Huyu ndio Mwanamke aliyemmudu sana Mwalimu Nyerere

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 24

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 2 วันที่ผ่านมา +4

    Sijui mengi ya Siti biti Sadi. Lakini jina lake nalikumbuka sana. Nikiwa kijana tulikuwa na msemo usemao;
    Siti biti Sadi kama si sauti ungekula nini leo. Shukrani kwa Elimu.
    Bibi Titi awe kwenye historia ya nchi hii na Oscar Kambona. Hawa ni kati ya mashujaa wakuu wa nchi hii.

    • @mohamedmwatuwano5526
      @mohamedmwatuwano5526 2 วันที่ผ่านมา +2

      Siti Binti Saad na Bi Titi Mohamed ni watu wawili tofauti.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wahenga waandishi mupewe maua yenu. Hongera mzee wetu.

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 วันที่ผ่านมา +1

    Allah akulipe mzee wetu Wazungu walimtuma nyerere awafute kwa maksudi lengo ni kupoteza nembo ya kuonekana kwamba hii nchi ni ya kiisilamu ndio maana wakamuandikia historiya ya uongo ya kuzua

    • @raymondjohn3798
      @raymondjohn3798 2 วันที่ผ่านมา +1

      Sio nchi ya kiislam,tuna tamaduni zetu kama waafrika,uislam ,ukristo Ni tamaduni Za kigeni,hivyo kwangu haina maana yoyote.

    • @frimatuslupimo2031
      @frimatuslupimo2031 วันที่ผ่านมา +1

      Nchi hii ni ya wote, wenye dini na wasio na dini.

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Dini imeanza kabla au baada ya Tanzania

  • @saidikobossa7489
    @saidikobossa7489 2 วันที่ผ่านมา +2

    ALLAH Akuweke, kisima cha Simulizi za kihistoria ambazo hatuzipati mashuleni.

  • @zulfikakalumba1977
    @zulfikakalumba1977 วันที่ผ่านมา +1

    Shukran sana Mzee wetu

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 2 วันที่ผ่านมา

    Asante sana , Mzee Mohammed kutuelimisha. Nimefurahi na kusikitika pia. Tufanyeje ili tuishi kama zamani ambapo tulikuwa wamoja na wenye kuheshimiana?

  • @Mfundo272
    @Mfundo272 2 วันที่ผ่านมา +1

    Ndugu Mohammed Naomba namba zako za cm please mm naitwa Mfundo from Germany

  • @JovinMwombeki
    @JovinMwombeki 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wanawake kila mara wamekuwa wakilalamikia mfumo dume si kweli wanawake wenyewe walikuwa hawajihamini kama bibi titi muhamed alikuwa anaweza kusimama mbele ya wanaume eakaweza kumsikiliza wakati wa kutafuta uhuru na wanaume hawakumbeza hata siku Moja vipi wanawake mwalahani kuwa wanaume Wana mfumo dume sio kweli wanawake wenyewe walijidharau na tabia ya kusodoana Hadi Leo tabia hiyo ipo na kitojiham ini waache kusi ngizia mfumo dume

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn3798 2 วันที่ผ่านมา

    Kambona ,Na Bibi Titi nawengi inatakiwa wajulikane,kuwe na Historia yao

  • @abdulrahmanshamba5192
    @abdulrahmanshamba5192 2 วันที่ผ่านมา

    Asante sheikh

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli kaka huko Shuleni kwenyewe wakijitahidi kujua hiyo history basi wanaanzia kwa nyerere wakati nyerere mwenyewe kuna wajanja waliompokea mjini

    • @frimatuslupimo2031
      @frimatuslupimo2031 วันที่ผ่านมา

      Hao wajanja walishindwaje kudai uhuru mpaka Nyerere akawaongoza?

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      We Mkundu inaonekana kichwa chako kimejaa oil chafu Kama jina lako,hanisi wewe

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wahi kauze makalio,shoga wewe

  • @antarsangali4456
    @antarsangali4456 วันที่ผ่านมา

    Mchango wa kalamu yako katika uandishi wa historia ya Tanganyika sheikh Mohamed Said haukadiriki. Umefanya utafiti wa kutosha na wenye kina usio na shaka ambao haupingiki

  • @autoimmunesecurity2140
    @autoimmunesecurity2140 2 วันที่ผ่านมา

    Huyu bwana anamchukia Nyerere.?

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 2 วันที่ผ่านมา

      Hajamchukia na wala hamchukii ispokua anaeleza yale yalojiri kosa kubwa lilitokea ni kwa miaka mingi kuonesha Kua ni Nyerere peke yake ndio aliofanya harakati za uhuru kitu ambacho si kweli Huyu ndio anaweka wazi wa yale yalioachwa kusemwa

    • @froma3732
      @froma3732 วันที่ผ่านมา +1

      Ukweli unauma ukiwekwa wazi ndio inakuwa Anamchikia