AMINI USIAMINI HILI NDIO ENEO LA BEI JUU ZAIDI KULALA TANZANIA, MILIONI 22 SIKU MOJA, UNAOGA NA PAPA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 พ.ค. 2021
- Inawezekana usiamini kwamba kuna sehemu zinagharimu zaidi ya shilingi Milioni 22 za Kitanzania kulala kwa usiku mmoja tu! Amini au usiamini sehemu hizo zipo, tena hapa hapa nchini kwetu Tanzania.
Thanda, ni sehemu kwa ajili ya mapumziko iliyotengenezwa na mtu binafsi katika eneo la kisiwa cha Shungimbili kilichomo Wilaya ya Kisiwa cha Mafia. Kisiwa hiki kina ukubwa wa takribani hekari 20 ambamo ndani yake imejengwa nyumba moja. Nyumba hiyo ina vyumba vya kulala vitano na vibanda viwili pembezoni mwa ufukwe wa bahari ya Hindi kusini mwa Tanzania ambapo familia ya watu mpaka 10 inaweza kuishi.
Thanda Hotel full respect, na sio wote wanaijua
Millard.ayo
Napenda unavyotanga
Very clear swahili
Pronunciation.
Hongera sana Pasco...
Binafsi nlitamani kuona mtanzania ndo anamiliki hii sehem😪
Ili nchi iwe na maendeleo wamiliki duniani kote wanatoka nje ya nchi ukienda Dubai wamiliki wamarekani ukienda marekani wamiliki waisrael ukienda Africa kusini wamiliki warusia ndio dunia ilivyo
Habari njema,Ningependa kufahamu tumeingiza kiasi gani Cha kodi kupitia uwekezaji huu tangu kuanzishwa kwake.
diva akilala kilimanjaro anatutangazia nchi zima😂😂😂
😂😂 story haichekeshi kwa wenye hela ila wengine inachekesha 😂😂😂
😄😄
😂😂😂acha tu
😂😂😂😂😂
Yaniiii ii ni kweli kabisa
Duh hiyo pesa kwangu ni mtaji,💪🙏
Mbona hyo cha mtoto
Ulizia Singita Grumeti reserves ndani ya hifadhi ya Serengeti
utaelea huko ni chamtoto aseeee
Maa shaa Allah
Asante Millard Ayo maana sijatoka bure kwani nimejifunza dolphine kwa kiswahili anaitwa pomboo😹.
Mhhhh hela ya shamba na nyumba na gari juu
😂😂😂😂😂😂😂weeee debrah
Natamani insha'Allah ntafanikiwa Allah kareem
Inshallah kwa sote
dah hii nikali zaidi mzee baba
Daah so pow
Shungi mbili 💪
Hii ndioaloyosemaga mzee baba Magu
Duuh! haki ya mungu
Nilikuwepo hapo jana, nimefaidi sana papa.
😂😂😂😃 kwa video au live??😉😉
@@ilovejesus9303 🤣🤣🤣
Wewe jamaa
Aaaaàa
😂😂🤣🤣
Oya bandugu tufanyen mema na tumuombe Mungu tuipate Pepo yake .....ndio kwenye starehe ya kudumu
Naam
Unaijua pepo wewe? Wakati wenzio wanapambana na maisha na kukuibia rasrimali na kufaidi maisha kupitia utajiri wako, wewe unang'ang'ana na pepo! Kama dunia ndo pepo Mungu amekupatia? Unajuaje pepo iko wapi! Akili za ajabu hizi zitatuua ngozi nyeusi
@@samkitwima7933 ww mzima lakn ....ivi uliona hapa dunian kuna stareh endelev...haya kuwa tajir na iyo stareh unayitaka tuone utaishia wapi.....
@@ommymehmed8880 We unadhani Mungu alimuumba binadamu ateseke duniani kisa kuna pepo? Endelea kuibiwa afu ujidanganye eri Mungu anawapenda maskini. Kwanza watu kama nyie ndo mnatuharibia dunia kwa kujidanganya kuna mbingu wakati Mungu ametupa mbingu safi ya Afrika wajinga weupe kwa kushirikiana na vibaraka kama wewe mkiiangamiza.
@@samkitwima7933 ww ukapmwe mavi.. Naona hujielewi kijana au kidada hata hueleweki...hapa sijaongelea utajir wala umaskin tulionao ....ninachokiongelea hapa ni kwamba starehe zozote au shida zozote hapa dunian ni za kupita tu na sio za kudum....hivyo basi ni muhim kumuomba Muumba wetu atujaalie PePo yake ....
Tushukuru kutuelimisha
Daaaaaaa Mimi na toka na enda kutafuta Niki pata ndarudi, asante
Noma😎
Mungu atujalie jenat faridos
Ndoto yangu na Mim siku moja nije kulala ktk hiko kisiwa nione uzur wake
Thanda Island-najua baba ii-
Mimi ndyo nimekaa chumban hku nasoma comments hpa.In kweli nafaidi hapa
Hahahaahahha
Aaaaaah aisee Dunia isivyoisha kutushangaza wakati nawaza mpaka sasa Duniani nimeishi siku 10,800 na katika siku zote hizo sijawahi kushika milion100 zakwangu kwa mara moja leo mtu anatumia milion 20 kwasiku 🤲🤲🤲🤲🤲
Ndo unamiaka mingapi kwa hizo siku
@@veronicacharles9993 29 hiyo
Acha tu
Hyo zaman Milado nenda sasa hv utashangaa
Napaelewa sana hapo nishalala sana ila kwa sasa nipo U.A.E. kikazi. Wale maboss ambao wamelala hapo naomba like zenu tujuane
💥💥💥
Wakati watanzania wanatozwa makodi ya juu na faini kali wa Sweden wana tengeneza 20+ ml kwa siku. Uzalendo mwisho UCHU-ME daima.
Kwani ukilala hapo unaiona mbingu direct? Napenda vitu vizuri Ila si huu ujinga wa kuharibu pesa hivi
Tujuane tulikuja kuangalia baada ya kuona heading ya kuoga na papa ili tuelewe ni papa gani😂😂😂
Papa la gigy money
😂😂😂😂😂
Dah ulichowaza ss 😂😂😂😂
😲😂😂😂😂😂😝
@@anitamwehonge8287 INNALILAH
😍
Millard kwann Mnatutia stress za maisha?
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sio hapo thanda tuu mafia nzima nikisiwa kinachokuja kwa kasi ki utalii na nikisiwa kikubwa cha utalii
Wanangu wa Mafia piga kelele
😂😂😂✋🤚🤣🤣🤣
Mimi nimelala hapa jana kuamkia leo kwani iko nini😜
Niliitafuta sana sehemu ya kupumzika na yenye utulivu kama hii kwa mada wa wiki 1 tu asante sana wacha niboking sasa.
Hapo huwezi mzee hajamalizia milard hiko kisiwa unaweka booking kuanzia watu watatu kwa maana million 60 today
🤣🤣🤣
Watu waliofeli maisha wenzie wakifanikiwa wao hujifanya wanamjua sana mungu
Its my dream to get a job to that gud environment and interacting with different people
Hello
Hivi amntarifu chumba kilicho chini ya maji bei gan
Duh
Yeah pako vizuri mwenyew nili enjoyed
Hhhhh...nilitoka hapo jana maids walkua wanakuongelea kwa uzur yan😅
H-hhhhhhhh uwii
Jamaa haamini au hahhaa
@@godrichyera7853 🤣🤣🤣🤣🤣mtaniua ...
Yaan comment ndio zina nguvu kuliko hata video yenyewe🤣🤣🤣
Ahhh pesa ndo Ina nguvu Apo sio çømmênt 😀
Alafu hizo kodi sjui zinaenda wapi?nawaza sana kwakweli
Kwa wenye nazo wanaona ni kidogo sana
MB zangu mwenyew zinanipa Stress, Millardayo utantoa roho ety, Wakati Me naitafuta hiyo M5 tu Kuna Mtu anaikul kwa Siku daah😂😂😂😂😂
Hahahahahah
😂😂
Nikweli nimelala sana hapo
I lik this hotel
Future husband where you baba please bring me there🔮😭😭
Sio pekee angaliq piq mnemba Island utaona pia
Sid
Sizoni za kihidi za kiswahili
Ni pesa ndogo Sana mngefanya milion mia
Nilishaendaga hapo 2010
Proud to be Mafian man
niaje ndugu yangu
Af wanapadharau
Kaka kuna sehemu nyingine iko Zanzibar bei yake ni zaidi ya hio inaitwa zuri hotel kendwa
Hapa duniani daaa
nauza eneo karibu na hapo
millard tunaomba uje uende na serengeti sehemu moja iitwayo nata kuna hotel inaitwa gurumeti utuangalizie io ndo inaongoza
Kwani wenye hiyo Hotel wanasemaje
English please!
mambieni diamond akalale si anahela yeyē
Km mzungu anakuwa mwenye kisiwa ndani ya nchi yetu kuna nn tena apo bado kutununua sisi tu
yaani
Mwanzo kilikuwa Cha wavuvi wanapiga Kambi hpo
Mbona marehemu Mkappa anaeneo lake Africa ya kusini
It's good kaka lakina sio sehemu ghali kuliko nyingine Tanzania jaribu kutafuta lodge inaitwa four seasons safari lodge Serengeti kwa usiku mmoja ni almost $12,000 ambazo ni sawa na karibia mil27 za kitanzania
acha io sehem ambayo ndo mwisho n gurumeti fund ad dolla 27000
Mhuu
Hii cha mtoto peponi ndo baba lao😁😁
Tuliotoka mafia like kwangu mafia line/mafia raha
Pakawaida Sana mbona?
Looooh
Kuna watu wana ishi dsm na pwani lakini cha ajabu awpajui shungi 2 kabisa tena unaweza kumuuliza mtu na aka shangaa na aka kuuliza ndio wapi ????
Mi Moja wapo
Aaaah wap, Kuna mission za watu huko,, endeleen kusema hotel😏
Napajua uko
Shikamoo Pesa
Hahaha
What😳😳😳
Hawa ni raia wa Tanzania? Mbona Sheria ya nchi hairuhusu raia WA kigeni kununua aridhi
Nimeenda hapo
heeeeeee heeeeeeeeeeee kwer wenye ela zao
Dah aisee milioni 22 mh
Haa haaa haaa naishi Scandinavia lakini siwezi kulipa hiyo pesa hata kama pesa ninazo..
Pata kwanza pesa. Ukiwa na pesa kinachoongea siyo wewe ni pesa.
Siwezi heri nisaidie yatima
Je wakua kua kuna watu wana pesa kiasi wanaona laki nikama buku 10
Tatizo hapo kupata nafasi ni shida. Anyway nitajaribu tena angalau nipate siku tano tu.😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😀😀
kwetu kijijin kunakisiwa kizur kuliko hiko kuogelea no bure
ok. nimebomoa mkopo NMB najiandaa kutimba hapo kesho kutwa.
Kisiwa kipo Zanzibar ila kinamilikiwa na Wa Sweden..okhh ok
Iyo bei na Ya Zaman sana Sasaiv ni $22000 Sawa na Tz shilling ml 40 na chenga Kaka watu wanaish
Tamka tanda hiyo h usiitamke
Duu hatar sana jamani kunawengne tumekuja dunian kama wanyiongeza
Mbona bei hiyo ya zamani, sasa ni dollar 45,000 kwa siku! Tafadhari jamani msibuku kwa hiyo bei.
Nilifika hapo pazuri sana sio utani
Mh Mimi ata seheemu ya elfu 50000 sijawai kulala jmn aya maisha du
Yani kisiwa hicho nakumbuka 2000 ilikua tunafikia na maboti yetu ya uvuvi leo kimekuwa kisiwa cha harama cha utalii....
Kesho naweza kufika hapo
Me nkajua palm village kumbe ni kuoga na papa 😂😂😂
Mi nilijua papa la gigy money
Ni kweliii wiki ilopita nilikua apoo🤫🤫🤫
🤣🤣🤣🤣
🙉🙉🙉😂😂
NIKWELI NPO MAFIA SASA KILINDONI KALIBUN SANA
Nilishalala humo mwaka 2018 pako poa sana karibuni wageni
Yani watu wanakufa kwa njaa Wana lala kwenye MABOX wanao Kota chakula kwenye mapipa Wana kula alafu nikatupe milioni 22 kwa siku? Pumzi ndio nitainunua kama ina nunuliwa lkn sio hapo
@@jenyyusuph4973 mawazo ya masikin
Hamna stress hapo hio hesabu ya watu 10 sio mtu mmoja.dola elf10 ukigawa kwa 10 kila mtu mmoja ni dola elf moja ambayo ni sawa na million 2 na laki 2,na hapo wanaweza kupunguza low season mnaweza kupata hata kwa dola 8000 kwahiyo milad ayo usitutishe😂😂😂😂😂
Kwani kukesha Shinglingapi
Shungi mbili,daaah pamekamilika kumbe