ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
MAKONGORO NYERERE Mbele ya MAGUFULI na MAMA NYERERE Achafua HALI ya HEWA, "SLAA Ametoka JALALANI?"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ย. 2020
- MAKONGORO NYERERE Mbele ya MAGUFULI na MAMA NYERERE Achafua HALI ya HEWA, "SLAA Ametoka JALALANI?"
Mbio za kampeni Zinaendelea kutimua vumbi katika mikoa mbalimbali nchini ambapo leo Septemba 5, 2020 DKT Magufuli anaendelea na mikutano ya hadhara ambapo amefika Mara kuomba wananchi wampigie kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
CCM inavipaji hongera Makongoro hotuba nzuri sana uko makini
Ccm oyeeeeeeee
Wewe jamaa shida maisha marefu kwako Makongoro 🙏🙏🙏🙏
🤣🤣🤣🤣🤣Tanzania nhi yangu ni zuri sana
magufuli oyeee naona msoma imetisha unapita kwa kura nyingi sana
Makogoro bestowed the habit and technics of his Lt.father mwalimu Julius nyerere .Magufuli oyeeee
Hawatusumbui hao mabwenge bwenge, Rais wetu ni Magufuli
Kweli
Kweli
Fainali ya Simba na Stera Abdjan ilichezwa tarehe 26.11.1993 na siyo mwaka 1992.
Safi sana Mzee Makongoro🙏🏼🙏🏼
Kumbe yanga chadema
ccm oyoooooo magufur no 1
Nampenda huyu jamaa ni mcheshi kwelikweli kama rais Nyerere. Mungu abariki familia ya Nyerere.
Wewe mpinzani hatari!!, Nimekubali
Sema wanasiasa wanamaneno meng sanaa lakin kwa utulivu nmeelewa point ni nn na nasema kaongea point nzur sanaa
Hizo Simulizi ya Yanga Na Simba Zinamaana Kubwa Sana
CCM OYEEEEEEE SAFI SANA
HUJAELEWA VIZURI DISHI LIMEYUMBA
Tuliza kichwa mkuu hapo kuna fumbo ndani yake
Bega kwa Bega na Magufuli wapinzani subilin kwanza tunaujenzi wetu tunamalizia bila Magu hakuna litakalofanyika. Wapinzan mtaturudisha kwenye bra bra za zamani mtatelekeza miradi yetu
Wajumbe walikuwa sahihi..
Kweli kaka unasemakweri nimekuelewa.
Magufuli oooye ,ccm oyee ,ccm mambo yote
Nimekuelewa wapinzani lazima wawepo...makongoro juuu
Unafanana na Baba yetu Nyerere
Watabaki kutmika hivyo hivyo!!! Ubunge wa East Afrca walikunyima!! Juz tu ubune wa butiama wote wawili wajumbe wakafanya yao!! Sasa leo mmesombwa mpaka na bibi Maria mnamchosha bure!!!
Mi naamini siku mkienda upinzani nyota zenu zitarejea!! CCM inawahofia!!!!!
@@raphaelsamwel2640 hawa hata km wakikosa hivyo ulivyovitaja hawana shda na Pesa za madafu wanakula Pesa za nchi mpk wajukuu zao
Edelea mbele iko sawa magufuli hoyeeeeee
Makongoro 😂😂😂Dah Hata Kujal Muda Hamna Kaletewa Kataratasi ya Kwanza Kasoma Kakausha Ikaja tena ya Pili Et Usjal Namaliza Sasa Hiv Nipe Dk 2😂😂😂
mie nilitamani tuu aendelee kuongea kwa kweli maana dah anaongea kututia moyo
@@jedidahbintidaudi8241 😂😂Kwakwel yan
Hata kama atapita aache ubaguzi sisi wote ni walipakodi wa tz tunahitaji Kodi zetu zitusaidie sio za ccm
Ukawa iliwashinda leo hii hawa vioja wanaota ndoto tu.makufuli baba leo. Watake wasitake watafundishwa adabu tuu
Ccm Oyeeeeeee 💪
Big up Makongoro,..
Instablaster.
Mzee ww du hongera Kwa misamiati na muongeaji sana
Hongera mnafanya vizuri
Kofia oyee mawani oyee makongolo umenifurahisha sana👍👍👍🙏
Ccm baba lao na ni mama lao pia
Ccm hoeee
Safi Sana jembe rangu
Kama umemuona Musiba ngonga Like
Ccm ni naipend siku zote za maisha yangu .babu mpaka mjukuu...ccm hoyeeee
Com ina watu wa maana hataki tupu🤣🤣 wapinzan wanaongea namaneno kbaaao alafu wanajibiwa na maneno ma3 tu🤣🤣🤣
October 28
Wacha kabisa jamaa amewapiga kishikaji wakiwa na akili watajielewa walivyovunjwa.
Makongoro ni comedian ila anaakili nying ata ka anapata kura 5
Aibu naona mimi☹☹🤨🤨
Chidbenz wa Tarime
Waafrika tutabaki kuwa watumwa hadi kiyama.
Umeraximishwa kukomente
Kumbe Simba levo ya lipuli!!!
Mngefungwa 4 bila km.level ya lipuli
4 za kununua!tungejuaje Kama Morrison asingesema kwamba Kuna mtu wa Simba amempatia kias flan Cha Dolla!hamnajipya mikia!!nguvu ya soda
Umesahau kwamba tshishimbi pia alitoa arsist ya goli za Simba!
@@hasanikajembe8848 kumbe kikundi chenu kilikuwa kinamtegemea Morison sasa msimu huu mnakula zilezile 5 za Kipindi kile utopolo nyie 4 hazikuwatosha
“TAHADHARI”
“🥺 Usiku wa ku amkia tarehe 03/09/2020 alhamisi! Nime pokea maono ya unabii;
Ya kwamba, si muda mrefu kuna enda kutokea tukio la kigaidi Uingereza 🇬🇧!
Katika tukio hilo, kuna watu fulani ambao wana enda kuteka gari la mtu na kuli tumia katika shambulio la watu na majengo, kisha kuya lipua kwa mabomu baada ya kushindana na mateka watakao taka ku pambana nao ili kuji komboa kutoka mikononi mwa hao watekaji au magaidi!
Tafadhali 🙏🏾; Kesheni katika toba,sala, na maombi ili mkono wa MWENYEZI MUNGU utu epushe kutokana na uovu unao kusudiwa kufanyika!
Sifa, Heshima Na Utukufu zim’rudie yeye MUNGU MWENYEZI katika KITI CHAKE CHA ENZI, MILELE YOTE, AMEN 🙏🏾!
“Shalom 😢””
Nitafute 0767488538 tuzungumze juu ya ndoto yako
Mungu ni mwema kila wakati atasimama kama vile alivyokusudia
Ako magu safi sana w ndo tzs
Son like father
Magufuli juuuuuuuu%%%@ Tunakupenda Sana.
Jamaaa pumba nyingi sana Mzee nyerere atakuwa anajiuliza sana huko nani mrithi wa akili yangu
hahahahahahahahahah sanaaaaa
Ccm baba laoo
Uko sawa makongoro
Magufuli rais wetu oyeeeeeeeeeeee. Makongoro una matani marefu asante umenichekesha sana
Duuuuh! Alichorithi kwa nyerere Ni kucheka TU Yan 😋
You look like a comedian but deep down you are the real genius n we are proud of u M.J.N
Wow!Makongoro nyerere😁👏
Dah! Haya madogo mazito sana.
Kura za maoni alipata 3.Makongoro mmekwama wapi?????
Magu ametoa silaha za siri za CCM kutoka kwenye Banker leo .
Wakurya kwa kuuchuna
Eti rungwe anagawa ubwabwa
Ndio wahi
Hahahaha
Makongoro muongog mm yanga nawajua vzr'haaa
Makongoro Ni Raha sanaaa kumsikia
Mizaha mingi
Baba wa Taifa aliwaacha wanae kwenye hali isiyo nzuriii, Njaa sio nzuri
Mwenzake mwinyi mwanae anaukwaa uraisi wa Zenji nyerere alizingua sana na itikadi zake za kijamaa
Jaman kama nyerere vile kna kasauti fulan kam ka nyerere kwel like father like son
Naskia wataweza kweliii @simba
Wewe huna nini makongoro?
Nyerere family kiukweli ccm imewatenga mnajitutumua tu!!!m
Ndio ivo
Haki ya pension iko pale pale mengine hamna wa kumlaum ni kujiongeza tuu...
Uongo,,,,mbona hajakaribishwa mama yako hapo mbele!!!!
Piga kelele kwa magu wakeeee hapa kazi too
Duuuh, ndani ya dak2 namaliza, halslafu anachukua dak20.
Ana methali Kama baba wa taifa nyerere
NAFIKIRI SEMI HAZILIZISHI KTK HADHARA:
Bali kwa wenye akili tu.
Pamoja
Masikin kangi
Wewe ninoma nikikumbuka ya wasira toka unasoma wasira yupo paka sasa yupo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Umechafua hali ya hewa Makongorooooooooo wape wape wapeeeeeeeee vidonge vyaoooooooooooooo
Huyu jamaa wakati akiwa sec alikuwa Bondia
Umesema kweli kabisa.kelele nyingi
Watu wamejaaa ila hawana furaha
Nenda ukawafuraishe shoga angu
Wengine Wote ni wahuni.walaghai wa nchi kama Lisu mwenye uraia wa nchi mbili wakati Tanzania hairuhusu
Umejuaje?
Kaka ilo jiko la mkaa lisilokumbatiwa tumeisha lijua; juzijuzi walikuwa wanaomba mchango wa kununulia mkaa.
Sijui, ameeleweka?
Napenda makongoro nyerere awe. Raisi wa awamu ya sita
KABUDI KASEMA MWENYEWE KATOKA MAJALALANI. WW HUJUI?
Huyu jamaa vipi
Mikogo ya mwalimu kacopy Sana huyu jamaa
Hajacopy kaka hivyo ni vitu vya kijenetiki hata wewe kuna vitu unafanana km sio na baba yako basi mama yako so usishangae makongoro kuongea au kufanya vitu km marehemu baba yake
Ilikuwa 1988 yanga waliachia 5
Ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeee Magufuli oyeeeeeeeeeeeeeeeee CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeee
One LOVE CCM juu zaidi
MAGUFULI ameshapita walah hadi raha sana Mm niko nje ya nchi lakin Najisikia furaha sana. Kura yangu kwa Magufuli number 1
Yes nw I knw why a postor's child can be a robber.
Mimi nimemuona nyani mzee tu hapo....Wasira.
CCM OYEEEEEEEEEEEEEEEEE Magufuli oyeeeeeeeeeeeeeeeee
lissu bado mgonjwa
Acha ganja
Haswa apelekwe mirembe
naona ujinga tu makongolo wewe kwenu kunanuka njaaa sasaiv ata amkumbukwiiii
Wenye akili tuuu
Huu ndio uchumi wakati.
Kaz kwel kwel
Makongoro ni nouma xn
Mnafeli wapi watawala?
Serengeti hatuwakubali ila sisi ni wqjanja kuliko mzaniavyo
Unawashwa tutakukuna kipele.... Magu mbele kwa mbele
@@maulakaroli8323 hilo linaonekana halijielewi
Mokongoro. Umezeeka. sioni cha maana kwako unampotezea mh muda
Watani wa jadi. 🤣👍
Pamoja na maneno mazuri lkn ulichosha.maneno yako tafuta mkutano wako au wa mtu mwingine..mpaka wamekufukuza coz sio mahali pake
Jalalani kweli
Mbona yeye mwenyewe hana ustaarabu
Gongo sio chai
Ccm kiboko cha wapinzani ccm inatama
Mbona wanaitikia watoto tu
Hakuna microphone walipokaa watu
Unamwombea kura, au unamdhalilisha?, Inaonekana CCM haiko Moyoni mwako ni aibu tupu!!!
Na Mimi sikumwelewa
Bas makongoro omba kura acha hizo za Simba na yanga.
Ahahaaaaaaaaaaa
Mjinga haelewi akielewa show imeisha
Makongoro nimekuelewa sanaaaaaaa
Jamaa amevunja penyewe