AMINI USIAMINI HILI NDIO ENEO LA BEI JUU ZAIDI KULALA TANZANIA, MILIONI 22 SIKU MOJA, UNAOGA NA PAPA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 พ.ค. 2021
  • Inawezekana usiamini kwamba kuna sehemu zinagharimu zaidi ya shilingi Milioni 22 za Kitanzania kulala kwa usiku mmoja tu! Amini au usiamini sehemu hizo zipo, tena hapa hapa nchini kwetu Tanzania.
    Thanda, ni sehemu kwa ajili ya mapumziko iliyotengenezwa na mtu binafsi katika eneo la kisiwa cha Shungimbili kilichomo Wilaya ya Kisiwa cha Mafia. Kisiwa hiki kina ukubwa wa takribani hekari 20 ambamo ndani yake imejengwa nyumba moja. Nyumba hiyo ina vyumba vya kulala vitano na vibanda viwili pembezoni mwa ufukwe wa bahari ya Hindi kusini mwa Tanzania ambapo familia ya watu mpaka 10 inaweza kuishi.

ความคิดเห็น • 326

  • @malcolmmusa1618
    @malcolmmusa1618 3 ปีที่แล้ว +13

    Thanda Hotel full respect, na sio wote wanaijua

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 ปีที่แล้ว +1

    Millard.ayo
    Napenda unavyotanga
    Very clear swahili
    Pronunciation.
    Hongera sana Pasco...

  • @okajara93
    @okajara93 3 ปีที่แล้ว +19

    Binafsi nlitamani kuona mtanzania ndo anamiliki hii sehem😪

    • @sijakibwana6745
      @sijakibwana6745 3 ปีที่แล้ว +7

      Ili nchi iwe na maendeleo wamiliki duniani kote wanatoka nje ya nchi ukienda Dubai wamiliki wamarekani ukienda marekani wamiliki waisrael ukienda Africa kusini wamiliki warusia ndio dunia ilivyo

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 3 ปีที่แล้ว +6

    Habari njema,Ningependa kufahamu tumeingiza kiasi gani Cha kodi kupitia uwekezaji huu tangu kuanzishwa kwake.

  • @hazasalimhazasalim2914
    @hazasalimhazasalim2914 3 ปีที่แล้ว +13

    diva akilala kilimanjaro anatutangazia nchi zima😂😂😂

  • @marthahozza2964
    @marthahozza2964 3 ปีที่แล้ว +37

    😂😂 story haichekeshi kwa wenye hela ila wengine inachekesha 😂😂😂

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 2 ปีที่แล้ว +1

    Duh hiyo pesa kwangu ni mtaji,💪🙏

  • @augustinokahinda3939
    @augustinokahinda3939 ปีที่แล้ว +1

    Mbona hyo cha mtoto
    Ulizia Singita Grumeti reserves ndani ya hifadhi ya Serengeti
    utaelea huko ni chamtoto aseeee

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 3 ปีที่แล้ว +1

    Maa shaa Allah

  • @theopportunitygiver
    @theopportunitygiver 3 ปีที่แล้ว +8

    Asante Millard Ayo maana sijatoka bure kwani nimejifunza dolphine kwa kiswahili anaitwa pomboo😹.

  • @debrahcharz4306
    @debrahcharz4306 3 ปีที่แล้ว +11

    Mhhhh hela ya shamba na nyumba na gari juu

    • @filbertnashon7160
      @filbertnashon7160 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂weeee debrah

  • @madinakheri487
    @madinakheri487 3 ปีที่แล้ว +6

    Natamani insha'Allah ntafanikiwa Allah kareem

  • @christophermartin4572
    @christophermartin4572 3 ปีที่แล้ว +3

    dah hii nikali zaidi mzee baba

  • @Musacholo-el3kc
    @Musacholo-el3kc 7 หลายเดือนก่อน

    Daah so pow

  • @donprinceabselhalims7421
    @donprinceabselhalims7421 3 ปีที่แล้ว +1

    Shungi mbili 💪

  • @fatemaligalawa1918
    @fatemaligalawa1918 3 ปีที่แล้ว +1

    Hii ndioaloyosemaga mzee baba Magu

  • @erickjoseph9140
    @erickjoseph9140 3 ปีที่แล้ว +1

    Duuh! haki ya mungu

  • @buye5436
    @buye5436 3 ปีที่แล้ว +7

    Nilikuwepo hapo jana, nimefaidi sana papa.

  • @ommymehmed8880
    @ommymehmed8880 3 ปีที่แล้ว +97

    Oya bandugu tufanyen mema na tumuombe Mungu tuipate Pepo yake .....ndio kwenye starehe ya kudumu

    • @radhiasalum7156
      @radhiasalum7156 3 ปีที่แล้ว +2

      Naam

    • @samkitwima7933
      @samkitwima7933 3 ปีที่แล้ว +6

      Unaijua pepo wewe? Wakati wenzio wanapambana na maisha na kukuibia rasrimali na kufaidi maisha kupitia utajiri wako, wewe unang'ang'ana na pepo! Kama dunia ndo pepo Mungu amekupatia? Unajuaje pepo iko wapi! Akili za ajabu hizi zitatuua ngozi nyeusi

    • @ommymehmed8880
      @ommymehmed8880 3 ปีที่แล้ว +2

      @@samkitwima7933 ww mzima lakn ....ivi uliona hapa dunian kuna stareh endelev...haya kuwa tajir na iyo stareh unayitaka tuone utaishia wapi.....

    • @samkitwima7933
      @samkitwima7933 3 ปีที่แล้ว +5

      @@ommymehmed8880 We unadhani Mungu alimuumba binadamu ateseke duniani kisa kuna pepo? Endelea kuibiwa afu ujidanganye eri Mungu anawapenda maskini. Kwanza watu kama nyie ndo mnatuharibia dunia kwa kujidanganya kuna mbingu wakati Mungu ametupa mbingu safi ya Afrika wajinga weupe kwa kushirikiana na vibaraka kama wewe mkiiangamiza.

    • @ommymehmed8880
      @ommymehmed8880 3 ปีที่แล้ว +2

      @@samkitwima7933 ww ukapmwe mavi.. Naona hujielewi kijana au kidada hata hueleweki...hapa sijaongelea utajir wala umaskin tulionao ....ninachokiongelea hapa ni kwamba starehe zozote au shida zozote hapa dunian ni za kupita tu na sio za kudum....hivyo basi ni muhim kumuomba Muumba wetu atujaalie PePo yake ....

  • @christophermtega-cu9hx
    @christophermtega-cu9hx ปีที่แล้ว

    Tushukuru kutuelimisha

  • @mikelinagomezi1766
    @mikelinagomezi1766 3 ปีที่แล้ว

    Daaaaaaa Mimi na toka na enda kutafuta Niki pata ndarudi, asante

  • @brayanphilipo1851
    @brayanphilipo1851 3 ปีที่แล้ว

    Noma😎

  • @user-rx5jx5wt3t
    @user-rx5jx5wt3t ปีที่แล้ว

    Mungu atujalie jenat faridos

  • @gadyetheboss8738
    @gadyetheboss8738 3 ปีที่แล้ว +6

    Ndoto yangu na Mim siku moja nije kulala ktk hiko kisiwa nione uzur wake

  • @olarivedu5588
    @olarivedu5588 2 ปีที่แล้ว

    Thanda Island-najua baba ii-

  • @monicampokwa3776
    @monicampokwa3776 3 ปีที่แล้ว +3

    Mimi ndyo nimekaa chumban hku nasoma comments hpa.In kweli nafaidi hapa

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 3 ปีที่แล้ว +16

    Aaaaaah aisee Dunia isivyoisha kutushangaza wakati nawaza mpaka sasa Duniani nimeishi siku 10,800 na katika siku zote hizo sijawahi kushika milion100 zakwangu kwa mara moja leo mtu anatumia milion 20 kwasiku 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @mussafeisal7565
    @mussafeisal7565 3 ปีที่แล้ว

    Hyo zaman Milado nenda sasa hv utashangaa

  • @salehkhamis3063
    @salehkhamis3063 2 ปีที่แล้ว

    Napaelewa sana hapo nishalala sana ila kwa sasa nipo U.A.E. kikazi. Wale maboss ambao wamelala hapo naomba like zenu tujuane

  • @mikefirstbrand7582
    @mikefirstbrand7582 3 ปีที่แล้ว +2

    💥💥💥

  • @RIGHTWAYRLC
    @RIGHTWAYRLC ปีที่แล้ว

    Wakati watanzania wanatozwa makodi ya juu na faini kali wa Sweden wana tengeneza 20+ ml kwa siku. Uzalendo mwisho UCHU-ME daima.

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 3 ปีที่แล้ว +3

    Kwani ukilala hapo unaiona mbingu direct? Napenda vitu vizuri Ila si huu ujinga wa kuharibu pesa hivi

  • @mosesbusanya3528
    @mosesbusanya3528 3 ปีที่แล้ว +42

    Tujuane tulikuja kuangalia baada ya kuona heading ya kuoga na papa ili tuelewe ni papa gani😂😂😂

  • @helenamusa432
    @helenamusa432 3 ปีที่แล้ว

    😍

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 3 ปีที่แล้ว +38

    Millard kwann Mnatutia stress za maisha?

    • @aishachambo3293
      @aishachambo3293 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @gracejasson8690
      @gracejasson8690 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @eddy4998
      @eddy4998 3 ปีที่แล้ว

      Sio hapo thanda tuu mafia nzima nikisiwa kinachokuja kwa kasi ki utalii na nikisiwa kikubwa cha utalii

    • @eddy4998
      @eddy4998 3 ปีที่แล้ว +1

      Wanangu wa Mafia piga kelele

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂✋🤚🤣🤣🤣

  • @saumuabdi1802
    @saumuabdi1802 3 ปีที่แล้ว +5

    Mimi nimelala hapa jana kuamkia leo kwani iko nini😜

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 3 ปีที่แล้ว +8

    Niliitafuta sana sehemu ya kupumzika na yenye utulivu kama hii kwa mada wa wiki 1 tu asante sana wacha niboking sasa.

    • @eddy4998
      @eddy4998 3 ปีที่แล้ว +2

      Hapo huwezi mzee hajamalizia milard hiko kisiwa unaweka booking kuanzia watu watatu kwa maana million 60 today

    • @andulilemwakihabha2048
      @andulilemwakihabha2048 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣

  • @krizofrancisco1287
    @krizofrancisco1287 2 ปีที่แล้ว

    Watu waliofeli maisha wenzie wakifanikiwa wao hujifanya wanamjua sana mungu

  • @smartnyengo725
    @smartnyengo725 3 ปีที่แล้ว +5

    Its my dream to get a job to that gud environment and interacting with different people

  • @osamamvuoni7514
    @osamamvuoni7514 14 วันที่ผ่านมา

    Hello

  • @saidsalum9587
    @saidsalum9587 3 ปีที่แล้ว +1

    Hivi amntarifu chumba kilicho chini ya maji bei gan

  • @jojo-ju6yy
    @jojo-ju6yy 3 ปีที่แล้ว

    Duh

  • @adamdemarch5565
    @adamdemarch5565 3 ปีที่แล้ว +1

    Yeah pako vizuri mwenyew nili enjoyed

    • @godrichyera7853
      @godrichyera7853 3 ปีที่แล้ว

      Hhhhh...nilitoka hapo jana maids walkua wanakuongelea kwa uzur yan😅

    • @benjamininyambaso5041
      @benjamininyambaso5041 3 ปีที่แล้ว +1

      H-hhhhhhhh uwii

    • @adamdemarch5565
      @adamdemarch5565 3 ปีที่แล้ว

      Jamaa haamini au hahhaa

    • @mumyhendry2919
      @mumyhendry2919 3 ปีที่แล้ว

      @@godrichyera7853 🤣🤣🤣🤣🤣mtaniua ...
      Yaan comment ndio zina nguvu kuliko hata video yenyewe🤣🤣🤣

    • @adamdemarch5565
      @adamdemarch5565 3 ปีที่แล้ว

      Ahhh pesa ndo Ina nguvu Apo sio çømmênt 😀

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 ปีที่แล้ว

    Alafu hizo kodi sjui zinaenda wapi?nawaza sana kwakweli

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka ปีที่แล้ว

    Kwa wenye nazo wanaona ni kidogo sana

  • @barakachaula7050
    @barakachaula7050 3 ปีที่แล้ว +7

    MB zangu mwenyew zinanipa Stress, Millardayo utantoa roho ety, Wakati Me naitafuta hiyo M5 tu Kuna Mtu anaikul kwa Siku daah😂😂😂😂😂

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 3 ปีที่แล้ว +2

    Nikweli nimelala sana hapo

  • @ngwilastar4905
    @ngwilastar4905 2 ปีที่แล้ว

    I lik this hotel

  • @islandgirl4578
    @islandgirl4578 3 ปีที่แล้ว +4

    Future husband where you baba please bring me there🔮😭😭

  • @shaiduna
    @shaiduna 3 ปีที่แล้ว +3

    Sio pekee angaliq piq mnemba Island utaona pia

  • @enossosthenes9061
    @enossosthenes9061 2 ปีที่แล้ว

    Sid
    Sizoni za kihidi za kiswahili

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 ปีที่แล้ว

    Ni pesa ndogo Sana mngefanya milion mia

  • @JKQGAME
    @JKQGAME 3 ปีที่แล้ว +2

    Nilishaendaga hapo 2010

  • @hajikilopher7357
    @hajikilopher7357 ปีที่แล้ว +1

    Proud to be Mafian man

  • @umunafisa7060
    @umunafisa7060 3 ปีที่แล้ว +1

    Af wanapadharau

  • @oledokoratelombashi9871
    @oledokoratelombashi9871 ปีที่แล้ว +1

    Kaka kuna sehemu nyingine iko Zanzibar bei yake ni zaidi ya hio inaitwa zuri hotel kendwa

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 3 ปีที่แล้ว

    Hapa duniani daaa

  • @AIInsights23
    @AIInsights23 ปีที่แล้ว

    nauza eneo karibu na hapo

  • @danielsostenes1640
    @danielsostenes1640 ปีที่แล้ว

    millard tunaomba uje uende na serengeti sehemu moja iitwayo nata kuna hotel inaitwa gurumeti utuangalizie io ndo inaongoza

  • @fatemaligalawa1918
    @fatemaligalawa1918 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwani wenye hiyo Hotel wanasemaje

  • @amosepimack399
    @amosepimack399 3 ปีที่แล้ว

    English please!

  • @nassabtransportation7024
    @nassabtransportation7024 2 ปีที่แล้ว

    mambieni diamond akalale si anahela yeyē

  • @chichimloli5926
    @chichimloli5926 3 ปีที่แล้ว +4

    Km mzungu anakuwa mwenye kisiwa ndani ya nchi yetu kuna nn tena apo bado kutununua sisi tu

    • @fjojoly
      @fjojoly 3 ปีที่แล้ว

      yaani

    • @fatmaharuon1313
      @fatmaharuon1313 ปีที่แล้ว

      Mwanzo kilikuwa Cha wavuvi wanapiga Kambi hpo

    • @frankngoloka5416
      @frankngoloka5416 หลายเดือนก่อน

      Mbona marehemu Mkappa anaeneo lake Africa ya kusini

  • @aristidmnganya5824
    @aristidmnganya5824 3 ปีที่แล้ว +1

    It's good kaka lakina sio sehemu ghali kuliko nyingine Tanzania jaribu kutafuta lodge inaitwa four seasons safari lodge Serengeti kwa usiku mmoja ni almost $12,000 ambazo ni sawa na karibia mil27 za kitanzania

    • @danielsostenes1640
      @danielsostenes1640 ปีที่แล้ว

      acha io sehem ambayo ndo mwisho n gurumeti fund ad dolla 27000

  • @yelemiastephano7273
    @yelemiastephano7273 3 ปีที่แล้ว

    Mhuu

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 3 ปีที่แล้ว +2

    Hii cha mtoto peponi ndo baba lao😁😁

  • @nyanguhamisi2812
    @nyanguhamisi2812 3 ปีที่แล้ว +1

    Tuliotoka mafia like kwangu mafia line/mafia raha

  • @jerryjuma1339
    @jerryjuma1339 3 ปีที่แล้ว

    Pakawaida Sana mbona?

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 3 ปีที่แล้ว +1

    Looooh

  • @simonlukiko2850
    @simonlukiko2850 3 ปีที่แล้ว +6

    Kuna watu wana ishi dsm na pwani lakini cha ajabu awpajui shungi 2 kabisa tena unaweza kumuuliza mtu na aka shangaa na aka kuuliza ndio wapi ????

  • @faustineleonald2352
    @faustineleonald2352 2 ปีที่แล้ว

    Aaaah wap, Kuna mission za watu huko,, endeleen kusema hotel😏

  • @FatmaSaid-bv8cs
    @FatmaSaid-bv8cs 10 หลายเดือนก่อน

    Napajua uko

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 3 ปีที่แล้ว +1

    Shikamoo Pesa

  • @princessringo2879
    @princessringo2879 3 ปีที่แล้ว

    What😳😳😳

  • @aviationwonders7575
    @aviationwonders7575 3 ปีที่แล้ว +1

    Hawa ni raia wa Tanzania? Mbona Sheria ya nchi hairuhusu raia WA kigeni kununua aridhi

  • @zeboytv7043
    @zeboytv7043 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimeenda hapo

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 ปีที่แล้ว

    heeeeeee heeeeeeeeeeee kwer wenye ela zao

  • @kambiyusufu7709
    @kambiyusufu7709 3 ปีที่แล้ว

    Dah aisee milioni 22 mh

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny2065 3 ปีที่แล้ว +3

    Haa haaa haaa naishi Scandinavia lakini siwezi kulipa hiyo pesa hata kama pesa ninazo..

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 ปีที่แล้ว

    Siwezi heri nisaidie yatima

  • @abuuhilary4609
    @abuuhilary4609 3 ปีที่แล้ว +1

    Je wakua kua kuna watu wana pesa kiasi wanaona laki nikama buku 10

  • @mamawadudu48
    @mamawadudu48 3 ปีที่แล้ว +3

    Tatizo hapo kupata nafasi ni shida. Anyway nitajaribu tena angalau nipate siku tano tu.😁😁

    • @mumyhendry2919
      @mumyhendry2919 3 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @ototek8037
      @ototek8037 3 ปีที่แล้ว +1

      😀😀

  • @abdullahjuma9206
    @abdullahjuma9206 2 ปีที่แล้ว

    kwetu kijijin kunakisiwa kizur kuliko hiko kuogelea no bure

  • @abrahamreginald9858
    @abrahamreginald9858 3 ปีที่แล้ว

    ok. nimebomoa mkopo NMB najiandaa kutimba hapo kesho kutwa.

  • @ngamanyajoshua839
    @ngamanyajoshua839 ปีที่แล้ว

    Kisiwa kipo Zanzibar ila kinamilikiwa na Wa Sweden..okhh ok

  • @kagileman5798
    @kagileman5798 2 ปีที่แล้ว

    Iyo bei na Ya Zaman sana Sasaiv ni $22000 Sawa na Tz shilling ml 40 na chenga Kaka watu wanaish

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 2 ปีที่แล้ว

    Tamka tanda hiyo h usiitamke

  • @severinmmassy7627
    @severinmmassy7627 3 ปีที่แล้ว

    Duu hatar sana jamani kunawengne tumekuja dunian kama wanyiongeza

  • @humphreymwamatandala3669
    @humphreymwamatandala3669 3 ปีที่แล้ว +2

    Mbona bei hiyo ya zamani, sasa ni dollar 45,000 kwa siku! Tafadhari jamani msibuku kwa hiyo bei.

  • @jumanemakuluga9484
    @jumanemakuluga9484 2 ปีที่แล้ว

    Nilifika hapo pazuri sana sio utani

  • @bahatihappy5693
    @bahatihappy5693 3 ปีที่แล้ว

    Mh Mimi ata seheemu ya elfu 50000 sijawai kulala jmn aya maisha du

  • @hassammohammed5046
    @hassammohammed5046 3 ปีที่แล้ว +1

    Yani kisiwa hicho nakumbuka 2000 ilikua tunafikia na maboti yetu ya uvuvi leo kimekuwa kisiwa cha harama cha utalii....

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 3 ปีที่แล้ว +1

    Kesho naweza kufika hapo

  • @bonnytv6530
    @bonnytv6530 3 ปีที่แล้ว +5

    Me nkajua palm village kumbe ni kuoga na papa 😂😂😂

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 3 ปีที่แล้ว +4

    Ni kweliii wiki ilopita nilikua apoo🤫🤫🤫

  • @djnangaxtwo2975
    @djnangaxtwo2975 3 ปีที่แล้ว +1

    NIKWELI NPO MAFIA SASA KILINDONI KALIBUN SANA

  • @ethanethan4437
    @ethanethan4437 3 ปีที่แล้ว +1

    Nilishalala humo mwaka 2018 pako poa sana karibuni wageni

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 3 ปีที่แล้ว +1

      Yani watu wanakufa kwa njaa Wana lala kwenye MABOX wanao Kota chakula kwenye mapipa Wana kula alafu nikatupe milioni 22 kwa siku? Pumzi ndio nitainunua kama ina nunuliwa lkn sio hapo

    • @wisperfect5320
      @wisperfect5320 3 ปีที่แล้ว +1

      @@jenyyusuph4973 mawazo ya masikin

  • @abdulatiftu9836
    @abdulatiftu9836 3 ปีที่แล้ว +1

    Hamna stress hapo hio hesabu ya watu 10 sio mtu mmoja.dola elf10 ukigawa kwa 10 kila mtu mmoja ni dola elf moja ambayo ni sawa na million 2 na laki 2,na hapo wanaweza kupunguza low season mnaweza kupata hata kwa dola 8000 kwahiyo milad ayo usitutishe😂😂😂😂😂

  • @pineapplemelodymaster3968
    @pineapplemelodymaster3968 3 ปีที่แล้ว

    Kwani kukesha Shinglingapi

  • @victoriamwaijengo7220
    @victoriamwaijengo7220 ปีที่แล้ว

    Shungi mbili,daaah pamekamilika kumbe