Women Matters (2): Mtu aliyekufa anaweza kukutokea kiukweli ndotoni? Dr Elly atoa ufafanuzi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2019
  • Lillian Mwasha na Dr Elly wameamua kuzungumzia mada nzito kiasi - Kifo. Kuna mengi ya kujifunza japo yanaweza kukuacha kichwa kikiuma kutokana na uzito wake
  • ยานยนต์และพาหนะ

ความคิดเห็น • 85

  • @luluvictor5769
    @luluvictor5769 4 ปีที่แล้ว +20

    If you like this show gonga like

  • @fikiriseleman3460
    @fikiriseleman3460 ปีที่แล้ว +4

    Huyu dada anazinguwa , atulie tusikilize, sio rahis kumwelewa Dr.

  • @longstonebizzempire675
    @longstonebizzempire675 4 ปีที่แล้ว +16

    Huyu dokta anavutu vikubwa sana tunavyohitaji kuvifaham

  • @estermgaya5816
    @estermgaya5816 4 ปีที่แล้ว +12

    Yani doctor unajibu yarohoni pia yamwili Mungu akubaliki sana🙏🙏

  • @T1tanGamingCsgoMore
    @T1tanGamingCsgoMore 4 ปีที่แล้ว +12

    Dr. Ellie is a genius person i have never seen before. God bless yoy

  • @kelvintz7684
    @kelvintz7684 4 ปีที่แล้ว +5

    Huyu jamaa kabra hajafa nitamfaidi sana kwa concept zake

  • @dominickalume2891
    @dominickalume2891 4 ปีที่แล้ว +7

    Very sensitive... Lilian wee wee Binadamu Tunayapenda Maisha Bwana Tunaposkia kifo Sote Ni Balaa Hatuchukulii poa kabisa Kiukweli All in all Sote Inatuhusu#WomenMatters#SnS•√

  • @neemaalphonce1333
    @neemaalphonce1333 4 ปีที่แล้ว +7

    Kuelewa inabidi utulie uconcentrate haswaa 🙌🙌.

  • @shabanrichard9269
    @shabanrichard9269 4 ปีที่แล้ว +7

    Ndoto za hatima yako ni zile taarifa ulizokusanya tokea unazaliwa..lily nakuomba umlete tena doctor aongelee somo la changamoto kwa upana wake aweze kuwasaidia waliokwisha kata tamaa na maisha.

  • @joventmushwaimi3681
    @joventmushwaimi3681 4 ปีที่แล้ว +3

    Nadhani Dk Leo umezidi kunipa madini na nikushukuru Sana kwa maana nimebadilika sana kifikra mpk sasa na we ndo ulikuwa chanzo na mpk sasa najitahidi kusoma vitabu kdhaa vya wakali kama ww ,Asante sana ,na Dada Lilian hebu Fanya kama wiki tatu mfululizo hapo watu waelewe maana hizi imani zimewaumiza sana watu

  • @khadijak3065
    @khadijak3065 4 ปีที่แล้ว +8

    Subhaallah safii dct maelezo elimu nzuri nimeipenda

  • @sifajacky7779
    @sifajacky7779 2 ปีที่แล้ว +3

    Subhanah Allah! you are right Dr Elly. mutu alie poteza ufahamu anasikia. I experienced that feeling
    I have testimony for that. by the way it long story.

  • @felisterjohn493
    @felisterjohn493 4 ปีที่แล้ว +10

    Shida ya huyo Dada muuliza maswali anakera Sana huwa anakuwa na papara Sana awe anaacha doctor anaeleza then anauliza lkn anarukia rukia tu kipindi ni kizuri but huyo Dada huwa anaharaka zimazoboa

  • @sidikgold1912
    @sidikgold1912 4 ปีที่แล้ว +6

    Les francais (wafaransa ) tujuane hapa #TeamDrElly

  • @khadijak3065
    @khadijak3065 4 ปีที่แล้ว +5

    Safii sana LiLyan kwa maswali mazuri nimekipenda kipindi

  • @hajatihajati5357
    @hajatihajati5357 2 ปีที่แล้ว +3

    Merci beaucoup Doctor de vos bonnes experiences et avec une tré haute explication

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 4 ปีที่แล้ว +4

    Maisha marefu Kwa Doctor uyo ni genius

  • @erickmakundi9760
    @erickmakundi9760 4 ปีที่แล้ว +6

    Jamani wawekeeni hawa wageni wazungumzaji maji ya kunywa.

  • @davidone4705
    @davidone4705 4 ปีที่แล้ว +8

    Napenda,,sana anavyo ongea dr,,,anafanya kitu kikubwa sana

  • @khadijak3065
    @khadijak3065 4 ปีที่แล้ว +4

    Hakika wanao kupinga wanakuletea changamoto daa nzuri sana

  • @godwinmsigwa7037
    @godwinmsigwa7037 11 หลายเดือนก่อน

    Mtu hafi kinachokufa ni mwili asantee! Dr ellie

  • @blessdmum.7380
    @blessdmum.7380 4 ปีที่แล้ว +5

    From +254 I'm educated though it's a hard topic we need on being educated ndio tuweze kuelewa what is death.

  • @MELODTZMEDIATV
    @MELODTZMEDIATV 4 ปีที่แล้ว +4

    Fact

  • @mjroyaltz8322
    @mjroyaltz8322 2 ปีที่แล้ว +1

    Asanteee xan dokta Elie 🙏🙏🙏

  • @halimatanzani8587
    @halimatanzani8587 4 ปีที่แล้ว +4

    Sawa safi sana

  • @sharonndowo6922
    @sharonndowo6922 4 ปีที่แล้ว +5

    Uwiii jamani huyu Doctor

  • @rashidisabina5356
    @rashidisabina5356 2 ปีที่แล้ว +2

    Dr. Vous maîtriser les langues internationales vraiment. Vos analyses sont très deep

  • @agnesspetro6695
    @agnesspetro6695 2 ปีที่แล้ว

    Asee I love it

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926
    @jeremiahmwasapilicharlie2926 4 ปีที่แล้ว +1

    asanteni

  • @sabrinaali9750
    @sabrinaali9750 4 ปีที่แล้ว +3

    Nakupenda lily

  • @leahavyarimana3731
    @leahavyarimana3731 4 ปีที่แล้ว

    Deja vue :exactement docteur

  • @fauziyaomar7090
    @fauziyaomar7090 ปีที่แล้ว

    Dr hebu mungu usimfananishe na kitu zungumza kifotu

  • @raheemamkambha6013
    @raheemamkambha6013 4 ปีที่แล้ว +1

    Mpo juu🔥🔥

  • @kaiemujaya7697
    @kaiemujaya7697 4 ปีที่แล้ว +2

    Eee..!
    Hii ni akili kubwa MNO, natafakari.

  • @lukona5821
    @lukona5821 3 ปีที่แล้ว +1

    Mbona mwendelezo wa hii siupti Sis Lilly

  • @kilalakaila9762
    @kilalakaila9762 2 ปีที่แล้ว

    Fact🙏

  • @HappyGoddy-vp6un
    @HappyGoddy-vp6un 11 หลายเดือนก่อน

    Nazidi barikiwa na vipindi vyenu, naomba umlete tena dr aongelee kua je ni sahii ukiona mambo hayaendi uombewe ili ya kwende au kusomewa dua

  • @neynaomagwari9441
    @neynaomagwari9441 2 ปีที่แล้ว

    Abarikiwe Dkt

  • @rebeccaleonard4265
    @rebeccaleonard4265 4 ปีที่แล้ว

    🖐

  • @hamisiramadhani8661
    @hamisiramadhani8661 2 ปีที่แล้ว

    Dar, mungu nimshindi

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 4 ปีที่แล้ว +1

    Achana watu wenye phd zao dr🙌🙌🙌yaan du mpk nimeogop kifo da

  • @bahatimlowe1166
    @bahatimlowe1166 4 ปีที่แล้ว

    Docter, thanks to every thing, nilkuwa juma sana kuhusu mtu kufa.

  • @josephkadeghe4720
    @josephkadeghe4720 2 ปีที่แล้ว +1

    Tatizo Dr anaeleza kana kwamba hakuna wachawi wala shetani

    • @lucyjohn3334
      @lucyjohn3334 2 ปีที่แล้ว

      That's is Philosophy Brother.

  • @a.856
    @a.856 4 ปีที่แล้ว +4

    Kila nafsi itaonja mauti

  • @paulsimba2786
    @paulsimba2786 ปีที่แล้ว

    daaah hakika nimepata ahuweni ktk hili simo kwani nilikuwa naumia sana mke wangu kuacha mwili na mimi na watoto wake na nduguzake niliumia sana

  • @mussaathumani7595
    @mussaathumani7595 ปีที่แล้ว

    Hii neti ya kuishi ni hapa hapa au kwengine

  • @rashidsmalik2460
    @rashidsmalik2460 11 หลายเดือนก่อน

    Ilitakiwa apatikane alie na ufahamu zaidi ya huyu mdada hajui kila kitu huyu

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 4 ปีที่แล้ว +2

    Huyu docta kiboko sasa naanza kuvuta taswira

  • @felisterjohn493
    @felisterjohn493 4 ปีที่แล้ว +1

    Kuwa mama aunt sadaka baby sky na wengine wanaokuwepo

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 4 ปีที่แล้ว +1

    Nikweli Dr juu nakumbuka mamangu alikuwa akiongea na nyanya yangu ila nyanya alikuwa kitambo. Nyanya alikuwa akimwambia mamaa mbona amepotea kumbe nyanya alikuwa nampa mama ujumbe aende kijiji akajenge. Tangu mamaa ajenge nyanya haja wai Kumjia tena . sasa nimekuelewa vyema Dr . ubarikiwe

  • @fortnataangelo4805
    @fortnataangelo4805 4 ปีที่แล้ว +1

    Wapendwa ninashida sana, natamani kupata msaada , natamani kama, kuna mtu anajua ofis zake ziko wapi, huyo dr Elie waminian,

    • @asfdodoma7373
      @asfdodoma7373 4 ปีที่แล้ว

      Mcheki Lilian mwasha atakuunganisha nae yupo hapahapa daresalam ana ofs zake

  • @neynaomagwari9441
    @neynaomagwari9441 2 ปีที่แล้ว

    mimi nauliza mtu alie kufa unawezamuombea toba kwa mungu

  • @nibiziblandina4410
    @nibiziblandina4410 4 ปีที่แล้ว +2

    Hivi Hugo docta ni mkongo ?

  • @anamichal2345
    @anamichal2345 4 ปีที่แล้ว +4

    Huyu babajamani mi naomba niolewe nae nampenda mpka sielewi jamani yani no.reason anaakili mpka anatisha

    • @zara1892
      @zara1892 4 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @joventmushwaimi3681
      @joventmushwaimi3681 4 ปีที่แล้ว +2

      Kashaoa bana tulia teh teh teh teh teh teh

    • @asfdodoma7373
      @asfdodoma7373 4 ปีที่แล้ว

      Mko wengi sana mnaotaka kuolewa nae ila keshaowa tayari

    • @jamesobedy3940
      @jamesobedy3940 2 ปีที่แล้ว

      🤔🤔🤔🤔

  • @mussaathumani7595
    @mussaathumani7595 ปีที่แล้ว

    Kablla hujazaliwa ulikuwa wapi?

  • @mussaathumani7595
    @mussaathumani7595 ปีที่แล้ว

    Kuzaliwa mipango ya Nani?

  • @zuhuramike1399
    @zuhuramike1399 4 ปีที่แล้ว

    .

  • @kelvintz7684
    @kelvintz7684 4 ปีที่แล้ว +1

    Kukata roho haikuhusu

  • @mussaathumani7595
    @mussaathumani7595 ปีที่แล้ว

    Binadamu akifa roho yake hateseki tena?

  • @julienneinamuco2505
    @julienneinamuco2505 3 ปีที่แล้ว

    j aimerais avoir le numero de ce monsieur dr Elie

  • @hawahawa8166
    @hawahawa8166 4 ปีที่แล้ว +2

    Mafunzo mazur san

  • @dionisiabarnabas96
    @dionisiabarnabas96 4 ปีที่แล้ว

    Madam jitaidi kubadilika unaboa

  • @khadijak3065
    @khadijak3065 4 ปีที่แล้ว +3

    Jee dct mfano mtu kafariki halafu ukamota anakupa pesa jee nitakuwa maskini au tajiri naomba unifafanulie

  • @mauvaisecompagnie951
    @mauvaisecompagnie951 4 ปีที่แล้ว

    Wewe msichana mtangazaji ..ur useless with ur haaaaa...haaaaaaa....haaaaaaaa

  • @immanuelmwaipopo1605
    @immanuelmwaipopo1605 3 ปีที่แล้ว

    Duh huyu doctor anaongea kiswahili kabisa lkn nashindwa kumuelewa anaongea kiswahili kigumu balaa

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 2 ปีที่แล้ว

      Umezoea kinyakyusa tatizo

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa ปีที่แล้ว

      @@madetetv6576 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @HappyGoddy-vp6un
    @HappyGoddy-vp6un 11 หลายเดือนก่อน

    Nazidi barikiwa na vipindi vyenu, naomba umlete tena dr aongelee kua je ni sahii ukiona mambo hayaendi uombewe ili ya kwende au kusomewa dua