MACRON akubali ULAYA inaweza KUFA, aitaka iache kuitegemea MAREKANI, hotuba yake NZITO yatikisa EU!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 เม.ย. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 183

  • @hassanjuamchipua9384
    @hassanjuamchipua9384 หลายเดือนก่อน +11

    From Qatar 🇶🇦 watching you

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q หลายเดือนก่อน +10

    Tume mmiss sana 🎉🎉Dj smaa

  • @sundawnsmedia6659
    @sundawnsmedia6659 หลายเดือนก่อน +11

    Naona vita ya kulipigania Bara la Africa tena. Imagine Mungu amewapa umuhimu kiasi ambacho mkikohoa tu kidogo Africa wazungu wanahaha!

  • @bushiridems
    @bushiridems หลายเดือนก่อน +21

    Na bado watakoma sana leo ni weekend leteni tarifa zingine kama hizi tushinde nazo.

    • @Uwezohussein-me2gp
      @Uwezohussein-me2gp หลายเดือนก่อน

      😊😊

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 หลายเดือนก่อน

      Na wakikoma huku wanakuja Afrika na utakua mtumwa 🤣🤣🤣endelea kufurahia yawashinde barani kwao

    • @sundawnsmedia6659
      @sundawnsmedia6659 หลายเดือนก่อน

      Huku mrusi na China ameshaweka mizizi, hawana chao. Wakitumia nguvu Africa ina uwezo wa kuchagua kuvunja uhusiano na wao na ikabadilisha mlengo wa siasa.

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 หลายเดือนก่อน

      @@sundawnsmedia6659 Africa gani itachagua 🙃au kuna Africa nyingine mi sijui

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns หลายเดือนก่อน

      ​@@sundawnsmedia6659Usiwaamini viongozi wa Afrika hawachelewi kutuuza wakishapewa chao

  • @zuricakes6817
    @zuricakes6817 หลายเดือนก่อน +6

    Djsma, Correction:
    Immortal ni milele, haina mwisho (mortal opposite immortal).
    Immortal: not mortal; not liable or subject to death; undying: our immortal souls. remembered or celebrated through all time: the immortal words of Lincoln. not liable to perish or decay; imperishable; everlasting.

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 หลายเดือนก่อน +9

    Itauwawa na nani kama sio Dude kubwa kisayansi na kijeshi Russia 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jamesbutendeli4511
    @jamesbutendeli4511 หลายเดือนก่อน +3

    Bro, continue to this way, making us understand the world politics na mwishowe watawala wa bongo wajue tuko katika hali gani.

  • @mcmgassa
    @mcmgassa หลายเดือนก่อน +3

    2016 uingereza ilijitoa umoja wa ulaya.
    ulaya haiwezi kuwa dola moja tena, wataungana lakini hawatashikamana.
    biblia ilitabiri katika ‭Danieli 2:43
    "Na kama vile ulivyokiona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope, watajichanganya nafsi zao kwa mbegu za wanadamu; lakini hawatashikamana, kama vile chuma kisivyoshikamana na udongo"
    tafuta ufafanuzi zaidi wa fungu hilo utaelewa.

  • @aminaali792
    @aminaali792 หลายเดือนก่อน +8

    Yssni napenda sana DJ Sma anavyoelezea siasa Allahummah Bareek 🙌🏾🥰🥰

    • @bajosdamour2347
      @bajosdamour2347 หลายเดือนก่อน

      Mwambie akuowe😂

    • @aminaali792
      @aminaali792 หลายเดือนก่อน +1

      @@bajosdamour2347 heee yamekuwa hayo mimi kusema napenda anavoongelea siasa 😳mbona waswahili muna mambo jamani🤦🏽‍♀️

    • @hanspop6961
      @hanspop6961 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂 ni wivu tu

    • @aminaali792
      @aminaali792 หลายเดือนก่อน

      @@hanspop6961 binaadam kazi kweli kweli😂😂🤦🏽‍♀️

    • @pascofp145
      @pascofp145 หลายเดือนก่อน

      ​@@aminaali792watu wa humu akili zao wanajua wenyewe

  • @nomoboy152
    @nomoboy152 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki DJ Sma upone mapema brother

    • @djsma255
      @djsma255 หลายเดือนก่อน

      Asante amin

  • @mohammedmfamau43
    @mohammedmfamau43 หลายเดือนก่อน +1

    Shenz type

  • @maltech40
    @maltech40 หลายเดือนก่อน +5

    Jamaa kaona anaanguka anataka waanguke wote #ufaransa downfall

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 หลายเดือนก่อน

      Kabisa 😂😂😂

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po หลายเดือนก่อน +13

    Mm naona Africa 🌍 itakua super power soon asa kwa nchi zinazojitambua guy's

    • @goodluckmsoka3660
      @goodluckmsoka3660 หลายเดือนก่อน +4

      Labda Gaddafi afufuke

    • @emanuelgavile3503
      @emanuelgavile3503 หลายเดือนก่อน +1

      Sahau

    • @kdloon2030
      @kdloon2030 หลายเดือนก่อน +1

      Nuclear moja tuu,bara litageuka kifusi!

    • @ContentSmartphone-rq6po
      @ContentSmartphone-rq6po หลายเดือนก่อน +2

      Mitazamo yenu hiyo lakini kwa mwenye upeo anawezakuona zipo nchi nyingi ikiwemo 🇹🇿 faya 🔥

    • @ContentSmartphone-rq6po
      @ContentSmartphone-rq6po หลายเดือนก่อน +1

      Kujitambua kitu kikubwa sana katika maisha open your mind guy's

  • @osmanmohammedosman5493
    @osmanmohammedosman5493 หลายเดือนก่อน

    Noma sana

  • @ramadhanmazije3882
    @ramadhanmazije3882 หลายเดือนก่อน +4

    Anahangaika baada ya makoloni yake kumdindia baada ya kupata ulinzi wa Russia😂

  • @midundotechtz6843
    @midundotechtz6843 หลายเดือนก่อน

    Bro sky saiv unanifurahisha sana yan unapga back to back hupoi huboi.
    Tunaaikubali sana SNS

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km หลายเดือนก่อน +3

    Kama muvi vile jinsi Vladimir Putin anavyocheza

  • @deusbarnabas9060
    @deusbarnabas9060 หลายเดือนก่อน +8

    Ulaya wajinge Dunia ya sasa siyo ya nyakati zilizo pita.

  • @leandrecelen4497
    @leandrecelen4497 หลายเดือนก่อน +5

    Wa africa wenzangu njia yakupata amani ya africa nzima nimoja africa ijiunge kuwa inchi moja tukiwa inchi moja tutakuwa na lengo moja

    • @boaziamos1224
      @boaziamos1224 หลายเดือนก่อน

      Shida n ufisadi na rushwa ya viongozi

    • @tadeonkonya1656
      @tadeonkonya1656 หลายเดือนก่อน

      Ubinafsi, kuna baadhi ya viongozi Africa wanapenda kutawala, sasa ukisema nchi moja maana yake uraisi wao haupo tena..

    • @user-fc6dw3nw6w
      @user-fc6dw3nw6w 16 วันที่ผ่านมา

      Mh,tutauwana Kwa vita maana uchu wamadaraka umejaa afrika.

  • @user-yk7ff9ks6q
    @user-yk7ff9ks6q หลายเดือนก่อน +1

    Hawajasema bado

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 หลายเดือนก่อน +6

    Sky , thank you for your service guys,tunawatizama kutokea Helsinki Finland 🇫🇮🇫🇮

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 หลายเดือนก่อน

      Omani pia tanawapenda, barikiwa na kz zenu. Mungu awabariki wote kwa pmj.

    • @denismwambilinge
      @denismwambilinge หลายเดือนก่อน +1

      Nimefurahi sana kuona wana SnS tupo wengi abroad, Mimi nafuatilia kutoka Canberra Australia

  • @bajosdamour2347
    @bajosdamour2347 หลายเดือนก่อน +2

    Dj smaa get well bro tulikumiss xna

  • @mg_panther
    @mg_panther หลายเดือนก่อน +1

    Hiii acount imeshakuwa ya siasa sana adi raha

  • @venancembwaga-uw6kb
    @venancembwaga-uw6kb หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂😂 yote aya kichwa kimoja putin anawatesa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน +3

    ✌️👊👍.

  • @aminielkombe66
    @aminielkombe66 หลายเดือนก่อน +2

    Hawa wazungu unaweza dhani watu wanavyompigia makofi

  • @joshuayengu3624
    @joshuayengu3624 หลายเดือนก่อน +6

    Yaani natamani hata @mama samia angekua anazifuatilia hizi makala

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂Sijui km uwo mda anao wa kuperuzi mitaoni.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah หลายเดือนก่อน

      Huyu ni mkoloni mtamzania 😅😅😅😅😅

    • @MauaLucas-st6be
      @MauaLucas-st6be หลายเดือนก่อน +1

      Unafikir hafatilii kama huamini dj aitukane ccm ndo utjua hujui

    • @sleifikhajjir262
      @sleifikhajjir262 หลายเดือนก่อน

      Hahahhahahah

    • @NuhuMohammed-nu6ni
      @NuhuMohammed-nu6ni หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂​@@MauaLucas-st6be

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 หลายเดือนก่อน +6

    Kwani ufaransa uchaguzi lini naona Macron hatolewi?

  • @clyvanboss
    @clyvanboss หลายเดือนก่อน +3

    Ndy tunavyotaka sisi wavulugane ndyo ushindi wetuu😂😂

    • @salimfaraj5509
      @salimfaraj5509 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 kabisa na mm naomba wavurugane

  • @user-ep3gb2ne3y
    @user-ep3gb2ne3y หลายเดือนก่อน

    😊😊😊😊😢😢

  • @alisaid9920
    @alisaid9920 หลายเดือนก่อน +1

    Bara la ulaya hivisasa ni marehemu mtarajiwa wamejiachia mno kwa kuwa tegemezi wamesha zwea kuwanyonya waafrika acha wafe

  • @SadikiKabwe
    @SadikiKabwe หลายเดือนก่อน +1

    Umoja wa ulaya bila marecan 😢 apo ni 1×0=

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy1590 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe ataa ulaya wenyewe wanategemea ulaya Alf na sisi wafrica tunawategemea au yaan urusi anawanyimaa usingiz sanaa

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe ukivamiwa hata na kapanya load tu bila taarifa utapata usingizi? Mana huna adui na mtu ghafla unavamiwa huu ndo mfano hai

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 หลายเดือนก่อน

    Na bado 😂😅

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 หลายเดือนก่อน +2

    Yaaani baaado hawajasema mbaka waseme

  • @aziza9093
    @aziza9093 หลายเดือนก่อน +2

    Nabado

  • @yoelmrisho
    @yoelmrisho หลายเดือนก่อน

    immortal
    living forever; never dying or decaying.

  • @henryking6070
    @henryking6070 หลายเดือนก่อน +1

    Walimchokoza PUTIN, maji yamewakaba shingoni sasa 😂😂😂

  • @Badvoice707
    @Badvoice707 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa kuiacha sera ya marekani bado sana mmarekani anaushawishi mkubwa duniani ana jeshi lenye nguvu na silaha za teknologia ya kisasa mmarekani biashara yake kubwa silaha sasa watamuachaje na anawasaidia hamna kitu apo hawawezi porojo tu hizo

  • @dorahbenard1837
    @dorahbenard1837 หลายเดือนก่อน +1

    Yani mm ndo msiseme kabisa sikuizi hata sikikilizi Tena nasubili dj sma aludi ndo moyo wangu utatulia ...mungu ampe kupona mapema dj wetu jmn pia pole sana 😢

    • @djsma255
      @djsma255 หลายเดือนก่อน

      Amin asante

  • @frankub8107
    @frankub8107 หลายเดือนก่อน +2

    nabado watanyooka

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 หลายเดือนก่อน

    Ni kwelii maana African wamesha amka sn 😂😂

  • @virendavictoria5174
    @virendavictoria5174 หลายเดือนก่อน

    Its about time America Supremacy ikufe wamezidi sana na hakuna marefu yasiyo na ncha duniaya sasa inataka usawa na sio ubabe

  • @user-si8nn8cg5x
    @user-si8nn8cg5x หลายเดือนก่อน +2

    Africa tupo busy kucheza Amapiano na Afrobit huko ughaibuni badala ya kutusapoti kipolitics waafrika wenzao huku

    • @nyembomajid1262
      @nyembomajid1262 หลายเดือนก่อน

      bila kusahau ndombolo....wenzetu Hawa lale

  • @bosssyedmund8785
    @bosssyedmund8785 หลายเดือนก่อน

    Pamoto🔥🔥🔥🔥

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 หลายเดือนก่อน

    Nabado kumekucha watasalitiana wao kwa wao.

  • @peterjanuary7972
    @peterjanuary7972 หลายเดือนก่อน +1

    Naona wazi africa tunapoelekea tutagawa dozi kulingana na idadi hakula lisilokuwa na mwisho yote yatakoma wapo mababu wanalaani hizo inchi za ulaya kwa kutengeneza vita kwa baadhi ya maeneo hapa africa naona litafikia mwisho japo lazima waafrika tuamke na tuwe na maamzi yaliyo na umoja..

  • @PUTINN365
    @PUTINN365 หลายเดือนก่อน +3

    Viva russia watasema2

  • @hassansaul7098
    @hassansaul7098 หลายเดือนก่อน

    Hamjachelewa, maana mtauponza marekani haina shida na nyie na iko mbali na nyie

  • @user-hx2if3ep2m
    @user-hx2if3ep2m หลายเดือนก่อน

    Following, from Mars the planet

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 หลายเดือนก่อน

    Hawa watu wanataka kujifanya kuwa dunia niakwao!😅

  • @thebmcblackmiccatcher3949
    @thebmcblackmiccatcher3949 หลายเดือนก่อน

    Mi sishabiki wa russia, mi naogopa kabisa nuclear

  • @user-px3po9lt8g
    @user-px3po9lt8g หลายเดือนก่อน +2

    In the future Africa will be colonies again

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 หลายเดือนก่อน

    Hata kwetu makaaa yamawe yanachukuliwa kwakaasi ya yahater

  • @saimarmuhsin9578
    @saimarmuhsin9578 หลายเดือนก่อน

    Ngoja inyeshe tuone panapovuja😂😂😂😂

  • @MabatiQualityHQ
    @MabatiQualityHQ หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂

  • @bobsalim4285
    @bobsalim4285 หลายเดือนก่อน

    Ingekuwa bora angefafanua madhara yake na vipi itaxhuka kiuchumi.
    Hapa kama ime translate tu.

  • @thebmcblackmiccatcher3949
    @thebmcblackmiccatcher3949 หลายเดือนก่อน

    Mi sitaki kushabikia urusi, mi naogopa kabisa nuclear

  • @swallehabdallah2204
    @swallehabdallah2204 หลายเดือนก่อน

    Ulaya waache kujiweka kama koloni ya Marekani.

  • @muhamadharun9432
    @muhamadharun9432 หลายเดือนก่อน

    Dj sma vp Hali yake

  • @karimurashidi3095
    @karimurashidi3095 หลายเดือนก่อน +1

    Ila Putin anajua kuwavuruga wenzake wameanza kugeukana wenyewe kwa wenyewe 😂😂

    • @suleim505
      @suleim505 หลายเดือนก่อน

      ana Experience kubwaasana na anawatumia vizuri siyopoa😅

  • @ramaturuku863
    @ramaturuku863 หลายเดือนก่อน

    Ulaya ni kete ya marekani, hii inamana kete haiwezi kucheza bila kuwa na mchezaji😅,vita na mrusi ndio inawavuwa nguo sasahiv na kugundua kuwa si lolote

  • @musajackson3289
    @musajackson3289 หลายเดือนก่อน

    Wanadata mana uko Africa wametimuliwa marekani nako kumenuka deni limepanda China na urusi pia wanawapasua vichwa wakome na unyanyaji wao

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 หลายเดือนก่อน

    Wengi viongozi wa Afrika wakiwemo Marais wengi ni vibaraka wa nchi za magharibi hawawezi kuamua jambo kwa manufaa ya nchi na watu wao kazikubwa wanayofanya ni kuangalia maslahi yao binafsi tu na familia zao

  • @evelynemugeni2369
    @evelynemugeni2369 หลายเดือนก่อน

    Europe utajiri wake mwingi unatoka Afrika.na ufaransa imeisha fukuzwa karibia ata inchi tano

  • @alisaid9920
    @alisaid9920 หลายเดือนก่อน

    Wamechelewa farasi amesha toka bandani lilio baki ni kufa kizembe tuu

  • @Princegeorge952
    @Princegeorge952 หลายเดือนก่อน

    We don't understand Swahili here in kenya plizz analyse deeply bt your good and excellent,,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @carmp3
      @carmp3 หลายเดือนก่อน +2

      Kwendaaa hii sio peji ya kizungu hii ni peji ya kiswahili tutolee utumwa hapa mxiuuuuu😕😕si uende katika peji za wazungu

    • @jumahamad9463
      @jumahamad9463 หลายเดือนก่อน +1

      KWANI WEWE NIMZUNGU AU MTU MWEUSI UMETAWALIWA AKILI MPAKA LUGHA YAKO MDHARAU KWAO NIMTUMWA KAMA WEWE

    • @sbboymkaliofficial9108
      @sbboymkaliofficial9108 หลายเดือนก่อน +2

      Your president he speaks Kiswahili how are you 😂

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys หลายเดือนก่อน +1

      Princegeorge:hayakuhusu kama huelewi uchokozi huu hatutakiii

    • @carmp3
      @carmp3 หลายเดือนก่อน

      @@paulinewangila-cs6ys yani wakenya hua wanajifanya wazungu cjui kwenye peji za waswahil hua wanafuata ..Tanzania ni taifa la watu waswahil eti anataka taalifa iwe ya kiingereza yani wana utumwa wa lugha

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j หลายเดือนก่อน

    Jamaa yuko kipindi kigumu sana vitu vinakuangukia kwenye mikono yako

  • @nyembomajid1262
    @nyembomajid1262 หลายเดือนก่อน

    sasa mbona mdomo nyingi na vikwazo nyingi Kwa urusi wakati mbolea yenyewe la mrusi aaaah puntin piga Hawa hawana lolote

  • @blackboitzmabucha9023
    @blackboitzmabucha9023 หลายเดือนก่อน +1

    Ndani ya miaka 10 malekan itakuwa aina nguvu tena

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 หลายเดือนก่อน

    Si mnajifanya vidume nyinyi endeleen na ubabe wenu sisi tupo tutaona mwisho wenu..shenz kabisa

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 หลายเดือนก่อน

    Putin ndio komesha yao, wameshaanza kuvurugana

  • @abuuiqrimah1125
    @abuuiqrimah1125 หลายเดือนก่อน

    Kwaiyo uyu mwamba putini ana nguvu uwezo wa fedha na amejipanga katika hii vita ajakulupuka ila nato na Marekani

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 หลายเดือนก่อน

    Tuna take wahi ache to africa

  • @Manyara-Jr
    @Manyara-Jr หลายเดือนก่อน

    immoratl ni mtu au kitu kinachoishi milele bila kufa ndo maana ya immoratl dj smaa umetupiga changa

    • @issalyanali4119
      @issalyanali4119 หลายเดือนก่อน

      Wrong,,hujamwelewa😂,,,,hiloneno la kwako

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko9765 หลายเดือนก่อน

    Mashoga kimeumana

  • @raydanfrenk
    @raydanfrenk หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 uyu jamaa ananichekesha Dj kuwa kama mwenzako acha upande mmoja

    • @hemedjackson2261
      @hemedjackson2261 หลายเดือนก่อน +2

      Kwan lazim umsikiliz akizungumz ww ziba masikio

    • @djsma255
      @djsma255 หลายเดือนก่อน

      Utasema kashikwa bastola kusikiliza, na ww kuwa kama wenzio

    • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
      @sanoureyaliwadoakaroyo1696 หลายเดือนก่อน +1

      Kinacho Nishangaaza uyuu Jamaa Ana Chuki sana Na DJ smaa Hii Sio Mara Yke Ya Kwanza kucommet Iv Cjui Chuki Yake Kwa DJ Smaa Inamsaidia Nin Wacha Chuki Kma Umeona Anaegemea Upande Mmoja Wachana Nae Yanini Mkumfatilia Punguza Chuki ndugu #raydanfrenk😂😂😂

    • @yusufally5168
      @yusufally5168 หลายเดือนก่อน

      ​@@hemedjackson2261huyu Jamaa wa upinde chuki yake hawezi kujizuia

    • @user-vj8eu7ih4k
      @user-vj8eu7ih4k หลายเดือนก่อน

      Kama unataka upande wa pili tafuta mashoga wenzako wanaozungumzia upande wa pil choko wewe dj sma for life

  • @shabaninshimirimana5248
    @shabaninshimirimana5248 หลายเดือนก่อน

    Nakutizama nikiwa FRANCE

    • @djsma255
      @djsma255 หลายเดือนก่อน

      Tume hali ya france

  • @harithimahmoud1577
    @harithimahmoud1577 หลายเดือนก่อน

    BADO MPAKA WASEME

  • @Pamoja-tz
    @Pamoja-tz หลายเดือนก่อน

    Team RUSIA oyeeeeeeee😂😂😂😂

  • @jongosalehe1036
    @jongosalehe1036 หลายเดือนก่อน

    Macron kasema vzr sana ili nasisi Africa tuweze kuwa pmj sio kulia lia tuuu

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de หลายเดือนก่อน

      Tatizo viongoz wetu wa nch wanapenda sana kuomba msaada kila nchi yy yupo omba omba mpk lin jman viongoz mbadilike

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de หลายเดือนก่อน

      Tutakukumbuka magu na gasaff pumziken kwa aman🙏

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wa Europe niwapulbavu tena wajinga walizani km urusi niwajinga kumbe urusi 😂😂😂ndofimbo ya wahende

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 หลายเดือนก่อน

      Unapata wapi nguvu yakutukana bara liliondelea hivo 😳😳😳watz ujuaji hamjambo 🤣🤣🤣🤣

    • @evelynemugeni2369
      @evelynemugeni2369 หลายเดือนก่อน

      Bila Africa hawana lolote

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 หลายเดือนก่อน

    Hawa jamaa sio watu wazuri kabisa Africa tusijione tumeendelea sana yani bado tupo nyuma sana yani wakiamua kututawala tena kama zamani bado inawezekanatu maana tupo nyuma sana kitekenorojia na kiviwanda maana teknorojia waliokua nayo hawa wajinga niya haliyajuu kuanzia elimu viwanda matibabu wakiamua wanatuua kima gonjwa na kiviwanda kiteknorojia kisayansi kielimu na kiuchimi mungu atusaidietu maana hakuna tunacho jovinia cha kwetu nahuo ndio uzaifu wetu hakuna Africa tunacho jivunia katiya hivi vyote vyotenivyakwao hautuwezi hata kujitengenea pesa zitu wenyewe wala silaha wala uchumi wala elimu dini viwanda wala uchumi kwanza hatujaungana kama African wenyewe kwa wenyewe tunabaguana sasa tutawashinda namini kilakitu tunawategemea tukombalisana ikiwa ulaya na mashariki ya kati wanawategemea sisi ambao hatujuibchote tutafanya nini???

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk หลายเดือนก่อน

    YAANI DUNIAHII SASA RAIS TAAHIRA NAMBAMOJA NI MACROO. 2 BAIDEN. TATU UJERUMANI NNE WA UINGEREZA. ZELENSKI NI BENDERATU HATUMOI UTAHIRA.😂

  • @Kelvinchristopher072
    @Kelvinchristopher072 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba tupunguze umbea tuongelee mambo ya Tanzania kidogo.

  • @nomoboy152
    @nomoboy152 หลายเดือนก่อน +1

    SNS NAOMBA UONGELEE KWA UPANA KUHUSU MAANDAMANO YA WAKULIMA EUROPE #DJ SMA

  • @atutweve4160
    @atutweve4160 หลายเดือนก่อน

    Ila Tanzania nmejua hawajui kitu kuhusu hili 😳, wanachambua tu kishabiki yani huyu mchambuzi ndo amechanganyaaaa kila kitu Bora yule mwingine huwa msomi sio DJ sma 🤣🤣🤣

    • @user-rt1wf6se5f
      @user-rt1wf6se5f หลายเดือนก่อน

      Wew Ndio taila😂😂😂

    • @user-rt1wf6se5f
      @user-rt1wf6se5f หลายเดือนก่อน

      Atutweve maana ake SI mavi😂😂😂😂

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 หลายเดือนก่อน

      @@user-rt1wf6se5f 😳huskii aibu kuandika matusi mtu mkubwa over 18? 😳😳😳😳huoni unakosa point kirahisi tu ? thats how you have failed a simple test 😩

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 หลายเดือนก่อน

      @@user-rt1wf6se5f taila hakupenda awe, Ni Mungu alimuumba 😳😳

    • @user-rt1wf6se5f
      @user-rt1wf6se5f หลายเดือนก่อน

      Duuuh nmeshtuka kumbe najibizana na shoga wa magharibi alafu nikupange kitu tatzo lako hufuatilii mwezako huwa nafuatilia karbu media hiz 20 Kwa sku kuhusu habar Moja tu Kwa io hata usibishane na mm tangia majimaji war 😂🤣🤣🤣 ukibisha njoo🏠

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 หลายเดือนก่อน

    Makroon alikua anaenda kama Gari bovu hakujua kuwa picha lakihindi huwa linanoga mwishoniee

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 หลายเดือนก่อน

    Wamechelewa sana Putin aliwaambia wakapuuziya

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 หลายเดือนก่อน

    Putini hakurupukkagi, amejipanga nahii vita miaka 20