ELIMU BILA MALIPO - BIASHARA YA UFUGAJI WA KUKU

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 109

  • @esterjohn1277
    @esterjohn1277 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana dada Mungu akubariki sana natamani hilo darasa ila niko mbali.niko mwanza sijui nifanyeje

  • @hasnaahmed6877
    @hasnaahmed6877 3 ปีที่แล้ว +1

    Jmn nimependa sn mama maelezo yako niko arusha naweza kupat vifarag naelem zaidi

  • @edgartemu8299
    @edgartemu8299 ปีที่แล้ว +3

    Huyu mama anaonekana hanaga masihara kabisa Yani nahisi ukiishi nae lazma unyooke

  • @susanikisinza3720
    @susanikisinza3720 5 ปีที่แล้ว +3

    Daaaah. Elimu nzuri. Unatufanya nasi wafugaji wadogo tuzid kujipa moyo. Asante saana kwa elimu.

  • @josephnjellah280
    @josephnjellah280 5 ปีที่แล้ว +3

    Kweli wew no mfugaji umemjibu vizuri mtangazaji kusemea biashara ya mwenzako in mbaya

  • @robsonswai2208
    @robsonswai2208 4 ปีที่แล้ว +4

    Hili liko vizuri. Nitafanyaje nipate vifaranga kutoka kwenu au mayai ya kuangua? Niko Moshi Kilimanjaro.

  • @kitunduwiston3819
    @kitunduwiston3819 5 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante sana kwa Elimu juu ya ujasiliamali,nimeelimika.

  • @lolanimals7206
    @lolanimals7206 5 ปีที่แล้ว +9

    12:32 We mtangazaji unauliza maswali na kujijibu mwenyewe duh! Alafu maswali yako mengine unayauliza kiajabu ajabu nikama ulikua hujajiandaa sijui. Afu unamkatisha katisha, yani anaelezea kitu hata hajamaliza unamkatisha unauliza swali jingine dah!

    • @Raysam-ki1rc
      @Raysam-ki1rc 3 ปีที่แล้ว

      Napenda sana kufuga kuku 0777040468

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana 5 ปีที่แล้ว +5

    Asante sana ndugu Gangana kwa elimu hii ya ufugaji, lakini pia shukrani sana kwa mgeni wako Dada Elizabeth Swai, kwa hakika ametuelimisha vya kutosha. Labda swali moja hukuliuliza pale aliposema kuwa ukitaka kupata faida ni lazima uanze na kuku mia tano, tungependa kujua sababu zote kwa ujumla za kuanzia na idadi hiyo ingawa alifafanua kidogo lakini majibu yake hayakumalizia dukuduku tulilonalo. Ukipata nafasi ni vyema ukalishughulikia hilo. Na namba ya simu ya whatsapp haikuwa ikionekana vizuri mwisho wake.

  • @ricardomusk6791
    @ricardomusk6791 4 ปีที่แล้ว +2

    Tanzania nawapenda vyenye munasongesha luga ya kyafirika mbere

  • @lukresiajohn3939
    @lukresiajohn3939 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana dada kwa ufungaji wa kroiler mimi niko manyara nahitaji vifaranga namna ya kuwapata

  • @justinestanley8434
    @justinestanley8434 4 ปีที่แล้ว +1

    Mradi mzuri sana hongera sana anti umenipa ujasiri mkubwa

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 5 ปีที่แล้ว +2

    hongera kiongozi unanipa raha najenga mabanda nitakutafuta

  • @aminalaizer9230
    @aminalaizer9230 5 ปีที่แล้ว +3

    Dada nimekupenda bure nimefurahi mnooo nina shamba langu ekari 5 Arusha naomba no ya wakala wa Arusha

  • @twororeturimekijambere5491
    @twororeturimekijambere5491 2 ปีที่แล้ว +1

    Napenda Sana 🇧🇮🙏

  • @user-we3er8zk1h
    @user-we3er8zk1h 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana dada naipenda sana hii kazi. Naomba namba ya simu kwa ajili ya vifarangas

  • @utaani1
    @utaani1 5 ปีที่แล้ว +7

    Mimi nilipokuwa mdogo nilikuwa na kuku huyu mmoja mdogo jike baada ya miaka miwili nilikuwa na kuku 30.

  • @emmanuelfrancisrojala581
    @emmanuelfrancisrojala581 5 ปีที่แล้ว +2

    Asante Kwa elimu

  • @dismaswisso6384
    @dismaswisso6384 3 ปีที่แล้ว

    dada hongera hongera hongera sanaa napenda kuona mwanamke anadhubutu kuliko hata mwanaume,

  • @jacklinecharles1252
    @jacklinecharles1252 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongreni sana kwamwanza mnapatikana wapi?

  • @ganganainfochannel
    @ganganainfochannel  5 ปีที่แล้ว +13

    HABARI WADAU NAMBA YA MAMA MFUGA KUKU NI 0783 833 335

  • @akeem1221
    @akeem1221 5 ปีที่แล้ว +1

    23.35 Swala linaudhi sanaa. Ah!

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 3 ปีที่แล้ว +2

    GANGANA AGAIN. Asante Sana, wanauza shilingi ngapi kifaranga? Ni aina gani ya kukuwanapatikanaje? Mimi nataka 200

  • @tululililomo4706
    @tululililomo4706 4 ปีที่แล้ว +1

    Mahojiano kama haya inatakiwa kueleza ukweli na uwazi ni vigumu sana kloiler kumzidi utamu kuku wa kienyeji kama ni biashara itafanyika tu hofu ya nini wewe mfugaji

  • @sadikikatima4783
    @sadikikatima4783 5 ปีที่แล้ว +1

    hongera

  • @rmonlinetv6533
    @rmonlinetv6533 5 ปีที่แล้ว +8

    ufugaji wa KUKU ni kilimo bora na cha haraka ktk kuleta mafanikio.Natamani kujifunza hii kitu...So,Khalid Gangana hebu tuletee vipindi vya kutosha sana kuhusu jambo hili ili tupate ufahamu zaidi

  • @petermuganda3706
    @petermuganda3706 5 ปีที่แล้ว +4

    hakuna group la ufugaji mkurugenzi

  • @rmonlinetv6533
    @rmonlinetv6533 5 ปีที่แล้ว +2

    pia nampongeza huyo dada kwa elimu hii

  • @justinnyoni9498
    @justinnyoni9498 5 ปีที่แล้ว +1

    Ayo macho

  • @allanjack500
    @allanjack500 3 ปีที่แล้ว +1

    ONE CHOICE SMAMIA

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 5 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana Dada nitakuja hapo ofisini

    • @mpegesaaswile6581
      @mpegesaaswile6581 5 ปีที่แล้ว

      Ufugaji wa kuku siyo kazi ndogo kama tunavyofikilia

  • @mcrwego1322
    @mcrwego1322 4 ปีที่แล้ว +2

    Mtangazaji unazingua

  • @ladislaustuma9094
    @ladislaustuma9094 5 ปีที่แล้ว +2

    naomba mawasiliano jamani ili tuweze kujikwamua kiuchumi na sisi

  • @veronicamwanasenga7340
    @veronicamwanasenga7340 5 ปีที่แล้ว +5

    dada uko vzr lkn mtangazaji alishindwa kukuuliza maswali ya msingi kukidhi haja ya watazamaji kuna mambo tumeshindwa kuyafahamu. unauliza kabila unataka kutambika

    • @azamansur7086
      @azamansur7086 5 ปีที่แล้ว

      😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

    • @DonMC007
      @DonMC007 5 ปีที่แล้ว

      Veronica Mwanasenga Jina lako la kati ni Japhet ?

  • @ericjonstz3120
    @ericjonstz3120 4 ปีที่แล้ว +1

    Njema

  • @emmanuelwasike3780
    @emmanuelwasike3780 4 ปีที่แล้ว +1

    Elimu bora

  • @jbjb9580
    @jbjb9580 3 ปีที่แล้ว +1

    Sorry dada angu kama Dawa hamtumii,vp kuhusu chanjo??

  • @omarysingano3652
    @omarysingano3652 5 ปีที่แล้ว +2

    Safi gangana

  • @raphaelmwambula913
    @raphaelmwambula913 4 ปีที่แล้ว

    Very good

  • @akeem1221
    @akeem1221 5 ปีที่แล้ว +1

    10:32 majogoo hawana manyoa na wamechoka hawako wachangamfu. Kitu ni mbaya hapo.

  • @hamzabakari6160
    @hamzabakari6160 4 ปีที่แล้ว

    Elimu iko poa vifaranga ua mayai kwajiri ya kutokoresha napatikana wapi

  • @dilipdab3714
    @dilipdab3714 4 ปีที่แล้ว +1

    Umezinguwaa.hatujawaa.mayai.tunayapata.wapi.tumie.njia.ngani.vifaranga.bei.ngani ww.mtangazaji.upo.upo.to.huleweki

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  4 ปีที่แล้ว

      Namba tumekuwekea hapo ,hatukua na nia ya kutangaza biashara ,kamabhujaelimika hata kidogo rudi darasa la kwanza

  • @emmamarijani6657
    @emmamarijani6657 2 ปีที่แล้ว

    Bi up liz

  • @yasinikateula6605
    @yasinikateula6605 5 ปีที่แล้ว +6

    ongera

    • @rajabshaban689
      @rajabshaban689 5 ปีที่แล้ว

      Kwa mtu Alieko mwanza anawezapata vifaranga na bei yenu Hipo vip kwa kifaranga kimoja?

    • @martinapanga176
      @martinapanga176 5 ปีที่แล้ว

      Safi. Toeni mawasiliano

  • @peterkiriaku7562
    @peterkiriaku7562 3 ปีที่แล้ว

    Nata usaidisi, wamasomo

  • @josephnjellah280
    @josephnjellah280 5 ปีที่แล้ว

    Nitapateje mayai ya kutotoa nipo mbeya

  • @mercye.4277
    @mercye.4277 2 ปีที่แล้ว

    Mkurugenzi naomba kuongea na wewe. Pls naomb number zako

  • @faisalsuleiman3806
    @faisalsuleiman3806 5 ปีที่แล้ว +2

    Tatizo la watangazaji hawafati utaratibu wa kuuliza maswali we jumamosi na weekend yake ya nn?tunataka utaratibu wa ufugaji vipi kaanza mpaka kafikia hapo changamoto zinazomkumba na mengineyo

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  5 ปีที่แล้ว +3

      Sorry kama hujaelimika hata kidogo, hicho kipindi Lengo lake ni hayo maswali ya kijumamos na jumapili, kuna maisha baada na tofauti na kazi. Hata Akija JPM hataulizwa masuala ya maendeleo bali tutamuuliza kuhusu utani zaidi. Fuatilia kipindi hicho cha nipe5 kwa undani kimejaa jokes na ndio lengo lake. Lakini pamoja na yote hatuwezi kuuliza maswali kadhaa ya msingi mfano hayo uliouloza yameulizwa na kujibiwa humo. Usiwe unakurupuka na kupenda kulaumu

  • @mushjosephat
    @mushjosephat 5 ปีที่แล้ว +2

    We mtangazaji unauliza maswali na kujijibu mwenyewe duh! Alafu maswali yako mengine unayauliza kiajabu ajabu nikama ulikua hujajiandaa sijui. Afu unamkatisha katisha, yani anaelezea kitu hata hajamaliza unamkatisha unauliza swali jingine dah

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  5 ปีที่แล้ว +1

      Kesho njoo uonyeshe mfano. Tusamehe kama hujaelewa na kuona hata zuri Moja hapo kwenye hiyo interview.

    • @mushjosephat
      @mushjosephat 5 ปีที่แล้ว

      @@ganganainfochannel yapo mazuri mengi lakini ungetulia tungepata mazuri zaidi....ila ahsante kwa kutuletea huyu mama

  • @salmamohammedyahaya6098
    @salmamohammedyahaya6098 2 ปีที่แล้ว

    Nitakutafuta dada

  • @dottokibogoti886
    @dottokibogoti886 4 ปีที่แล้ว +1

    Mm nahitaji mashine ya kutoresha

  • @ngurapoultrycare
    @ngurapoultrycare 4 ปีที่แล้ว +2

    Hongera kwa channel hii.Pokea salamu kutoka Kenya.Karibuni kwenye channel yangu.

    • @hasnaahmed6877
      @hasnaahmed6877 3 ปีที่แล้ว

      Kun nn

    • @ngurapoultrycare
      @ngurapoultrycare 3 ปีที่แล้ว

      @@hasnaahmed6877 Kuna mengi tu ya kujifunza kuhusu ufugaji wa kuku.

  • @noahmwaipopo9142
    @noahmwaipopo9142 5 ปีที่แล้ว +1

    @Magesa Majogoro

    • @suleimanislam7777
      @suleimanislam7777 5 ปีที่แล้ว

      Fursa nzuri hii niko nje naomba nipate maelezo zaidi kwani nina mpango wa ufugaji namba yangu +966566212408 suleiman huwel

    • @georgematahimba5242
      @georgematahimba5242 3 ปีที่แล้ว

      Ninazalisha maggot watokanao na nzi aina ya Bsf ambacho ni chakula bora sana kwa kuku.
      Nipe tenda niwe nakuletea kwenye huo mradi wako

  • @hosianamollel316
    @hosianamollel316 2 ปีที่แล้ว +1

    Niko Arusha naomba mawasiliano ya wakala wa Arusha tafadhali

  • @jacklinemathew2127
    @jacklinemathew2127 5 ปีที่แล้ว +1

    Dada una majibu mazuri,huwa sipendi mtu aniulize kabila gani,hili swali huwa sio zuri kwakweli coz jibu lake huwa ni ubaguzi.

    • @kibemassao5488
      @kibemassao5488 3 ปีที่แล้ว

      Ubaguzi gani sasa, hata ukitaka kazi lazima uulizwe jina, kabila, dini na makazi ili ukifa ijulikane unatokea wapi na utazikwaje. Mtu anayehisi kuulizwa kabila ni ubaguzi yy ndo mbaguzi, wasiwasi wa nn???

  • @stevenkambeytz2459
    @stevenkambeytz2459 5 ปีที่แล้ว +10

    Ahsante ila brother hauulizi maswali ya msingi yan kama vile haupo serious ..

    • @jumanneilwarioba5761
      @jumanneilwarioba5761 5 ปีที่แล้ว +2

      Mtangazaji hujui kutumia fursa, masihara mengi.

    • @chobalikosimon6459
      @chobalikosimon6459 5 ปีที่แล้ว +1

      Kweri huyu mtangazaji kama anapiga stor tu

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  5 ปีที่แล้ว

      Usikariri sana vipindi vinatofautiana ,Nature ya Kipindi cha Nipe5 uwasilishwaji wake ni wa namna hiyo, ni kipindi chenye elimu inayowasilishwa kwa njia ya jokes nyingi, maisha binafsi na hata burudani. Fuatilia vipindi vyote vya Nipe5 utagundua hilo. Hata hivyo kama hujaelimika kwa lolote hapo pole. Vipo vipindi vinavyoitwa vya serious ni vyema ukavifuatilia lakini Nipe5 haipo hivyo ila tunahakikisha ujembe wa elimu unafika. @@jumanneilwarioba5761

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  5 ปีที่แล้ว

      Hata hivyo kanunni za utangazaji inaleta maana hapo, usitangaze kama unasoma tanganza kama unapigastori au mazungumzo ya kawaida kila siku. Pole kama hujaelimika kwa mtangazaji kuwasilisha kazi yake akiwa kama anapiga stori @@chobalikosimon6459

  • @akeem1221
    @akeem1221 5 ปีที่แล้ว +12

    Gangana jifunze ku interview watu. Eye contact very important, facial expression is not good, interupting the guest not good, stop looking in your laptop and other places.

    • @ashamuhammed8779
      @ashamuhammed8779 4 ปีที่แล้ว

      Ebwana nahitaji elemu zaid bado mgeni kwenye ufugaji pande za unguja hongera sana ndug

    • @Kmaryam
      @Kmaryam 4 ปีที่แล้ว

      Mtangazaji Sifuri 😏

    • @kpetres2872
      @kpetres2872 3 ปีที่แล้ว

      Naona hajasoma mambo ya carieer guidance and counselling

  • @hassanbinally7127
    @hassanbinally7127 4 ปีที่แล้ว +1

    We mtangazaji umesomea wp mi sielewi utaratibu wako wa uulizaji wa maswali

  • @eliakimsando2919
    @eliakimsando2919 4 ปีที่แล้ว +1

    Honestly enda ujifunze jinsi ya kufanya interview ,hukujipanga,maswali unayohoji ni kama uko mahakamani

  • @raphaelikisaka5078
    @raphaelikisaka5078 3 ปีที่แล้ว +1

    Mambo vp 0766531991

  • @allymkamba1115
    @allymkamba1115 5 ปีที่แล้ว +3

    Ata mm napenda kufuga kuku naombeni munipe somo Dada naomba kwanamba zasim 0653653291

  • @emmanuelwasike3780
    @emmanuelwasike3780 5 ปีที่แล้ว +1

    Maswali hayaridishi tunataka kujua mwanzo ,wake gharama na jinsi ya kukabiliana Nazi.Pia wewe nimogasana unaogopa kutazama mgeni.Wasike kenya

  • @ndimirimanafelixnesta5204
    @ndimirimanafelixnesta5204 5 ปีที่แล้ว +3

    Ninapenda sana hiyi life kama muhusika ata soma comment yangu naomba anipe mafunzo flani number yangu ya watsap 0781283407 kiukweli kabisa nikitu nakipenda sana nataka kujuwa kuhusu cakula madawa navingine shukran sana

  • @metodymkamila3458
    @metodymkamila3458 3 ปีที่แล้ว

    Mimi nimeshaaza navifalanga 300 Ila cmzoefu sana naomben ushauli wenu

  • @hassanmassaga2476
    @hassanmassaga2476 4 ปีที่แล้ว +2

    Mtangazaji sio makini....mjingamjinga tu

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  4 ปีที่แล้ว +1

      Zuzu kabisa

    • @Kmaryam
      @Kmaryam 4 ปีที่แล้ว +1

      Nimeshindwa kuangalia video hadi mwisho sababu ya huyu mtangazaji .. hii video angekuwa mtangazaji makini tungepata elimu yakutosha kabisa

    • @seifjuma3471
      @seifjuma3471 3 ปีที่แล้ว

      @@ganganainfochannel 😅😅😅😅

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  3 ปีที่แล้ว

      Hafai

  • @fortantkalonji7217
    @fortantkalonji7217 5 ปีที่แล้ว +2

    Very good