Amina barikiwa Sana shujaa wa Bwana imeandikwa ikiwa watu wangu walio itwa kwa Jina langu wakijinyenyekesha kuutafuta uso wangu na kuomba na kuacha mabaya yao nitasikia kutoka mbinguni nitawasamehe na kuiponya nchi yao ameen mungu kumbuka agano lako we Ni mungu wa magano turehemu
Acha kutisha watu kwa uelewa wako mdogo Mungu hataipiga dunia tena kwa mapigo watu wataangamia wenyewe kwa kuto kutii maagizo ya Mungu soma vizuri Maandiko utuonyeshe siyo kutisha watu kwa kelele nyingiii!
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu, Namtukuza Mungu kwa ajili yako, Mimi ni mwanadamu lakini Ninachukizwa sana na INJILI za Hawa manabii,wachungaji na mitume wengi wa Leo hapa Tz wamekuwa si watu kufundisha juu ya Toba ya kweli maana ufalme wa Mungu umekaribia. Mungu atusaidie maana tumeuzwa.Nipo tayari kuifanya kazi hii pamoja nawe
Mmmh ole wangu mm Ni kweli kabisa wanatoa sadaka wenzao hapa nimeelewa watu hatuambiwi ukweli wa MUNGU tunadanganywa Sana na hayo mafuta maji aaaa Ila MUNGU ATUSAIDIE SS na WATOTO wetu
Oh lord have mercy on us. Protect our country tanzania and the world. The people who are blind to see the truth ..let them see the truth and be saved. Jesus is the truth and only way to heaven.
Huyu Mtumishi kama ukimsikiliza bila kumwangalia hakika utajua kuwa ni Mtumishi wa Mungu Mwakasege. Bila shaka huyu alikuwa mwanafunzi wake. Jina la Bwana libarikiwe. Wanafunzi wa Yesu nao waliongea kama Yesu hata alipokuwa ktk mateso ya kusulubiwa wayahudi walimwaambia wanafunzi wa Yesu kwamba hata kutembea kwenu ni kama Yesu na hata kusema kwenu ni kama Yesu.
Hongereni Sana kutuombea pigeni KELELE waambieni wamama tuvae magunia uzinzi umezidi ubakaji uongo na usengenyaji na ukahaba na ushoga na usagaji na MAUAJI na kutoa kafala za watu ILI tuwe matajili na KUVAA mawigi na kusuka NYWELE na KUJICHUBUA na mengine MENGI tumemukosoa MUNGU ILA TUMEFIKA MBALI SANA DHAMBI IMEHAMIA MAKANISANI
Nikweli mtumshi wa MUNGU ubarikiwe sana kwa kunena kweli ya MUNGU mwenyesikio na asikie eeeee Roho utuombeaye kwa kuugua kusiko tamkika tusaidie kuombea Toba ipasayo
Ooh,Pole sana mtu wa Mungu Namba hizo ni 0752001840 (Mpesa) 0678304931 tigo pesa Jina Augustine BIlomo Tengwa Pia unaweza kutumia namba hizo kuwasiliana na Mwl.Tengwa Mungu akubariki sana.
Kwa kuwa wamepata madaraka,vyeo,utajiri na ustar kwa njia ya madhabahu ya shetani, hawawezi kufanya Toba ya Matengenezo kwa sababu wanaogopa watapoteza vyote walivyopewa na shetani kwani walifanya mkataba naye.
Watu tunataka utajili wa ajabu tunauana SS kwaa twatoana sadaka ILI tuwe matajili mmmh ajali kila siku kisa sadaka mmmh ole wetu SS WENYE dhambI na MUNGU ATUHURUMIE NA MAUZINZI HAYA NA MAUCHAWI HAYA
Ni kweli kabisa tuache kunifanya MUNGU HAONI BASI YUMULUDIE MUNGU TUACHE DHAMBI OLE WETU MAANA WENZETU HUKO UTURUKI TAYALI mmmmmmh na MUNGU ATUHURUMIE SS NA WATOTO WETU
Ni kweli mtumishi kanisa limehama eneo lake. Naomba Mungu wa rehema aturehemu
Ameni na MUNGU ATUSAIDIE
😊q⁰O
Sema Baba mungu aingilie kati
Shalomu Mtu wa Mungu! Mungu akubariki sana. Mungu aturehemu Tanzania.
Ee Mungu baba naomba utuhurumie cc watanzania pamoja na familia zetu, pia naomba uwahurumie Dunia mzma Mungu wangu na baba yangu
Mungu turehemu Ee Bwana
Amina barikiwa Sana shujaa wa Bwana imeandikwa ikiwa watu wangu walio itwa kwa Jina langu wakijinyenyekesha kuutafuta uso wangu na kuomba na kuacha mabaya yao nitasikia kutoka mbinguni nitawasamehe na kuiponya nchi yao ameen mungu kumbuka agano lako we Ni mungu wa magano turehemu
Acha kutisha watu kwa uelewa wako mdogo Mungu hataipiga dunia tena kwa mapigo watu wataangamia wenyewe kwa kuto kutii maagizo ya Mungu soma vizuri Maandiko utuonyeshe siyo kutisha watu kwa kelele nyingiii!
Amen mtumishi tufanyeje
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu, Namtukuza Mungu kwa ajili yako, Mimi ni mwanadamu lakini Ninachukizwa sana na INJILI za Hawa manabii,wachungaji na mitume wengi wa Leo hapa Tz wamekuwa si watu kufundisha juu ya Toba ya kweli maana ufalme wa Mungu umekaribia. Mungu atusaidie maana tumeuzwa.Nipo tayari kuifanya kazi hii pamoja nawe
Mungu alinionesha ziwa Victoria milango mine Moja mkubwa na mitatu kweli mungu atusaidie
Kweli kabisa kanisa limeacha lilichotumwa na mungu
NDIO tunajipaka maji majivu mmmh ole wetu na uzinzi huu MUNGU ATUSAIDIE
@rose muhando wewe ni mtu unajulikana na nchi mbalimbali tusaidie kupaza sauti kwa watanzania kwa habari ya unabii huu
Rose muhando huu ujumbe naomba upost kwenye account zako
Atujali na mungu, lakini Mungu
Mungu akubariki Rose; enenda ulimwenguni wwote ukisambaza ujumbe huu ili watu watubu!
ASANTEE SANA mtumishi barikiwa sana BWANA akupiganiye
Amina,Mungu tusaidie
Ooooo. YESU tusaidie,,, MUNGU mlinde mtumishi huyu,,, hakika mtu huyu ni kidole Cha MUNGU , YESU tusaidie
Mngu atusamehe na nch yetu yy hughair maboya tuomben rehema watu wa mngu. Tutetemeken mbele za mngu. Nhurumie yesu
Eeeeh Mungu tuhurumie 😭 ss tutaenda wapi na watoto wetu tusamamehe eeeh Baba 😢🙏
Yesu ni mwamimifu
Amina barikiwa
Unapo pata ujumbe huhu tubuni tumrudie Mungu
Kuna kitu mungu alinionyesha mwaka Jana mwez 12 kuhusu ndege yetu kubwa hapa Tanzania Yani air Tanzania mungu atuhulumie tu
Ee Mungu wangu baba wa rehema tunaomba uturehemu
Ee Mungu ninaomba rehema kwaajili ya nchi yangu,familia na hata Mimi
Amen💯 🙏🙏🙏🙏
Mungu turehemu
Mungu aturehemu
E mwanadamu Sikilizeni hii neno la mungu
DAH,,
I WISHI KUTEMBEA NYUMBA KWA NYUMBA KUAMBIA WATU TUSHUKE KULIA KWA KUOMBA REHEMA JUU YA TAIFA LETU 🇹🇿🇹🇿😭
Shalom 🙏
Ee Mungu uturehem 😭😭
Mmmh ole wangu mm Ni kweli kabisa wanatoa sadaka wenzao hapa nimeelewa watu hatuambiwi ukweli wa MUNGU tunadanganywa Sana na hayo mafuta maji aaaa Ila MUNGU ATUSAIDIE SS na WATOTO wetu
Ameni hatumutaki YESU na NGUVU zake Ila miujiza AAA na MUNGU ATUSAIDIE
Eeeeeeeeeeeeeeh! Tanzania na Dunia nzima sikieni sauti ya Mungu.
Tutengenezeni njian zetu na kunyosha mapito yetu na Mungu atajidhihirisha kwetu.🙏
Amen
Naitwa ester fortunatus kutoka tabora wilayani igunga tuko pamoja katika maombi
Oh lord have mercy on us. Protect our country tanzania and the world. The people who are blind to see the truth ..let them see the truth and be saved. Jesus is the truth and only way to heaven.
Ee Bwana utuhurumie
Huyu Mtumishi kama ukimsikiliza bila kumwangalia hakika utajua kuwa ni Mtumishi wa Mungu Mwakasege. Bila shaka huyu alikuwa mwanafunzi wake. Jina la Bwana libarikiwe. Wanafunzi wa Yesu nao waliongea kama Yesu hata alipokuwa ktk mateso ya kusulubiwa wayahudi walimwaambia wanafunzi wa Yesu kwamba hata kutembea kwenu ni kama Yesu na hata kusema kwenu ni kama Yesu.
🙏🙏🙏🙏
Yesu turehemu tusamehe
Natamani ungepewa ht dk 15,, kwenye tbc taifa ili wote tusikie habari hizi ili tutengeneze na Bwana
Ni kweli mtumishi Abery tupo kwenye mchakato huo ili mtumishi aende TBC na Media zingine kama clouds, Bwana atafanya na hilo nalo...
@@tengwatv Ameni naiweivoo itimie ujumbe hufikee
Ni kweli kabisa YESU atusaidie TUACHE dhambI na YUMULUDIE MUNGU dhambI zimezidi na SS site TU wadhambi
Mtumishi wa mungu nakuelewa sana sana sanaaaaa
E.a.g.t tunamaombi mwezi mzima tunaombea taifa ,viongozi wa nchi,na kanisa
Hongereni Sana kutuombea pigeni KELELE waambieni wamama tuvae magunia uzinzi umezidi ubakaji uongo na usengenyaji na ukahaba na ushoga na usagaji na MAUAJI na kutoa kafala za watu ILI tuwe matajili na KUVAA mawigi na kusuka NYWELE na KUJICHUBUA na mengine MENGI tumemukosoa MUNGU ILA TUMEFIKA MBALI SANA DHAMBI IMEHAMIA MAKANISANI
Mungu awasaidie!
Nikweli mtumshi wa MUNGU ubarikiwe sana kwa kunena kweli ya MUNGU mwenyesikio na asikie eeeee Roho utuombeaye kwa kuugua kusiko tamkika tusaidie kuombea Toba ipasayo
Hizo namba za cm ni ndogo sana nashindwa kuzisoma
Ooh,Pole sana mtu wa Mungu
Namba hizo ni
0752001840 (Mpesa)
0678304931 tigo pesa
Jina Augustine BIlomo Tengwa
Pia unaweza kutumia namba hizo kuwasiliana na Mwl.Tengwa
Mungu akubariki sana.
Kwa kuwa wamepata madaraka,vyeo,utajiri na ustar kwa njia ya madhabahu ya shetani, hawawezi kufanya Toba ya Matengenezo kwa sababu wanaogopa watapoteza vyote walivyopewa na shetani kwani walifanya mkataba naye.
Ee BWANA YESU uturehemu sisi Taifa lako lote maana tumekutenda dhambi.
BWANA YESU KRISTO amguse Raisi na serikali kiujumla ili wawe kama Mji wa ninawi
Vilabu vya Simba na Yanga vina madhabahu ya shetani na mashabiki wao wanamwabudu shetani bila kujitambua!
MUNGU aturehemu
Watu tunataka utajili wa ajabu tunauana SS kwaa twatoana sadaka ILI tuwe matajili mmmh ajali kila siku kisa sadaka mmmh ole wetu SS WENYE dhambI na MUNGU ATUHURUMIE NA MAUZINZI HAYA NA MAUCHAWI HAYA
MUNGU uturehemu
Tusaidie bwana
EEH MUNGU TUREHEMU
Nimewahi kuona kwenye maono rais akitangaza kwenye mwezi kwamba kuanza sasa mwezi huu ndio Mungu wetu lilikuwa jambo la kutisha nimeelezea kwa kifupi
Sijaelewa
Ee BWANA tuhurumie!!!
BwAna amepanga kuipiga Tanzania kana ninawi
Eeeh mungu wa rehema tuhurumie 😭
Mungu atusaidie watazania tunyenyeke kwa Mungu aturehemu .tumwombe Mungu anatupenda anatujali ndio maana anatuambia.
@@neemakusuhibwa347 amen 🙏
Mungu aturehemu wanadam, maana Hali Ni mbaya sana
Eeeh MUNGU wa rehema tuhurumieeeee
Eeeh MUNGU wa rehema tuhurumieeeee 😭😭😭😭 mkono wa Mungu niwaajabu atatupigaia 💪💪
Ni kweli kabisa tuache kunifanya MUNGU HAONI BASI YUMULUDIE MUNGU TUACHE DHAMBI OLE WETU MAANA WENZETU HUKO UTURUKI TAYALI mmmmmmh na MUNGU ATUHURUMIE SS NA WATOTO WETU