Namkubali sana huyu Mwamba, Kuna Vigingi amefaulu kuvivuka baada ya Ushindi ilikuwa ni Ishu sana Kuikalia Nafasi yake ametumia akili sanaa chupuchupu apite kuleee ✍️ Hongera sana
Vido ni mwanahabari mzuri sana, anajua kuuliza maswali na kutawala interview. Exclusive inayohostiwa na Millard pamoja vido ina mvuto wa kipekee sana Tuwape maua yao hawa watu jamani
Leonardo sikuoni Tz bali nakuona kimataifa ila tu ukizidi kujitambua,kupambana kumwomba Mungu nakutafuta fursa yakupenya nje ya mipaka yetu. Keep it up bro.👌👌👌
Leonard ungekuwa ulaya kwa mazungumzo yako basi ungeshuka sana maana kitu Kizuri ni kuiweka familia yako vizuri sasa wewe umaarufu umeshakuchanganya hadi unazungumzia pacome na Gwede.
Sasa unampangia mtu na lazima ujue kwao kivipi hauwezi sema mm kwetu Morogoro hali ya kuwa umezaliwa Dar es Salaam na umekulia Dar es Salaam na huko Morogoro hujawahi fika...
Anamaanisha D2 za form 6, sifa ya kujiunga University tz ni D2 kutokana katikati masomo 2 kati ya 3. Kupata D somo lolote Advanced level sio mchezo 🤣🤣🤣
Leonardo ni very smart and real. Naamini atakuwa icon ya Tanzania kwenye Comedy muda si mrefu. Sijui Kama unakubaliana na mm.
Yah kwasababu anapiga both English na Kiswahili itamsaidia kwenda far
Pia anafanana na mch, Ananja
aaha Ananja ana namna Yake Bhana. Kila MTU ana Radha Yake@@deniskatunzi146
@@vallencymacdonaldsHata pure English mshikaji anaweza. Anatutoa kimasomaso
😅😅😅@@deniskatunzi146
Namkubali sana huyu Mwamba, Kuna Vigingi amefaulu kuvivuka baada ya Ushindi ilikuwa ni Ishu sana Kuikalia Nafasi yake ametumia akili sanaa chupuchupu apite kuleee ✍️ Hongera sana
Hii comment naomba iwekewe lamination , Leonard atakuja kuwa comedian mkubwa sana 😂😂😂
Mkubwa tayari
Mm kama mwl. Inanifurahisha na kunifariji. Huyu ni mfano nzuri wa kuigwa Kwa wanafunzi....usanii umeshikiliwa na wasomi
Leonardo is so smart and very honest ❤
Hongera sana dogo. Wajita wengi tuko smart isipokuwa yule Cyprian Musiba wa CCM 😂😂😂
CYPRIAN N MSASI🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Fellow Eng. Namkubali sana kutoka Kisii Kenya
Leonard ni fundi wa stend up comedy... Sana
Vido ni mwanahabari mzuri sana, anajua kuuliza maswali na kutawala interview. Exclusive inayohostiwa na Millard pamoja vido ina mvuto wa kipekee sana
Tuwape maua yao hawa watu jamani
🙏🏾🙏🏾🤝 Asante sana
@@vidovidox2632 unajua mwanangu
Yeah point kabisa 💯
nawakubali sana vido millard ayo pamoja na frida amani,meena ali pamoja na mjomvu B12 na Kennedy the ree .@@vidovidox2632
ayo and sns...bundala
namkubali sana leonardo so big up
Jamaa Anajuwa Sana Halafu ana kipaji endelevu
Ubarikiwe sana Mungu azidi kubariki kazi za mikono yako
Leonardo sikuoni Tz bali nakuona kimataifa ila tu ukizidi kujitambua,kupambana kumwomba Mungu nakutafuta fursa yakupenya nje ya mipaka yetu.
Keep it up bro.👌👌👌
Namkubaali huyu mwamba mi nko kenya anga za kilifi mwana anaweka siku barida wakti mwingi😂❤
Oe wa kilifi 🇰🇪 tujuane😅
Golani, kimbiji hiyooo Safi sana kumbe uliletwa kwetu
Kichwa kinamadini sanaaa ❤❤Hua nakukubali Sanaa 🎉🎉🎉
Nampenda sana vido anavyohoji
🙏🏾🙏🏾🤝
Me Nina d2 nakuelewasana😂😂😂 👍
Jamaa yupo viri❤❤❤
Jamaa yuko very smart, interview yake haichoshi
Mungu azidi kukubariki, mola ajalie uwache pombe kabisa
Congrats sana.
Leonardo masta fundi kabisa wa hii kazi, sisi tumekukubali mwanetu piga kazi, endelea kuiwakilisha Ukerewe duniani na useme bila aibu 😄
Leonard ungekuwa ulaya kwa mazungumzo yako basi ungeshuka sana maana kitu Kizuri ni kuiweka familia yako vizuri sasa wewe umaarufu umeshakuchanganya hadi unazungumzia pacome na Gwede.
Ilii jamaa linaakili mbwaaaaa😂 nakubali kk💯💯💯
Mungu akulinde leo nakesho pia
Eti kameza shoka😂😂😂😂 mzee vido 🎉🎉
😅
Vido anatumia kiswahili jumuishi, (mlivopata ujauzito)
😂😂😂
Kwamba ujauzito ni wao wote wamebeba😂😂😂😂
😅 dah ulimi huu
Katika kiswahili iyo sentesi ni sawa tu.na ndio maana akijibu ujauzito niliishi nao tu.
MashaAllah ❤❤❤
Leonardo best comedy ❤
Kama Ahuna D Mbili Uwez Muhelewa Leonard❤🎉🎉
Kwa uandishi huu.... una sub F zote
@@rebbywealth9869😂😂😂
@@rebbywealth9869kiswahili Cha huyo mwamba daaaah
Boss golani ni town sikwizi alafu Kuna mgogoro flan hv fanya ukaangalie uko HIVI karibuni
Minapenda anavoongea yan yuko smart unamuelewa katulia
Shenzi kabsa,,,,, bila D 2 huwez nielewa😊😊😊😂
Karibu kenya lkn kutukomesha sahau
ajitahidi kujifunza kupitia kina Trevor Noah
Leonard is genius of his stylish....too far mile away in cognition
I can't wait with English Comedy 🙏🏽🙏🏽
Mfatilie vzr tayari contents zipo kitambo anapost..
Leonard is the best
Leonardo ndo ujitanue hivo kweli kwani unataka nini 😅😅😅😅😅
Leonard baba mjita wee kwenu ni Mara sio Mwanza 😅
mchukueni ndugu yenu anajifanya hajuhi kwao
Sasa unampangia mtu na lazima ujue kwao kivipi hauwezi sema mm kwetu Morogoro hali ya kuwa umezaliwa Dar es Salaam na umekulia Dar es Salaam na huko Morogoro hujawahi fika...
THE FUTURE IS LEONARDO.
Yani kabla hajaongea neno hata moja nimeshaanza kucheka.😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣
Nyege hizoo
Sio poa
@@afidhidadi8847 Asante
Leo boy ni balaaaa
Upo vzr sana
Kushindia kitavi😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Duh me nakukubal Leonardo lkn apo kwny kunywa pombe na uo mwili wako khaaa hapan usijisifie kua ulevi 😢
😂😂kwnn hujavua shati au uliogopa kumgonga mifupa 😂😂😂nimechek
😂😂😂😂😂 NIMECHEKA SANAA HUYU JAMAA KUMBE BWEGEE SANA ETI SIKU YA KWANZA KUFANYA TENDO LA NDOA SIKUVUA SHATII AIBUUU KIMBAU MBAU SANAAAA😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Swali zuri ndugu mtangazaji 😅😅😅😅😅😅😅vido upambe utakumaliza 😅 interview boma san
😅🙏🏾🙏🏾🤝
😂😂😂 msenge chizi huyu et km 7bu tu anatokaa pacome
Kuna mtu kasema leonard ni handsome jaman wanawake
Vido Umesahau kumuuliza Hiyo pete aliovaa kwenye kidore cha mwisho😂
Uyu kakak ban😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Shenzi kabisa maninjinia mkaacha kujenda miundombinu ya maji mkajenga familia shenzi kabisa huwezi elewa kama hauna d mbili
Vido anza gym ndugu yangu maana sio kwa kunona huko!!naona hela zimekupata
Kumbe we ni WA kwetu yego mlaunu
Dubai lini
Focus na juu 😅😅
Huyu kiboko 😂😂
Eti swala letu la uzazi😂
Mwehu kweli ety sikuvua shati
Apo aliefanikiwa nikajua utasema ni yule at least ana d mbili
Why katav is passing btwn our interview
335,000*145,000= 38,575,000,000
Duh
Interview Mzima ilikuwa leornado na codox lkn Kwenye kuzidisha namba naona crew nzima imeingiya,,,,YAni km wame surprise kidog
Sasa vido mtu anawezaje kumeza shoka si ungesema hata kameza pini😂
mi kila ciku nasemaga ila natukanwa😊,,kwasasa uyo nado ukimuweka tena na eliudi hachukui hata mia...anakaa vibaya....nikatukanwa na waja
Sio kweli ....Leonardo is smart than you think ...hatukatai eliudi ni bora lakini Leonardo bora
HUYU HANA SIKU NYINGI ATAAJIRIWA 😁🇹🇿
Anaingiza fedha nyingi hawezi kuajiriwa labda kwa mkataba avute pesa ndefu kwa muda mfupi kama Masanja Mkandamuzaji.
Kumbe ngosha
Yaan Hadi interview yake inachekesha 😂😂😂
Hiyo ya kingereza wacjekaji nao wawe na B mbili
Kweli Kuna huzidisha na hesabu ni tofauti
Nyinyi mlivyopata ujauzito😂😂😂😂
Water resources and Irrigation Engeneer, hakikisha pia una ifanyai carrier yapo kazi usibaki tu na Comedy aki
Daaah ko alijua kimbau mbau maskini 😂😂😆 ila Leonard 😂
Leonard ni kibonzo kweli. Eti anaenda kuangalia kiwanja analala pafu za kutosha ila bado hakufika
Kaka ako akiona hii 😂😂😂
Hatar sana leo
akili ya kijita kabisa
Wakondya mno mkaluka
Bia 5 ni nyingi, bia za afya ni 2.
Msanii
Dogo anaakili hadi anakela
Na Mungu je?
Hhahahaah shenzi kabisaaa😂
Mtoto wa busiri we home boy😂
Araf huyu reonardo muongo
Waooooooo❤❤❤❤😂😂😂😂
kijna kuwa makini usipokua makini utapotea...mpende mama mtoto mjali na ikiwezekana muoe utulie..umalaya sio poa
Hivi huyu si yule aliyeanzusha D 2 au.
Wajita asili Yao ni mkoa wa MARA sio Mwanza
Vidox unajitahid sana kuhoji kama Ayo na Salama
Majita makojo moja hiyo
😎
Nina d2 Ila hizo hesab naweza pewa adi 4figa na nisitoboe
😂😂😂😂😂
Diana umejua kunichekesha
Nendeni na nje Mkawakomeshe!
Huyu mtangazaji anamacho mazuri maashaallah
Btw mnisaidie D mbiii ndio nini D sini grade mbaya ama rada ni gani
D' inamaanisha degree banah..acha upuuzi
@@TitusMutemi-y4b 😭
Anamaanisha D2 za form 6, sifa ya kujiunga University tz ni D2 kutokana katikati masomo 2 kati ya 3. Kupata D somo lolote Advanced level sio mchezo 🤣🤣🤣
@@iskiji1240 shukran
Anamanisha qualification ya kuingia campus yaani C+huku kwetu kenya😂😂
Chembechembe za unyerere naziona kwa huyu jamaa ukerew mara