I know Im asking randomly but does any of you know of a tool to get back into an instagram account..? I stupidly lost the password. I would appreciate any assistance you can give me.
Wewe ndio huna chema wala jema hata kidogo na huitakii hii nchi mema hata kidogo, na mazuri yote ya nchi hii wewe huyaoni, kwako wewe nchi itakuwa nzuri ikiongozwa na upinzani tu rais wako awe Mbowe au Zito basi.
Lushoto na sie tunasema hivyo hivyo kasoro hatuna bandari mpaka tuje Tanga mjini
Mnagawa tausi nchi yakwenu Mimi mtoto wa mkulima mtanigawia lini??hapo ccm nitawachukia mpaka nifee mungu fanya kazi yako kwa ma ccm wote amina
Nimeangalia hii clip mpaka nimetokwa na machozi kuona Rais wetu hatupo nao tena
Maskini kumbe ndio JPM alikuwa anawaaga kiroho. Apumzike kwa amani Dr JPM
Ubarikiwe baba Mzee Mwinyi!
Rais Mwinyi anabusara Sana siku zote
Lugha iliyoandikwa ni gani kama English Tena kama kiarabu tunaomba jibu ni lugha Gani
Huyu anachekaga tu kama baba yeke
Mzee Mwinyi raisi mstaafu mcha Mungu mtu Wa ibada asiye na tamaa mpenda watu Mungu akupe uzee wenye heri nyingi nakupenda kwa mwenendo Wa maisha yako
amam sikuyamaombii unaihuwa Orr haujiwiii inawezekanaa or ningumuu kwako mumu wataifa Hilo ni ombii sio lazima
Magufuli yaani atakumbukwa kaacha historia nafarijika Mungu amhifadhi alikuwa mwema kwa watu aliowaongoza Tanzania Mungu ilinde
Wazee wamemkubali JPM
All our prayers are on you Mr President and your fellow
Keep it up JPM
Safi saaana. Nami nitaanza kufuga tausi.
Maraisi wastaaafu Bado mko njema mno
Nimekuelewa Sana Makongoro nyerere
Hongera sana Mh raisi wetu kwa kuwaarika wastaafu kwa ajiri ya kuweka jiwe la msngi
Mungu ambariki sanaaaa mzeee huyu na Marais wenzake, God bless you
Hivi mwanangu makongolo malizangu anazitunza?
Hongera sana Mh.Raisi kukumbuka kugawa tausi, nimeheshimu sana wazo lako. Kwa hili hujatuangusha.
Mbele Kwa mbele
God bless our Presidents bless our country bless our Africa
Strong combined team, tz oyee!!
I know Im asking randomly but does any of you know of a tool to get back into an instagram account..?
I stupidly lost the password. I would appreciate any assistance you can give me.
@Gibson Abel instablaster =)
Mtoto wa nyoka ni nyoka tu.... hakuna chema hapo ni muendelezo wa madudu tu
Wewe ndio huna chema wala jema hata kidogo na huitakii hii nchi mema hata kidogo, na mazuri yote ya nchi hii wewe huyaoni, kwako wewe nchi itakuwa nzuri ikiongozwa na upinzani tu rais wako awe Mbowe au Zito basi.