Kwakwel watumishi wenye wito wa Mungu wamebaki wachache sana, Mama na baba Mchungaji Mungu awabariki sana Yesu tunayemtumikia ni mkuu sana, najivunia kuwa ndani ya Yesu.
Utukufu kwa Bwana Yssu kristo tunae Mmoja hapa kanisani nae alikuwa huko na Alikua ana andaliwa kuwa MKE WA SHETANI yoote anayo sema kuhusu huyo binti ni kweli ndio maaisha
Waambieni wale wanaosema Yesu ni nabii tu kwamba Yesu ni Mungu jina lake Lina nguvu ya Kiungu mapepo yanakimbia ni jina lenye mamlaka. Waulizeni wachawi na mapepo Yao wanajua ukuu wake
Nguvu za MUNGU ni ya ajapu sana, Mtu ukiwa ndani ya kiroho unaelewa nguvu za MUNGU, nangojea huo ushuhuda ya huyo dada najua Mungu anafungua watu wake maana ata Isaiah 42v22 inasema kuhuzu kutekwa nyara na awa wachawi
Watumishi wa MUNGU tuseme Nini Sina zaidi ya kuwaombea kwa utumishi wenu uliotukuka. MUNGU ROHO MTAKATIFU azidi kuwatunza mtembee katika njia na mapenzi yake.
Kwakwel watumishi wenye wito wa Mungu wamebaki wachache sana, Mama na baba Mchungaji Mungu awabariki sana Yesu tunayemtumikia ni mkuu sana, najivunia kuwa ndani ya Yesu.
PROMOVER TV wana wa Mungu mbarikiwe sana kwa kazi njema mnayofanya.
Amen
Utakuwa ushuhuda mzito sana. Ngoja tusubiri mtumishi wa Mungu
Utukufu kwa Bwana Yssu kristo tunae Mmoja hapa kanisani nae alikuwa huko na Alikua ana andaliwa kuwa MKE WA SHETANI yoote anayo sema kuhusu huyo binti ni kweli ndio maaisha
Hongera mm Kwa kazi nzuri mungu atakulipa
Mubarikiwe
Sauti yako Mtangazaji Samahani Japo sio vzr Una Sauti Kama rafiki yangu Mwlm Dr Mitimingi vp unaundugu nae??
Hongera Kwa kazi nzuri
Wachawi wanashida sana.njooni kwa yesu kuna raha
Kasi ya maombi kila siku masaa zaidi ya 2 masaa 2 huyo mama Mchungaji ni fire kweli 🔥🔥🔥🔥
Jesus Jesus Yesu Yesu Bwana Mkubwa mambo unayo fanya ni ya ajabu Sana Yani mpaka gambosh unawafatilia walio ibiwa na shetani
Waambieni wale wanaosema Yesu ni nabii tu kwamba Yesu ni Mungu jina lake Lina nguvu ya Kiungu mapepo yanakimbia ni jina lenye mamlaka. Waulizeni wachawi na mapepo Yao wanajua ukuu wake
Pongezi Kwa familia hii Mungu aliwaunganisha Kwa sababu Mungu awalinde na hio michawi ya gambosh ipigwe upofu
Natamani sana kusikia sauti ya amiel katekelakuongea nae mukiniunganisha naye nitashukuru sana amiel tuongee naye kwa simu asante sana kaka
Nguvu za MUNGU ni ya ajapu sana, Mtu ukiwa ndani ya kiroho unaelewa nguvu za MUNGU, nangojea huo ushuhuda ya huyo dada najua Mungu anafungua watu wake maana ata Isaiah 42v22 inasema kuhuzu kutekwa nyara na awa wachawi
Wachungaji wa kweli wako na KAZI ngumu Sana sasa wale Wachungaji Wamchongo
Huyu ndio mama mchungaji, sio mama mch kazi, kupak make up...
Watumishi wa MUNGU tuseme Nini Sina zaidi ya kuwaombea kwa utumishi wenu uliotukuka. MUNGU ROHO MTAKATIFU azidi kuwatunza mtembee katika njia na mapenzi yake.
Amina
❤❤❤ Amen
Mama mchungaji ni wamoto kwel
Hio Sauti ya Sabina gambosh ilikua inatii kweli
Ameen
Amen
💯💯💯💯💯💪💪💪💪💪💪
Tunaitaji kumusikiya
❤❤❤❤❤❤
Unaongea sanaaaaa! Duhhhh!
Lazima waseme nyie wachawi ni ngumu sana hiyo hali
MNALETA LINI JAMANI MATUMBO YANAUMA KUNGOJA
Jamn tumuone bc
Wachungaji wa kweli wako na KAZI ngumu Sana sasa wale Wachungaji Wamchongo
Ndio tu jue wakweli wapo
Amen amen