MWANANCHI AKAZA MBELE YA MAKONDA/MIMI MTATA/UNANITISHIA KUNIROGA/SIWEZI KUMRUDISHIA...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Uyo akipata UBUNGE atawanyoosha sana anaonyesha kwenye Ubunge anaitaji mali akipata ataziludisha kwa nguvu zote 😂😂
Hivi huyu baba we makonda wewe baba mungu tutunzie huyumtu
Makonda nakupendasana wewe una faa kua Rahisi chama chako kiendelee kuongoza🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Anafaa kuwa raisi au RAHISI MWEPESI
Asante kwa huduma yako. Mungu akutunze kaka,utalipwa Makonda kwa mema yako unayomuwakilisha mama mkiti
Makonda kaka yangu duh....unacheza kama pakome
I pray for u br unatatua mambo magumu sana
Haya anayofanya Makonda yanadhihirisha hapa nchni kuna kero nyingi dhuluma nyingi sana sasa viongozi wengine wajifunze kwa huyu Makonda warudi huku chini wasaidiane ili kuondoa hizi kelo yaani unajiuliza hivi tuna mahakama kweli je tujiulize haya makero Makonda pekee yake atayamaliza
Vipi waluopiga mabillion ya pesa ?
Haiwezekan wa chini akusanye alafu wajuu apige hapo kuna shida
@@magigesabai8674 ndoo hiyo shida tunayoisema hawa wajuu hasamini aliyekua chini wapo tayari kula dawa zawgonjwa pesa za mayatima hali yakuwa wana majumba kila mikoa ajabu sasa hawafikirii siku watapunguzwa kaburini wakauulizwe hayo machafu wanayoifanyia ja watakua na hizo pesa wanazoona ili wawalipe wanaodhumu au hayoajumba watakua nayo humo kaburn
Mm nitampa jina tu MAGUFULI JUNIOR
😂😂😂😂makonda pongezi
Very genius man
Tunahitaji viongozi majasiri kama wewe unanikosha sana Makonda.
Tunduma ni giza sana washa tochi washa tochiiiiiiiiiiiii💪🏿🤙🏿🤙🏿🤙🏿🤙🏿
Yaan makonda🎉🎉
MAKONDA HOYEEEEEEE! 😂😃
Ngoja kwanzaa blue card nnn!! 😂😂😂 Makondaa kaz unayo kk 🙌
I miss Magufuli nikimuona makonda
Makonda anafanya kazi nzuri ila hizi kero za ajabuajabu ni kielelezo kuwa systems za kuhudumia wananchi haziko sawa kabisa, tunaitaji maboresho hasa kwenye mahakama zetu
Mmmmh serikali yenyewe ishaanza kumpinga huyu makonda tumuombee tu uzima mana watu hawachelewi kumtanguliza mtu ahela
Akika makonda ni mfano wa vijana kazi nzuli
HIYO NDIO BACK To BACK PIGA NIKUPIGE
Najisikia kulia kila nikisikiliza clip za makonda!! Anyway Mungu naomba utulindie makonda wetu
Wallah hata mimi
Wote Wawili ni Matapeli😂😂😂
Wasukuma tuko vizuri kwenye uongozi apa kazi tu wasuma wote tujuwane
Likambila hili libaguzi. lishaanza kuweka ukabila. Akili maji
Mm sijui kama najua blue card si ya clinic wamama wakae hapa watuelekeze
MAKONDA WANYOOSHEE 😂
Jaman 😮😮😮😮
BACK TO BACK PIGA NIKUPIGE 💪😃😃😂
😂😂😂watu wanajuamini safi sana
Makonda hongera kwa kuisaidia serikali kupitia chama.
😂😆😆 mzee kajichangnya
Kaingia cha kikee😂😂
Serikali aitakiwi kufanya kampain yyte makonda kamaliza hata wasanii awatakiwi Makonda anatosha mama kuendelea miaka mingine 😂😂
Haha😂😂😂😂😂😂😂 mi nacheka tu .
Touch zilivyowashwa ndio kamvuruga kabisa😂
Kazi ya wasanii sasa
Makonda utauwa watuuu😂😂😂😂
Tibuni taifa sio matatizo ya mtu mmoja mmoja na imekua kama mtindo mpaka kwa viongoz wakubwa nawaona wakijipitisha kwa mtu mmoja mmoja wachen hizo siasa wasaidieni watu jamani sio kama hamfany kazi lakin n kama hewaa maana Hamna jambo kwanza wee angalia wenye shida na wanaosaidiwa hakuna uwiano kabisa watanzania tuukatae kabisa mfumo huuu n mbaya saaana I tell you na hii itoke kwa Kila mmoja wetu love you all🎉
Sasa aya ya mwananchi mmoja mmoja atasikiliza nani iv ungekuwa ndo wewe unazulumiwa naumepata nafasi ya kuelezea kwa mtu unae Amin atakusaidia isonge ongea acha nawe siasa wasipo sikiliza matatizo mnasema wanasikiliza amupendi khaka beeee
Mungu akulinde ww ni rais makonda wa miaka inayokuja
Kwa hiyo wewe hapo kuna kazi nzuri inafanyika na Makonda,huoni huo ni usanii?
@@yassinnabwera4273 Kwa hiyo unataka kutuambia hilo n igizo wamesoma script sio?
Wazee kama hao wapo kila sehem ata kwetu huku wapo
Wahuni wa zamani
😂😂😂ngoma inogileeeeeee
😂😂😂nchi hii
Mmmmmmmm Mungu Linda
Tunduma nye ni mafala mna shida Kila kona maji amna umeme..mnapiga kelele Bila Friday ku Kosa alimu
hiyo kesi ningekua mmi ingenishinda t😂😂😂
Sio kama anampigia kapeni, insomnia kama hujui kufa kaangalie kaburi, ni maana kwa vile ww huna matatizo ndipo pale unapomuona MAKONDA anacheze, laiti likufika utatamani umuone Makonda
Kwani makonda haruhusiwi Kua raisi lkn ngoja amalize kwanza mama samia alaf aje makonda mana hii ni mashine ya kazii magufuli mtupuu 😂😂😂
Mbona tochi mchana😅😅😅
Hahahahaha... makonda kahoji vizuri saaaana.
Makonda tunaomba saidia madereva wa malori. Wanapata tabu sana
Wasaidie wananch makonda
Amn mzee yuko sawa ila anapigwa sabbu kuna ushabiki tu
Ni nashangaa huyu ndg Makonda anauliza maswali muhimu sn mbona wanasheria wetu wanashindwa hizi kesi,ebu wamwache Makonda awasaidie hawa wananchi wao serikali wameshindwa wakae kimya
Mimi nilichoona Ni kwamba Makonda anampigia Kampeni Samia ili awe raisi tena Mwaka ujao 😂😂
Ndio hivo WAPINZANI wanapigania RUZUKU na kupotosha watu 😢😢😢😢
Sasa ulitaka afanyeje wakati ndi mnec kazi yake nini
@@tanzcanmediatv4473MIMI NAONA ANAWAPA WAPINZANI POINT KWA KULE KUONYESHA KWAMBA VIONGOZI WATEULE HAWAWATENDEI HAKI WANANCHI.
Kaulizwa mashwali ya kisheria na akaja kweli mwanzo aja pokea ata senti mia mara kapoke amesha jaa uyo
😆😆😆😆 mzee kajichnganya
Du kweli hii ni kampeni
Makonda na kassim majaliw nawakubali sann
Huo uwanja anao sema aliuza milioni 12000000 niwamtu
Yaani Chadema Chadema
Uelewa mdogo mnauziana asset kwa cash kweli bila maandishi
Wote hamna aliyeelewa
😂😂😂😂makonda waeche wawili
Dah huyu makonda balaa sijui kasomea wpi sheria yani akikuhoji hutoboi lazima akushinde
Huyu sianaweza uzisha inch yote akipewa nafasi
Huyu mzee nitaperi Sana upande wa viwanja ila kwamtu asiye mjua ataona wanamuonea huyu anaye lalamika alikuwa rafikiyake wa damu kamgeka huyu mzee westoni alamu simwelu kama anakiwanja kuuza maratatu kwa watu tofauti haoni hatari
Mwizi mukubwa mungu amuwone
Anaonekana. Tapeli
Makonda unakazi ngumu sana , Mungu akungoze ,kama Musa alivyo muongeza Musa jangwani,arivyowaongoza Wana waisraeli,wakati wakitoka mikono mwafarao,unakazi ngumu,ila Mungu atakutia nguvu unayaweza mambo yote,,wafripi,4,10.
Makonda hizo Kesi Zako na Hao Wana Ccm Uyawezi na Utaweza, Yalimshinda Magufuli, Mnacheza na Akili Zetu.
Vipi walioiba mabillion ya pesa kwenye ripoti ya CAG wamechukuliwa hatua gani
Anza na hao ndo uku chini kutakaa sawa sio wao wakusanye mwingine achukue hio sio sawa
Kajikanyaga mzee kumbe mil.10 alipokea mweee
Ata Nape Nnawiye alifanya mazingaombwe kama hayo na mwisho wa siku hakuna jipya lolote
Maigizo yanaendelea. Tunataka Umeme, tunataka bei za bdhaa muhimu zishuke sio hizi shida za mtu mmoja mmoja. Wakuu wa Mikoa na Wilaya wanafanya nini? Hii sio kazi yako Makonda. Na nyie mlojazana kumsikiliza huyu mtu jiulizeni kule kote alikopita hayo mahitaji niloyataja hapo juu yamepatikana? Bei za Bidhaa muhimu zimeshuka?
Umeshawahi kuona watu wanauliza hayo maswali? Kuhusu umeme na bei za bidhaa ni vyema ungeuza wewe watu wakijaaa wewe unaumia nini wacha wenye uhitaji wanufaike na hiyo mikutano kama haikuvutia usisikilize kwani umelazimishwa roho ya korosho ya nini😂😂😂n😂😂😂
@@taseleli9181 Ndugu mimi si mbinafsi na siku zote sijitizami mimi natizama watu. Hao wanaokwenda na shida zao binafsi ni wabinafsi. Tunasema Maigizo kwa sbb uliofeli ni mfumo wala haikupaswa Makonda aende kufanya kazi za Wakuu wa Wilaya na Mikoa. Labda nikuulize wewe je wooote waliotoa shida zao hapo zimetatuliwa zote? Je woote walokuja na shida zao hapo wamesikilizwa wote? Je ni wangapi ambao wana shida huko vijijini lakini hawakubahatika kuja hapo kumuona Makonda? Nyie MACHAWA mnapaswa kujua kua kumbe watu wana matatizo kuliko mnavyodhani na mnatakiwa kujua kwamba ni kucorapt kwa Mfumo ndiko kunakotengeneza Matatizo na kuyakuza. Kwa hivo kwa Akili yako wewe ilivo ndogo unaamini Makonda atamaliza matatizo yooote ya Watz kwa staili yake hiyo? Shame on you.
Mzimu wa Magu
Kabisa Mungu katurudishia mwendazake
Maigizo haya
Makonda unajikaanga kwa mafuta Yako mwenyewe inaonekana selikali Haina kazi
Unamaanisha nini?
Nakupenda makonda mpaka naumwa
Mimi kwa sasa nikiingia yutubu natizama makonda tu kwakweli naimani namie ipo siku nitasaidika
Utasubri sana tena hii kusimama hadharani ni kutengeneza chuki utambue Makonda hataishi milele
Safi makonda nakukubali miaka mia
Ametumia Hekima Sana
😂😂😂😂😂😂nyapini
Acheni sissa nyieee jamani kama mnacheza na mindset za watu hivoo guys hatufiki kila Yan Kila mwenye chake achukue mapema.
Magufuli katika sura mpya chapa kaz kaka
Apo mkweli hajulikan
Kumbe Bashite siku hizi ni HAKIMU
Acha chuki binafisi
😂😂😂😂
Kwani wakati wanauziana hakukuwa na mashahidi
Hujasikia mbele yq watendaji na wenhineo au we we masikio yako yakoje
Pambana baba
Kaka unatisha tapeliiiii
Walikua wqnamsema ana vyeti feki kiko wapi? Mbona anaupiva mwingi mpaka ananifanya nipende siasa😂😂😂makonda anajua mpaka anajua tena😂😂😂ni wivu tu walikua wanamuonea huyu ni last bornwa mama samia😂😂😂
Lastborn wa mama samia eti😂😂😂
Matapeli yamejificha ccm jamaa wote wanao fanya ugalifu wanamagwanda ya kijani
Makubaliano yao walifanya mbele ya ushahidi upi mashahidi ndo watamaliza
Kwani mashahidi hawakuwepo????
Ukisema tibu Taifa, swali Taifa ni nini? Taifa ni wananchi je wasisaidie? Habari eti ya UMEME, sukar I nk wengine hawana shida navyo! Wanashida zao tu hilo ulitabue mfano we unataka vocha na mtoto anataka pipi naanapiga kelele dukani
Jambo tv mnatangaza ushirikina mnazungua.
makonda hapo unahangaika bure kasema hajapewa kadi ishu ungesema kalete kadi
Anajichanganya huyo,alipe
Wahun wazaman hao wazee
Hii kesi ngumu.
Ngumu mno
Kama kesi ipo mahakaman kwañn isiamuliwe mahakaman?huyu makonda naye hamna kitu, kesi ipo mahakaman Sasa unajadiriana nini
kesi ngap zipo mahakamani na hazifanyiwi, viongozi wanabebwa na mahakama
Sasa kama ni hivyo kwanini hayo madai wasipeleke mahakamani
SHIDA NI KITU KINACHOITWA RUSHWA!
Ila huyo mzee wanamuonea
Humjui wewe huyo mzee tuulize wenyeji
😅😅😅
Uonevu
😂😂😂😂😂
Apo makonda unambana huyo mkweli apo hajulikani
Haujui kupima maneno bhana. Huyo mzee ni tapeli.
makonda kaamua kuchagua upande