Komando Koplo Ali Khamis Omary kutoka Tanzania, afunguka.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- Komando Koplo Ali Khamis Omary kutoka Tanzania aliyenusurika wakati wa mapambano na waasi huko katika misitu mizito ya DR Congo, kupitia mahojiano haya na Stella Swaumu Vuzo wa Unic Daressalaam TZ anasimulia kisa hicho kilivyotokea.
mzee kapigwa risasi kafunga bandeji mguuni kaendekea na mapambano gonga like mzee twende sawa
makamanda wote tujuane apa like JWTZ
Ata ww Ni Komando?
@@ViceAdmiralVasilyArkhipovhuyo raia tu kama yeye ni komando muulize jina lengine la komando analoitwa usiangaike linaitwa CDO
Daah yani komandoo huwa hawacheki yani jamaa serious balaaa
Mungu awacmamie ktk yote 🙏🙏🙏🙏🙏
Brother mungu akujalie afya jema utapona Kaka nakubali sana
Alaf li harmonize linajiita jeshi,aje aone wajeshi wenyewe na hali halisi ya jeshi
Mwandishi amekutana na hali ambayo hakuitgemea jamaa kauzu sana, kapoteza dira mama WA WATU
Ha ha haaa. Umeonaee
Anthony Faru hahahahahaaaaaa
hahahah
Emmanuel Bonaventura uyu jamaa ukimuangalia vzuri utagundua amefunga ndita anachoshwa na maswali
Uyu ni full bawa yani complete komando
Me jesh napenda,sana sem nd hvo tu cjui nianzie wapi bt uzalendo nao ni sehem ya jesh so mm n mzalendo pia respect to all soldiers
Ckos mah mmh
Wanasiasa:
Kazi ndio hizi, mmezoea ngonjera.....
Asante mpiganaji.
Angekua msanii limaiki angekua anamsogezea had mdomoni
komando wangu Mungu akulinde (nchi yako inakupenda sana )
Bbaby tuma na yakutolea
Watu wanao toa uhai wao kwa ajili ya wengine hawata upoteza. Mungu daima yupo nao.
Nini maana ya kuapa sasa
Kwanza kabisa pole kamanda wangu kwamsukosuko huo mungu akulinde
Da unavyomhoji na anakujibu naumia moyo sana maana vita c mchezo, mungu a2saidie 2, maana eti vjana wenzetu Wa tz wabaomba vta et wakapgane da mnaijua vita? Eti mkipgana maisha yatakuwa mazr nan kawadanganyen, vtaikikolea askari wenyemafunzo na nyota zao makomando aseee hulia ktk uwanja Wa vita, si mchezo mungu atuepshe
Cku Moja ntakuw askar Kam wew
cheki ndevu hizo ukijichanganya 😂😂😂😂😂😂huyu raia dooooh
Mie siwezi kumuuliza maswali sana maana jamaa anaonekana hana huruma na wala hacheki, lazima kwa sura hii maswali yapungue...huyo
🤦🙆😂😂
Amin jamaa afah
Mtu akiwa komando huwa lazma sura yake iwe mda wote kaikunja au
Sura automatic hiyo imejikunja tu
Hawezi kukenua huyu
@@255Digitalizeit ,, hahahahhhaaaa
ulitaka acheke kwani yupo kwenye maonyesho ya mamiss
Shaaban Ramadhan hhahaj
Mimi nilitamani sana kua Mwanajeshi lakini mitazamo ya familia yangu ilinikwamisha
Natamani nipate Mume komando au Mwanajeshi takua nimeziishi ndoto zangu Kwa asilimia kadhaa
Nichek
Njoo nipo Hapa komando
😂😂😂 dah makomando wa mitandaoni sasa
Jamaa anaongea kwa busara lakin ingia kwenye anga zake sasa utafrahi
Hawa ndugu zetu bwana ni hatari sana na mtu hatari siku zote huwa hawana mambo mengi. Yani kwao uliza maswali au maneno buku, Majibu mafupi yenye maana milioni. Angekuwa Lisu hapo mwanasiasa, mamaaaaaa ungesikia na mambo mengine usiyotarajia. Atakawambia alipandwa juu ya mgogo na kifaru.
kuna askar wa aina nyingi ww ni askari wa wapi. au we ni askari mwanajeshi. JWTZ oyeeeee
Hahahahahahaha magege hahahahahaa eti alipandwa na kifaru mgongoni
Hahaaaa
😂
😂😂😂😂😂😂
Daah makomandoo bhana duuuh! Wanajeshi hawaruhusiwi kufuga ndevu lakini hawa makomandoo 🤙🏿🤙🏿🤙🏿 tyuuu
Wewe hujitambui huyu anaumwa kapigwa risasi ya mguu atanyoa saa ngapi
@@godfreymagehema7414 duh...we noma
Commando anyoi ndevu mzee,,,
Makomando wanafuga ndevu kaka kwa sasa
Huyu jamaa ni komando kwahyo anapojib maswali hatoi taarifa za kiintelihensia salute sana
Sarut sana.
ukiangalia vizuri, utagundua 'anaongozwa' kwenye kile anachozungumza.
Kuna taarifa gani ya kiintelligensia uliyoiona hapo ktk maongezi?
@@kadoathuman6001 tatizo hujaelewa...wewe ulienda jeshi
Siuna ona ana full mabawa begani
Nyie Vp’ huyo Sio Lisu au Ndugai ‘ aongee sana...!
huyo ni COMBAT....MGUU WA SHINGO MGUU WA ROHO...!
Ismail Yusuph hahahah
#AdrianLalika ....kabisa..!...si unajua KAMBINI hata ukigonga mti unalipa...!..Sisi hatuongeagi sana...!
uko umoja wa mataifa wamejaa masnichi tu, jamaah anajibu short tu nicely ''kurinda amani ni kazi nzuri tu'' according to kaka komando🤐🤐🤐🤐💪
These are our modern heroes, blessings to that Malawian soldier who died bravely in fighting for peace.
Huyu comandoo wa ukweli hacheki mpaka mwandishi anaogopa mashwali 😂😂
Kobajuma Kuziwa hahaja kama DP yako (ila utan tyui
Mzee baaba hapo ni.ngumu.nyeusi anatamani haya huyo muandishi asepe mapema maana analeta nyeusinyeusi
piston jr hahhaha
Mbona huyu muandishi anashindwa kuuliza, waasi ni wanani? Mahali mutu kafariki alafu watu wasifahami nani ao kundi la wanani limemuuwa?🤷♂️🤦♂️
Hongera Sana , ningefurahi sana Kama ninyi mashujaa mngeandika historia zenu ktk vitabu na kuacha kumbukumbu kwa Jamii. Yale mliofanya yanajulikana , inaumiza kuona Kumbukumbu na matukio yaliyowasibu ktk KAZI hayawekwi. Mbona wale waliotumika ktk jeshi la South Africa (SADF), USA n.k Kila siku twasoma historia zao hata nyingine za kutumikia majeshi Yao kukandamiza na kupambana na wapigania uhuru , lakini wameweka Kumbukumbu zao!
Mungu awabariki wanajeshi wetu.
Aah uyu Jamaa akikumata upo kweny uvunjifu waaman cjui atakufanyaje maana mmmmmh mshikaj achek
Hiyo sura tuu inaweza kumchinja mtu shingo.
Mkombozi
Jeshini hakunaga HAPANA NI NDIO TU
Kama umemuona kunguru mmbea kule nyuma like hapa.
😂
Mpiganaji A. K. Omar, Pole na matokeo katika ukamilishaji wa majukumu. ni mda mrefu tangu tokeo, lakini kumbukumbu hazi zeeki.
Na Mungu Amlaze Pema komred kutoka Malawi. Kwani Mungu hulipa kwa nia ya Mtu. nae alikua na nia ya kuleta amani miongoni mwa Binaadam.
Mungu aware ngivu askari wet
Allah awalinde na kuwapa nguvu wanajeshi wetu ameen
Mbona kama kafuga mzuzu yani udevu au macho yangu
Speciall force wanarusiwA kufuga
Iyoo ni special Force teenaa kwa police wapoo wengi saanaa njoo apaa Central utawaonaa
wanaruhusiwa siku hizi kufuga
Kweli wew komando
Kz mnayo fanya ni ngumu sana mungu atawalinda makamanda wetu
Daaa jamaa yupo cool mweee.. 🤒🤒🤒🤒🤒
Wazungu wataendelea kutuulisha kina siku washajua waafrika hatu akili
Hakuna was waasi ni watu ambao wanaandaliwa na Umoja wa mataifa na kupewa silah ili Nchi isiwe na aman wapate kichukua madini
God bless Africa.
Mungu Mungu Mungu jamaaa kamtaja sana a real soldier recognize His presence
Mungu ni wa Majeshi
Daah! Kweli leo askari amkiri Mungu japo majeshi ya dunia ni ya mataifa.
@@Ndu-wa.uroony2 huyu mwanajeshi ni muislaam halafu ni mzanzibari kwaiyo hulka yake ipo palepale washazoea kumtanguliza Mungu kila mda wa mambo yao yao
Kalibua maisha yote kwa sasa ni hatari tupu, siyo maisha ya jeshi tuu, tunaona wasafiri tu wanavyopata ajali mbaya na kufa na kujeruhiwa vibaya ! Kufo na ajali ni kilasehem
Sahihi kabsaa
special force commando
Saluuut ka zoteeeee yaaaan. Wenikomando Bila chengaaaaa
mwamba anajibu kijeshi yani short and Clear
Ahahahhaa hatari jamaa anavyojibu ila Mungu azidi kuwa nanyi kwakweli
Mbona kafanana sana na Katibu wa CHAMA CHA MAPINDUZI ccm MR KAKULWA
Kweli mwamba ni kazi pia ni full komandoo maana na full mabawa begani 👏🏽👏🏽👏🏽👊🏽👊🏽👊🏽✊🏽✊🏽✊🏽😄😄
Mh, huyu jamaa kweli komando,, mwandishi anatetemeka😂😂
Sura Ya Kazi......
Nakubali sana Kaz hii
muwe mnaangalia syo kila channel ya kucomment vibaya
Ngome hapo...naskia Azana ya masjid maamur
Aaaaah hapa Upanga sio.
😀😀Nashukur kwa kupajuwaa mkubwa uko sahihi kabisaa...
@@abdulrazakgwotta5561 yah
bawa
This soldier is real and honest he won't exaggerate any thing. Bravo.if it was Americans the stories would be different
How? Can u explain to us.....
Sisi ndo huwa tunaficha sana story.
@@donaldtadeodontado9991 Swali zuri
For real
Big Soldiers from Tanzania
Big up commands
Sasa mbona huyu ana ndevu ana uchebe yani
Kuna nafc hupasw kujadili huyo n komandoo
Komando kauzu tiisha
Utadumu sanaaaaaa komandooooo.... utadumu katika chombo....
Mvhfihih
Huyu kolo khamisi mbona kama mzenji kwa anavyo ongy
Sauti iko chini mwandishi na unahoji kwa woga sana
Safi sana Mashaallah amemshukuru Mungu means anamwambia Mungu. Hata Mungu anahimiza Amaan, Haki na kuabudiwa yeye pekee Mungu Allah. Uzushi wa imaan za Dini za uwongo, Viongozi/Watawala na raia wasomuamini/wasomchaMungu ndo kikwazo cha uvunjifu wa amaan duniani kwa tamaa za Mali, Madaraka, Vyeo, Umaarufu nk yakidunia. Dunia ninmapito na Starehe za muda!
Big up my real blood Brother
Pole sanna
Daaah mwana kanuna kinoma
Hahaha
Nimekubali kk hakuna siasa apo kazi tu saruuuuuutttiii
komandoo.... maneno macheche direct to the point kulingana swali bila kusahaua usiri mkubwa
Maswali marefu kuliko majibu
mbona huyu dada muoga hivyo
Na ndevu juuu duuuh hawa makamando ni hatar
hahah askar wanatisha jaman dooh
mtu muhimu sana kwa taifa . hawa watu wapo wachache sana . komandoo sio mtu wa kumpeleka congo bna .ni matumiz mabaya . kwann msipeleke migambo jaman
Congo pazito ndugu.
Alphan Kilenga ila kweli
😂😂😂😂😂
😝😝😝😝huna adabu
Mgambo hawez kwenda congo
Kwa tuliowahi kukutana na huyu Afande tukae tu kimya kabisaa..🙏
😀
Ana nn kwani huyu?????
Aliwafanyeje
Jibwaaaaaaaa
Hahaa
Na bado anasema kazi ni nzuri
😂😂😂
Nidhamu
do!!! ukiwa komando huruhusiwi hata kutabasamu?
Seleman Kishema
Gk
Alikuwaga nyumbani kwa muda mrefu wakati anauguza jeraha walivyoenda waandishi kumhoji ndio ikambidi avae sare maana hawezi kuhojiwa mambo ya kijeshi akiwa kiraia.
@@anthonymkhae74 nadhani itakuwa hivyo,
komando anafuga ndevu akiwa ndani ya gwanda na uyo kashachukua majukumu ya msemaji wa jeshi mej gaudence kapinga
Huyo sio askari wa kawaida (special forces).. na wakati mwingine hutakiwa kufanana hata na adui .. wakati mwingine askari maalum huvaa vilemba wakati wako Afghanistan na maeneo mengine.. ili kuweza kuepa maadui .. hasa pale wanapojipenyeza nyuma ya ngoma za adui.. kwa ajili ya kutafuta taarifa za kijasusi..nk.
Doris Nyaoke CDO anaruhuxiwa kufuga ndevu bhana
wekwel mshamba wew ume nyoa
Ukipita Bila kukoment kwan kunashida?
Mwandishi mbona anauliza majibu ya tukio?au ana wasi wasi na sura ya kazi.
huyu jamaa anaonekana mtata
Nimesikia vibaya serikali na hasa Jeshi kumtoa mtu muhimu na mkubwa kama haya kupeleka Congo katika vita, mtu anaitwa Comando ni katika hazina kubwa za nchi jamani hatolewi hovyo, huyu aanatakiwa kutumika kwa maslahi ya nchi yetu pale ambapo tutavamiwa, lakini kumtoa hovyo hovyo Sasa ameshapigwa risasi ya mguu, ki ukweli imeniuma sana, nakumbuka jamaa nilipokutana nae akiwa na nguo za kiraia huwezi fikiria kama ni Comando........ Ukweli jambo hili limenisikitisha sana, KUMTOA MTU MUHIMU KAMA HUYU KUMPELEKA CONGO wakati vijana wengine wapo!!!!!!! Comando ni kwa matumizi ya nchi yetu
Kwani jamaa anaishi Moro sehemu gani?
Komando hazaliwi bali anatengenezwa,na ndio kazi aliyoomba so acha aitumikie hiyo kazi maana kuna wengine wanatengenezwa so usijali kijana
Lazima tutumie watu best ili wasife wengi ndio maana ya commando wewe amka
Kazi kazi
Inauma Sana kumpoteza aliyekusaidia
Kamanda wetu pole sn
Kamanda anaongea kikarimu ila ana sura ya kazi
nakukubali sana kamanda
Huyo m2 pori tizi kama chai hana muda wa kujipodoa
Komando toa sauti komando
Lkn nimekukubali Sana bro uko vzuli huo ndo uzalendo tunawategemea jeshi letu
Mungu awatanguli kwenye kaz zenu, lakin cjui kwa nn mtu hata awe mweupe vp akiingia jeshini lazima awe mweus
Hakuna TPDF anaweza kumchukua majukumu ya msemaji wa jeshi
Ukiona hivo ka ruhusiwa sababu nimaswali yanayo muhusu kuumia kwake
Nikama unavo kuja kuhojiwa hospital
Huyu si kwamba ni msemaji wa jeshi, ila anahojiwa kuhusu maendeleo yake binafsi.
Kwakibali maalum
Duh waandishi wahabar kazi mnayo hamjui kua hatutoagi siri zajeshi sisi mtasubir sana solute sana kamanda najivuniaga watu kama nyinyi ad najiona ni meme
Wambuzi mwanzo mwisho
saluuti soldier sema mwandishi anakuogopa usi mchenjie anauliza kwa woga
Yuko mbali kbs mwandishi hHahaha
Kweli
Ogaaah! Huyu kweli ni soldier safi snaa nimemuelewa sana majibu ni short and clear na havijishi siri
Tisa mbili huyo
Saluti kamanda,
Pole Sana mkuu kazi ya Mungu haina makosa, pole kw jeraha ulilolipata ktk mguu wako Kaka ila Mungu atakupa uponyaji
We CPL Ally Omary kabla ya maongez Umemfanyaje hyo Dada mbona kashindwa Maswal nawewe
Dah! Hawa jamaaaa ni sheedah, yn hapo alipo kavurugwa sheria ndevu jeshini marufuku lakini jamaaaa ana uchebe
Kumbe na wewe umeona
SPECIAL FORCE huyo ndevu wanaruhusu usikaririw
Ndevu km kawaida shida sio ndevu shida jukumu linahitaj mazingira yepi. Acha komando wafanye kazi zao
alikuwa hospital aliitwa kwa mahojiano tu, kwa hiyo alikuwa kaziweka tu. he is commandoo anywawa. hupaka hata matope usoni wachilia mbali ndevu.
Ushaambiwa komando hawezi kufa kizembe Yule mmalawi nadhani alikuwa Kingo weeeeeee chezea komando wetu wewe
Komandoo hafi, lakini hata akifa basi keshamaliza kazi, Na Yule aliekufa ni kwa ajili ya Sisi kuokoka, kamaliza kazi, Ushindi kwa walinda amani.
udumu koplo
He probably has PTSD ..stop asking him stupid questions.
Yoweri Kaguta Museveni. she tried to enjoy our MBs , by asking stupid question
True Mr President
hahaa. non sense
I agree with you! , Wiseman! The President of Uganda! You reminded me one of Your Speech while Opening the border of Mtukura ,Tanzania..during interrogating development issues to our regional! I remember You mentioned about ,five requirement that Africans should have 1.Land, 2.Capital,3.market,4.Social services and last one was ...
5.ICT ! You elaborated with Jokes that always kiding to opposing parties! It was very fun! ....In fact that knowledge Marked my final Diploma exams in social science.
Yoweri Kaguta Museveni hahahauahaah yes