FULL VIDEO: Makonda akiwataja wanaotuhumiwa kwa dawa za kulevya DSM

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda leo February 2 2017 amewaita Waandishi wa habari na kuwaambia kuhusu uchunguzi aliofanya kwa wanaotumia na kufanya biashara ya dawa za kulevya kwenye jii la Dar es salaam.

ความคิดเห็น • 167

  • @celitomclassic5085
    @celitomclassic5085 7 ปีที่แล้ว +3

    kazi njema our RC..... wiki ijayo fyatua mashoga ukianza na Kaoge... wanachafua mji... please i beg for this....

  • @hassankayla4076
    @hassankayla4076 7 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akusimamie sana mkuu #PAULMAKONDA ahsante sana #MILARD kwa habar moto moto

  • @sifacycy_bby8827
    @sifacycy_bby8827 7 ปีที่แล้ว +4

    Hapo sawa kabisa ziwieni haswaaaa maana wazazi wengi watoto wao wanaume wakiume wanaharibika sn kwaju yahizo dawa zakulevya! Asant san #Ayo tv Mungu azidi kubariki office yenu nabaraka tele and baraka kwa #Makonda anapeleka vzr

  • @datiusnjungani2784
    @datiusnjungani2784 7 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akulinde ni kazi Ngumu sana kwa maana umo wapo wabunge madiwani mawazili viongozi wa kijeshi yahani ni kazi ya Mungu hii kwa kweli Mungu wetu akuepushe na mabaya yote But dah hii vita Ngumu sana

  • @innocentchristian4774
    @innocentchristian4774 7 ปีที่แล้ว +12

    Kwa Hili Nakupa 100% Bt Bado ya Mashoga

    • @aishahussein8741
      @aishahussein8741 7 ปีที่แล้ว +2

      innocent christian kwel mashoga alisemaga lkn wap bado wanajitangaza ila awafatilii

  • @NormanEric
    @NormanEric 7 ปีที่แล้ว +1

    kazi nzuri mheshimiwa Makonda. kwenye vita hii nakuunga mkono kwa asilimia Mia moja.. Big Up sana

  • @petermwantole9433
    @petermwantole9433 7 ปีที่แล้ว +18

    Una kazi ngumu na ya hatari , lakini Mungu atakusimamia...

  • @ahmadsjuma7012
    @ahmadsjuma7012 7 ปีที่แล้ว +2

    viongozi kama nyinyi ndio tunaowataka, hao watu wakubwa wanawaumiza hawa wanyonge ni bora sheria ichukue mkondo wake. kazi njema mkuu.

  • @faridmobji
    @faridmobji 7 ปีที่แล้ว +3

    safi kabisa Hizi ndo kazi na tusihurumiane katika hili yaani waaadhibiwe vikali

  • @nicksonimbuya3387
    @nicksonimbuya3387 7 ปีที่แล้ว +4

    I appreciate you mkuu Paul makonda pambana tutafika na mungu atakulinda god be with you

  • @ahmed-shakirmwamba4992
    @ahmed-shakirmwamba4992 7 ปีที่แล้ว +8

    Tatizo hili litaisha kama mtafuata au mtamuiga Rais Duterte wa Philippines.

  • @EsterPaul-uc7ny
    @EsterPaul-uc7ny 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akusimamiee mheshimiwaa makee kazi hyooo sioo rahis mpaka uweee namoyoo , mheshimiwaa nashidaa sana naombaa unisaidiee hataaa helaa yamtaji nipooo chuoni ninamaishaa mangumu Sanaa

  • @mwanahella9650
    @mwanahella9650 7 ปีที่แล้ว +1

    Allah atakusimamia japokua vita uloingia ndani yake baba uwiii😷😷mkondo wake ni mrefu sana,
    InShaAllah Mungu atakusimamia ktk hili taifa linateketea

  • @kadijahkadijah2799
    @kadijahkadijah2799 7 ปีที่แล้ว +2

    shukran.miladiayoo

  • @afandehassan1
    @afandehassan1 7 ปีที่แล้ว

    Mheshimiwa Paul Makonda la kwanza nakupongeza sana kwa kazi nzuri na hatari unayofanya la pili kuwa makini sana unapowataja hasa polisi wazembe wanaoshirikiana na hawa wafanya biashara za dawa za kulevya kwani akiwa bado mamlakani na umemtaja kwa mkutano na wandishi wa habari huoni wanaweza kuharibu uchunguzi ambayo bado hujakamilisha?

  • @frankkahimba1248
    @frankkahimba1248 7 ปีที่แล้ว +1

    Nampa big up sana huyu mkali (Mheshimiwa P Makonda).
    Natamani aje kuwa rais wa nchi hii tena ni baada tu mheshimiwa Magufuli kumaliza muda wake.

  • @BinoAmos
    @BinoAmos 2 หลายเดือนก่อน

    Ddah bora kuuza mandazi na so siasa angalia Kenya chanzo siasa kumbuka Libya mzee Gaddafi kapotea chanzo siasa yani ndomaana saa zinginne mzee wawatu dah yote aty aonekane anafanya kazi ati Mungu akakuulize madawa yakulevya kakosa maswali Dah siasa bora kula nakujisaidia oumzika kwa aman Mzee Yusuf

  • @topesafi9742
    @topesafi9742 7 ปีที่แล้ว +9

    na hawa walio unlike wafanyiwe uchunguziii,mpk kielewekee.

    • @bettylozie9038
      @bettylozie9038 7 ปีที่แล้ว +1

      adili eliakimu 😂😂😂😂😂😂 itabidi tena kwa haraka saana

    • @sitibora4942
      @sitibora4942 7 ปีที่แล้ว

      adili eliakimu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ritchiexanti9587
    @ritchiexanti9587 7 ปีที่แล้ว +2

    Hii vita so ya mtu mmoja.. Maana hizi business huwa zina network.. So kama unatupamba tu Paul Makonda halaf hufatilii hili swala kwanza yatakutokea puani and then DSM itabak bandar na shamba la madawa hayo.... Na vijana wataangamia

  • @anaquinones7383
    @anaquinones7383 7 ปีที่แล้ว +1

    kama kweli utafanyaivyo basi mungu akupenguvu maana nchi imealibika ususani dar rekebisa nikweli usiwe msemaji 2 tuone Na vitendo ukifanya tupo tunaekuweka ktk swala zetu tunakuombeya kwa mungu makonde Fanya kz usitizame MTU mualibifu ukamu acha 2 mungu awenawe. akulinde

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 7 ปีที่แล้ว +1

    Tatizo maadui ni wengi sana ila wanaopambana nao ni wachache tu. Simetime hata wengine wenye dhamana ya kupambana na maadui nao wamegeuka kuwa wasaliti tena, but jeshi la Mungu ni zaidi ya majeshi yaliyopo dunia na wala halina mshindani, go ahead Bwana mkubwa hakika sifa zako zitajulikana Mbinguni na wala si dunia pekee. Usichoke kutenda mema nasi tutazidi kukuombea dua ili Mungu azidi kuwa upande wako na kukulinda na mabaya yote.

  • @mohamedintumbitumbimbamba6105
    @mohamedintumbitumbimbamba6105 7 ปีที่แล้ว +1

    Kila la kheri Paul Makonda kiongozi kijana mchapakazi. Tupo pamoja katika kupambana na dawa za kulevya. Wito wangu kwako kuwa, hiyo ni vita kubwa jipange kwa umakini na kusanya ushahidi na vielelezo vya kutosha kutokomeza tatizo hilo.

  • @richardpaul6709
    @richardpaul6709 7 ปีที่แล้ว +4

    Nahic 2tafika 2 mungu amlinde 2 mh poul makonda

    • @markakhereokhale8788
      @markakhereokhale8788 7 ปีที่แล้ว +3

      kaka unajituma sana kufanya kazi mungu atakusaidia damu ya yesu inenayo mema ikufunike Kila unapo kwenda amen

  • @nyash2542
    @nyash2542 7 ปีที่แล้ว +1

    254 huwezi kuwataja watuhumiwa kabla hujawapata na ushahidi kazi nzuri ila umeivujisha mapema rahisi kwao kupata mbinu yakujitetea..

  • @ignassilili8162
    @ignassilili8162 7 ปีที่แล้ว +1

    sjawahi kukupa pongezi kwa hiliiiiii mungu akusimamieee mkuuu makondaaaa

  • @stevenmamba2464
    @stevenmamba2464 7 ปีที่แล้ว +3

    Huyu hana lolote anawadhalilisha wasanii nakuwachafulia majina yao kujitafutia umaarufu. Kama mnaushahidi Polisi na upelelezi wameshindwaje kwenda kuwahoji bila camera na TV ? Wasanii wetu leo wanawika Afrika nzima badala ya kuwalinda na kuwasappoti ndo kwanza tunawachafulia majina.

  • @manstego2983
    @manstego2983 7 ปีที่แล้ว +1

    wanyongwe hao jamani!
    ndio dawa yao pekee.

  • @emanuelmbondo4598
    @emanuelmbondo4598 2 ปีที่แล้ว +1

    Kitambo sana.

  • @delphinacharles1304
    @delphinacharles1304 7 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akutangulie katika kutimiza wajibu wako

  • @halimaaminiamini1965
    @halimaaminiamini1965 7 ปีที่แล้ว

    Hongera sana mkuu wetu!! kwan madawa yametuharibia kizazi chetu Mungu akusimamie kwahili kwan ni vita kali mnooo!!!

  • @xaverythozo6961
    @xaverythozo6961 7 ปีที่แล้ว

    nice, kazi nzuri mungu akupe nguvu usichoke uzidi kupambana iwe mfano mzuri kwa mikoa mingine

  • @mbwanamkenda8560
    @mbwanamkenda8560 7 ปีที่แล้ว +2

    mungu akupiganie katika hili

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice1600 7 ปีที่แล้ว +1

    safi sana Mh. Makonda mungu akulinde

  • @sizaanselim1642
    @sizaanselim1642 7 ปีที่แล้ว

    Mh. paul makonda haupo peke yako ila Mungu aliyejuu yupo pamoja na ww kwani ulichofanya ni jambo la busara la kuokoa vijana wetu. unahitaji to be motivated. what you do today it will bring change tomorrow.

  • @mariammarco1554
    @mariammarco1554 7 ปีที่แล้ว +4

    kazi nzuri ila unatakiwa uwe makini naamini hat Mungu atakufanyia wepesi. .

    • @wilbertseme5455
      @wilbertseme5455 7 ปีที่แล้ว +1

      mungu husimama na watu wenye ujasiri na ushujaavkam ulio nao makonda

  • @mercymtweve55
    @mercymtweve55 7 ปีที่แล้ว

    Hongera Sana Kwa kazi nzuri,Mungu Akutangulie na akufanyie wepesi.

  • @joycemichaellovelove2221
    @joycemichaellovelove2221 7 ปีที่แล้ว +1

    kaz njema Mh.kila la kher Munch akutunze akuepushie na kukusimamia

  • @anodnjenje9084
    @anodnjenje9084 7 ปีที่แล้ว +4

    Good job kamata wote...

  • @emanuelmnkai7605
    @emanuelmnkai7605 7 ปีที่แล้ว +1

    that's good,
    vijana wanaharibika kwa ajili ya drug,
    uchunguzi makini ufanyike ili wahusika halisi biashara hiyo wapatikane na wachukuliwe hatua

  • @abubakariyusufu9320
    @abubakariyusufu9320 7 ปีที่แล้ว +2

    jipange na omba sana mungu maana chifupa tulimpoteza kimazabe mazabe2.

  • @salimmalaatu3663
    @salimmalaatu3663 7 ปีที่แล้ว

    saf sanaaa mweshimiwa Muumba akuongezee nguvu akupe ujasiri Paul Makonda

  • @ramlak_dramafans8807
    @ramlak_dramafans8807 7 ปีที่แล้ว +1

    nikikusikiliza unanipa matumaini mheshimiwa adi
    wema sepetu na petiman 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭wanatumia ivovitu

  • @planetmediatv7590
    @planetmediatv7590 7 ปีที่แล้ว +2

    safi sana makonda wetu

  • @shaibuhamisi8715
    @shaibuhamisi8715 7 ปีที่แล้ว

    shukrani sana millard Ayo

  • @bnxbxn1085
    @bnxbxn1085 7 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU akutie nguvu katika kazi uzofanya

  • @vonkale8565
    @vonkale8565 7 ปีที่แล้ว +10

    huyu kila siku maneno tuu nampa 109%
    vitendo 0%

    • @dibya20
      @dibya20 7 ปีที่แล้ว +4

      Von Kale na ww ni muuzaji nini kipi zero asichokifanya

    • @rukiahussein9737
      @rukiahussein9737 7 ปีที่แล้ว +1

      Von Kale 😂😂😂😂😉😉😂😂😉

    • @mara-cb3gx
      @mara-cb3gx 7 ปีที่แล้ว

      Von Kale mbona anajitahid jamani

    • @kfastak
      @kfastak 7 ปีที่แล้ว +2

      mara م namaneno sindio watanzania wanahitaji

    • @mara-cb3gx
      @mara-cb3gx 7 ปีที่แล้ว +1

      kelven kombo maneno ki2 simple eti

  • @saddammiheso6270
    @saddammiheso6270 7 ปีที่แล้ว +2

    nice work

  • @ibramagige7750
    @ibramagige7750 7 ปีที่แล้ว +1

    safi sana mkuu mungu akulinde

  • @andrewasagwile7162
    @andrewasagwile7162 7 ปีที่แล้ว +1

    mfano wa kuigwa inatakiwa kiongozi kuwa jasiri namna hiyo hongera Mh RC

    • @charlesmagere9020
      @charlesmagere9020 7 ปีที่แล้ว

      watu wajinga kweli yaan mtu anasema hamna kitu na huku mtu anapambana na wauza unga hii siyo kazi ndgo.....acheni ujinga

  • @janemwesh2140
    @janemwesh2140 7 ปีที่แล้ว

    Hakuna mtu atasema mtu hivyo tu..lazima amefanya uchunguzi kamili..Tanzanian people must be proud of him..huku kwetu kenya ukisema mtu hivyo kesho unauliwa..noma

  • @otarueventsplanner1353
    @otarueventsplanner1353 7 ปีที่แล้ว +2

    #Makonda Juu #ZABURI 45 ndio msaada wako

  • @josephmasome494
    @josephmasome494 7 ปีที่แล้ว

    Mungu kufanyie wepesi katika majukumu yako mh Makonda

  • @raphaelluhemeja6836
    @raphaelluhemeja6836 7 ปีที่แล้ว

    Mungu akulinde na akuongezee

  • @sphrb1063
    @sphrb1063 7 ปีที่แล้ว

    mwenyezi mungu akupiganie ktk kazi yako

  • @mayleo1440
    @mayleo1440 7 ปีที่แล้ว +1

    Shisha iliishia wapi ? Zipo kibao kama zimeruhusiwa tu.

  • @esterelisante3294
    @esterelisante3294 7 ปีที่แล้ว

    mungu akusimamie katika utendajiwako wakanzi akuwekee ulinzi wa kutosha

  • @gulwetv8801
    @gulwetv8801 7 ปีที่แล้ว +2

    wajina ukimaliza hilo deal na mashoga

  • @marimalasmi1805
    @marimalasmi1805 7 ปีที่แล้ว +5

    hahaha na sepenga ww mkaka sio bure una bifu na miss tz

  • @musitemusite4316
    @musitemusite4316 3 ปีที่แล้ว

    M ungu akulinde sana

  • @neemahassan8786
    @neemahassan8786 7 ปีที่แล้ว

    mungu akusaidie

  • @dianaahdarlingkenya7616
    @dianaahdarlingkenya7616 7 ปีที่แล้ว +1

    great Job

  • @ramlak_dramafans8807
    @ramlak_dramafans8807 7 ปีที่แล้ว +1

    nita kulindaje? mheshimiwa wangu

  • @mamarama6360
    @mamarama6360 7 ปีที่แล้ว

    mungu atakusaidia na kukulinda fanya kaz mkuu

  • @rosemarybenjamin5866
    @rosemarybenjamin5866 7 ปีที่แล้ว

    kiukwel kaz IPO apo mbk policy !! Ila mm naomba kila stag tuzione zisi yeyuke yeyuke kam za skopion

  • @frankanjelo1825
    @frankanjelo1825 7 ปีที่แล้ว

    mungu akuongoze Paul makonda

  • @perfectbarschapter7051
    @perfectbarschapter7051 7 ปีที่แล้ว

    mungu akutangulie big bro

  • @kitengeambari2646
    @kitengeambari2646 7 ปีที่แล้ว

    mungu amlinde makonda na ulinzi aongezewe

  • @agnesrobert4883
    @agnesrobert4883 7 ปีที่แล้ว

    pambana kijana mh makonda maana kazi iliyoko mbele yako ni kubwa sana lkn naamn Mungu atakusimamia ipasavyo.

  • @gloryhulwe5210
    @gloryhulwe5210 7 ปีที่แล้ว

    yesu akufunike sana.watakao kusagia meno wasifanikiwe kwa jina la yesu

  • @johnsamo9028
    @johnsamo9028 7 ปีที่แล้ว +2

    pambana kamanda, Mungu yu pamoja nawe

  • @ankotemba7369
    @ankotemba7369 7 ปีที่แล้ว

    I love you broo...uko vizuriiii

  • @sphrb1063
    @sphrb1063 7 ปีที่แล้ว

    barikiwa bro Millard asante sn

  • @sylvestermsafiri4372
    @sylvestermsafiri4372 7 ปีที่แล้ว

    mhm! Kazi kweli kweli.

  • @manasemwakagali9358
    @manasemwakagali9358 7 ปีที่แล้ว

    kazi ngumu hii, Mungu amsimamie kwakweli

  • @anethkimasa4122
    @anethkimasa4122 7 ปีที่แล้ว

    eti jamani #Bange ni madawa ya kulevya
    mbona kasahau

  • @shd12m55
    @shd12m55 7 ปีที่แล้ว

    Brother uko juu salut sana broo

  • @monicamabula7420
    @monicamabula7420 7 ปีที่แล้ว +4

    mwaka huu tuta eshimiana

  • @adamkanyamala9358
    @adamkanyamala9358 7 ปีที่แล้ว

    safi sana mh p makonda

  • @andreagrado9590
    @andreagrado9590 7 ปีที่แล้ว

    mungu akusimamie bro

  • @maidaphdmaidaclassicphd8690
    @maidaphdmaidaclassicphd8690 7 ปีที่แล้ว

    yap

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 7 ปีที่แล้ว

    safi sana uko sawa

  • @halimanyauba6004
    @halimanyauba6004 7 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akusimamie mkuu

  • @mtalikodymediamix3572
    @mtalikodymediamix3572 7 ปีที่แล้ว

    Safii sana!
    Komaa nao.

  • @rashidt.sindano3351
    @rashidt.sindano3351 7 ปีที่แล้ว +1

    big up

    • @mohamedkatunka6943
      @mohamedkatunka6943 7 ปีที่แล้ว

      Watanzania wenzangu wooote,mnaopenda na kupigania haki.Tafadhali ombeni Dua nyingi kwa muumba ziwa kings na baraka kwa mh.RC Makonda. Ni kazi ya hatari sana.

  • @godsonchacha9445
    @godsonchacha9445 7 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri

  • @elymollel
    @elymollel 7 ปีที่แล้ว

    good job.

  • @Eng2460
    @Eng2460 7 ปีที่แล้ว +1

    good

    • @stanslauslekule9870
      @stanslauslekule9870 7 ปีที่แล้ว +2

      nikazi pouwa but why usinge washika kwanza na kuthibitisha nikweli no wahusika ndio use me jwa pablic je ukikuta hawausiki utawasafishiaje jina napita tu

  • @khalidally9012
    @khalidally9012 7 ปีที่แล้ว +2

    Ndo walewale hao unaunlike jambo kama hil

  • @mokhimji
    @mokhimji 2 ปีที่แล้ว

    Leo ni Tarehe 17/04/2022 na nacheka sana hahahahaha

  • @richardmzena4697
    @richardmzena4697 7 ปีที่แล้ว +1

    Ni balaaaaahhhh!!!!!

  • @issamohamedissa8894
    @issamohamedissa8894 7 ปีที่แล้ว

    dah hatareee sanaaaa...swala la NGADA NI HATAREEE ....KILA LA KHERI BUT ALLAH ATAKUPIGANIA NA KUKULINDA....WANAFANYA KUFURU ZA PESA KUMBE BEHIND THE SCENE WANAUZA NGADA

  • @josephcharles6703
    @josephcharles6703 7 ปีที่แล้ว

    Kazi kweli kweli

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 2 ปีที่แล้ว

    Ulikuwa unafanya kazi kwa sifa na kujipendekeza kwa maguful"akini magufuli alikuwa hakupendi.

  • @masseanadir2904
    @masseanadir2904 7 ปีที่แล้ว

    kabla hajakuuliza kuhusu madawa atakuuliza ilikuwaje ukawa Paul?

  • @merryjosephat713
    @merryjosephat713 7 ปีที่แล้ว

    anyone watching this in March 2017?

  • @khadijashabani5509
    @khadijashabani5509 2 ปีที่แล้ว +1

    Umeondoka wamerudi na pia wamekukumbuka

  • @ombenithomas2180
    @ombenithomas2180 7 ปีที่แล้ว

    mungu awe na wewe mkuu

  • @richardtagara7623
    @richardtagara7623 7 ปีที่แล้ว

    #**big up mkuu nikweri unakazi nzili*

  • @josephatmapunda537
    @josephatmapunda537 7 ปีที่แล้ว

    Chain ya unga ni ndefu mno....inabidi ukaze msuli kweli kweli

  • @shaabanmasoud4827
    @shaabanmasoud4827 7 ปีที่แล้ว

    Dah mola akuongoze Mheshimiwa wetu mpendwa hakika tuko pamoja nawe