WANANCHI ARUSHA WAMFUNGUKIA MAKONDA - ''AKIONDOKA AWE ANAAGA '' - WAMPA KAZI YA KUANZA NAYO KUFANYA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
  • WANANCHI ARUSHA WAMFUNGUKIA MAKONDA - ''AKIONDOKA AWE ANAAGA '' - WAMPA KAZI YA KUANZA NAYO KUFANYA\
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 191

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  25 วันที่ผ่านมา +4

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @DaudiJastas
    @DaudiJastas 25 วันที่ผ่านมา +7

    RAIS ijayeee,, hivi hao viongozi wengine hawana aibu mokonda anasifiwa wengine kusifika kwa wizi na ufisadi,,, makonda❤❤

  • @damianikimario5695
    @damianikimario5695 25 วันที่ผ่านมา +9

    Mungu wa mbiguni na kuomba umjalie afya njema yeye na familia yake umlinde na maaduwi.... binafsi nampenda sana tena sanatu. Kutokana na utendaji wake wa kazi.👊👊

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 25 วันที่ผ่านมา +15

    Makonda kioo Jamani acheni mm niko Morogoro nampenda maana ni mtu wa haki

  • @EsterAloyce-m4j
    @EsterAloyce-m4j 25 วันที่ผ่านมา +8

    Amaa nimemuombea jaman nampenda sana mungu mkumbuke

  • @jofreykilangila4118
    @jofreykilangila4118 25 วันที่ผ่านมา +16

    Usimfananishe makonda na mtu yeyote. Inabidi awe anaaga huyo ni wa tofauti na wengine

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 25 วันที่ผ่านมา +1

      Hiyo haipo kwenye utaratibu wa kuaga kwa matangazo!!! Ukienda ofisini kwake ukiambiwa yuko likizo itoshe!!! Si unatoka hapo unaanza kuzusha ooh mara wanatudanganya ooh mara amepelekwa hospitali mara anaumwa!!! Jamani mbona tunatia aibu!! Nchi imekua ya umbea umbea tuu na kutakiana mabaya...hata angeumwa ni siri yake na daktari wake!!! We ukiumwaga unapiga nduru kwa majirani??!! Hii nchi inawajinga wengi sana😔😔

    • @ubunifulifestyle3492
      @ubunifulifestyle3492 25 วันที่ผ่านมา

      We nae tuache​@@mamboshepea8888

    • @linahndemeka8428
      @linahndemeka8428 25 วันที่ผ่านมา

      😂😂

  • @EmannuelKusema
    @EmannuelKusema 25 วันที่ผ่านมา +10

    ❤🎉nakubali sana kiongoz wangu binafsi mungu azid kumtunza miaka mingi kiongoz wangu

  • @janelyatuu1135
    @janelyatuu1135 25 วันที่ผ่านมา +6

    ❤❤ mungu akutunzee kaka akupe afya njema tulibaki na maswali mengi sanaa mungu akutunzee baba uwishi miaka mungu usimulie matendo makuu ya mungu nakuona raisi ajae mungu amesikia kilio chetu wananchi wa Arusha jina la bwanaa libarikiwee ❤❤❤❤

  • @MartinLaban
    @MartinLaban 25 วันที่ผ่านมา +7

    Makonda oyoooooooo nikiwa kenya nimefurahi furahi sana saaana kukuona jembe la majembe

  • @MengineyoBernad
    @MengineyoBernad 25 วันที่ผ่านมา +7

    Mungu akulinde hatuna cha kusema ila unapoomba ruhusa kumbuka nyuma yako kuna watu wanaokuangalia kama kioo cha jamii usiwe unajificha sana mwamba

  • @Nafsa-st9pm
    @Nafsa-st9pm 21 วันที่ผ่านมา +1

    Rais wetu wabadae Makonda❤

  • @amedeustesha5947
    @amedeustesha5947 25 วันที่ผ่านมา +5

    Mungu akujalie afya njema niliumia Sana habari nilizokuwa nazisikia. All the way mungu akulinde sana

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 25 วันที่ผ่านมา +12

    Huyu makonda atuage wananchi hatutaki hofu juu yake . Akiondoka atuambie maana keshakuwa baba

    • @EmmaPonera
      @EmmaPonera 25 วันที่ผ่านมา

      Sumu

  • @user-rb6tv7xw5l
    @user-rb6tv7xw5l 21 วันที่ผ่านมา

    Moyo wangu unaniambia makonda akuwepo sehemu salama,tumshukuru tu Mwenyezi Mungu ni kwamba amerudi salama

  • @marypeter7209
    @marypeter7209 25 วันที่ผ่านมา +2

    Angepangiwa kila mkoa hata mwaka mmoja mmoja tu huyu ni mwamba

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo1120 25 วันที่ผ่านมา +12

    Tulipokosa bandika bandua mkoani wee tulihangaika kutaka kujua yuko wapi kipenzi cha wananchi wa Arusha sasa Roho zetu zipo burudani kwa kweli Mungu ibariki Tanzania na wananchi wote

    • @MariamAnafi-bf9gy
      @MariamAnafi-bf9gy 25 วันที่ผ่านมา

      Mimi mmoja wapo Kila siku nilikuwa naweka mb Kwa ajili nijue makonda wetu Yuko wapi ila Jana niliposikia yupo ofisini lilifurahi sana na nilikula chakula kikaongia

    • @user-do1ug7de3g
      @user-do1ug7de3g 25 วันที่ผ่านมา

      Ameridi

    • @user-do1ug7de3g
      @user-do1ug7de3g 25 วันที่ผ่านมา

      Amerudi au ni maneno tu jamani

    • @Neema-mo4sm
      @Neema-mo4sm 24 วันที่ผ่านมา

      Mungu akutunze kaka yangu Makonda,heri na baraka zikufuate wewe na uzao wako,kila jambo mtangulize Mungu,Endelea kutenda kazi katika misingi ya haki,damu ya kristo itulinde uwepo wa Mungu ukuzingile ewe na uzao wako,Ameen Ameen

    • @JanethSwai-i3d
      @JanethSwai-i3d 24 วันที่ผ่านมา

      ​@@MariamAnafi-bf9gyduu mi madonda ya tumbo hoi 😢😢 ila amerudi nimehisi kupona

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 25 วันที่ผ่านมา +8

    ❤❤❤❤ makonda tunampenda kwa sababu anakutatulia shida zako hapo hapo sio wengine wengine hamjali wanyonge mnajali family zenu makonda mwenyezi mungu yupo nawe inshallah

  • @SaumuLekule-de4hr
    @SaumuLekule-de4hr 25 วันที่ผ่านมา +2

    Tunamshukuru Mwenyez Mungu amerudi salama, alhamdulillah

  • @janetymatola6639
    @janetymatola6639 25 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu akupe umri mrefu siku moja tuonane kipenzi cha wanyonge Rais wetu 2030

  • @ShirfaDigubike
    @ShirfaDigubike 25 วันที่ผ่านมา +2

    Nakupenda sana niliumia sana ingawa nipo tabora .makonda niwakwetu sote

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta 25 วันที่ผ่านมา +3

    Acha kutusemea kidogo nipate pressure,alafu unasema wananchi wa Arusha hatukustuka ,wote tulipata taharuki,usiwe unadanganya watu, pressure ziliwapata watu alafu unasema ni mambo ya kawaida ,acha hizo mambo sema ukweli

  • @JekobuNgwara
    @JekobuNgwara 25 วันที่ผ่านมา +2

    Alusha mungu awabaliki huyo nimtoto wetu afrika dam ya baba magu tumwombeage

  • @mohammedabdullah5895
    @mohammedabdullah5895 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu ampe umri mrefu makonda

  • @thabithamagnus638
    @thabithamagnus638 25 วันที่ผ่านมา +4

    We dada labda wewe hukutaharuki,wenzako hatupo Arusha ila tulilia na wengine Kufunga kwa maombi,ili tumuone tena na tena! Kwani Magufuli aliondokaje katika safari yake ya mileke?

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 25 วันที่ผ่านมา +5

    Siyo hawelewi,ni upendo.Yasitukute kama ya magufuli

  • @AhmediKilingamoyo
    @AhmediKilingamoyo 21 วันที่ผ่านมา

    Allaahumma nakuomba kwaidhniyako mpeusalama naumuinue kicheo RC makonda aamyn

  • @selinamichael6504
    @selinamichael6504 25 วันที่ผ่านมา +1

    Daah MUNGU WA MBINGUNII NAOMBA UTUKUZWE MILELE DUNIANI NA MBINGUNII🙏🙏🙏

  • @ritamaro5444
    @ritamaro5444 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu ni mwema,karibu tena Mkuu.Tulipata wasiwasi Sana juu yako.

  • @ChandeMaulid
    @ChandeMaulid 25 วันที่ผ่านมา +2

    Afadhali nitanenepa sasa nilikuwa namawazo sana kuhusu mkuu wetu ❤❤

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 25 วันที่ผ่านมา +5

    Mama siku nyingine udiludie kusema hivyo kama wewe makonda humpendi Yani sisi makonda tunampenda. VibayaSana kutokana na kazi na na natamani siku moja aongoze nchi ndio nitalizika

    • @brownmgidange5201
      @brownmgidange5201 25 วันที่ผ่านมา

      Yule mama Ni walewale, taharuki haikua Arusha tu, na maeneo mengine ya Tanzania

  • @omarimsangi4075
    @omarimsangi4075 24 วันที่ผ่านมา +1

    Hapana kuna haja ya viongozi kukomaa sas kuaga ni ustaarabu zaidi na ndio tabia njema Tuna miaka 60 tu ya kujitawala ni nafasi yetu na viongozi kuonyesha ukomavu wa utawala bado tuna ugeni katika utawala tuwe wenyeji. kuacha mambo ya mazoea kama viongozi kuchomoka tu bila taarifa linatengeneza ombwe ambalo watu watajaza mtakataka.Mkuu wa mkoa hongera sana chapa kazi ni dalili njema kwako hongera sana. Pamabano na maovu yanayo kumbatiwa na viongozi wengi.GEKO NGOSHA

  • @restitutakisamo7607
    @restitutakisamo7607 24 วันที่ผ่านมา +1

    Kabisa,kufuatia kitu kwa uhakika.

  • @SalmaMakuwani
    @SalmaMakuwani 25 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akubaliki makonda,mungu aendelee kukulinda.mchapa kazi,kijana makini,muaminifu,mtendahaki

  • @EmmanuelassemblieschurchSirari
    @EmmanuelassemblieschurchSirari 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mh Asante kurud Salam

  • @EdithTelemark
    @EdithTelemark 25 วันที่ผ่านมา +2

    daah, Kwa kweli amejua kuutumiza Walala hoi, Mungu Ni wewe tu uwezaye!

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 25 วันที่ผ่านมา +3

    Tuheshimiane tuheshimiane Makonda aseme mwenyewe.dada tuheshimiane mshazooea kutuuli viongozi adimu.huyo ndio anatukumbusha magufuli.ebu twende taratibu tunaomba aseme mwenyewe

  • @amohammed3390
    @amohammed3390 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mji wa Arusha umetupwa haujajengwa kabisa kwa umuhimu wake

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 25 วันที่ผ่านมา +2

    Ni kweli uwe unaaga watu walifikiria vibaya.

  • @babusadala5732
    @babusadala5732 25 วันที่ผ่านมา +2

    Hacha uongo we dada ,watu walikuwa wanajiuliza sana kuhusu baba kigan....

    • @JanethSwai-i3d
      @JanethSwai-i3d 24 วันที่ผ่านมา +1

      Mchawi huyo😂😂

    • @babusadala5732
      @babusadala5732 23 วันที่ผ่านมา

      @@JanethSwai-i3d mweeee..umeonaee

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 25 วันที่ผ่านมา +2

    Mkaka,umesema ukweli, Mungu akubariki 🙏🏽

  • @GillbertMapesa
    @GillbertMapesa 24 วันที่ผ่านมา +1

    Hili liwe fundisho kwa ccm kuwa watanzania hawaiamini serikali ya Tz kwakuwa imezoeleka kuwa kiongozi akiwa mwema na mpenda watu huuwawa haraka.
    Kwahiyo ccm ccm ccm sisi raia hatuna Imani nanyi dhidi ya watu wema

  • @Sharifa-e7y
    @Sharifa-e7y 22 วันที่ผ่านมา

    Nipo Mwanza kama umerudi nimefurahi sana ❤

  • @mathiasmandi
    @mathiasmandi 25 วันที่ผ่านมา +2

    Vyombo vya habari vinavyotoa habari za uongo vifugiwe kwasababu vinaleta uchonganyifu wamesema mambo mengi sana amevishwa mpaka hadi walie mlisha wamekuwa wakiwatajja namaliza kwa kumuombea Makonda Mungu amlinde ili aendelee kulitumikia taifa. na Mungu amfikishe pale alipokusudia kumfikisha damu ya yesu imtangulie mpaka pale Mungu alipokusudia kumfisha

  • @Faraja-j2z
    @Faraja-j2z 25 วันที่ผ่านมา +4

    Kwani nchi hii wakuu wa mikoa mingapi ulishawahi kuona mkuu gani wa mkoa anauliziwa akienda likizo kwa walio wengi akiwe hujui asipo kuwepo hujui

    • @KingBuddah-nx3ui
      @KingBuddah-nx3ui 25 วันที่ผ่านมา

      HAO WENGINE C WAKU WA MIKOA HAWANA UMUIMU

    • @ProsistaTarimo
      @ProsistaTarimo 25 วันที่ผ่านมา

      Huyu ni jembe hasa. Wengine ni matumbo yao tu. Huyu ni baba hasa. Mungu amfunike kwenye kiganja chake

  • @JosephPeter-i5k
    @JosephPeter-i5k 25 วันที่ผ่านมา +1

    Jembe la Kaz iloooo

  • @thabithamagnus638
    @thabithamagnus638 25 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda Mungu akutunze Sana,akuepushe na kila baya

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 25 วันที่ผ่านมา +4

    ❤❤❤ makonda kipenz cha watu jaman tunampenda msie mpenda makonda kunywen sumu😂😂😂😂😂

    • @UtukufuEliya-sy2po
      @UtukufuEliya-sy2po 25 วันที่ผ่านมา

      Si Arusha tu ni kipenzi Cha watanzania wote

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve6534 24 วันที่ผ่านมา

    Makonda Yuko vizuri mungu akulinde tunakuombea Sana chapa kazi

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 25 วันที่ผ่านมา +2

    Makonda njoo uwe mkuu wa mkoa wa songwe🎉🎉

  • @fedakatoga3161
    @fedakatoga3161 25 วันที่ผ่านมา +1

    Namshukuru sana mungu

  • @NeemaMollel-vw8ct
    @NeemaMollel-vw8ct 25 วันที่ผ่านมา +3

    Kaka yangu Manase.

  • @mussamarwachamahaaaaaaaaaa8065
    @mussamarwachamahaaaaaaaaaa8065 25 วันที่ผ่านมา +1

    Dad sema ukweli kwa Sisi tumefulai tunamupenda San akasema ukweli

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g 25 วันที่ผ่านมา +1

    Tabia mbaya Sana hii mheshimiwa Uwe unaaga bana

  • @NkindaNzobe
    @NkindaNzobe 25 วันที่ผ่านมา +2

    Mimi Sasa cjaamini Kama makonda amerudi ofsin naitwa Dr nyangaki kutoka sudani kusin

  • @LomayaniLukumayi
    @LomayaniLukumayi 24 วันที่ผ่านมา

    makonda..mungu..akulinde.sana

  • @mauajonelo8675
    @mauajonelo8675 25 วันที่ผ่านมา +1

    Muheshimiwa utalii iwe no 2 anza na hawa walawiti na wauwaji wa watoto tafadhar

  • @NeemaMduma
    @NeemaMduma 20 วันที่ผ่านมา

    Kwl kabisa niliugua juu ya makonda

  • @RatifaHamisi-s4i
    @RatifaHamisi-s4i 23 วันที่ผ่านมา

    S❤❤❤❤ Makonda kaenda kujipika

  • @MengineyoBernad
    @MengineyoBernad 25 วันที่ผ่านมา +2

    Mmmh kwa nini hamkusema aliko mpaka yote hayo yanazushwa

  • @user-fg4yv8le8c
    @user-fg4yv8le8c 24 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉

  • @user-rl1pn4ln5e
    @user-rl1pn4ln5e 24 วันที่ผ่านมา

    Alhamdulilah

  • @meikoking
    @meikoking 25 วันที่ผ่านมา +1

    Hata arusha hatukuwa cool uwongo huo

  • @HamisiMtulia-p7f
    @HamisiMtulia-p7f 22 วันที่ผ่านมา

    Nimefurahisana kurudivyema kiongozihuyu makonda makondachapakazi munguyuponawe,nakutakiakillalakheri,hamisimtulia kutoka kibiti pwani

  • @omarimsangi4075
    @omarimsangi4075 24 วันที่ผ่านมา +1

    UMEWEKA HISTORIA NGOSHA GETEGETE

  • @DamianyPeter
    @DamianyPeter 23 วันที่ผ่านมา

    Hakika kuna haja ya kufuatilia vyombo vya habari vinavyoshiriki katika kutoa maneno yasiyo ya kweli katika mitandao

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 19 วันที่ผ่านมา

    Mkuu wa mkoa namba moja Tanzania.
    Asiyekubaliana na cc ajitafakari

  • @moshiwasua5749
    @moshiwasua5749 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mtandao ilipokuwa inasema kuhusu sumu , siyo wana chuki , bali wana upendo mkubwa kwa Mheshimiwa ,, jamani kumsema kunasaidia sana. , Nawapongeza wana mitandao Kumbuka mwaka fulani Mo alikuwa haonekani ,, ' mitandao ikasema sema Mo akaonekana Mh Makonda amepewa na Mungu uwezo nia. Nyota mkubwa sana , Viongozi wa dini muombeeni sana , maana anawasaidia kazi ya kuleta amani ktk jamii , Wasiyo mmpenda Makonda wasisubutu kufanya yaliyokuwa yanahisiwa kwenye mitandao. Mungu atawapiga

    • @LavinaJoseph-ei2tv
      @LavinaJoseph-ei2tv 22 วันที่ผ่านมา

      Tuliumia sana ila tunamshukuru sana mungu kwa kurudi salama maisha yako yaongezeke sana ila usiruhusu tena wakunenee mabaya haya maana kinywa kinaumba mwanangu makonda kiongozi shupavu mtenda haki

  • @anethmasuki4638
    @anethmasuki4638 25 วันที่ผ่านมา +2

    kuweni wa kweli tuu, usitudanganye kama watto

  • @EvenEvarist-sk6ur
    @EvenEvarist-sk6ur 25 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli kabisa

  • @user-sj4vo9cg2c
    @user-sj4vo9cg2c 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona mnayasema haya baadae ya kuonekana

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 25 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda hakuwa likizo mbona afya yake haiko sawa

  • @FranciscaMichael-r9f
    @FranciscaMichael-r9f 24 วันที่ผ่านมา

    Baba mtetezi wawa nyonge kazi iendelee

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 25 วันที่ผ่านมา +1

    We dada Acha uongo watu hatukulala tuliumia sana

  • @brendasamson2086
    @brendasamson2086 25 วันที่ผ่านมา +1

    Dada usitupoteshe mkuu wetu wa mkoa Tunampenda ilitakiwa atuage

  • @jofreykilangila4118
    @jofreykilangila4118 25 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @CareenTaji
    @CareenTaji 22 วันที่ผ่านมา

    Fanya kazi makonda ni mkoa wa mwisho wa usumbufu wa siasa mariza baba kazi yako

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 25 วันที่ผ่านมา +1

    Msiringe na sisi Dar tunamhitaji makonda

  • @AGNESSJOHN-v2g
    @AGNESSJOHN-v2g 25 วันที่ผ่านมา +1

    Natamani makonda awe raisi Jamani kila siku naomba sana kwahili

  • @thabithamagnus638
    @thabithamagnus638 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mioyo yetu imeteseka Sana,hata mpaka sasa hatuamini kwamba ni yeye au

  • @zianasalimuhivikunamchunga5224
    @zianasalimuhivikunamchunga5224 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mama samia please tafadhali nakuomba umlete makonda Mkoa wa Tanga. Awe. Mkuu wa mkoa wa Tanga nakuomba mama

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona tuliona wanaandamana

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 25 วันที่ผ่านมา +1

    Tusalimie sisi tulioko mbali.tusiendelee kusema hovyo kwa hao simba Wala watu

  • @EnockManase-df9sf
    @EnockManase-df9sf 25 วันที่ผ่านมา +1

    Arusha tulijawa na taharuki kubwa sana maana tunampenda Sana kamanda wetu

  • @innocentkanyata9923
    @innocentkanyata9923 25 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa Makonda tuwe tunajulishana..

  • @miletuskgmiletus1563
    @miletuskgmiletus1563 25 วันที่ผ่านมา +3

    Umeombwa kusema jambo

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 19 วันที่ผ่านมา

    Watu tuliogopa, mtaani kila mmoja alitaka kujua yuko wapi?
    Watu wanaulizana kwa sauti ndogo, kwa woga hofu na kukata tamaa...!
    aagage tuu, atuage wadau wake,tunampenda sana kuliko anavyofukiri

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona hukujitokeza kuongea before..

  • @user-jx9xc6vo9x
    @user-jx9xc6vo9x 25 วันที่ผ่านมา

    🎉We Anociatha huna lolote huna shukrani

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 22 วันที่ผ่านมา

    Hamna kazi malkonda kila siku

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 25 วันที่ผ่านมา +1

    Arusha ni.nchi gani hv

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z 25 วันที่ผ่านมา

    Ni kweli dada

  • @mwanaidchande9180
    @mwanaidchande9180 23 วันที่ผ่านมา

    Mimi nipo morogoro lakini kijana yupo vizur.

  • @AmdaniSuleiman
    @AmdaniSuleiman 21 วันที่ผ่านมา

    Nimapuguf ya ubinadam 2sameeyane 2:19

  • @mcback4384
    @mcback4384 24 วันที่ผ่านมา

    Huyo mama wa Kwanza ana matatizo ya akili, Arusha ilikua kwenye taharuki, yeye ajiongelee mwenyewe lakini asituongelee wakazi wa Arusha sababu sio msemaji wetu

    • @JanethSwai-i3d
      @JanethSwai-i3d 24 วันที่ผ่านมา +1

      Walihoji mwendawazimu

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona hukujitokeza kipind tunababaishwa ukatuliza nafs zetu

  • @AbdillahSalimu
    @AbdillahSalimu 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mimi nimeshangaa sana Mkuu wa mkowa kuondoka kihuni hivyo nakuachataharuki kwa wanamkowa.sijui Kama ndio taratibu zao

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 25 วันที่ผ่านมา +1

      Kaondoka kihuni??!! Hivi viongozi wote wanaoendaga likizo huwa wanatangazaga??!! Mbona wabongo manachekesha??!! Waliozusha ni wale wale!!!

    • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
      @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 25 วันที่ผ่านมา

      wewe huna marinda wewe ni shoga

  • @MartineShija
    @MartineShija 25 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna jamaa alisemaga kabisa Kuwa haya anayoyafany MAKONDA ndiyo anazidi kupenya hivo wengine waendelee kukaa2 maofisini yani jamaa amekubalika mno kila sehemu atayowekwa watuwanamkubali wengi mno

  • @user-nt3tx6cq8i
    @user-nt3tx6cq8i 25 วันที่ผ่านมา +1

    Una uhakika?

  • @rashidissa5887
    @rashidissa5887 25 วันที่ผ่านมา

    Ulikuwa ni mpango tu kupima umaarufu wake. Jee, umefanikiwa kiasi gani?

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 24 วันที่ผ่านมา

    Wewe mdada unazingua, kama hamkuwa na taaruki, lkn mlijua kinachoendelea mitandaoni mbona hamkutoka hadharani mkasema? kama mnajua aliko?