CHANGAMOTO ZA KU DATE MZUNGU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- Changamoto zinazopatikana sana kwenye mahusiano ya Mswahili na Mzungu.
Utamaduni ni tofauti na hivyo changamoto zinakua ni nyingi sana.
Lakini mbali na yote hayo, mazungumzo husaidia sana ku solve changamoto hii.
www.oda.international
Upcoming course
Online Dating Mentorship will be in May
Register now!
MUNGU Akabariki Mrembo, Asante kwa kutufahamisha.Nakufatilia sana❤❤❤
Ni shida weupe huwa hawaeleweki kbsaaa HT ufanyeje ni wagumu tokana na maelezo ya toka kuzaliwa !! Japo Mungu anaweza kukujalia aliyezaliwa na wema Tu !
I appreciate 🎉
Dada mrembo na ana roho nzuriii sana,and your Brilliant,Mungu akubariki sana.
Shukran sana 🙏
@@OfficialDatingAssistance dada habari naomba unipe mbinu ya kumpata mzingu
Shena Mungu akutagurie kwa kazi yako mimi dà mole Nipo kwa Sasà nimeturia vizuri asante
Hapo Kwa time ongezea sauti
Unatufundisha sana
Habari, nipenda maada zako
Shukran sana 🙏
thank you mrembo wetu
Karibu 🥰
Asante dear Kwa ujumbe
Karibu dear
Hapo kwenye fity fity hata Afrika ila hatujionyeshi tu.
isee napenda sana hii chanel yako,
vip maswala ya dini hao jamaa huwa wanaoneje hiyo kitu
Hongera sana dada yetu
Ahsante
Hapo kwenye Ada. 😅 Asante Shena
Hahahaa Ada Kama Adha
Dada Sheinnah nawezaje kuwasiliana na wewe in person? Hopefully uta communicate. Thanks🙏🏾
So cute...
Ahsante
Asante dear ❤
🥰
Mrs sheena habari yako.mie naitwa mariham please.mbona nimejitaidi kupambana.... nimeomba usadizi kutoka kwako kuhusu hali ya kudeti.... na naweza kupataje mzungu...nina watoto 2. Bado naona upendi kunispoti nini?mahelezo yako ni mtu wa huruma... rakini nahona unanikwepa.... samahani sana.naomba nifikirie? Kama uko serious__&
Karibu Natasha, kwanini nikukwepe kipenzi ?
Za kwako sheena.habari ya uko mpz wangu 🤝 ni mimi mariham.....ninaeomba unitafutie mzungu wakudeti nae..... ninahuitaji please
Dada naomba no yako utuelekeze
Vipi
😊😊
Shkamo dad etu samahani mm nikijaribu kujiunga lakini inaniambia please choose a username between 3_20 characters using Latin letters minus sign and underscore can also be used
Maana yake
Uweke jina lako unalotaka kutumia
Sawa dada nimejaribu but sijaweza kukutano na yeyote au it's till I pay
Dahhhh dada me nimekua kama msumbufu inabidi tu nikubali kwamba nimeshindwa
Nimejifunza kitu kikubwaa Hadi nawaza
Changamoto kwa kila binadam sio wazungu kwa wot
Sister hivi kama hujui kingereza utaweza kupata mchumba wa ughahibun kwel?
Anza kujifunza japo kiasi
naomba namba yako tafadhali
Sasa mnawapendea nini???mi siwezi bhana!
Mimi niko Norway naomba namba ya huyo Dada yangu
Samahani dada Mimi najaribu kujiunga ila nashindwa
Video za maelezo zipo kwa List
Shalome naitaji namba za whasp
Nitabu tu
Thank you so much sister I'm originally from DRCONGO, what can I do to date a white woman 🤔🤔
Hallo Sedjo,
I am having a private and group training.. you can see all information through my website www.Oda.international
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Na Mimi nataka kujiunga nifanyeje
Karibu darasani
Tuandikie instagram tutakujibu
Samahani naomba unielekezee jinsi ya kujiunga
Video zipo hapo kwa List
.May I have your contact
Hadi nimecheka maana kwa mama yangu sometimes watu tunafika hadi 12 😂😂😂na time management sasa woiiiii😅
Hatari kweli 🤣
I don't think kama wewe hunyamba...
Nini maana yake ?
Sababu you're too beautiful..