WASIRA AMEFUNGUKA: KUZUILIWA KUINGIA IKULU KWA JPM

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 26

  • @kenethfanuel4015
    @kenethfanuel4015 4 ปีที่แล้ว +1

    Amekua mbuge wa bunda mji kwa miaka zaidi ya 20 lakini mji wa bunda haukua na maji safi na salama, pia jimbo lake ni miongoni mwa majimbo fukara hapa nchini. Huyu mzee ni mnafiki na mbinafsi.

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 5 ปีที่แล้ว +2

    Jamanu. J.M wapeni umri wa.kugombea ubunge na Uwaziri. Mtu Ali.kiaka 60.out. SASA huyu WASIRA ANATAKA NINI?? PUMZIKA.MZEE.

  • @matindembaratani6221
    @matindembaratani6221 5 ปีที่แล้ว +3

    Wasilaa bana kilaza kweliii wakati wa ubunge hakna chochote alichofanya kwenye jimbo lake bora kwa ujmla hafai kabisaa

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo1256 9 หลายเดือนก่อน

    Ikulu ni mahali patakatifu. Mbwa km nyinyi wa kujipendekeza hamtakiwi. Nchi hii yetu sote.

  • @bonifasiemanueli2708
    @bonifasiemanueli2708 5 ปีที่แล้ว +2

    kama ungeziwiwa kuingia Mbinguni ndo ungelaumu na kulia si kwingineko,

  • @godyfrey1347
    @godyfrey1347 5 ปีที่แล้ว +1

    Mzee wasira ikulu nisehemu takatifu awaingii watu wachafu kukuzuia wako sahihi ulienda kufatanini

  • @robertfabian3030
    @robertfabian3030 5 ปีที่แล้ว +1

    Watu wamitandao sio wakuwaamini.Kwan mambo mengi wanafanya bila uhakika...Marla oo furani kusema,mara fulani kafa.duh kweli pesa hatujawahi kukuachia mtu salama

  • @issamagana426
    @issamagana426 4 ปีที่แล้ว

    Wandishi wahabari wengine huwa ni mataira wanaropoka tu

  • @matindembaratani6221
    @matindembaratani6221 5 ปีที่แล้ว

    Wasilaa bana kilaza kweliii wakati wa ubunge hakna chochote alichofanya kwenye jimbo lake bora kwa ujmla hafai kabisaa

  • @simonlulenga7062
    @simonlulenga7062 5 ปีที่แล้ว

    Kada no.1 wa chama chetu tawala CCM. I always like your wisedom komred. Thank you!

  • @innocentbugomola549
    @innocentbugomola549 4 ปีที่แล้ว

    Waandishi wa bongo Nwaongo san

  • @jacklinemushi4326
    @jacklinemushi4326 5 ปีที่แล้ว +1

    Yani we baba ktk uongozi wako watu, walikuwa hawakupendi hata kidogo, ndomana saiv huna uwaziri, Dicteta ww

    • @naomiwasira3208
      @naomiwasira3208 5 ปีที่แล้ว +3

      Wewe Jackline Mushi, kwa hiyo wewe ndiyo msemaji na mwakilishi wa watu? Maana unaandika kwa kujiamini asilimia mia moja huo upuuzi wako. Huyu mzee ni dikteta? Unajua maana ya dikteta? Huna tofauti na huyo aliyetunga story ya uongo. Ndiyo hayo hayo yanayoongelewa katika hiyo clip. Watu mnaandika pumba kwa sababu mnadhani hamjulikani. Lord have mercy on this stupid ass generation😏

  • @ramadhanmpare905
    @ramadhanmpare905 4 ปีที่แล้ว

    Nawaomba sana tutume mtandao vizuri

  • @jumahaji2795
    @jumahaji2795 5 ปีที่แล้ว

    Sio kama nilikuepo ila wasira amezuiwa katika kikao na ushahidi upo

  • @ndarogamba191
    @ndarogamba191 5 ปีที่แล้ว

    Na hizo tetesi zitakuwa ndio zenyewe kama umekiri kuwa zipo!.Tusubiri⌚⌚

  • @chachamagoti2400
    @chachamagoti2400 5 ปีที่แล้ว

    Hahaaaa mzeee tushajua ukweli. Hizo tetesi/hisia

  • @tibeitajoseph6646
    @tibeitajoseph6646 5 ปีที่แล้ว

    Haaa haya bana

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 5 ปีที่แล้ว

    So bold

  • @danielnyari1119
    @danielnyari1119 5 ปีที่แล้ว

    Good

  • @peterkisanga8089
    @peterkisanga8089 5 ปีที่แล้ว

    Hizo hisia ndo zenyewe

  • @MOJAZAIDI.
    @MOJAZAIDI. 5 ปีที่แล้ว

    HAHA....

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 5 ปีที่แล้ว

    kweli mzee

  • @jumahaji2795
    @jumahaji2795 5 ปีที่แล้ว

    Wasira umezuiwa kuingia ikulu sema ukweli

    • @lamecktheonest225
      @lamecktheonest225 5 ปีที่แล้ว

      Juma Haji tujuze wewe basi naona ukweli unaujua naulikuepo

  • @hamzarashid9705
    @hamzarashid9705 5 ปีที่แล้ว

    We mzurii