Tunakataa kutengeneza mifumo ya kuongoza nchi, ikiwa ni pamoja na utawala WA Sheria na katiba tunaendesha nchi Kwa maigizo na mazingaumbwe! Nchi hii IPO mikononi Kwa Mwenyezi Mungu,, Tunashangaa mpaka Vatican inatumika kutetea hivi viini macho!!
Matatizo ya watanzania hayawezi kuwa soved kwa chama chochote kwasababu matatizo ya watanzania yanawezekana kwa kutatuliwa na ccm na Makonda niwakati wake muwacheni upinzani wa nnchi hii ni mapapety wa nnchi za magharibi
Sasa kama mnajua chama cha makonda kinaongoza sasa mbona mnasema makonda siyo kazi yake?.chadema hajitambui ila mkonda amewamaliza. Hata mkutano mkutano saivi watu watawaangalia kama kituko flani
Maashaallah makonda kumbe unaupenda uislam. Allah akubadili uwe muislam kwahurumawake. Maana.unaroho nzuri wadaliliyawatu wapeponi huwa wanarohonzuri
Asante sana baba, Mungu akubariki sana
Nice one muheshimiwa Makonda ushamaliza dozi
Km ofisi za ardhi baadhi yao Ni vibsks Kabisa wakupokonya viwanja vya wanainchi piga KAZI baba Makonda watanzania tuna Imani nawe
Mh. Makonda hicho kiwanja wameshauza manispaa watu wa ardhi ndio hutapeli wao wanao tumia tanzania nzima.
Tanzania Kuna uwozo wakutosha
Why shirima 😂😂😂kila kosa
Tunakataa kutengeneza mifumo ya kuongoza nchi, ikiwa ni pamoja na utawala WA Sheria na katiba tunaendesha nchi Kwa maigizo na mazingaumbwe!
Nchi hii IPO mikononi Kwa Mwenyezi Mungu,,
Tunashangaa mpaka Vatican inatumika kutetea hivi viini macho!!
Ofisi za CCM zispuuzwe ziongezewe nguvu zifanye kazi kama wewe
Bila shaka kama CCM ndio wenye Serikali, viongozi wa Serikali waelewe Boss wao ni CCM na ndio wenye Ilani inayotekelezwa.
Tuliwaza Namna ya kupata mtetezi wa wanyonge kumbe upo !!!
Uislamu hapo unanafasi gani mbona akili yako haitambui kufahamu hili au lile
Makonda,asaidiwe na Hapi na Sabaya akimaliza kesi mahakamani.
Mmmh Shirima ni shida nina mke Mchaga naishi nae kwa akili mno sana.
Makonda piga kazi nafutilia sana kwa kazi yako watetee wananchi wanyonge .Jamani watumishi wa uma kweli vibaka .
Wizi ni sifa kuu ya mchaga, Shirima ni mchaga wa Rombo.
Huyu shirima lazima apelekwe mahakamani kila tatizo anatuhumiwa yeye
Marehemu kasakiziwa makonda big up Sana wamlipe watamalizana wao uko.😂😂😂
Fukuza hao maafisa ardhi,wanashida wababaishaji?
Lakini uyu shilima mbona ana ubinadam anzulumu watu masikini kwajili yapesa zake makonda onesha mfano
Mimi ni mkenya ila namwaminia sana huyu mwamba,. Bando zangu zinaisha nkifuatilia hizi ziara zake tangu aanze kule Dar
Magufuli mpya huyu jamaa.
@@mtahogarashid8488 huyu jamaa yuko vizuri, baada ya uchaguzi wa hapo mwakani mama anatakiwa ampe cheo kikubwa zaidi
Huyu kamonga sio alikuwepo Dodoma jiji makonda unakazi,
Jamani 1985 umri wa mheshimiwa makonda(magufuli mdogo
Huyu shirika ni tapeli ni zaidi ya jambazi
Shirima mwizi shenzi hafai
Shirima shirima mbona unatajwa sana
Duh shirima noma
Shirima unaharibu shirima😂😂😂
Nahitaj
Utaratibu wa Nyerere ilikuwa huo ,nguvu ya chama tawala
Huyo shirima alivyosimama hapo utadhani mtu kweli
Shirima yupo kikazi zaidi katumwa sio bure
Ingekuwa we mpumbavu ukiwa na miaka miwili ungeweza kuendeleza kiwanja??
Sasa 1985 ana miaka miwili mlitaka afanye nn?! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Shirima nimchaga .kwaajili mchana ni mwizi.
Hahahaha kina shirima hatari sana
Nimecheka mpaka basi
Makonda Hamtawali mnaongoza! Na hivyo vyama vingine unavyoviponda havina maamuzi sio jukumu lao, lakini viko kihalali tena ni watanzania!
Matatizo ya watanzania hayawezi kuwa soved kwa chama chochote kwasababu matatizo ya watanzania yanawezekana kwa kutatuliwa na ccm na Makonda niwakati wake muwacheni upinzani wa nnchi hii ni mapapety wa nnchi za magharibi
Sasa kama mnajua chama cha makonda kinaongoza sasa mbona mnasema makonda siyo kazi yake?.chadema hajitambui ila mkonda amewamaliza. Hata mkutano mkutano saivi watu watawaangalia kama kituko flani
tatizo lako uanaharakati
Huyo shirima Achunguzwe ni mwizi mkubwa huyo
Shirima anaonekana ni mwizi mlaà rushwaa
Atumbuliwe huyo
Mh kazi ipo
Chapaaaa kazi
Mfukuzeni huyo shilima sijui shishi😂😂😂😂