SAKATA LA UINGIZAJI WA SUKARI LAIBUA SURA MPYA BODI YA SUKARI WAFUNGUKA/KUMEKUWA NA UPOTOSHAJI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ค. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►TH-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

ความคิดเห็น • 34

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 4 วันที่ผ่านมา +6

    Hii nchi siasa mpaka kwenye chakula hii ni kutuchezea tu watanzania hii CCM inahitaji kutumbuliwa

  • @yusuphngwele4190
    @yusuphngwele4190 4 วันที่ผ่านมา +5

    Kwa hali hii na uongeaji huu takukuru wanatakiwa wahusike.ukweli utajulikana tu.

  • @user-uy5nx1bj5r
    @user-uy5nx1bj5r วันที่ผ่านมา

    Pole sana Mzee wangu Mnakazi ngumu sana kwa watu tunaoishi kwa propaganda " umeongea ukweli kwa ushahidi"

  • @SaidKaswella
    @SaidKaswella 4 วันที่ผ่านมา +4

    Was there any due diligence to the so called voucher companies?

  • @godfreymeagisa1871
    @godfreymeagisa1871 4 วันที่ผ่านมา +1

    Sukari shida,Ngano shida ,sio chuma shida vijiti vya meno shida nguo nje tyre shida sisi vyetu wenyewe lini wakubwa wetu tujibuni.

  • @andrewassey5108
    @andrewassey5108 4 วันที่ผ่านมา +2

    Sikumbuki kama tuliwahi kuambiwa ukweli nchi hii iliyoasisiwa na JKNyerere.

  • @vedastusmdapo3837
    @vedastusmdapo3837 4 วันที่ผ่านมา +1

    Solution ya hii issue so kulumbana Bali ni vitendo yaani miwa inalimwa hapa na ardhi ni kuuubwa.Yaani hata Mimi nikipewa wizara natatua tatizo hili kwa Mwaka tu tutauza sukari Hadi 1500

  • @rajabumtuga7372
    @rajabumtuga7372 4 วันที่ผ่านมา +3

    Kwahiyo unavosema sisi wananchi tukiongea hain haja ya nyie kueleza ukweli. Sisi ndo waajir wenu mnapaswa kutoka na kufafanua azalani. Ipo siku mtatulilia nyie.

  • @abdulhakeem959
    @abdulhakeem959 2 วันที่ผ่านมา

    HII NCHI NGUMU SANA SANA.UNAFIQ NA UCHAWA NA KUCHAFUANA NDO ZIMEGEUKA SERA ZA TAIFA.BADO TUMELALA NA SIKU TUKIAMKA TUTAJIKUTA THE HAGUE

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 3 วันที่ผ่านมา +1

    Baada ya sakata hili la sukari kuwa moto, ni kwa nini kutokee badiliko la uongozi TRA ????.Inatupa picha gani 🤷🏼‍♀️🤷🏼‍♀️🤷🏼‍♀️❓❓Mlikaa kimyaaaaa, na mlivyo hodari wa data, mmezipika kutuaminisha.

  • @user-uy5nx1bj5r
    @user-uy5nx1bj5r วันที่ผ่านมา

    Huyu Jamaa wa Bodi ya sukari anaonyesha ushahidi unaonekana Mimi nimenunua sukari elfu 7 Jamaa inawauma sana safari hii walitaka sukari ikosekane ili wapandishe bei

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 4 วันที่ผ่านมา +1

    Kutumbua hapana kukopa aaaah😊

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e 3 วันที่ผ่านมา +1

    Swali mulijuaje km wazalishaji wameshindwa kuingza kusukar hadi mkawapa kampun za simu hyo nafas? Masilani ni tofaut ya mwez mmja

  • @SaidKaswella
    @SaidKaswella 4 วันที่ผ่านมา +1

    Business licence only is not adequate in determining the competence and compliance of any business entity.

  • @TheresiaAndrea-hv9dg
    @TheresiaAndrea-hv9dg 2 วันที่ผ่านมา

    Mnatuvyruga, maana kila mmoja anadai ushahidi upo, hatuwaelewi, tunachokijua ni kwamba sukari ilikosa, tukasafa. Mnapoendelea kurumbana mnatupa ushahidi kwamba viatu halitoshi. Mkikaa kimya tutawaona waomavu. Huo ni utoto

  • @godfreymeagisa1871
    @godfreymeagisa1871 4 วันที่ผ่านมา +1

    Kwanini tutegemee sukari ya nje wakati tuna ardhi kubwa namna hii ya nchi yetu

  • @kenethmaseti8953
    @kenethmaseti8953 3 วันที่ผ่านมา

    Ameshindwa kujibu hoja za msingi 😊

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 3 วันที่ผ่านมา

    Mijitu ya chadema hata haielewi kila ikielimishwa inaleta siasa eleweni mnachoelekezwa acheni acheni uzwazwa

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 3 วันที่ผ่านมา +1

    Mliwamdikia barua waje kuchukua vibali dec ngapi? Inawezekana mmewapa barua kibali dec mwisho ndiomaana mwazo wa jan wakachukua kibali hapa raisi atupe wachunguzi huru ili ukweli ujulikane

  • @Sangaadam
    @Sangaadam 3 วันที่ผ่านมา

    Hizi Tantalila za nn Wananchi wanataka Sukari tena kwa bei rahisi kama wenzetu (nchi) Zinazo tuzunguuka, Hii mipasho yenu mgeitana huko mmalizane wenyewe......!!!!!!

  • @abeidsanga7361
    @abeidsanga7361 3 วันที่ผ่านมา

    Kwamfano Ng'ombe wako akikupiga teke we unampa sumu ili akufe 😂😂😂😂akili matope aabu tupu

  • @devangandhl2255
    @devangandhl2255 3 วันที่ผ่านมา

    Mbona mnalumbana kazi yenu ninkushirikiana kutulinda sisi wananchi dhidi ya shida

  • @issakassim8291
    @issakassim8291 3 วันที่ผ่านมา

    Mlivunja sheria wizar ya kilimo ilipiga

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 3 วันที่ผ่านมา

    Meli ilipita mlango wa nyuma

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 วันที่ผ่านมา

    Mmi sielewi unachoongea kama ni sukari bei ni juu toeni Siasa hapo

  • @user-uy5nx1bj5r
    @user-uy5nx1bj5r วันที่ผ่านมา

    Yule Mzee wa jana nimuongo tokea jana nilipo muona Ishu hii inawatu wanatetea maslahi yao na sisi wananchi hatuko makini na jamaa hao waviwanda kunadili imefeli imekuwa dirisha na wameamua kumtumia yule jamaa wa GANG" kujifanya mzalendo

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 3 วันที่ผ่านมา

    Huyu ni tapeli tu haieleweki anazunguza nini

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 3 วันที่ผ่านมา

    munapoteza muda wenu tu mwezeno yupo busy na kuteua na kariakoo😂😂😂😂😂😂

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 3 วันที่ผ่านมา

      Ameteua akijua hicho kinachoendelea hapo👆👆ndio maana kwenye uteuzi amemtoa Boss wa TRA kupotezea. Wanajipanga

  • @user-no2ut7yd3e
    @user-no2ut7yd3e 4 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe unamajengo kufuru acha udambwi.

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 4 วันที่ผ่านมา

    Huyu shida yake Nini?!?! Sielewi

  • @charleslukumai7875
    @charleslukumai7875 4 วันที่ผ่านมา +2

    Kwa issue ni kampuni zil
    izopewa vibali vya sukari, au uvunjwaji wa sheria ya sukari?

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418 3 วันที่ผ่านมา

    Mimi huyu bwana anachoongea simwelewi kabisa.

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 3 วันที่ผ่านมา

      Jitupora tu hilo ni linyung'unya fulani, matumbo malaji. Yaani Lina kila jina baya.