Barikiwa mzee Mohammed Niko upande wako historia ya nchi yako haitakusahau na ukweli siku zote haupotei 😂😂 na mdundo uliouweka ndo unaniliza mzalendo 😂😂
Mheshimiwa Bwana Mohammed Said Ongera sana. MwenyeziMungu anazo sababu za kukuweka hai mpaka leo kwa hakika tunamshukuru. Kama siyo kitabu chako hii Leo tungedanganywa sana kuhusu historia ya kweli kuhusu tanganyika na sasa tanzania.wote wanaopotosha historia hii adhim ukweli wanaujua ! Familia ya Mheshimiwa Bwana Abdulwahid Sykes ndiyo kinara wa mapambano ya kupigania uhuru wa tanganyika huo ndiyo ukweli wapende wasipende ukweli huo haufutiki. Siku zote uongo hauna mrefu na wazee walisema (Ukweli ukidhihiri uongo ujitenga ) Kwa hiyo Bwana Mohammed Said tuanakupongeza sana kwa kutuandikia historia ya kweli. Aksante sana. Na kingine wanachosahau wapotoshaji nikwamba WAJUKUU WA WALIOPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA BADO WAPO. SHUKRAN.
Historia ni sawa lakini udini unatoka wapi? Kama yanga haikuhusika si aseme tu, sasa kulalamikia kuwa uislamu hautajwi kwani ukristo umetajwa wapi kuwa ndio umehusika?
Nyerere ndo baba yetu watanzania na kiongozi mashuhuri si tu Africa bali duniani wote sisi wakristo na waislamu tanzania tunaishi kindugu nyerere ndo baba wa Taifa hili imeshaandikwa
Huyu mtoto wa Nyerere Madaraka simuamini sana maana kama aliweza kukubali kuwa Sanamu la Baba wa Taifa MJK Nyerere liliojengwa ETHIOPIA kuwa sura ya mzee wake kbs wakati SI kweli halinanii kbs🙄🤔
Umuamini, usimuamini, yeye anatoka jikoni na anajuwa ukweli. Mohammed ni mwanaharakati. Siku zote huandika anayotaka yaaminike kuwa kweli. Yeye msimamo wake ni wa kidini na kila chochote kinachosemwa huandikwa tofauti. Hii misimamo yake ameisambaza kwenye mitandao mingi iliyo hai na iliyokufwa. Yeye ni wale wa itikadi kali wanaotaka kupindua historia ili isomeke wanavyotaka.
Mohamed yuko sawa shida iubwa waliondika historia ya uhuru wanamuonyesha Mwal Peke yake,haya ni makosa makubwa sana,hakuwa peke yake na pia ina onyesha uelewa mdogo sana
Hayo yote ni ya kweli kabisa lakini amemsahau kaka yangu Saadani Abdu Kandoro aliyekua katibu mwenezi wa TAA sijamsikia kumtaja na wala kukitaja kitabu chake kiitwacho Wito au Mwito wa UHURU
Tumuombe Mama Samai uandike kitabu cha historia ya nchi hii kitumike shule za msingi italeta maana zaidi hadi secondary wajifunze,ndio njia sahihi ya kufuta kuto elewa huku
Historia ya kwetu hapa inaonyesha tu kuwa Mkoloni(mwingereza) hawakuacha chochote,walikuwa wakatili,wanyonyaji na wauwaji tu. Kumbe waliacha shule za maana,barabara za lami mijini,walijenga majengo.
MZEE WANGU HESHIMA YAKO KWANZA: WALA USIHOFU JISTORIA YAKO YA UKWELI ITAKUJA KUSANYWA TU NA ITAKUWA WAZI ILIMRADI HAYO UMEYAANDIKA ASANTE SAAAANA KWA UKWELI HUO.
Kwasababu asilimia kubwa ya hao viongozi hawaijui history ya uhuru kwakuwa wazazi wao hawakuona harakari za uhuru kwani walikuwa vijijini, na vijiji vya kipindi cha mkoloni vilikuwa vipo ki primitive.
Hao ndo wakina lukuvi na samweli sita waliogpa na jukhofisha watu kuhusu wazanzibar .sabab uislam.et watu million 46 ,waogopa wazanzibar million moja. Woga au chuki ya uislam?
Acha kubadili upepo wa historia kwa kutumbukiza habari za Deportivo de Utopolo. Wapigania uhuru wote walikuwa Simba ali Sykes Abbas Sykes na kaka yao wote hao simba sports Club achana na madaraka Nyerere na Deportivo deUtopolo yake..!😅😅😅
Halafu swala la kimsaidia Uhuru na Nyerere,waliofanya hawakufanya kutokana na uislamu wao. Walifanya kama watanganyika wakaaji wa Pwani ambao wengi walikuwa waislam. Hawakukaa msikitini wakawaitisha waislam wajitokeze kusaidia uhuru.
Historia Afrika % kubwa ni mkusanyiko wa masimulizi na pia tusisahau binadamu ana hulka ya "biased" upendeleo upande fulani. Tunaposimuliwa jambo tuwe makini . Mwamba ngoma ngozi huvutia kwake. Hakuna binadamu 2 watakaofanana ktk masimulizi 100%. .
Ww sasa ndo unatakataa historia ya kweli na fuvu lako limejaa udini basi yaan apo kichwa chako kinakutuma mzee anasema ukweli anavutia upande wa waislam ndo ulichonacho ktk kichwa chako hakuna lingine mzee hajavutia kwake mzee anaelezea bila kupendelea kokote anasema ilivyokuwepo sahihi na siyo kudanganya danganya watu
@@MuuYascohy-oc7os Usikurupuke,Yanga ni waume zako wewe na unawajua wewe. Tunapokuja kwenye swala la nchi mimi sidhani kama tumapaswa kuwe habari za Uislam na ukristo ama yanga na simba. Af naona kama hujielewi Mke wa kenge wewe.
Madaraka aliyezungumuzia yanga, na Huyo Mjinga anaezungumza habari ya u-shetani wa kiarabu pamoja na wewe mke wa kenge mnapashwa kuzungumza reel story bila kuweka itikadi zenu za kipumbavu wajinga ninyi
@@danielevangelismtv3795 Evangelism matako sana ww endelea kumtumikia Paulo alafu uendelee kuleta usenge wako apa matako bar ww na ukijibu tena kwa matusi shuhuli unayo choko wa Paulo ww
Lakini Mz Mohamed,ukiandika historia ukafunga kitabu,siyo kweli kuwa hakuna jambo ambalo wewe lililokupita na hukuliandika. Sasa usiwashangae wanaofahamu usichokifahamu wewe
Ukweli Historia nyingi sana hapa nchini zimepotoshwa kwa makusudi mazima ya kuwapamba wasiosyahili na kuwafunika waliostahili .Kuanzia Mapambano yabkuleta Uhuru,Mapunduzi ya Zanzibar,Vita vya Kagera n.k.Ni wakati muafaka sasa watu wanaojua Historia hizi kujitokeza kusema ukweli ili kuinusuru Historia halisi
@@nevermind4789hususan kuhusu mwisho wake wanasema alijiuwa ila mm naamini Hitler yu hai ujerumani anakula kuku kwani wajerumani wanampenda sana ila mayahudi na wafuasi wao ndio hawampendi..!
HOFU YA PILI YA MWALIM NI KUFUTWA KTK HISTORIA HALISI YA MAPAMBANO YA TANZANIA! KUNA WATU WALIFUTWA NA KUSIMAMISHWA JINA LAKE! MWALIM ATAPOTEA MRADI WATU WANAOIJUA BADO WAPO NA WAMEAMUA KUFUNGUKA JUU YA HISTORIA YA TANGANYIKA! NA BAADAYE TANZANIA. MWALIM ANAYO YA KUMPONGEZA ILA SI KILA KITU
Shindikizo la mamlaka unalijua? Msikilize vzur profesa Asad aliyekuwa mkaguzi mkuu ndo utajua mamlaka inanguvu kiasi gani kubadili ukweli na kiandikwe watakacho wenye mamlaka
Mzee HUNA hoja,sio Kila kitu kingeandikwa kwenye historia,kuna muda ulifika wakagundua mahala wanapofanyia vikao wakaanza kuwawinda,ndio maana Kwa umahiri wa mwl na wenzake wakaamua kuanzisha vilabu Hivyo Ili kufanyia harakati zao huko,unabisha nn Mzee,?
Hivi leo Tanganyika tunagombana kujua ni kina nani wa dini gani walishiriki kutafuta uhuru? Nilidhani wote walikuwa Watanganyika. Tukimaliza kuangalia udini si tutaulizana makabila? Tukimaliza makabila tutarudi katika koo! Kubwa tuache kupotosha kuwa Nyerere alikuwa kila kitu katika kutafuta uhuru. Kazi ya kuongoza harakati hizo haikufanywa na Nyerere hata kwa robo ya namna inavyotafsiriwa ama tunavyoaminishwa sasa.
Madaraka mbona hapingi Hilo,maana yake kati ya sehemu ya hayo walikuwa wanaendesha mikutano hata club za starehe.ni kama campaign Haifanyiki sehemu Moja.
Kama mitandao inavyo Sema Sema mambo ya mashoga hamyazuii ila ndo manayachochea tu. Mikemeo huwa inakemewa kwa Neno la Mungu nje ya hapo ni kuchochea tu
Nafikili hujamuelewa vizuli Madaraka, yeye kaongerea Mwalimu kuipenda yanga,iliyokea Timu ya Yanga ilihusika katika mapambano ya kupigania uhuru, wa,Tanganyika ,hayo yakwako ni mengine,wala hamna mtu anakupinga,hapa Madaraka kaongerea Yanga si vinginevyo😂inaonekana wewe ni Simba ndo maana unapinga😂😂
Naamini vyote vinaukweli haikuwa rahisi kufanya mikutano yote sehemu moja. Ni kweli yawezekana mikutano ya mwanzo ilifanyika nyumbani kwa Sykes. Lakini haiingii akilini kuwa mikutano yote ifanyike sehemu moja ilhali wakoloni hawakufurahia mikutano hiyo. Tunaambiwa kuwa hata waliokuwa waajiriwa katika serikali ya wakoloni walikuwa wakionywa na kufuatiliwa hivyo kufanya mikutano kwa siri ikiwemo katika mechi za mpira haswa za Yanga na katika burudani za Taarabu ilikuwa ni njia muafaka ya kukwepa wakoloni na pia kutunza siri.
Hilo unalosema halina ushahidi na analosema muhammed said linalo ushahidi hadi wa nyaraka sasa ili tuamini nadharia yako tuletee ushahidi hata wa kufoji ili tuamini sisi hatutaki kupinga historia sisi tunataka kuwapa haki wale wakombozi wa nchi hizi Kwaivo jengea ushahidi kwa unachokisema ili tukuamini
Yanga alikuwa anacheza na nani ad Nyerere aje kufanya mikutano ?? acha upumbavu unalishwa matango pori kwa manufaa ya watu wengine fuvu lako linashindwa kutafakari
Musilete udini. Tanzania kama nchi haina dini, na kila mtanzania Ana dini yake. Uislaam ama ukristo sio utanzania. Hizi ni dini na kila mtanzania ana imani yake. Nyerere alikuwa hana udini. Alishirikiana na wote, waislamu na wakristo. Acheni propaganda za udini. Haijarishi ni nani kaanzisha Tanu. Muislaam ama mkristo bora wote hawa ni watanzania
Ishu sio udini ishu ni waislamu kuchukua Nyerere wakampa madaraka ili afahamike ila baada ya kupata Uhuru akawageuka wote na hakutaka hata watajwe tena
Mzee wewe ni mwelevu ila ni kipande tu cha mtoto wa Nyerere , ila ukweli ni kwamba baadhi ya nikutano ilifanyika Yanga na pia huko nyumbani kwa wazee wetu wakina sykes
How about the revolution in Zanzibar, inaonekana kama trend, like there was John Okello and no one ever talk about him, like it said who writes history, mmmmm the conqueror
YANGA PIA WAONGO MAANA KAMA MADARAKA KAONGOPA KISHA WAMEKAA KIMYA BASI WAO PIA WANAINGIA KWENYE KUNDI LA WADANGANYIFU! NATHIBITISHA UONGO WA YANGA! PELE NA SANTOSI WAGENI WA YANGA JE WALIKUJA!
Ijapokuwa waislamu walihusika kupigania uhuru, lakini si kweli na si busara Mzee unavowapendelea waislamu peke Yao katika kupigania uhuru, mana sijaona kwenye rekodi zako muislamu alieenda UNO ku argue about our case kama Nyerere na kama unavyojua Uhuru wetu umekuja kupitia UNO
@@bahiyalumelezy3016 hiyo inajulikana Kwa Kila mmoja, na kwenye vitabu vya history imeandikwa, Sasa huyo Mzee anacholalamika nini na sio yeye pekee, hiyo hoja nimeisikia Kwa watu wengi hasa waislamu.
We ulitaka waende wote jopo zima ?? wakachanga nauli na wakamsomea dua Bagamoyo kisha wakamwambia nenda utarud na uhuru na kweli alivyoenda wazungu wakawa wanamuogopa kwa dua alizofanyiwa
@@GodfreyOswardMuislamu imani yake haimfunzi chuki, Historia ya Uislamu ukiifuatilia ndio waliopata madhila kwa kuamini Uislamu tu. Shida ipo kwenu mtu akiwa Muislamu mnataka hata akose mkate wa siku.
@@Sheba4651Shetani anakunyemelea ndugu. Wewe utafiti huo kwamba binadamu wa Imani nyingine hataki update chakula umeufanyaje?. Mtaani watu tunaishi kama watanzania. Itikadi wakati mwingine ujenga chuki tu. Sunni na Shia hua hawaelewani mpaka vita. Huyu mzee aandike Yale anayo yakumbuka ila ana nafasi ya udini hapa. Pia nawe pambbana kupata maendeleo yako kwa akili yako yote uwanja uko wazi, hakuna anayezuwiwa kwa dini yake. Mitano tz ni mingi tu tuna watu wamefanikiwa kiongozi, kibiashara na kijamii. Historia ya hivi karibuni inaonyesha watu kutaka madaraka kwa kutumia itikadi za kiimani. Kote huko kumeacha maafa.
Mzee naye Ana wivu hataki watu waseme. Kama Abdul saksi alikuwa na wivu naye ataongea hivyohivyo. Historia ya kweli inatokana na wakweli siyo walioona au sikia wakati wana labia za uongo
Ukiwa tayari tunaomba tukukutanishe na Mwalimu Mohammed Said,mbadilishane notes Juu ya unachokijua kuhusu TANU na yeye anachokijua kuhusu TANU,nasi tutashare izo NOTES na Public ili watanzania wanufaike.
Dah wewe mzee unaonekana una udini sana, kwa watu waneshwahi kuhoji dini gani ilipigania uhuru? Huwa wanatajwa watu na sio dini, suji nani kishasema kuwa wakristo ndio wamepigania uhuru? Nilikuwa nakusiliza lkn nimeshakutoa maana, hayq tusemle waislamu ndio wameoigania uhuru, lkn kwa n8n8 ha2atajwi
Wakati waislamu wakijitoa muhanga kupigania Uhuru wakristo walisema hawachanganyi dini na siasa wakawa wanabaki makanisani kufundishana neno la bwana wakati wenzao msikitini wanahamasishana kwamba Tanu ni lazima kwa muislamu kama ilivyo swala tano
Wengine wanasema Nyerere alikuwa baba yawo wa ubatizo. Wengine wanaosema baba zawo walikuwa matajiri walimusaidia Nyerere kupigania uhuru . Utafikiri wawo walikuwa sio watanganyika, walimusaidia tu Nyerere, kupata uhuru. Uwongo mwingi kila kona. Watanzania wanaabudu mpira, mpaka tumekuwa wajinga. Uwongo mtupu wa Mbowe. Tumekuwa wajinga wa mipira. Yuko wapi Mbowe? Asikie historia ya kweli?
Mashallah sheikh Mohammad naneno yako mazuri na ya ukweli kabisa❤❤❤❤
Mzee mohammed nakuelewa sana .andika kitabu cha historia halisi kuhusu jambo hili.tunaongopewa
Kitabu alikwisha andika siku nyingi na kipo madukani,tafuta kitabu kinaitwa "MAISHA YA ABDULWAHID SYKES,utapata histroria yoote.
Barikiwa mzee Mohammed Niko upande wako historia ya nchi yako haitakusahau na ukweli siku zote haupotei 😂😂 na mdundo uliouweka ndo unaniliza mzalendo 😂😂
Mheshimiwa Bwana Mohammed Said Ongera sana.
MwenyeziMungu anazo sababu za kukuweka hai mpaka leo kwa hakika tunamshukuru.
Kama siyo kitabu chako hii Leo tungedanganywa sana kuhusu historia ya kweli kuhusu tanganyika na sasa tanzania.wote wanaopotosha historia hii adhim ukweli wanaujua !
Familia ya Mheshimiwa Bwana Abdulwahid Sykes ndiyo kinara wa mapambano ya kupigania uhuru wa tanganyika huo ndiyo ukweli wapende wasipende ukweli huo haufutiki.
Siku zote uongo hauna mrefu na wazee walisema (Ukweli ukidhihiri uongo ujitenga ) Kwa hiyo Bwana Mohammed Said tuanakupongeza sana kwa kutuandikia historia ya kweli.
Aksante sana.
Na kingine wanachosahau wapotoshaji nikwamba WAJUKUU WA WALIOPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA BADO WAPO.
SHUKRAN.
Allah akulipe kila heri mzee wetu
Sema mzee kabla hujaondoka kwenye uso wa dunia historia ya kweli tujue
Yote unayosema ni kweli kabisa, ni kweli kabisa kabisa lakin imetokea nyerere akaonekana
Huyu bb nampenda sana anavyoelezea historia ya nchi yetu napenda kumsikiliza hachoshi
Historia ni sawa lakini udini unatoka wapi? Kama yanga haikuhusika si aseme tu, sasa kulalamikia kuwa uislamu hautajwi kwani ukristo umetajwa wapi kuwa ndio umehusika?
Madaraka kweli UNAIPENDA YANGA POKEA🎉🎉🎉 YAKO KUPOTOSHA. DUUUUH
Nyerere ndo baba yetu watanzania na kiongozi mashuhuri si tu Africa bali duniani wote sisi wakristo na waislamu tanzania tunaishi kindugu nyerere ndo baba wa Taifa hili imeshaandikwa
Nyerere Ali ondowa istori ya kweli kila mahala alijiweka yeye mwenyewe
#NONSENSE
Waambie ukweli mzee , waongo sana hawa hakuna alilolifanya zaidi ya dhuluma ya wazazi wetu na mwenzie kawawa
Huyu mtoto wa Nyerere Madaraka simuamini sana maana kama aliweza kukubali kuwa Sanamu la Baba wa Taifa MJK Nyerere liliojengwa ETHIOPIA kuwa sura ya mzee wake kbs wakati SI kweli halinanii kbs🙄🤔
Umuamini, usimuamini, yeye anatoka jikoni na anajuwa ukweli. Mohammed ni mwanaharakati. Siku zote huandika anayotaka yaaminike kuwa kweli. Yeye msimamo wake ni wa kidini na kila chochote kinachosemwa huandikwa tofauti. Hii misimamo yake ameisambaza kwenye mitandao mingi iliyo hai na iliyokufwa. Yeye ni wale wa itikadi kali wanaotaka kupindua historia ili isomeke wanavyotaka.
Mohamed yuko sawa shida iubwa waliondika historia ya uhuru wanamuonyesha Mwal Peke yake,haya ni makosa makubwa sana,hakuwa peke yake na pia ina onyesha uelewa mdogo sana
Hii nchi Ina shida sana history inapotoahwa
Allah akupe Umri Mrefu na haya yote unayosema Allah akujaalie uyaweke katika maandishi
Siku Zote uongo hauwezi kushinda. Iko siku ukweli utaibuka hadharani.
Hata Dini iko hivyo hivyo Vitabu vime andikwa lakini kuna Madheebu. Hizo ni Porojo za Saigon Club hizo una tuletea
Mzee mtukome nyerere
Story teller Blessed
Allah akulipe kheri mzee wetu
Huyu madaraka sijawahi kumuelewa.kumbe yanga waongo sana
Sasa waongo yanga au historia tuliyosimuliwa ndio waongo?
@gweaukihshoo5120 ukisha kuwa mshabiki wa Yanga, ujue kuna tatizo
Hayo yote ni ya kweli kabisa lakini amemsahau kaka yangu Saadani Abdu Kandoro aliyekua katibu mwenezi wa TAA sijamsikia kumtaja na wala kukitaja kitabu chake kiitwacho Wito au Mwito wa UHURU
Tumuombe Mama Samai uandike kitabu cha historia ya nchi hii kitumike shule za msingi italeta maana zaidi hadi secondary wajifunze,ndio njia sahihi ya kufuta kuto elewa huku
Historia ya kwetu hapa inaonyesha tu kuwa Mkoloni(mwingereza) hawakuacha chochote,walikuwa wakatili,wanyonyaji na wauwaji tu. Kumbe waliacha shule za maana,barabara za lami mijini,walijenga majengo.
MZEE WANGU HESHIMA YAKO KWANZA:
WALA USIHOFU JISTORIA YAKO YA UKWELI ITAKUJA KUSANYWA TU NA ITAKUWA WAZI ILIMRADI HAYO UMEYAANDIKA ASANTE SAAAANA KWA UKWELI HUO.
HAMIS MFARANYAKI HAKUA NYUMA
Hata viongozi wenyewe hawajui kwa undani historia ya mwalimu na vugu vugu la uhuru
Kwasababu asilimia kubwa ya hao viongozi hawaijui history ya uhuru kwakuwa wazazi wao hawakuona harakari za uhuru kwani walikuwa vijijini, na vijiji vya kipindi cha mkoloni vilikuwa vipo ki primitive.
Haya mambo basi tu.
Hao ndo wakina lukuvi na samweli sita waliogpa na jukhofisha watu kuhusu wazanzibar .sabab uislam.et watu million 46 ,waogopa wazanzibar million moja. Woga au chuki ya uislam?
Masikini Mzee Mohammed Said, hadi namhurumia anavyowapambania kina Sykes 😂😂
Huyu bwana Mohammed ni msomi lakini ni kolo mengine yupo sawa lakini ni kolo
Acha kubadili upepo wa historia kwa kutumbukiza habari za Deportivo de Utopolo. Wapigania uhuru wote walikuwa Simba ali Sykes Abbas Sykes na kaka yao wote hao simba sports Club achana na madaraka Nyerere na Deportivo deUtopolo yake..!😅😅😅
@@hassanmfaume4522achana nao huyo kolo yeye mwenyewe
tuletee historia ya Cecil Matola hatumjui kabisa
Halafu swala la kimsaidia Uhuru na Nyerere,waliofanya hawakufanya kutokana na uislamu wao. Walifanya kama watanganyika wakaaji wa Pwani ambao wengi walikuwa waislam. Hawakukaa msikitini wakawaitisha waislam wajitokeze kusaidia uhuru.
Inawezekana akifanya yote: Yaani kwenye mikusanyiko ya mpira na pia kwa kina Sykes. Kuna mikutano ya hadhara na ya siri, ya ndani.
Tuseme tu Kuwa, Qur'an imesema, "Lakini Watu wengi hawana shukrani," watu hawapendi ukweli, hata uwape kitu gani?
Hajui kitu madaraka
Kwani wakitajwa Waislam ndo itakuwaje...kwamba Nyerere hatakuwa Rais wa Kwanza wa Tanganyika ... nonsense
Mshume Kiate wanamjua hao?
Inshu sio udini tunata historia ya kweli ya tanganyika
Historia Afrika % kubwa ni mkusanyiko wa masimulizi na pia tusisahau binadamu ana hulka ya "biased" upendeleo upande fulani. Tunaposimuliwa jambo tuwe makini . Mwamba ngoma ngozi huvutia kwake. Hakuna binadamu 2 watakaofanana ktk masimulizi 100%. .
Ww sasa ndo unatakataa historia ya kweli na fuvu lako limejaa udini basi yaan apo kichwa chako kinakutuma mzee anasema ukweli anavutia upande wa waislam ndo ulichonacho ktk kichwa chako hakuna lingine mzee hajavutia kwake mzee anaelezea bila kupendelea kokote anasema ilivyokuwepo sahihi na siyo kudanganya danganya watu
Hapa kinatakiwa historia ya kweli ya nchi si udini
Wazo la TANU lilitolewa na mtu mmoja wa Tosamaganga,likabebwa na waliokuwa na watu waliokuwa na ushawishi,likawa wazo lao
Hivi huyo madaraka anaficha nini kuhusu history yatanganyika mimi naamini hajui history kamili
Acha udini mjinga mmoja tuu.
Ww ndo fuvu lako limejaa udini kenge ww!! yaan Nyerere akakae vikao na wachezaji wa Yanga ndo kutafuta uhuru acha upuuz
@@MuuYascohy-oc7os Usikurupuke,Yanga ni waume zako wewe na unawajua wewe. Tunapokuja kwenye swala la nchi mimi sidhani kama tumapaswa kuwe habari za Uislam na ukristo ama yanga na simba. Af naona kama hujielewi Mke wa kenge wewe.
Madaraka aliyezungumuzia yanga, na Huyo Mjinga anaezungumza habari ya u-shetani wa kiarabu pamoja na wewe mke wa kenge mnapashwa kuzungumza reel story bila kuweka itikadi zenu za kipumbavu wajinga ninyi
@@danielevangelismtv3795 kuma la mamaako ujielewi ww na wazee wako kuma ww
@@danielevangelismtv3795 Evangelism matako sana ww endelea kumtumikia Paulo alafu uendelee kuleta usenge wako apa matako bar ww na ukijibu tena kwa matusi shuhuli unayo choko wa Paulo ww
Alikuwa anafunga swaumu na waislam
Lakini Mz Mohamed,ukiandika historia ukafunga kitabu,siyo kweli kuwa hakuna jambo ambalo wewe lililokupita na hukuliandika. Sasa usiwashangae wanaofahamu usichokifahamu wewe
Hii timu ya Yanga ilkuwainacheza na timu zipi mbona manasema Yanga tuu ilikuwa inacheza pekee yake?
Ukweli Historia nyingi sana hapa nchini zimepotoshwa kwa makusudi mazima ya kuwapamba wasiosyahili na kuwafunika waliostahili .Kuanzia Mapambano yabkuleta Uhuru,Mapunduzi ya Zanzibar,Vita vya Kagera n.k.Ni wakati muafaka sasa watu wanaojua Historia hizi kujitokeza kusema ukweli ili kuinusuru Historia halisi
Sio nchini sema duniani kwa sababu historia huandikwa na walioshika madaraka hata historia ya Hitler haina usahihi 100% pia
@@nevermind4789hususan kuhusu mwisho wake wanasema alijiuwa ila mm naamini Hitler yu hai ujerumani anakula kuku kwani wajerumani wanampenda sana ila mayahudi na wafuasi wao ndio hawampendi..!
Uto watapinga na hili
Miziki,ya nn, ?
Asee hata mm inanishisha akili ya kusikiliza
HOFU YA PILI YA MWALIM NI KUFUTWA KTK HISTORIA HALISI YA MAPAMBANO YA TANZANIA! KUNA WATU WALIFUTWA NA KUSIMAMISHWA JINA LAKE! MWALIM ATAPOTEA MRADI WATU WANAOIJUA BADO WAPO NA WAMEAMUA KUFUNGUKA JUU YA HISTORIA YA TANGANYIKA! NA BAADAYE TANZANIA. MWALIM ANAYO YA KUMPONGEZA ILA SI KILA KITU
Kwani HISTORIA anaandlka Nyerere
@@edwardmkweleleHistory is written by the winner
Shindikizo la mamlaka unalijua? Msikilize vzur profesa Asad aliyekuwa mkaguzi mkuu ndo utajua mamlaka inanguvu kiasi gani kubadili ukweli na kiandikwe watakacho wenye mamlaka
Kwani unaosema wamefutwa je wangetajwa. Wangerudisha ukoloni?, hoja za kijinga kabisa,
Mzee HUNA hoja,sio Kila kitu kingeandikwa kwenye historia,kuna muda ulifika wakagundua mahala wanapofanyia vikao wakaanza kuwawinda,ndio maana Kwa umahiri wa mwl na wenzake wakaamua kuanzisha vilabu Hivyo Ili kufanyia harakati zao huko,unabisha nn Mzee,?
Mwalimu alikuwa hataki ujinga wa mpira. Mpira umetawala akiri za viongozi na watanzania mpaka tumekuwa kama wajinga. Umemusahau baba ya Mbowe 😅
Wanaficha ukweli
Sawa
Hivi leo Tanganyika tunagombana kujua ni kina nani wa dini gani walishiriki kutafuta uhuru?
Nilidhani wote walikuwa Watanganyika.
Tukimaliza kuangalia udini si tutaulizana makabila?
Tukimaliza makabila tutarudi katika koo!
Kubwa tuache kupotosha kuwa Nyerere alikuwa kila kitu katika kutafuta uhuru. Kazi ya kuongoza harakati hizo haikufanywa na Nyerere hata kwa robo ya namna inavyotafsiriwa ama tunavyoaminishwa sasa.
I meant Mhe,Dr Mama Samia aruhusu iandikwe upya, mvurugano wa historia ya nchi yetu inaonyesha hatupo organized.
Madaraka mbona hapingi Hilo,maana yake kati ya sehemu ya hayo walikuwa wanaendesha mikutano hata club za starehe.ni kama campaign Haifanyiki sehemu Moja.
Waislam watanzania lakin mzee said,waislam kama watanzania mi naona sawa iwekwe sawa tu hatuna haja ya kubishana jaman
Mbona inssemekana watu wa simba wao ndo wakwanza kuwa kwenye taa inkuwaje kwenye tanu wansenguliwaaaa?
Kusoma na kuelewa ni changamoto sana hasa kama mwandishi au msikilizaji amekumbwa na "Bias".
Miziki ya maombolezo niyanini
Fuvu lako akili zimeondoka na nguruwe udini umekujaa mtu anaelezea historia ya kale ww umebaki na ujinga wako wa Paulo tu
Kumbe issue ni uislam
Kama mitandao inavyo Sema Sema mambo ya mashoga hamyazuii ila ndo manayachochea tu. Mikemeo huwa inakemewa kwa Neno la Mungu nje ya hapo ni kuchochea tu
huyu madaraka hajui chochote kuhusu historia ya wapigania uhuru wa tanganyika!!
Anajua ila anafanya kusudi tu kwani unafikiri hajuwi uongo uongo huu wamezoea wazanaki kuwaongopea watanganyika
Nafikili hujamuelewa vizuli Madaraka, yeye kaongerea Mwalimu kuipenda yanga,iliyokea Timu ya Yanga ilihusika katika mapambano ya kupigania uhuru, wa,Tanganyika ,hayo yakwako ni mengine,wala hamna mtu anakupinga,hapa Madaraka kaongerea Yanga si vinginevyo😂inaonekana wewe ni Simba ndo maana unapinga😂😂
huwezi kuwadanganya watu,tena watu wote na kwa wakati wote?!utadanganya watu fulani tena kwa wakati fulani tu!!kisha ukweli utajulikana!!
Naamini vyote vinaukweli haikuwa rahisi kufanya mikutano yote sehemu moja. Ni kweli yawezekana mikutano ya mwanzo ilifanyika nyumbani kwa Sykes. Lakini haiingii akilini kuwa mikutano yote ifanyike sehemu moja ilhali wakoloni hawakufurahia mikutano hiyo. Tunaambiwa kuwa hata waliokuwa waajiriwa katika serikali ya wakoloni walikuwa wakionywa na kufuatiliwa hivyo kufanya mikutano kwa siri ikiwemo katika mechi za mpira haswa za Yanga na katika burudani za Taarabu ilikuwa ni njia muafaka ya kukwepa wakoloni na pia kutunza siri.
Hilo unalosema halina ushahidi na analosema muhammed said linalo ushahidi hadi wa nyaraka sasa ili tuamini nadharia yako tuletee ushahidi hata wa kufoji ili tuamini sisi hatutaki kupinga historia sisi tunataka kuwapa haki wale wakombozi wa nchi hizi
Kwaivo jengea ushahidi kwa unachokisema ili tukuamini
Yanga alikuwa anacheza na nani ad Nyerere aje kufanya mikutano ?? acha upumbavu unalishwa matango pori kwa manufaa ya watu wengine fuvu lako linashindwa kutafakari
Musilete udini. Tanzania kama nchi haina dini, na kila mtanzania Ana dini yake. Uislaam ama ukristo sio utanzania. Hizi ni dini na kila mtanzania ana imani yake. Nyerere alikuwa hana udini. Alishirikiana na wote, waislamu na wakristo. Acheni propaganda za udini. Haijarishi ni nani kaanzisha Tanu. Muislaam ama mkristo bora wote hawa ni watanzania
Ishu sio udini ishu ni waislamu kuchukua Nyerere wakampa madaraka ili afahamike ila baada ya kupata Uhuru akawageuka wote na hakutaka hata watajwe tena
Mzee usiondoke mpaka ukweli ujulikane.
Mwambie asiachie hapo hapo maana kuna watu wanataka kuipandisha Utopolo waione ni Club ya wananchi kweli kumbe wakwezi tu wa minazi ..😅😅😅
Mzee wewe ni mwelevu ila ni kipande tu cha mtoto wa Nyerere , ila ukweli ni kwamba baadhi ya nikutano ilifanyika Yanga na pia huko nyumbani kwa wazee wetu wakina sykes
How about the revolution in Zanzibar, inaonekana kama trend, like there was John Okello and no one ever talk about him, like it said who writes history, mmmmm the conqueror
Tayari una udini, nchi hii ilipiganiwa na watu wate ambao ni watanganyika lkn sio dini ilipigania
😂😂😂😂😂😂hujui
@@SabihaibrahimRajabu kwahiyo ukiitaja Dini ndo raha yenu. Basi nyinyi pk yenu mlipigania Uhuru. Sasa ilikuwaje mwalimu akawa Rais?
Kunyamaza pia ni akili kuliko kupinga usoyajuwa,
Kalagabaho,watu wanaeleza mambo ya kweli na ya maana kwa nchi wewe unalazimisha uongopewe?
@@efraimjohn4956Soma historia wewe, ilikua lazima awe nyerere, mkoloni alitaka mtu mwenye sifa alizotaka yeye ndio awe rais uhuru ukipatikana.
YANGA PIA WAONGO MAANA KAMA MADARAKA KAONGOPA KISHA WAMEKAA KIMYA BASI WAO PIA WANAINGIA KWENYE KUNDI LA WADANGANYIFU! NATHIBITISHA UONGO WA YANGA! PELE NA SANTOSI WAGENI WA YANGA JE WALIKUJA!
Pili sasa hivi kaingia muongo mwengine yanga pale anaitwa haji manara huyu anaongopa mpaka sheitani anacheka😅😅😅
kwani issue ni uislam?
Ijapokuwa waislamu walihusika kupigania uhuru, lakini si kweli na si busara Mzee unavowapendelea waislamu peke Yao katika kupigania uhuru, mana sijaona kwenye rekodi zako muislamu alieenda UNO ku argue about our case kama Nyerere na kama unavyojua Uhuru wetu umekuja kupitia UNO
Hujaskia akiwataja wakristo wakina John rupia,kasela bantu, na Steve mhando au unajizima data
Walimchangia nauli na wakambariki aende yeye,sasa ulitaka nchi nzima waende huko?
@@bahiyalumelezy3016 hiyo inajulikana Kwa Kila mmoja, na kwenye vitabu vya history imeandikwa, Sasa huyo Mzee anacholalamika nini na sio yeye pekee, hiyo hoja nimeisikia Kwa watu wengi hasa waislamu.
We ulitaka waende wote jopo zima ?? wakachanga nauli na wakamsomea dua Bagamoyo kisha wakamwambia nenda utarud na uhuru na kweli alivyoenda wazungu wakawa wanamuogopa kwa dua alizofanyiwa
Chuki za dini zimewajaa watu vifuani!!
na dharau kwa waislam!!
Sio anayelalamika kuchukiwa ndiye mwenyewe chuki?
@@GodfreyOswardMuislamu imani yake haimfunzi chuki, Historia ya Uislamu ukiifuatilia ndio waliopata madhila kwa kuamini Uislamu tu. Shida ipo kwenu mtu akiwa Muislamu mnataka hata akose mkate wa siku.
Sawa walivyo hao 3:33 @@Sheba4651
@@Sheba4651Shetani anakunyemelea ndugu. Wewe utafiti huo kwamba binadamu wa Imani nyingine hataki update chakula umeufanyaje?. Mtaani watu tunaishi kama watanzania. Itikadi wakati mwingine ujenga chuki tu. Sunni na Shia hua hawaelewani mpaka vita. Huyu mzee aandike Yale anayo yakumbuka ila ana nafasi ya udini hapa. Pia nawe pambbana kupata maendeleo yako kwa akili yako yote uwanja uko wazi, hakuna anayezuwiwa kwa dini yake. Mitano tz ni mingi tu tuna watu wamefanikiwa kiongozi, kibiashara na kijamii. Historia ya hivi karibuni inaonyesha watu kutaka madaraka kwa kutumia itikadi za kiimani. Kote huko kumeacha maafa.
Mzee naye Ana wivu hataki watu waseme. Kama Abdul saksi alikuwa na wivu naye ataongea hivyohivyo. Historia ya kweli inatokana na wakweli siyo walioona au sikia wakati wana labia za uongo
Fanatism, unaangalia nani msemaji huangalii kilichosemwa.
Mohammed Said amechanganya na kupotosha mada. Nikipata muda nitajibu. - Madaraka
Mpotoshaji wewe hapo huna unalolijua mpumbavu mmoja unifirigiswa bongo lako hasidi mmoja
Mshazowea kudanganywa ukweli hamuutaki
Hajachanganya chochote unajidanganya mwenyewe
Huna utalojibu hata moja ukaaminiwa labda chawa wenzako huna ujuzi wala ubavu wa kumjibu ila kama kawaida yenu nyie mizimwi wa CCM kupinga pinga
Ukiwa tayari tunaomba tukukutanishe na Mwalimu Mohammed Said,mbadilishane notes Juu ya unachokijua kuhusu TANU na yeye anachokijua kuhusu TANU,nasi tutashare izo NOTES na Public ili watanzania wanufaike.
Ni kweli waislam ndio walipigania huru
Dah wewe mzee unaonekana una udini sana, kwa watu waneshwahi kuhoji dini gani ilipigania uhuru? Huwa wanatajwa watu na sio dini, suji nani kishasema kuwa wakristo ndio wamepigania uhuru? Nilikuwa nakusiliza lkn nimeshakutoa maana, hayq tusemle waislamu ndio wameoigania uhuru, lkn kwa n8n8 ha2atajwi
Maana ya udini ni ukitajwa uislamu tu siyo
Wakati waislamu wakijitoa muhanga kupigania Uhuru wakristo walisema hawachanganyi dini na siasa wakawa wanabaki makanisani kufundishana neno la bwana wakati wenzao msikitini wanahamasishana kwamba Tanu ni lazima kwa muislamu kama ilivyo swala tano
Wengine wanasema Nyerere alikuwa baba yawo wa ubatizo. Wengine wanaosema baba zawo walikuwa matajiri walimusaidia Nyerere kupigania uhuru . Utafikiri wawo walikuwa sio watanganyika, walimusaidia tu Nyerere, kupata uhuru. Uwongo mwingi kila kona. Watanzania wanaabudu mpira, mpaka tumekuwa wajinga. Uwongo mtupu wa Mbowe. Tumekuwa wajinga wa mipira. Yuko wapi Mbowe? Asikie historia ya kweli?