Hii ndo nchi sasa, ipo kwenye vita lakini bado inafanya maendeleo... Nchi zetu sasa vita wapigane wengine lakini utasikia mafuta yamepanda, sukari imefanya vile kisingizio vita kila siku
maisha ya binadam yako hatarini kipindi hiki kuliko wakati wowote yote hayo ni kutaka kuiangamiza Dunia huyu mrusi ameshachoka na maisha yuko tayari kufa na watu wake nadunia imalizike mashetani hayana uchaguzi badala muombe mnamsifia
Yani nyie ata kama issue ni za kibiashara na uchumi, Mnalazimisha ni mambo ya kivita, ila nisiwaingilie labda mkiongelea vita ndo watu wanaangalia sana habari zenu.😂😂
Brother....Dunia imegawanyika katika Pande kubwa mbili. Upande wa Marekani na Ulaya na Upande wa Urusi na Mchina na Nchi Kadhaa.... Kwenye Nyanja zote ...Kiuchumi, Kijeshi, kijamii.
Putin master mind, kama scofield ndan ya uwanja wake, warusi wa Muombee dua sana RAISI wao putin ili awavushe salama katika vita vya taarifa na maarifa
Daah warusi wapo juu sana asee
Mungu simama na urusi sipati kitu chochote kwake ila najua umuhimu wake kwa dunia
Kabisa
Haswa
Mtt achakupga mayowe
Mambo mrusi yanajionesha
Kaz kazi
Urusi ya kamanda wa ulimwengu Rais Vladimir Putin kwa kila kitu yuko mbele ya muda.
Putin genius sana
Ally ana nondo hatari...Urusi ina jicho la mbali sana
Marekani na wamagharibi lao ni wizi na propaganda, putin yeye kama magufuli. Hapa kazi tu
Hii ndo nchi sasa, ipo kwenye vita lakini bado inafanya maendeleo...
Nchi zetu sasa vita wapigane wengine lakini utasikia mafuta yamepanda, sukari imefanya vile kisingizio vita kila siku
Hehehehe kila mtu naingia maamdqrakani na njaa zake unategemea nchi itamentain kitu sisi ni maboli zozo
Warusi warusi warusi Kila kitu mnafanya nn mnahatar kwa kweli
This people are 🔥🔥🔥
maisha ya binadam yako hatarini kipindi hiki kuliko wakati wowote yote hayo ni kutaka kuiangamiza Dunia huyu mrusi ameshachoka na maisha yuko tayari kufa na watu wake nadunia imalizike mashetani hayana uchaguzi badala muombe mnamsifia
Amna mpya
Kama watu wanaanza kuwekeza mpango wa miaka zaidi 50 kusibilia barafu iishe kisha sisi tz tunashindwa fry Land daaah Mwenyezi atuzaidia
Weye tangaza Amani uone kama hatukufatiliyi
Hila Mimi kati Yao Mimi naenda zanguuu kWa posh
Russian oyeeee
Duh
Punt ❤❤❤ 🇷🇺🇷🇺💪💪🇰🇪🇰🇪
Nakupenda Russia
Wezetu wapo kazini wanapigana vita na hawana vijisababu sababu vyakuto endelea kupiga kazi angekua hakuna kama mzazi kila kitu kingekua sababu ni vita
Haka kawimbo kanako piga hapo mwishoni kanaitwaje
Weka Namba yako ya wasap nikutumie nikazuri Sana na HUWEZI kukapata walinitumia WA sns
😂😂😂
Nyiny jamanyi habari zoteizodunian mbakamkunakuja wakat mnaleta ushabiki kwenyevta namnachagua upande kabisa
Ukraine kapewa slaa na ujeruman
Putin afe
Ufe wewe
Long live putin
Yani nyie ata kama issue ni za kibiashara na uchumi, Mnalazimisha ni mambo ya kivita, ila nisiwaingilie labda mkiongelea vita ndo watu wanaangalia sana habari zenu.😂😂
Brother....Dunia imegawanyika katika Pande kubwa mbili.
Upande wa Marekani na Ulaya na Upande wa Urusi na Mchina na Nchi Kadhaa.... Kwenye Nyanja zote ...Kiuchumi, Kijeshi, kijamii.
Kuna uchumi mkubwa Duniani zaidi ya Kujihami kivita??
Naona we unapenda umbeya wa tick tock nenda kaangalie makalio huko na wakaa uchi
Putin mwamba
@@IshipalemyPasko
inaonekana wazi hujielewi na Wala hujui siasa ya Dunia unandandia mambo samahani sikujua una akili ya kuku
Urus ndo nchi yenye eneo kubwa zaid dunian na bado anaendelea kujiimarisha zaid🙏🇷🇺🇹🇿🎉
Nawakubali sana
Putin master mind, kama scofield ndan ya uwanja wake, warusi wa Muombee dua sana RAISI wao putin ili awavushe salama katika vita vya taarifa na maarifa
Kazi ipo mbaka tuseme
😅😅😅😅Hv bado ujasema!
Putin mwamba kiboko ya mashoga
Big up bro...
Dj sma anaendeleaje?
Kawimbo kazuri kinyama sijapata kasiki
Allly Masudi ni analyst bora asiye na part taken kwa side yeyote kama yule Dj sma wenu
Binadamu hamnajema Leo huyu kaka ndie kawa mwema
@@uwimana6533Sio kwa ubaya lakini Ata mimi na mkubali sana wote kwa ujumla but Lazima uwe na Mmoja wa kwenda nae
Acha chuki na watu usiwajua haikusaidii pumbavu
Acha uchawi wewe.
Dj Smart anakuumiza kichwa