Nipo Tanzania nimefurahi Sana kujifunza leo Mimi nasomea ualimu nimehamasika sana kufuga kuku nategemea mwakani baada ya kumalza chuo kikuu nijiajiri kwenye ufugaji, je Nini au vitu gani vya kufanya ili nifikie hatua Kama hii ulipofikia?
Nimeajiriwa ila naona kama nachereweshwa kimaendeleo maana nafuga ila nakosa usimamiz zaid ya masaa 10. Nalima na vanilla nakosa muda wa kutosha kwenda kumwagilizia
Naomba no ya huyo mama
Bazi kazi dada ,karibu tanzania dada
Unajua kiswahili sana
Dada safi sanaaa!! Kiswahili chako nimekipenda sanaa
Nipo Tanzania nimefurahi Sana kujifunza leo Mimi nasomea ualimu nimehamasika sana kufuga kuku nategemea mwakani baada ya kumalza chuo kikuu nijiajiri kwenye ufugaji, je Nini au vitu gani vya kufanya ili nifikie hatua Kama hii ulipofikia?
hongera nikuulize hio mashini ya mayai inatoka ngapi
Naomba kujuwa Hao kuku ni aina gani?
Safii Dada
Je ako Kenya 🇰🇪 am??
Dada ena shikamoo na ongera kwa hii chanel
Banda kama hilo linalotoa mayai nje kuku akitaga, ili walalie unafanyaje?
Safi sana
Nimeajiriwa ila naona kama nachereweshwa kimaendeleo maana nafuga ila nakosa usimamiz zaid ya masaa 10. Nalima na vanilla nakosa muda wa kutosha kwenda kumwagilizia
Kama mmi apo amua tuu maamuzi ila jipange kwanza mamy