"HATUOGOPI LOLOTE, HATUMUOGOPI YEYOTE, TUPO TAYARI", KAULI YA JESHI LA JWTZ WAKIPIGA TIZI LEO..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 69

  • @lazarosilayo6918
    @lazarosilayo6918 2 ปีที่แล้ว +2

    Vizur saaana JWTZ we2, ushaur angu tuendelee kuadvance zaidi kwny teknolojia upande wa anga na hata silaha. Dunia imechafuka kwa sasa masuala ya vita yamepamba moto kuliko masuala ya Mungu😓

  • @simontamba1285
    @simontamba1285 2 ปีที่แล้ว +4

    Kuna nchi wanajeshi walifundishwa uzalendo yaani mwanajeshi ndiye nayekuwa mzalendo namba moja kwa hiyo hata kusimamia utawala bora wenye kufuata misingi ya haki kwa watu wote pia ufisadi wanajeshi walikuwa wazalendo namba moja sijui hapa kwetu kwenye kujenga umoja halisi wa watz siasa inatumika kuwabagua watu na kuwatenga
    Mungu ibariki Tanzania

    • @estherraphael4739
      @estherraphael4739 2 ปีที่แล้ว

      Congratulations to Our Army! God Bless them.

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 ปีที่แล้ว +2

    Maasha Alllah tabalakallah

  • @ismailmajala2802
    @ismailmajala2802 2 ปีที่แล้ว +1

    Afande Miyala mzee wa Buku 2 nakumbuka sana 842 kJ

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 2 ปีที่แล้ว +4

    Haya ndo majeshi yaki Africa bwana mbwembwe nyingiiiii lkn

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 ปีที่แล้ว +4

    Kwanza ilikuwa muunze na upandaji wa bei za vyakula masokoni

  • @kisiwaumwitakt1334
    @kisiwaumwitakt1334 2 ปีที่แล้ว +1

    Kongo tu mmeshindwa tena na kanchi kadogho sana rwanda anawauwa tu kili sku wai kwannn yaan mmeshindwa kumzbit kabsa asichafue congo

  • @jeremiahkilato295
    @jeremiahkilato295 2 ปีที่แล้ว +4

    Tunajivunia kuwa na Jeshi bora na hodari kama hili

    • @johnbernad3990
      @johnbernad3990 2 ปีที่แล้ว

      Jivunie Amani iliyopo na siyo jeshi unadhani hili jeshi lenu linauwezo wa kumzuia mmarekani au mrusi? wanajeshi wenyewe mpaka wameota vitambi hawana hata kazi za kufanya zaidi ya siku za maonyesho ya muungano na uhuru kwisha habari

  • @manrasiel8054
    @manrasiel8054 2 ปีที่แล้ว +9

    Wanajichosha tu, watu wanaiba rasilimali kila siku

  • @wilfredmlaki822
    @wilfredmlaki822 2 ปีที่แล้ว +3

    Jeshi linalotumia zana za kizamani! Vita vya sasa hivi haviitaji misuli mingi Bali technology ya kisasa

    • @martinemifuko71
      @martinemifuko71 2 ปีที่แล้ว

      Uhame uhamie kwenye nchi inayotumia zana za kisasa

  • @kisiwaumwitakt1334
    @kisiwaumwitakt1334 2 ปีที่แล้ว +1

    Uimara wenu uko wapi mbona kongo kuna vta na sijaona mkisaidia chochote na n wenzetu

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 2 ปีที่แล้ว +4

    Nchi ya mavi kunuka kazi kweli kweli siku hizi watu wanapigana vita vya kidigitali ukubwa wa jeshi inaweza kuwa mavi kunuka tu.

    • @jambo3751
      @jambo3751 2 ปีที่แล้ว

      Nchi zetu ukisikia kuna mapigano ni ya wenyewe kwa wenyewe au vita na jirani kwahiyo jeshi letu ni zuri tu kwa kukabili hilo.Mataifa makubwa ndio yanazifuata nchi nyengine kutoka BARA HADI BARA jengine lakini sio sisi. Na tunapopelekwa kwa ajili ya PEACE KEEPING tunakuwa facilitated na UN.

    • @ezeedi871
      @ezeedi871 2 ปีที่แล้ว +1

      Daaa mwanangu unachuki Sana na nchi yako yaan kisa tuu haupo tz au unajiona unaishi peponi nn ndugu yangu maana sijawah kuona kitu Cha tz unakisifia we nikuponda tuu daily,najua upo ughaibun but jitahid kutofautisha ulipo na huku tz ni vitu viwili tofaut kabisa yaan km mbingu na ardhi so usisahau hilo kaka,we are not rich as Europeans countries.

    • @mbonimanakisenya4178
      @mbonimanakisenya4178 2 ปีที่แล้ว

      Haujitambui limbukeni mkubwa ww hiyo vita ya kidijitari pigana ww na mama yako usiku wa manane istoshe huko nje kipunga ww

  • @mathiaslaurent756
    @mathiaslaurent756 2 ปีที่แล้ว +9

    Askari wetu wako vizur sana tatizo bado tuna vifaa vya kizaman sana kama helicopters, na vifaru ni vya kizaman sana

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 2 ปีที่แล้ว

      Wewe Acha hizo ,

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 2 ปีที่แล้ว +1

      Ukienda popote uende PEKE yako baana we unacheza na machizi ya somalia

    • @isaacjaphet1314
      @isaacjaphet1314 2 ปีที่แล้ว +3

      Kiukweli hata mm naliona hili tuna vifaa vya kizaman sio siri

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 2 ปีที่แล้ว +1

      @@isaacjaphet1314 halafu uyo kamanda anajisifu ,vita vya siku hizi nivya tekenoroji Kwa mfano ndio aambiwe aende akasaidie yukrein kama atatoboa,,videge hivyo kama kipepeo ,,kwanza angalieni siraha wanazotumia urusi,na ukrein

    • @bekaashbai1781
      @bekaashbai1781 2 ปีที่แล้ว

      Hawana ishuu bro labda kutupiga ss

  • @nurdinngwegwe2943
    @nurdinngwegwe2943 2 ปีที่แล้ว

    JESHI langu NCHI Yangu. JESHI LETU NCHI YETU. AMANI ITAWALE DAIMA. HAKIKA MNATUPA UKAKAMAVU WANANCHI WENU. NINYI NI WAKUU WETU KIAMANI KIUFANISI KIUTENDAJI KILA KITU MPO "WHITE". MUNGU IBARIKI AFRIKA. MUNGU IBARIKI TANZANIA OYEEEEE 🇹🇿✔️👊

  • @joshuajofrey9832
    @joshuajofrey9832 2 ปีที่แล้ว +1

    Viongozi tulonao ndio shida kiutaratibu tulitakiwa tuanze pia kuzalisha silaha zetu wenyewe za kijeshi kuliko kutegemea silaha za nje .

  • @saheedali7467
    @saheedali7467 2 ปีที่แล้ว +5

    Tunajua nyinyi hakuna munaemuogopa kwa kua mumejiumba wenyewe na wala hamukuumbwa na mola. Kikubwa musisahau mwisho wa siku Kuna kaburi.

    • @christinemwita2079
      @christinemwita2079 2 ปีที่แล้ว +4

      Jamani, anaposema yeyote, hamaanishi Mungu maana Mungu ni Mungu na sio yeyote! Amemaanisha mtu yeyote mwenye Nia ovu na mipaka yetu! Maana ya yeyote hapo ni binadamu na sio Mungu

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 2 ปีที่แล้ว +2

      Uelewa mdogo , Hajataja Mungu apo sikiliza vzr ,kumbuka vzr Mungu aliumba jeshi lake jeshi lake na sio jeshi moja ni majeshhi yake uelewe kua mwanajeshi yeyote ni mtu wa Mungu CK zote za maisha yake vita ya kwanza ilikua Kati ya ibilisi na majeshhi yake na Yesu na jeshi lake, popote unapomuona mwanajeshi mshukuru maana pasipo jeshi ramani ya nchi y'ako itafutika kumbuka Uganda na Tanzania tsingekua na hawa JWTZ wahaya saivi wangekua raia wa Uganda na Tz tungekosa kivutio cha watu wanaopenda sifa ,hongera sana JWTZ

    • @alexkiria1901
      @alexkiria1901 2 ปีที่แล้ว +1

      @@charlesboniphace2249 Braza we ni mtu makini sana Mungu akulinde uzidi kuwaelimisha vijana wa hovyo kama huyo asiye na uzalendo na nchi yake

  • @jumafundi3133
    @jumafundi3133 2 ปีที่แล้ว

    Siku ya kura ndio ubabewenu tunauona kwa kuchukua visanduku vya kura bila ya kuhesabiwa.ila musisahau kua yupo mmoja wa kumuogopa.

  • @hussenhemed1050
    @hussenhemed1050 2 ปีที่แล้ว +2

    Mwanajeshi ana kitambi

    • @simontamba1285
      @simontamba1285 2 ปีที่แล้ว

      Tena anakimbia anachechemea

    • @jeraldboman3053
      @jeraldboman3053 2 ปีที่แล้ว

      Hahhahhah......shangaa et ktambi!

  • @Mzena4343
    @Mzena4343 2 ปีที่แล้ว

    Kiukweli bado tupo nyuma sana tumepigwa ata na guinea askali wanansiraha za kizaman sana hata combati hazija kamilika wanajeshi wetu hawana hawana vizuia lisasi nihatari naiomba selikali iwatazamame walinda amani wetu

  • @abuunyalioto1752
    @abuunyalioto1752 2 ปีที่แล้ว +5

    Nendeni Ukraine kadadeki

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 ปีที่แล้ว

      Haaahaaa Ukraine pagumu hawataweza pagumu pale

  • @maxcharles5436
    @maxcharles5436 2 ปีที่แล้ว +1

    Nchi hii ya aman

  • @silasjacob9132
    @silasjacob9132 2 ปีที่แล้ว +1

    Helikopta ya mwakagani hiyo

  • @iddymangwela9049
    @iddymangwela9049 2 ปีที่แล้ว +1

    Bado sana tuongeze tu juhudi

  • @saikalyasi2707
    @saikalyasi2707 2 ปีที่แล้ว

    Mungu ibariki Tanzania

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 2 ปีที่แล้ว

    Kama hamuogopi chochote na mnaenda kokoke Nendeni ukren sasa mkatoe msaada

  • @athmanhamid9578
    @athmanhamid9578 2 ปีที่แล้ว

    Hata Russia

  • @mwailubikamongo9774
    @mwailubikamongo9774 2 ปีที่แล้ว

    Taifa linaangamia kwarushwa naufisad mpo kimya hamyaoni hayo

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 2 ปีที่แล้ว +3

    Mjifunze vita iliyopo Ukraine ndio muanze midoidoi au bas ingieni you tube muone wenzenu wanavyo lambwa na hasali tamu

  • @aminakunja277
    @aminakunja277 2 ปีที่แล้ว +1

    Basi apo Wana hamu ya vita daha 😂

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 2 ปีที่แล้ว +1

    👏👏👏👏🙏😃

  • @DAMUSAFI
    @DAMUSAFI 2 ปีที่แล้ว +3

    ❌‼️KAMA MKO VIZURI KAMSAIDIENI RAIS WA KONGO DRC HUKO KUNA makundi ya MAGAIDI ZAIDI YA 200 MKIMSAIDIA MPAKA PANABAKI HATA KUNDI MOJA BASI TUTAWAVULIA KOFIA NA TUTALIPA JESHI Miaka 30 mnaakula bure gari za bure na matibabu bure na watoto mtakao wazaa kabla ya vita na wale mtakao waza baada ya vita watalipiwa kila kitu mpaka wanamaliza chuo kikuu ‼️❌

    • @shufaamujarabu2705
      @shufaamujarabu2705 2 ปีที่แล้ว

      Wewe hujielewi na comments zako za kitoto hizo. Unajua Siri ya Vita ya Congo DRC au unaongea tuu, kojoa ukalale.

  • @flova7022
    @flova7022 2 ปีที่แล้ว

    Helicopter mbona za kipindi cha Sylvester staron

  • @nsajigwamwakalonge5702
    @nsajigwamwakalonge5702 2 ปีที่แล้ว

    angalieni na mafisadi, nao ni maadui

  • @konobao9709
    @konobao9709 2 ปีที่แล้ว

    Hatumuogopi yeyote... Hata Mungu?
    Hamuogopi chochote..... Hata tetemeko?
    Mnaweza kwenda popote.... hata Mbinguni?
    Wapumbavu Tu... Nyinyi kuleni kodi zetu mnyamaze tu hamna Lolote

    • @christinemwita2079
      @christinemwita2079 2 ปีที่แล้ว +2

      Mungu hawezikuwa yeyote maana yeye sio mtu! Ameongelea kwa muktadha wa kazi zao jamani.

    • @alexkiria1901
      @alexkiria1901 2 ปีที่แล้ว

      Ww lala usingizi mtamu ukiamka asubuhi zurura popote utakapo ukichoka kalale tena lakini jua kuna watu wanakesha kukulinda ndio maana unapata muda wa kuandika utumbo kama huo

  • @yudaaraphati9673
    @yudaaraphati9673 2 ปีที่แล้ว

    Hamumuogopi pT

  • @undersonmwombeki6219
    @undersonmwombeki6219 2 ปีที่แล้ว

    Unaongea2 we unaeza kupambana na mataifa ya wenzetu?akt risasi ikilia sehemu mnafarakana2 we omba aman2 na mshahara wako uingie lkn huwez kupambana kwa siraha iz za mkolon

  • @kakaaignas3675
    @kakaaignas3675 2 ปีที่แล้ว

    Hatar nawakubalo

    • @japhetkanyara4464
      @japhetkanyara4464 2 ปีที่แล้ว

      Awezi ukasema uko imara nawakati bado atujaona uimara weno ili tuone nendeni ukreni mkawasaidie

    • @jambo3751
      @jambo3751 2 ปีที่แล้ว

      @@japhetkanyara4464 Tukawasaidie kama nani wetu?

  • @IbrahimKombo-f9b
    @IbrahimKombo-f9b 10 หลายเดือนก่อน

    Huna baya mialaaaa

  • @diolindanativo7268
    @diolindanativo7268 2 ปีที่แล้ว

    Hamuogopi nendeni kwa putin uko

  • @lazarosilayo6918
    @lazarosilayo6918 2 ปีที่แล้ว

    Vizur saaana JWTZ we2, ushaur angu tuendelee kuadvance zaidi kwny teknolojia upande wa anga na hata silaha. Dunia imechafuka kwa sasa masuala ya vita yamepamba moto kuliko masuala ya Mungu😓

    • @mohamedimalesa2995
      @mohamedimalesa2995 ปีที่แล้ว

      Matusi yanini sasa kwani umelazimishwa kukoment