Komando Koplo Ali Khamis Omary kutoka Tanzania, afunguka.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
  • Komando Koplo Ali Khamis Omary kutoka Tanzania aliyenusurika wakati wa mapambano na waasi huko katika misitu mizito ya DR Congo, kupitia mahojiano haya na Stella Swaumu Vuzo wa Unic Daressalaam TZ anasimulia kisa hicho kilivyotokea.

ความคิดเห็น • 380

  • @mohamedmbarouk7482
    @mohamedmbarouk7482 5 ปีที่แล้ว +119

    mzee kapigwa risasi kafunga bandeji mguuni kaendekea na mapambano gonga like mzee twende sawa

  • @frankgeorge9371
    @frankgeorge9371 5 ปีที่แล้ว +56

    makamanda wote tujuane apa like JWTZ

    • @ViceAdmiralVasilyArkhipov
      @ViceAdmiralVasilyArkhipov 8 หลายเดือนก่อน

      Ata ww Ni Komando?

    • @BarakaSagamba
      @BarakaSagamba 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@ViceAdmiralVasilyArkhipovhuyo raia tu kama yeye ni komando muulize jina lengine la komando analoitwa usiangaike linaitwa CDO

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 5 ปีที่แล้ว +32

    Daah yani komandoo huwa hawacheki yani jamaa serious balaaa

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu awacmamie ktk yote 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @MatageMsono
    @MatageMsono ปีที่แล้ว +9

    Brother mungu akujalie afya jema utapona Kaka nakubali sana

  • @kdf1246
    @kdf1246 4 ปีที่แล้ว +9

    Alaf li harmonize linajiita jeshi,aje aone wajeshi wenyewe na hali halisi ya jeshi

  • @anthonyfaru9908
    @anthonyfaru9908 5 ปีที่แล้ว +30

    Mwandishi amekutana na hali ambayo hakuitgemea jamaa kauzu sana, kapoteza dira mama WA WATU

  • @lameckzakaria7773
    @lameckzakaria7773 3 ปีที่แล้ว +5

    Uyu ni full bawa yani complete komando

  • @ckosmah21
    @ckosmah21 5 ปีที่แล้ว +43

    Me jesh napenda,sana sem nd hvo tu cjui nianzie wapi bt uzalendo nao ni sehem ya jesh so mm n mzalendo pia respect to all soldiers

  • @msemwawalter837
    @msemwawalter837 5 ปีที่แล้ว +25

    Wanasiasa:
    Kazi ndio hizi, mmezoea ngonjera.....
    Asante mpiganaji.

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 3 ปีที่แล้ว +3

    Angekua msanii limaiki angekua anamsogezea had mdomoni

  • @lucaschambika5437
    @lucaschambika5437 5 ปีที่แล้ว +46

    komando wangu Mungu akulinde (nchi yako inakupenda sana )

  • @nestrykipetha3761
    @nestrykipetha3761 3 ปีที่แล้ว +3

    Bbaby tuma na yakutolea

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 5 ปีที่แล้ว +47

    Watu wanao toa uhai wao kwa ajili ya wengine hawata upoteza. Mungu daima yupo nao.

  • @georgenorasco6595
    @georgenorasco6595 3 ปีที่แล้ว +3

    Da unavyomhoji na anakujibu naumia moyo sana maana vita c mchezo, mungu a2saidie 2, maana eti vjana wenzetu Wa tz wabaomba vta et wakapgane da mnaijua vita? Eti mkipgana maisha yatakuwa mazr nan kawadanganyen, vtaikikolea askari wenyemafunzo na nyota zao makomando aseee hulia ktk uwanja Wa vita, si mchezo mungu atuepshe

  • @richardhaule8372
    @richardhaule8372 ปีที่แล้ว +2

    Cku Moja ntakuw askar Kam wew

  • @jaydenbanga
    @jaydenbanga 7 หลายเดือนก่อน +1

    cheki ndevu hizo ukijichanganya 😂😂😂😂😂😂huyu raia dooooh

  • @princesinko4073
    @princesinko4073 5 ปีที่แล้ว +17

    Mie siwezi kumuuliza maswali sana maana jamaa anaonekana hana huruma na wala hacheki, lazima kwa sura hii maswali yapungue...huyo

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 5 ปีที่แล้ว +18

    Mtu akiwa komando huwa lazma sura yake iwe mda wote kaikunja au

  • @neemaibrahim2810
    @neemaibrahim2810 2 ปีที่แล้ว +5

    Mimi nilitamani sana kua Mwanajeshi lakini mitazamo ya familia yangu ilinikwamisha
    Natamani nipate Mume komando au Mwanajeshi takua nimeziishi ndoto zangu Kwa asilimia kadhaa

  • @eliasjillanga3158
    @eliasjillanga3158 3 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa anaongea kwa busara lakin ingia kwenye anga zake sasa utafrahi

  • @mkemia_magege5816
    @mkemia_magege5816 5 ปีที่แล้ว +12

    Hawa ndugu zetu bwana ni hatari sana na mtu hatari siku zote huwa hawana mambo mengi. Yani kwao uliza maswali au maneno buku, Majibu mafupi yenye maana milioni. Angekuwa Lisu hapo mwanasiasa, mamaaaaaa ungesikia na mambo mengine usiyotarajia. Atakawambia alipandwa juu ya mgogo na kifaru.

    • @davidkawiche8372
      @davidkawiche8372 5 ปีที่แล้ว +1

      kuna askar wa aina nyingi ww ni askari wa wapi. au we ni askari mwanajeshi. JWTZ oyeeeee

    • @chrissymahunja5248
      @chrissymahunja5248 5 ปีที่แล้ว

      Hahahahahahaha magege hahahahahaa eti alipandwa na kifaru mgongoni

    • @kigomakid74
      @kigomakid74 4 ปีที่แล้ว

      Hahaaaa

    • @fadhiliromwald
      @fadhiliromwald 2 ปีที่แล้ว

      😂

    • @HammyJey
      @HammyJey หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @fabiannyambalya2616
    @fabiannyambalya2616 5 ปีที่แล้ว +11

    Daah makomandoo bhana duuuh! Wanajeshi hawaruhusiwi kufuga ndevu lakini hawa makomandoo 🤙🏿🤙🏿🤙🏿 tyuuu

    • @godfreymagehema7414
      @godfreymagehema7414 5 ปีที่แล้ว +1

      Wewe hujitambui huyu anaumwa kapigwa risasi ya mguu atanyoa saa ngapi

    • @wannaproducts
      @wannaproducts 5 ปีที่แล้ว

      @@godfreymagehema7414 duh...we noma

    • @mohamedimbinga225
      @mohamedimbinga225 4 ปีที่แล้ว +1

      Commando anyoi ndevu mzee,,,

    • @RwamKyaru
      @RwamKyaru หลายเดือนก่อน +1

      Makomando wanafuga ndevu kaka kwa sasa

  • @nestoryseleman1801
    @nestoryseleman1801 5 ปีที่แล้ว +43

    Huyu jamaa ni komando kwahyo anapojib maswali hatoi taarifa za kiintelihensia salute sana

    • @abdulshaban4560
      @abdulshaban4560 5 ปีที่แล้ว +2

      Sarut sana.

    • @CertifiedFriend
      @CertifiedFriend 5 ปีที่แล้ว +1

      ukiangalia vizuri, utagundua 'anaongozwa' kwenye kile anachozungumza.

    • @kadoathuman6001
      @kadoathuman6001 5 ปีที่แล้ว +1

      Kuna taarifa gani ya kiintelligensia uliyoiona hapo ktk maongezi?

    • @flova7022
      @flova7022 2 ปีที่แล้ว +1

      @@kadoathuman6001 tatizo hujaelewa...wewe ulienda jeshi

    • @Mwigaa95
      @Mwigaa95 5 หลายเดือนก่อน

      Siuna ona ana full mabawa begani

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 5 ปีที่แล้ว +16

    Nyie Vp’ huyo Sio Lisu au Ndugai ‘ aongee sana...!
    huyo ni COMBAT....MGUU WA SHINGO MGUU WA ROHO...!

    • @UzalendoNaUtu
      @UzalendoNaUtu 5 ปีที่แล้ว +2

      Ismail Yusuph hahahah

    • @ismailyusuph740
      @ismailyusuph740 5 ปีที่แล้ว +2

      #AdrianLalika ....kabisa..!...si unajua KAMBINI hata ukigonga mti unalipa...!..Sisi hatuongeagi sana...!

  • @masasawamasasa905
    @masasawamasasa905 5 ปีที่แล้ว +20

    uko umoja wa mataifa wamejaa masnichi tu, jamaah anajibu short tu nicely ''kurinda amani ni kazi nzuri tu'' according to kaka komando🤐🤐🤐🤐💪

  • @jumahamis227
    @jumahamis227 5 ปีที่แล้ว +42

    These are our modern heroes, blessings to that Malawian soldier who died bravely in fighting for peace.

  • @kobajumakuziwa9976
    @kobajumakuziwa9976 5 ปีที่แล้ว +10

    Huyu comandoo wa ukweli hacheki mpaka mwandishi anaogopa mashwali 😂😂

  • @037corgj7
    @037corgj7 5 ปีที่แล้ว +8

    Mzee baaba hapo ni.ngumu.nyeusi anatamani haya huyo muandishi asepe mapema maana analeta nyeusinyeusi

  • @rafikindugu4674
    @rafikindugu4674 5 ปีที่แล้ว +8

    Mbona huyu muandishi anashindwa kuuliza, waasi ni wanani? Mahali mutu kafariki alafu watu wasifahami nani ao kundi la wanani limemuuwa?🤷‍♂️🤦‍♂️

  • @williamnathan4630
    @williamnathan4630 ปีที่แล้ว +2

    Hongera Sana , ningefurahi sana Kama ninyi mashujaa mngeandika historia zenu ktk vitabu na kuacha kumbukumbu kwa Jamii. Yale mliofanya yanajulikana , inaumiza kuona Kumbukumbu na matukio yaliyowasibu ktk KAZI hayawekwi. Mbona wale waliotumika ktk jeshi la South Africa (SADF), USA n.k Kila siku twasoma historia zao hata nyingine za kutumikia majeshi Yao kukandamiza na kupambana na wapigania uhuru , lakini wameweka Kumbukumbu zao!

  • @iketiinini966
    @iketiinini966 3 ปีที่แล้ว +6

    Mungu awabariki wanajeshi wetu.

  • @aboubakarahmad234
    @aboubakarahmad234 3 ปีที่แล้ว +2

    Aah uyu Jamaa akikumata upo kweny uvunjifu waaman cjui atakufanyaje maana mmmmmh mshikaj achek

  • @detectivejeffrey6401
    @detectivejeffrey6401 5 ปีที่แล้ว +17

    Hiyo sura tuu inaweza kumchinja mtu shingo.

  • @isaiahstadius2383
    @isaiahstadius2383 3 ปีที่แล้ว +5

    Kama umemuona kunguru mmbea kule nyuma like hapa.

  • @bilalbaker9238
    @bilalbaker9238 4 ปีที่แล้ว +2

    Mpiganaji A. K. Omar, Pole na matokeo katika ukamilishaji wa majukumu. ni mda mrefu tangu tokeo, lakini kumbukumbu hazi zeeki.
    Na Mungu Amlaze Pema komred kutoka Malawi. Kwani Mungu hulipa kwa nia ya Mtu. nae alikua na nia ya kuleta amani miongoni mwa Binaadam.

  • @SijaonaMrope
    @SijaonaMrope 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu aware ngivu askari wet

  • @fatmamati5246
    @fatmamati5246 9 หลายเดือนก่อน +2

    Allah awalinde na kuwapa nguvu wanajeshi wetu ameen

  • @jobujohnson3052
    @jobujohnson3052 5 ปีที่แล้ว +10

    Mbona kama kafuga mzuzu yani udevu au macho yangu

    • @samwelmbeye3390
      @samwelmbeye3390 5 ปีที่แล้ว +3

      Speciall force wanarusiwA kufuga

    • @ramsokhamis9262
      @ramsokhamis9262 5 ปีที่แล้ว +2

      Iyoo ni special Force teenaa kwa police wapoo wengi saanaa njoo apaa Central utawaonaa

    • @godlovemasamakibatandu2092
      @godlovemasamakibatandu2092 3 ปีที่แล้ว

      wanaruhusiwa siku hizi kufuga

  • @wilsonjohn1919
    @wilsonjohn1919 5 ปีที่แล้ว +11

    Kweli wew komando

  • @allymohamedmkiwa8573
    @allymohamedmkiwa8573 5 ปีที่แล้ว +6

    Kz mnayo fanya ni ngumu sana mungu atawalinda makamanda wetu

  • @babusadala5732
    @babusadala5732 5 ปีที่แล้ว +16

    Daaa jamaa yupo cool mweee.. 🤒🤒🤒🤒🤒

    • @zftv-zanzibarfantvtv5560
      @zftv-zanzibarfantvtv5560 5 ปีที่แล้ว +1

      Wazungu wataendelea kutuulisha kina siku washajua waafrika hatu akili
      Hakuna was waasi ni watu ambao wanaandaliwa na Umoja wa mataifa na kupewa silah ili Nchi isiwe na aman wapate kichukua madini

  • @mr.content266
    @mr.content266 2 ปีที่แล้ว +4

    God bless Africa.

  • @patrickchima4101
    @patrickchima4101 5 ปีที่แล้ว +32

    Mungu Mungu Mungu jamaaa kamtaja sana a real soldier recognize His presence

    • @leahezekiel281
      @leahezekiel281 5 ปีที่แล้ว +1

      Mungu ni wa Majeshi

    • @Ndu-wa.uroony2
      @Ndu-wa.uroony2 4 ปีที่แล้ว +1

      Daah! Kweli leo askari amkiri Mungu japo majeshi ya dunia ni ya mataifa.

    • @RashidAli-mm1uo
      @RashidAli-mm1uo 3 ปีที่แล้ว +1

      @@Ndu-wa.uroony2 huyu mwanajeshi ni muislaam halafu ni mzanzibari kwaiyo hulka yake ipo palepale washazoea kumtanguliza Mungu kila mda wa mambo yao yao

  • @doctorzero-dj5xg
    @doctorzero-dj5xg 3 ปีที่แล้ว +4

    Kalibua maisha yote kwa sasa ni hatari tupu, siyo maisha ya jeshi tuu, tunaona wasafiri tu wanavyopata ajali mbaya na kufa na kujeruhiwa vibaya ! Kufo na ajali ni kilasehem

  • @johnmbitiyaza1254
    @johnmbitiyaza1254 7 หลายเดือนก่อน +1

    special force commando

  • @levocatusgatu4295
    @levocatusgatu4295 5 ปีที่แล้ว +7

    Saluuut ka zoteeeee yaaaan. Wenikomando Bila chengaaaaa

  • @lujenjejr3628
    @lujenjejr3628 3 ปีที่แล้ว +2

    mwamba anajibu kijeshi yani short and Clear

    • @solomonpeter8843
      @solomonpeter8843 3 ปีที่แล้ว

      Ahahahhaa hatari jamaa anavyojibu ila Mungu azidi kuwa nanyi kwakweli

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 ปีที่แล้ว +1

    Mbona kafanana sana na Katibu wa CHAMA CHA MAPINDUZI ccm MR KAKULWA

  • @Mwigaa95
    @Mwigaa95 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli mwamba ni kazi pia ni full komandoo maana na full mabawa begani 👏🏽👏🏽👏🏽👊🏽👊🏽👊🏽✊🏽✊🏽✊🏽😄😄

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema1969 5 ปีที่แล้ว +2

    Mh, huyu jamaa kweli komando,, mwandishi anatetemeka😂😂

  • @manonisita1302
    @manonisita1302 5 ปีที่แล้ว +5

    Sura Ya Kazi......
    Nakubali sana Kaz hii

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 5 ปีที่แล้ว +11

    muwe mnaangalia syo kila channel ya kucomment vibaya

  • @stn4873
    @stn4873 5 ปีที่แล้ว +10

    Ngome hapo...naskia Azana ya masjid maamur

    • @abdulrazakgwotta5561
      @abdulrazakgwotta5561 5 ปีที่แล้ว +1

      Aaaaah hapa Upanga sio.

    • @ramsokhamis9262
      @ramsokhamis9262 5 ปีที่แล้ว

      😀😀Nashukur kwa kupajuwaa mkubwa uko sahihi kabisaa...

    • @stn4873
      @stn4873 4 ปีที่แล้ว

      @@abdulrazakgwotta5561 yah

  • @joempenda400
    @joempenda400 5 ปีที่แล้ว +6

    bawa

  • @erickmakundi5278
    @erickmakundi5278 5 ปีที่แล้ว +20

    This soldier is real and honest he won't exaggerate any thing. Bravo.if it was Americans the stories would be different

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 3 ปีที่แล้ว +4

    Big Soldiers from Tanzania
    Big up commands

  • @brownkira1332
    @brownkira1332 5 ปีที่แล้ว +5

    Sasa mbona huyu ana ndevu ana uchebe yani

    • @fakhirspaciol2509
      @fakhirspaciol2509 5 ปีที่แล้ว

      Kuna nafc hupasw kujadili huyo n komandoo

  • @mrishorajabu1134
    @mrishorajabu1134 5 ปีที่แล้ว +5

    Komando kauzu tiisha

  • @edsonlaurencemwagamasasi9074
    @edsonlaurencemwagamasasi9074 5 ปีที่แล้ว +25

    Utadumu sanaaaaaa komandooooo.... utadumu katika chombo....

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 หลายเดือนก่อน

    Huyu kolo khamisi mbona kama mzenji kwa anavyo ongy

  • @mohamedbinfadhil1396
    @mohamedbinfadhil1396 5 ปีที่แล้ว +17

    Sauti iko chini mwandishi na unahoji kwa woga sana

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana Mashaallah amemshukuru Mungu means anamwambia Mungu. Hata Mungu anahimiza Amaan, Haki na kuabudiwa yeye pekee Mungu Allah. Uzushi wa imaan za Dini za uwongo, Viongozi/Watawala na raia wasomuamini/wasomchaMungu ndo kikwazo cha uvunjifu wa amaan duniani kwa tamaa za Mali, Madaraka, Vyeo, Umaarufu nk yakidunia. Dunia ninmapito na Starehe za muda!

  • @lusekelodaison8159
    @lusekelodaison8159 5 ปีที่แล้ว +7

    Big up my real blood Brother

  • @ismailsanifa
    @ismailsanifa 5 ปีที่แล้ว +6

    Pole sanna

  • @AceB4real
    @AceB4real 5 ปีที่แล้ว +6

    Daaah mwana kanuna kinoma

  • @georgemahembe3538
    @georgemahembe3538 4 ปีที่แล้ว +2

    Nimekubali kk hakuna siasa apo kazi tu saruuuuuutttiii

  • @m-tatu1050
    @m-tatu1050 2 ปีที่แล้ว +1

    komandoo.... maneno macheche direct to the point kulingana swali bila kusahaua usiri mkubwa

  • @33-synchronized
    @33-synchronized 11 วันที่ผ่านมา

    Maswali marefu kuliko majibu

  • @abuusalha7736
    @abuusalha7736 5 ปีที่แล้ว +5

    mbona huyu dada muoga hivyo

  • @bakariabdul7088
    @bakariabdul7088 3 ปีที่แล้ว +2

    Na ndevu juuu duuuh hawa makamando ni hatar

  • @kakuhassan4734
    @kakuhassan4734 5 ปีที่แล้ว +4

    hahah askar wanatisha jaman dooh

  • @alphankilenga6209
    @alphankilenga6209 5 ปีที่แล้ว +13

    mtu muhimu sana kwa taifa . hawa watu wapo wachache sana . komandoo sio mtu wa kumpeleka congo bna .ni matumiz mabaya . kwann msipeleke migambo jaman

  • @selemanseed2476
    @selemanseed2476 5 ปีที่แล้ว +27

    Kwa tuliowahi kukutana na huyu Afande tukae tu kimya kabisaa..🙏

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 5 ปีที่แล้ว +9

    Na bado anasema kazi ni nzuri

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 5 ปีที่แล้ว +5

    do!!! ukiwa komando huruhusiwi hata kutabasamu?

    • @ahamadikatapka833
      @ahamadikatapka833 5 ปีที่แล้ว

      Seleman Kishema
      Gk

    • @anthonymkhae74
      @anthonymkhae74 5 ปีที่แล้ว

      Alikuwaga nyumbani kwa muda mrefu wakati anauguza jeraha walivyoenda waandishi kumhoji ndio ikambidi avae sare maana hawezi kuhojiwa mambo ya kijeshi akiwa kiraia.

    • @samwelombeni6850
      @samwelombeni6850 5 ปีที่แล้ว

      @@anthonymkhae74 nadhani itakuwa hivyo,

  • @dorisnyaoke277
    @dorisnyaoke277 5 ปีที่แล้ว +5

    komando anafuga ndevu akiwa ndani ya gwanda na uyo kashachukua majukumu ya msemaji wa jeshi mej gaudence kapinga

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 5 ปีที่แล้ว

      Huyo sio askari wa kawaida (special forces).. na wakati mwingine hutakiwa kufanana hata na adui .. wakati mwingine askari maalum huvaa vilemba wakati wako Afghanistan na maeneo mengine.. ili kuweza kuepa maadui .. hasa pale wanapojipenyeza nyuma ya ngoma za adui.. kwa ajili ya kutafuta taarifa za kijasusi..nk.

    • @rashtv8573
      @rashtv8573 5 ปีที่แล้ว

      Doris Nyaoke CDO anaruhuxiwa kufuga ndevu bhana

    • @vehaelinatai8700
      @vehaelinatai8700 5 ปีที่แล้ว

      wekwel mshamba wew ume nyoa

    • @rusakanyohenry6932
      @rusakanyohenry6932 5 ปีที่แล้ว

      Ukipita Bila kukoment kwan kunashida?

  • @TFxClub
    @TFxClub 5 ปีที่แล้ว +4

    Mwandishi mbona anauliza majibu ya tukio?au ana wasi wasi na sura ya kazi.

  • @hassanmugire1497
    @hassanmugire1497 5 ปีที่แล้ว +7

    huyu jamaa anaonekana mtata

  • @Mubarak552
    @Mubarak552 5 ปีที่แล้ว +6

    Nimesikia vibaya serikali na hasa Jeshi kumtoa mtu muhimu na mkubwa kama haya kupeleka Congo katika vita, mtu anaitwa Comando ni katika hazina kubwa za nchi jamani hatolewi hovyo, huyu aanatakiwa kutumika kwa maslahi ya nchi yetu pale ambapo tutavamiwa, lakini kumtoa hovyo hovyo Sasa ameshapigwa risasi ya mguu, ki ukweli imeniuma sana, nakumbuka jamaa nilipokutana nae akiwa na nguo za kiraia huwezi fikiria kama ni Comando........ Ukweli jambo hili limenisikitisha sana, KUMTOA MTU MUHIMU KAMA HUYU KUMPELEKA CONGO wakati vijana wengine wapo!!!!!!! Comando ni kwa matumizi ya nchi yetu

    • @abdulrazakgwotta5561
      @abdulrazakgwotta5561 5 ปีที่แล้ว +1

      Kwani jamaa anaishi Moro sehemu gani?

    • @kadoathuman6001
      @kadoathuman6001 5 ปีที่แล้ว

      Komando hazaliwi bali anatengenezwa,na ndio kazi aliyoomba so acha aitumikie hiyo kazi maana kuna wengine wanatengenezwa so usijali kijana

    • @Gavi_255
      @Gavi_255 5 ปีที่แล้ว +1

      Lazima tutumie watu best ili wasife wengi ndio maana ya commando wewe amka

    • @jacobrehany3492
      @jacobrehany3492 5 ปีที่แล้ว

      Kazi kazi

  • @lucasmollel2522
    @lucasmollel2522 3 ปีที่แล้ว +1

    Inauma Sana kumpoteza aliyekusaidia

  • @mnegaamina6085
    @mnegaamina6085 3 ปีที่แล้ว +2

    Kamanda wetu pole sn

  • @Mamateecomedy
    @Mamateecomedy 5 ปีที่แล้ว +30

    Kamanda anaongea kikarimu ila ana sura ya kazi

  • @awamkhalid5361
    @awamkhalid5361 5 ปีที่แล้ว +3

    Huyo m2 pori tizi kama chai hana muda wa kujipodoa

  • @simonkapesa121
    @simonkapesa121 19 วันที่ผ่านมา

    Komando toa sauti komando

  • @lutenganocharles7194
    @lutenganocharles7194 3 ปีที่แล้ว +1

    Lkn nimekukubali Sana bro uko vzuli huo ndo uzalendo tunawategemea jeshi letu

  • @najma3268
    @najma3268 5 ปีที่แล้ว +2

    Mungu awatanguli kwenye kaz zenu, lakin cjui kwa nn mtu hata awe mweupe vp akiingia jeshini lazima awe mweus

  • @AliAli-xi3hu
    @AliAli-xi3hu 5 ปีที่แล้ว +6

    Hakuna TPDF anaweza kumchukua majukumu ya msemaji wa jeshi

    • @othumanmaulid7406
      @othumanmaulid7406 5 ปีที่แล้ว +2

      Ukiona hivo ka ruhusiwa sababu nimaswali yanayo muhusu kuumia kwake

    • @othumanmaulid7406
      @othumanmaulid7406 5 ปีที่แล้ว +2

      Nikama unavo kuja kuhojiwa hospital

    • @mwasoprince3459
      @mwasoprince3459 5 ปีที่แล้ว +3

      Huyu si kwamba ni msemaji wa jeshi, ila anahojiwa kuhusu maendeleo yake binafsi.

    • @hafidhimakele5489
      @hafidhimakele5489 5 ปีที่แล้ว +1

      Kwakibali maalum

  • @ludovickndaki3761
    @ludovickndaki3761 5 ปีที่แล้ว +14

    Duh waandishi wahabar kazi mnayo hamjui kua hatutoagi siri zajeshi sisi mtasubir sana solute sana kamanda najivuniaga watu kama nyinyi ad najiona ni meme

  • @kennedymaster2000
    @kennedymaster2000 5 หลายเดือนก่อน

    Wambuzi mwanzo mwisho

  • @anoldbashube7746
    @anoldbashube7746 5 ปีที่แล้ว +19

    saluuti soldier sema mwandishi anakuogopa usi mchenjie anauliza kwa woga

  • @elisamehecharles5432
    @elisamehecharles5432 5 ปีที่แล้ว +10

    Ogaaah! Huyu kweli ni soldier safi snaa nimemuelewa sana majibu ni short and clear na havijishi siri

  • @paulkessy9440
    @paulkessy9440 11 วันที่ผ่านมา

    Tisa mbili huyo

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 5 ปีที่แล้ว +4

    Saluti kamanda,

  • @jimmymbella9912
    @jimmymbella9912 4 ปีที่แล้ว +6

    Pole Sana mkuu kazi ya Mungu haina makosa, pole kw jeraha ulilolipata ktk mguu wako Kaka ila Mungu atakupa uponyaji

  • @newforcejv9721
    @newforcejv9721 5 ปีที่แล้ว +10

    We CPL Ally Omary kabla ya maongez Umemfanyaje hyo Dada mbona kashindwa Maswal nawewe

  • @almasabbdi9176
    @almasabbdi9176 5 ปีที่แล้ว +10

    Dah! Hawa jamaaaa ni sheedah, yn hapo alipo kavurugwa sheria ndevu jeshini marufuku lakini jamaaaa ana uchebe

    • @yusuphjuma4638
      @yusuphjuma4638 5 ปีที่แล้ว

      Kumbe na wewe umeona

    • @kibebwaytz7413
      @kibebwaytz7413 5 ปีที่แล้ว

      SPECIAL FORCE huyo ndevu wanaruhusu usikaririw

    • @saidomar6806
      @saidomar6806 4 ปีที่แล้ว

      Ndevu km kawaida shida sio ndevu shida jukumu linahitaj mazingira yepi. Acha komando wafanye kazi zao

    • @bilalbaker9238
      @bilalbaker9238 4 ปีที่แล้ว +1

      alikuwa hospital aliitwa kwa mahojiano tu, kwa hiyo alikuwa kaziweka tu. he is commandoo anywawa. hupaka hata matope usoni wachilia mbali ndevu.

  • @benardmwinuka5548
    @benardmwinuka5548 5 ปีที่แล้ว +9

    Ushaambiwa komando hawezi kufa kizembe Yule mmalawi nadhani alikuwa Kingo weeeeeee chezea komando wetu wewe

    • @bilalbaker9238
      @bilalbaker9238 4 ปีที่แล้ว +1

      Komandoo hafi, lakini hata akifa basi keshamaliza kazi, Na Yule aliekufa ni kwa ajili ya Sisi kuokoka, kamaliza kazi, Ushindi kwa walinda amani.

  • @majotv5724
    @majotv5724 5 ปีที่แล้ว +4

    udumu koplo

  • @matthiask2087
    @matthiask2087 5 ปีที่แล้ว +25

    He probably has PTSD ..stop asking him stupid questions.

    • @drdioclespr6722
      @drdioclespr6722 5 ปีที่แล้ว

      Yoweri Kaguta Museveni. she tried to enjoy our MBs , by asking stupid question

    • @mohamedbinfadhil1396
      @mohamedbinfadhil1396 5 ปีที่แล้ว

      True Mr President

    • @deyamwashigacompanyltd8288
      @deyamwashigacompanyltd8288 5 ปีที่แล้ว

      hahaa. non sense

    • @hakitv4717
      @hakitv4717 5 ปีที่แล้ว +1

      I agree with you! , Wiseman! The President of Uganda! You reminded me one of Your Speech while Opening the border of Mtukura ,Tanzania..during interrogating development issues to our regional! I remember You mentioned about ,five requirement that Africans should have 1.Land, 2.Capital,3.market,4.Social services and last one was ...
      5.ICT ! You elaborated with Jokes that always kiding to opposing parties! It was very fun! ....In fact that knowledge Marked my final Diploma exams in social science.

    • @abdiabdi9215
      @abdiabdi9215 5 ปีที่แล้ว

      Yoweri Kaguta Museveni hahahauahaah yes