17 Yalomkuta Saleh Sadalla

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 มี.ค. 2016
  • Saleh Sadalla aligombana na Karume kwa sababu ya mwanamke. Karume alimtukana Sasalla kwenye kikao cha baraza la mapinduzi. Karume kataka kumpiga Sadalla na Sadalla akataka kumpiga risasi Karume, hakufaulu. Kwahivyo Sadalla kafungwa na baadae Karume kamuua.

ความคิดเห็น • 20

  • @rashidsalum722
    @rashidsalum722 6 ปีที่แล้ว +8

    Allah akupe pepo ya hali ya juu kabisa shehe Aman Than kiukweli mlipata mateso makubwa sana.

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 4 ปีที่แล้ว +3

    Allah(SW) akuweke mahali pema peponi amin. Haya mambo hayasemwi na wanaendelea kupotosha ukweli huu kwenye misingi ya elimu.

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 5 ปีที่แล้ว +7

    Watesaji wateswaji wote wameshafika kwa Hakim muadilifu

  • @farhatfatma12
    @farhatfatma12 8 ปีที่แล้ว +11

    sasa kiduchu nimeanza kupata ukweli wa mambo yalivyokua wakati wa utawala wa serikali ya kwanza ya mapinduzi. inaonekana tulivyosomeshwa skuli sivyo kabisa.
    Allah mrehemu mzee huyu kwa kutupa ukweli wa mambo na umuingize kwenye pepo yako tukufu.

    • @MzeeBarwani
      @MzeeBarwani  8 ปีที่แล้ว +3

      Mwenyezi Mungu anatufundisha:
      "Wanataka kuizima Nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao, na Mwenyezi Mungu anakataa ila aitimize Nuru yake ijapo kuwa makafiri watachukia." (9:33)
      Na Abraham Lincoln anatuambia:
      "Unaweza kudanganya watu kwa muda mchache na baadhi ya watu milele, lakin huwezi kudanganya watu wote milele"

    • @farhatfatma12
      @farhatfatma12 4 ปีที่แล้ว +1

      @@MzeeBarwani ,
      Baada ya miaka 3 najibu message yako. Allah akubarik.
      Kila nikipata muda humaikiliza marehemu Thani, hakika katufumbua macho.

  • @jeanmubemba1204
    @jeanmubemba1204 3 ปีที่แล้ว +1

    MZEE THAN WAS SO GENIUS

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 5 ปีที่แล้ว +1

    Naomba Ruhusa Kuzitumia Hizi Video zako Ndugu yangu, Zitasaidia sana Kusaidia Tanzania Kuona Umuhimu wa Kujali haki.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 6 หลายเดือนก่อน

    ✌️👊🙏.

  • @andrewairo3483
    @andrewairo3483 7 ปีที่แล้ว +4

    kumbe wakati wa utawala wa mwanzo yalifanyika mambo mazito

  • @donpablo2651
    @donpablo2651 4 ปีที่แล้ว +1

    Wamegeuka mbogo wakaanza kulana wenyewe kwa wenyewe dhambi ya damu bana

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s 4 หลายเดือนก่อน

    Na kizuri walifanyiana ubaya wenyewe kwa wenyewe.

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 4 ปีที่แล้ว

    Inshallah kher

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 5 ปีที่แล้ว +1

    Ukweli ni huu kuusuta ni uwongo

  • @seifcrony2435
    @seifcrony2435 3 ปีที่แล้ว

    Yule baharia alikuwa mshenzi sana

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529
    @alhamdulillahalhamdulillah7529 2 ปีที่แล้ว

    Eti tunamuondoa muarabu madhalim wakubwa washirazi wangapi muliwaangamiza

  • @user-vi3xx5ew5i
    @user-vi3xx5ew5i 10 หลายเดือนก่อน

    Unamutoleya rais bastola. ? Unafikikiya nn. ? Kisa kuma za Kizanji za wote haya limekukuta majuto mjukuu yote hii elimu Dunia angekuwa nayo yasingemukuta Karume hajasoma harafu unashindana naye

  • @ibrahimnassor1561
    @ibrahimnassor1561 6 ปีที่แล้ว +2

    Kumbe mambo ndivyo yalivyokua hivyo

    • @hassanmtema194
      @hassanmtema194 5 ปีที่แล้ว +2

      wazee wali teseka san jamani

  • @donpablo2651
    @donpablo2651 4 ปีที่แล้ว

    Wamegeuka mbogo wakaanza kulana wenyewe kwa wenyewe dhambi ya damu bana