Baba Asante sana niwe mkweli baba nakuelewa Sana unapolifafanua neno Hadi unanielewesha Cha kufanya haya ni mafundisho adumu makanisa ni mengi wahubili ni wengi lakini si wote wanaofundisha kama darasa ilu wafundishwao waelewe
Nimbeee Yesu nifukulie jia zangu mwaka huu Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu unaweza yote mwokonzi Yesu nisaindie Yesu nisaindie Bwana Yesu nisaindie Yesu Kristo
Kwaanzia leo hii, Baba nakukabidhi maisha yangu, nifungulie baraka tele kwenye biashara yangu,, Bila ww Bwana sitaweza,, leta watu sahihi kwenye maisha yangu ktk jina la Yesu.
Pst.umekua wa baraka isiyo na kifani maishani mwangu,mafundisho yako ya baraka sana,naomba mrekebishe sauti ina tatizo tunakosa kuskia mahali pa maana,barikiwa sana
Yesu Kristo Yesu nisaindie Yesu nisaindie Bwana Yesu Kristo nisaindie Yesu nisaindie Bwana Yesu Kristo niitaji kununu shamba nijinge nyumba yaku Bwana Yesu Kristo nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu
Kwa tamu Yesu ninaharibu Kila inayotumwa kinyume changu haitafauru kwa jina la Yesu Kristo hallelujah hallelujah ❤❤❤❤❤❤❤
Baba Asante sana niwe mkweli baba nakuelewa Sana unapolifafanua neno Hadi unanielewesha Cha kufanya haya ni mafundisho adumu makanisa ni mengi wahubili ni wengi lakini si wote wanaofundisha kama darasa ilu wafundishwao waelewe
Mtumishi Mungu akupe maisha marefu
Nimbeee Yesu nifukulie jia zangu mwaka huu Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu unaweza yote mwokonzi Yesu nisaindie Yesu nisaindie Bwana Yesu nisaindie Yesu Kristo
Asante sana kwa huu mfungo inanipeleka mahali barikiwa sana mtumishi uinuliwe sana Tena zaidi na Mungu azidi kukuifadhi pamoja n familia Yako 🙏🙏🙏
Mungu akutunze sana mtumishi nafatilia sana mafundisho Yako na yananibariki sana
Kweri kabisa mtumichi unaomba maombi hayaereweki barikiwa sanaa baba 🙏🙏🙏🙏🙏
Asante mtumishi mafundisho yako yananibaliki sana Amen
Ahsante mtumishi wa Mungu
Asante sana, nashuru Mungu Kwa ajili Yako Pastor, nimepata mafundisho ambayo sikutegemea 🙏🙏🙏
Nimtumikie Bwana yesu katika maisha yote
Your teachings are are blessings to many
Amina ,naamini mungu anaenda kunitendea kupitia mafundisho na maombi haya . Amen
Asante Yesu christo hakuna wakuabudiwa kama wewe
Kwaanzia leo hii, Baba nakukabidhi maisha yangu, nifungulie baraka tele kwenye biashara yangu,, Bila ww Bwana sitaweza,, leta watu sahihi kwenye maisha yangu ktk jina la Yesu.
Pst.umekua wa baraka isiyo na kifani maishani mwangu,mafundisho yako ya baraka sana,naomba mrekebishe sauti ina tatizo tunakosa kuskia mahali pa maana,barikiwa sana
Amen Pastot unanifanya nione fahari kusoma neno la Mungu.
❤❤❤❤❤
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen
Asande Baba Asante baba
Alelluyah alelluyah blessed
Yesu Kristo Yesu nisaindie Yesu nisaindie Bwana Yesu Kristo nisaindie Yesu nisaindie Bwana Yesu Kristo niitaji kununu shamba nijinge nyumba yaku Bwana Yesu Kristo nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu
Be blessed man of God you are blessing to my prayer life.
🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪 watching from 🇸🇦🇸🇦🇸🇦🙌🙌
Nimebarikiwa mno🙏🏼🙏🏼
Ahsante sana pastor kwa mafundisho yako mazuri
Ameen and Ameen Our God is powerful
Ubarikiwe Saana mtumishi wa mungu mafundisho Yak yamebadilisha Saana maisha yangu
Amen may the will of God be done
Amen man of God am from kenya may almighty God bless you pastor
Ubarikiwe San mtumichi wa Mungu amen 🙏
Amen Man of God 🙏 from Kenya Nairobi ni Mtumishi Dalmas mwimbaji wa nyimbo za injli
Aminaaaaa aminaaaaa
Amen
Najua nimeona maombi haya kwa kuchelewa lakn ninaimani Mungu atanikumbuka pia maana nimeshiriki maombi haya.
Ameen and Ameen Our God is powerful ❤❤
Be blessed man of God....this was an eye opener. am really blessed.
Ameen
Ameen be blessed more pastor i have learnt something here
Aaameeeen
Yanajengwaje pasta madhabahu
God bless you man of God
Amen be blessed pastor 🙏🙏🙏
Amen sana mtumishi wamungu nikweli kabisa mungu atusaidiye baba
Barikiwa mtumishi wa mungu
Amen pastor from zambia
🙏🙏🙏nabarikiwa Sana na mafundisho past
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU Robert Mkabwa
Tumenyimwa sauti hamna
Asante kwa mafundisho
Pastor sina chakusema ila umebadirisha maisha yangu kwa mafundisho yako mungu akubariki🙏🙏
Mchungaji Mchungaji umenibariki sana 🎉
Alafu fundi mitambo acheni kutukosesha vipande. Almost 3mins or more ilikuwa muted. Barikiweni. Thank you pastor
Barikiwa sana pastor 🙏 ❤
Nabarikiwa sana na mafundisho yako pasta
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Amen amen 🙏
Amen pastor kipande kirudiwe ili tusikie
Sautiiii Yesu
Umekuwabaraka kwangu kupitiyanenohili
Huyu mwl ambaye yuko gifted
Sauti ni tatizo, rekebisheni, ina sikika kwa shida
Sauti inapotea hatukupati vizuri
Kipande hiki kirudiwe kwani ni baraka sana ila sauti imekatika
Yaani mafunzo yako yamenibadilisha sana
Barikiwa sanaa 🙏
Sauti dah
Good job
Neno tamu lakini mitambo haipeperushi sawa. Kwa ufupi hatuskii from point no. 3
Sauti tafadhali.
Watu wamemtambo kuwe makini wengine tunasikiliza kupitia mtandaoni
Kuna kipande kirefu hakikusikika sauti ila kwa yaliyosikika ni mafundisho mazuri
Sauti jaman
Najiungamisha leo Maombi yangu yapate kibali mbele ya MUNGU
Najiunganisha ktk maombi haya
Polite request,pls sound quality to be considered
Sauti wapendwa cha 4 hakisikiki
Mbna vitabu hatupati?
Sauti please inapotea
Tengeneza sauti technician
Kuna kipindi umeme ulikata, jana na Junapili ili tumelishughulikia.
Sauti imekata 😢
Ubarikiwe Pastor
Lakini naomba mfungue tuweze download hii video
After masaa 24 ya ujumbe unaweza download.
Sauti imekata hatusikii
❤❤❤❤❤❤😂❤❤❤❤❤
Right person to marry me
Nabarikiwa sana na mafundisho yako na Imani nitafunguliwa
Ameen and Ameen Our God is powerful
Amen may the will of God be done
Aminaaa 🙏
Ameen
Amen Amen
Maombi inanifugua
Aminah
Ameen and Ameen Our God is powerful
Ameen
Ameen
Ameen
Amen
Amina 🇰🇪🇰🇪
Amen
Amen