mzungu alikuwa anakula nchi tu.😢After all Ruto is a billionare ,he can easily use his moneys to travel to anywhere without using taxpayers money😅😅
Kinachomponza tuu huyu Rais wetu jirani ni matumizi mabaya ya pesa na viongozi wake. hiyo ndo shida kubwa na ndomaana hizo tozo zikawafanya w/nchi wakasirike na kutaka mswaada mzima upeleke kwnye jalala
Nakukopa ili aibe then analazimisha watu walipe kodi ilihali watu awana kazi
Hivi hiyo miradi ni ya bure, tujitoe akili ila Africa bila mikopo hakuna kitu.
Poleni wakenya Mungu awafanyie wepes