USHAURI KWA WANAOTAKA KUANZA UFUGAJI WA KUKU EP2
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- Kabla ya Kuanza Ufugaji wa Kuku wa Aina yeyote iwe ni kuku chotara, kuku wa kienyeji, kuku wa mayai, kuku wa nyama Unapaswa Kuzingatoa mambo ya fatayo
Utafiti wa aina gani ya kuku ufuge
Elimu ya ufugaji bora wa kuku unayotaka kufuga
Ujenzi wa banda bora la kuku
Mtaji wa kuendeshea mradi wako
PLAYLIST
Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji
bit.ly/2JlD0sl
Ufugaji wa Kuku Chotara
bit.ly/39r7FPD
Magonjwa Tishio ya Kuku
bit.ly/39oRfr1
Ujenzi wa Banda Bora
bit.ly/3bxQJs2
Uleaji Bora wa Vifaranga
bit.ly/2JjPH73
SOCIAL MEDIA
TH-cam; bit.ly/2vU8SBg
Facebook; bit.ly/39ogwlb
Instagram; bit.ly/3dA25xF
Twitter; bit.ly/2UIh3Jh
What's app; 255 (0)752209073
For Advertisements
Email; changamkiafursa@gmail.com
Naomba unitumie no yko
Nimeenda somo lako
Yani Kuku wangu nilinunua Vifaranga 244 wamekufa na kubaki Kuku 150 nimeokota mizoga acha kbs ni kweli unacho shauri kbs
Pole sana dada
Je vifaranga huhutaji Kuota jua ( miale ya jua)
Sio muhimu, mwanga wa taa unatosha
Je hata mchana?
Naitaji 100
Nimependa sana awo kuku aina ya mwendo kasi ni wazuri wanamwili na warefu kama nahitaji kuanzia na vifaranga 500 niwe na mtaji wa kiasigani
Jina lako
Nashukuru Dada lyimo kwa ushauri mzuri
Shukrani sana kwa ushauri mzr.
Tuko pamoja
nafatilia sana ushauri wako
Tuko pamoja
Daw ya kuk wle wanaoishiw nguv na kull
Naitaji kupata namba ya sim kwa maongezi zaidi
Mbona hii video ni miaka mingi
Uko wapi
Naomba namba yenu
Uko wapi dada mi niko kenya natamani kuona vile umejenga nyumba ya kuku
Kama vipo unauzaje
Dada naitaji vifaranga nitapata toka kwako?
Ep2 ndio nini dada?