USHAURI KWA WANAOTAKA KUANZA UFUGAJI WA KUKU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 31 พ.ค. 2020
- Kabla ya Kuanza Ufugaji wa Kuku wa Aina yeyote, kuku chotara, kuku wa kienyeji, kuku wa mayai, kuku wa nyama Unapaswa Kuzingatoa mambo ya fatayo
Utafiti wa aina gani ya kuku ufuge
Elimu ya ufugaji bora wa kuku unayotaka kufuga
Ujenzi wa banda bora la kuku
Mtaji wa kuendeshea mradi wako
PLAYLIST
Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji
bit.ly/2JlD0sl
Ufugaji wa Kuku Chotara
bit.ly/39r7FPD
Magonjwa Tishio ya Kuku
bit.ly/39oRfr1
Ujenzi wa Banda Bora
bit.ly/3bxQJs2
Uleaji Bora wa Vifaranga
bit.ly/2JjPH73
SOCIAL MEDIA
TH-cam; bit.ly/2vU8SBg
Facebook; bit.ly/39ogwlb
Instagram; bit.ly/3dA25xF
Twitter; bit.ly/2UIh3Jh
What's app; 255 (0)752209073
For Advertisements
Email; changamkiafursa@gmail.com
Kwa majina yangu naitwa Erick kidava napenda Sana ufugaji na nimeanza kufuga kuku wakienyeji yaani Ni wake kuku asiki kabisa,ila nataka nifuge kwaajili ya biashara ingawa nataka nianze na vifaranga 50,ombi langu Dada Antonio naomba msaada wa elimu na chanamoto zake. Kama hutojali .
Nahitaji kujiunga kwenye group la elimu ya ufugaji,je nitakuwa nimechelewa?
Mama lyimo asante kwa maelezo mazuri dd❤❤, naomba unisaidie ushauri tena, kuku wangu wanamwezi mmoja niwape mchanganyo upi dada ili waendelee kukua vyema,. Please.
Milion 3 unaweza kuanza kuanzia banda vifanga na vifaa vyengine
Dada limo nimejifunza na video zako na nimependa iyo biashara sasa nahitaji kuanza jee unanishauri nianze na vifaranga wangapi mwanzo lakini nahitaji kufuga kibiashara na eneo nnalo
Niko Kenya nikitaka vifaranga kutoka kwenu nitavipataje?
Mie hata sijui aina za kuku ila nmeanza kufuga kidogo kidogo
Mimi ni elisha napenda ufugaji wa kuku naombeni ushauri
Na mm nahitaj kuwezeshwa ufugaj
Asante Dada mi nataka kufuga ninao kuku wa Aina ya kuchi lkn sijapata darasa vzur unanisaidiaje
Asante sana dada
Asante kwa ushauri mzuri
Safi Sana dada angu
Shukran sana
Nice
Safi kabisa
Mbarikiwe sana jamani
Darasa lipo vzuri asante
Nakupenda sana mama yangu ...
Hamna group la whatup