KIFAHAMU KISIWA ADIMU ZAIDI TANZANIA (DOCUMENTARY)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 มี.ค. 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

ความคิดเห็น • 60

  • @Jeff_Tz
    @Jeff_Tz 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mimi ni M'bara ila wapemba wakarimu sana ila wakaidi piaa

  • @shabanmaulana8594
    @shabanmaulana8594 2 หลายเดือนก่อน +1

    Siyu
    Fazah
    Lamu
    Watamu
    Vanga
    Msabweni
    Tanga
    Mafia
    Unguja
    Pemba
    Komoro,Mombasa, Zanziba.
    Na visiwa venginevo ambavyo sikuvitaja wote wanaoshi kwenye visiwa hivyo ni watoto wa mjomba na shangazi lugha chakula tabia zao Dini mavazi wame shibana .

  • @KhalidKhan-ud9cz
    @KhalidKhan-ud9cz 20 วันที่ผ่านมา

    Tanzania Darsalam mzuri Sana kweli 💖

  • @salimramadhani740
    @salimramadhani740 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nice ❤from Burundi🇧🇮 Lives in cape Town viva africa

  • @abuubakar7594
    @abuubakar7594 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dah kikweli pemba ina vivutio vingi zaidi ila haina bahati ya uwekezaji

  • @khamisali9907
    @khamisali9907 2 หลายเดือนก่อน

    Apo umekosea sema Zanzibar ❤ sio ivo ulivo sema weye Tanzania

  • @gadonassir4261
    @gadonassir4261 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hehehe sanaaaaa tuu kwetu iyo short video tumeona vingi ambavo ata wazaliwa hatujui kama vipo

  • @aboudjuma3962
    @aboudjuma3962 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pemba ❤️❤️❤️

  • @aminamgaza6655
    @aminamgaza6655 2 หลายเดือนก่อน +1

    I love Zanzibar. I never been there, but Isha ALLAH I am coming to visit everywhere. I love my people. ❤❤❤❤❤

  • @aminamgaza6655
    @aminamgaza6655 2 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah ❤😢 I love Pemba I will visit my people in Pemba. Thank you Al FATAH TV online to show us around the world, especially Pemba is beautiful MashaAllah 🫡🫡🫡☕️❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰♥️♥️🤲🤲🤲🤲

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wooow nice to se this place, one day I wl be there,

  • @iam_deo
    @iam_deo 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa mara ya kwanza naona pemba kuna nini.Vizuri sana tangazeni nje ya nchi pia .Jengeni ma hotel.

  • @JRN2612
    @JRN2612 2 หลายเดือนก่อน

    Home sweet home. Its been almost 10 years since I left. Can wait for my first visit😍😍😍

  • @MohamedAbdalla-tq8qo
    @MohamedAbdalla-tq8qo 2 หลายเดือนก่อน

    Zanzibar ❤

  • @Boblim-vx3ny
    @Boblim-vx3ny 2 หลายเดือนก่อน

    ZANZIBAR ❤

  • @faroukfarouk477
    @faroukfarouk477 2 หลายเดือนก่อน

    Story nzuri

  • @aminamgaza6655
    @aminamgaza6655 2 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah ❤

  • @user-cp3xl1hh1u
    @user-cp3xl1hh1u 2 หลายเดือนก่อน +3

    Je kuna hostel au nyumba za kulala wageni maana wengine hatuna jamaa wala rafiki pemba

    • @amournassorsaid7694
      @amournassorsaid7694 2 หลายเดือนก่อน

      Karibu zipo nyingi za kila bei

    • @user-sh3tr8cm1v
      @user-sh3tr8cm1v หลายเดือนก่อน

      ​@@amournassorsaid7694nili uliza nikaambia zina bei kali sana

  • @user-fh7wu8vx1y
    @user-fh7wu8vx1y 2 หลายเดือนก่อน

    Mashaallaj

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 2 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah shukran ❤

  • @Muslim-gs6rn
    @Muslim-gs6rn 2 หลายเดือนก่อน

    Mashallah ❤❤❤

  • @bausaboy2489
    @bausaboy2489 2 หลายเดือนก่อน

    Interested to be a pemba Island in zanzibar about tourist destinations and antique place by me bausa tour guide from pemba Island I accept it

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 2 หลายเดือนก่อน

    Hakika dunia ni mapito

  • @mohamedlumanga5258
    @mohamedlumanga5258 2 หลายเดือนก่อน

    Safi sana kiongozi wangu

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 หลายเดือนก่อน

    Kitoweyo kwa nsheli sheli.

  • @Marym-iw2wr
    @Marym-iw2wr 2 หลายเดือนก่อน

    Inshallah 😢natmn kuiona pemba

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 2 หลายเดือนก่อน

    Hao popo wapo ata kwenye kisiwa cha Chole kule kisiwa cha Mafia,,,niliwahi peleka wageni kule

  • @smarttv8941
    @smarttv8941 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂pemba ni zanzibar au Tanzania?

  • @NzundaLuwana
    @NzundaLuwana หลายเดือนก่อน

    Hebu acheni ufala nyinyi,kuna Zanzibar na Tanganyika,na Zanzibar ni muunganyiko wa visiwa viwili pemba na unguja,na tanganyik nitofauti na Zanzibar,ikiwa kuna maraisi wawili kati ya tanganyik na Zanzibar basi Pemba na Unguja haipo tanganyika,sasa kwanini muitangaze TANGANYIKA nasio Zanzibar,😂Hebu wacheni unafiki mumeifany pemba mpk leo ipo nyuma kimaendeleo

    • @Abdulhamid-pw3qy
      @Abdulhamid-pw3qy หลายเดือนก่อน

      Mshamba wewe.
      Zanzibar sio muungano wa Pemba na Unguja.
      Zanzibar ni "ZINJIBAR" amblyopia ni sehemu zote zilizokuwa chini ya utawala wa waarabu hasusan OMAN
      Kama ingekuwa maana ya ZANZIBAR ni muungano wa Pemba na unguja isingekuwa ZANZIBAR
      Tafuta history kamili usiwe mjinga dogo

  • @laisamaujud1157
    @laisamaujud1157 2 หลายเดือนก่อน

    Sio Tanzania ni Zanzibar

    • @safarsafari68
      @safarsafari68 2 หลายเดือนก่อน +2

      Sio Zanzibar ni Pemba

    • @Alkaburu
      @Alkaburu 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@safarsafari68umemnyosha. 😅

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 2 หลายเดือนก่อน

      sasa zanzibar ni ipi mana ukiacha pemba kuna unguja haya twambiye zanzinar iko wapi

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@Alkaburuamejidanganya

  • @hamicpina1151
    @hamicpina1151 2 หลายเดือนก่อน

    Iyo ni zanzibar na xio tanzania

    • @Alkaburu
      @Alkaburu 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hiyo ni pemba sio zanzibar

    • @topn6852
      @topn6852 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@Alkaburukwani pemba ipo wapi

    • @Alkaburu
      @Alkaburu 2 หลายเดือนก่อน

      @@topn6852 iko pemba

    • @Alkaburu
      @Alkaburu 2 หลายเดือนก่อน

      @@topn6852 pemba iko pemba.

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@Alkaburuzanzibar iko wapi mana ukiacha pemba kuna unguja

  • @user-rh7lj1lo5x
    @user-rh7lj1lo5x 2 หลายเดือนก่อน +5

    Ni Zanzibar sio Tanzania itangazeni Zanzibar sio muitangaze Tanzania I love ❤ Zanzibar

    • @hmedoggftherljih199
      @hmedoggftherljih199 2 หลายเดือนก่อน +1

      Zanzibar ni Tanzania

    • @felicianfrancis9895
      @felicianfrancis9895 2 หลายเดือนก่อน +1

      Baadaye mtaanza kusema sio Zanzibar ni Pemba.

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 2 หลายเดือนก่อน +2

      Umekaa kimamruki sana jomba unaongea utumbo mpaka ulimi unakuwasha

    • @zulfajuma8394
      @zulfajuma8394 2 หลายเดือนก่อน +2

      Acha ubinafsi sisi tunajua nitanzania

    • @zikirination6769
      @zikirination6769 2 หลายเดือนก่อน +1

      Malimbukeni sasa sijui kwann huu muungano usivunjike maan umeme hamna chakula hakuna lkn Kila siku zenji zenji