Women Matters (2): Mtu aliyekufa anaweza kukutokea kiukweli ndotoni? Dr Elly atoa ufafanuzi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2019
- Lillian Mwasha na Dr Elly wameamua kuzungumzia mada nzito kiasi - Kifo. Kuna mengi ya kujifunza japo yanaweza kukuacha kichwa kikiuma kutokana na uzito wake
- ยานยนต์และพาหนะ
If you like this show gonga like
Huyu dada anazinguwa , atulie tusikilize, sio rahis kumwelewa Dr.
Huyu dokta anavutu vikubwa sana tunavyohitaji kuvifaham
Yani doctor unajibu yarohoni pia yamwili Mungu akubaliki sana🙏🙏
Dr. Ellie is a genius person i have never seen before. God bless yoy
Huyu jamaa kabra hajafa nitamfaidi sana kwa concept zake
Very sensitive... Lilian wee wee Binadamu Tunayapenda Maisha Bwana Tunaposkia kifo Sote Ni Balaa Hatuchukulii poa kabisa Kiukweli All in all Sote Inatuhusu#WomenMatters#SnS•√
Kuelewa inabidi utulie uconcentrate haswaa 🙌🙌.
Ndoto za hatima yako ni zile taarifa ulizokusanya tokea unazaliwa..lily nakuomba umlete tena doctor aongelee somo la changamoto kwa upana wake aweze kuwasaidia waliokwisha kata tamaa na maisha.
Nadhani Dk Leo umezidi kunipa madini na nikushukuru Sana kwa maana nimebadilika sana kifikra mpk sasa na we ndo ulikuwa chanzo na mpk sasa najitahidi kusoma vitabu kdhaa vya wakali kama ww ,Asante sana ,na Dada Lilian hebu Fanya kama wiki tatu mfululizo hapo watu waelewe maana hizi imani zimewaumiza sana watu
Subhaallah safii dct maelezo elimu nzuri nimeipenda
Subhanah Allah! you are right Dr Elly. mutu alie poteza ufahamu anasikia. I experienced that feeling
I have testimony for that. by the way it long story.
Tell us in shortly
Shida ya huyo Dada muuliza maswali anakera Sana huwa anakuwa na papara Sana awe anaacha doctor anaeleza then anauliza lkn anarukia rukia tu kipindi ni kizuri but huyo Dada huwa anaharaka zimazoboa
Ukiona ivo anakua haelewi
Les francais (wafaransa ) tujuane hapa #TeamDrElly
Safii sana LiLyan kwa maswali mazuri nimekipenda kipindi
Merci beaucoup Doctor de vos bonnes experiences et avec une tré haute explication
Maisha marefu Kwa Doctor uyo ni genius
Jamani wawekeeni hawa wageni wazungumzaji maji ya kunywa.
Napenda,,sana anavyo ongea dr,,,anafanya kitu kikubwa sana
Anaongea vizuri mnooooo. He knows what he says
Hakika wanao kupinga wanakuletea changamoto daa nzuri sana
Mtu hafi kinachokufa ni mwili asantee! Dr ellie
From +254 I'm educated though it's a hard topic we need on being educated ndio tuweze kuelewa what is death.
Fact
Asanteee xan dokta Elie 🙏🙏🙏
Sawa safi sana
Uwiii jamani huyu Doctor
Dr. Vous maîtriser les langues internationales vraiment. Vos analyses sont très deep
Asee I love it
asanteni
Nakupenda lily
Deja vue :exactement docteur
Dr hebu mungu usimfananishe na kitu zungumza kifotu
Mpo juu🔥🔥
Eee..!
Hii ni akili kubwa MNO, natafakari.
Mbona mwendelezo wa hii siupti Sis Lilly
Fact🙏
Nazidi barikiwa na vipindi vyenu, naomba umlete tena dr aongelee kua je ni sahii ukiona mambo hayaendi uombewe ili ya kwende au kusomewa dua
Abarikiwe Dkt
🖐
Dar, mungu nimshindi
Achana watu wenye phd zao dr🙌🙌🙌yaan du mpk nimeogop kifo da
Docter, thanks to every thing, nilkuwa juma sana kuhusu mtu kufa.
Tatizo Dr anaeleza kana kwamba hakuna wachawi wala shetani
That's is Philosophy Brother.
Kila nafsi itaonja mauti
daaah hakika nimepata ahuweni ktk hili simo kwani nilikuwa naumia sana mke wangu kuacha mwili na mimi na watoto wake na nduguzake niliumia sana
Hii neti ya kuishi ni hapa hapa au kwengine
Ilitakiwa apatikane alie na ufahamu zaidi ya huyu mdada hajui kila kitu huyu
Huyu docta kiboko sasa naanza kuvuta taswira
Kuwa mama aunt sadaka baby sky na wengine wanaokuwepo
Nikweli Dr juu nakumbuka mamangu alikuwa akiongea na nyanya yangu ila nyanya alikuwa kitambo. Nyanya alikuwa akimwambia mamaa mbona amepotea kumbe nyanya alikuwa nampa mama ujumbe aende kijiji akajenge. Tangu mamaa ajenge nyanya haja wai Kumjia tena . sasa nimekuelewa vyema Dr . ubarikiwe
Kenyan watching from qatar
Ongeeni kiswahili ili watu wote tufahamu vizuri
Wapendwa ninashida sana, natamani kupata msaada , natamani kama, kuna mtu anajua ofis zake ziko wapi, huyo dr Elie waminian,
Mcheki Lilian mwasha atakuunganisha nae yupo hapahapa daresalam ana ofs zake
mimi nauliza mtu alie kufa unawezamuombea toba kwa mungu
Hivi Hugo docta ni mkongo ?
Huyu babajamani mi naomba niolewe nae nampenda mpka sielewi jamani yani no.reason anaakili mpka anatisha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kashaoa bana tulia teh teh teh teh teh teh
Mko wengi sana mnaotaka kuolewa nae ila keshaowa tayari
🤔🤔🤔🤔
Kablla hujazaliwa ulikuwa wapi?
Kuzaliwa mipango ya Nani?
.
Kukata roho haikuhusu
Binadamu akifa roho yake hateseki tena?
j aimerais avoir le numero de ce monsieur dr Elie
Mafunzo mazur san
Madam jitaidi kubadilika unaboa
Jee dct mfano mtu kafariki halafu ukamota anakupa pesa jee nitakuwa maskini au tajiri naomba unifafanulie
Tafuta hela
@@yehoshafatimayala4563 Hahaha acha ukorofi
@@yehoshafatimayala4563 kabisa🤣🤣
Fanya kazi acha uvivu🤣
Wewe msichana mtangazaji ..ur useless with ur haaaaa...haaaaaaa....haaaaaaaa
😂😂😂
Duh huyu doctor anaongea kiswahili kabisa lkn nashindwa kumuelewa anaongea kiswahili kigumu balaa
Umezoea kinyakyusa tatizo
@@madetetv6576 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nazidi barikiwa na vipindi vyenu, naomba umlete tena dr aongelee kua je ni sahii ukiona mambo hayaendi uombewe ili ya kwende au kusomewa dua