WATANGANYIKA WENGI HATUJITAMBUI,, TUNA WOGA na HOFU KUPITILIZA LINAPOKUJA SUALA LA KUDAI HAKI YA KWEĹI ,, KUTOJUA VIFUNGU VYA SHERIA na KATIBA,, na KUTOTAMBUA na KUTOKUWA NA UCHUNGU WA RASILIMALI ZETU ILI KUZIPIGANIA na KUZILINDA"
CCM ni washenzi sanaaaa tunapata shida ya mtandao kumbe wao ndio wameagiza hivi hiki hawa watu wana mpango gani na nafsi zetu sisi watanzania furaha yao ni kuona tunateseka tunaishi kwa shida na mateso wao wakiwa wamekaa kwenye viyoyozi ipo siku tu mtafika mwisho na nyumba zenu zitageuka magofu
Tatizo la wanasiasa wetu hawaaminiki na walishagundua ss watz ni rahisi kubadilishwa fikra, leo hii mwanasiasa atakueleza hoja nzito kesho akioneshwa fungu au channel ya pesa anawabadilikia. Mfano huyu Slaa wakati ameteuliwa kuwa balozi na serikali ya ccm alikuwa kimya na akawa anawaponda chadema leo hii yuko nje ya system anaongea kwa uchungu tushike lipi? Tatizo wengi wanapigania matumbo yao sio ukombozi wa Umma.
Dr. Slaa is right in addressing the subject matter to the standing president, kwa vile kwa mfano "why did she & her CCM ... ' Stone' on the issues of reconsolidation? Mwizi aitwe mwizi na anaeshikwa na "ngozi" Ndie mwizi wetu!!!
asante sana watanganyika nikweli atuna raisi Bali tunaongozwa na magenge yalio jificha nyuma ya Samia ondoeni hiki kichaka chenu Cha muungano na Tanzania iiitwe tanzanaiti jina jipya la madini yetu makubwa barani afrika na dunia ituelewe hivyo yakwamba tumeamua kutangaza madini yetu kuwa jina la nchi yetu wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu
Kama rais Samia angelimuacha na ile nafasi yake ya ubalozi asingeyazungumza hayo, hizo ni hasira tu kwa kutemwa. Kwani kampuni ya ticks pale bandarini ilikuwa inafanya nini na hii dp world inafanya nini au kosa la kampuni hii inatoka nchi za kiarabu ile ticks kutoka uchina kulikuwa kimya.
Mkuu wa jeshi alileta habari kwake kuwa jeshi limejaa watu wa inje ya Tanganyika. Mbona hajafanya lo lote. Lasilimali zetu zinaisha kwa warabu. Kwahiyo yeye anapigania warabu.
It the time ccm leadership prapar for crush social security on that effect east Africa electronics we doughty possibility of ply around before election it can be there because of fear social media
Mtanganyika gani aliwahi kuwa Rais akawa na uchungu na mali za watanganyika? Nyerere aliwafanya mfike kutembea makalio nje, kuwaingiza kwenye vita bila sababu, kufanya nchi masikini ya Kutupwa, Mkapa yeye aliwapa mitaji Yote ya uma kwa watu wachache. Kikwete ndio hasemeki. Magufuli kawatia kwenye madeni makubwa
sasa slaaa kwenye uchaguzi utachaguwa chama gani miaka iliyo pita ulikuwa mfanyakazi wa mwenda zake leo hiii unasikilizika kama chadema au ndio upepo wa siasa mzeee
Kwani unaweza kuondoa title kweli? Atakapofungasha mizigo yake kwenda kwao Zanzibar au uwarabuni dr.atamwacha na urahia wake na ubalozi wake uko pale pale kwa sababu alimaliza na kuondoka kurudi nyumbani kwa heshima ya balozi. Hakuharibu kitu huko ubalozini sasa kwa nini aone shida. Kwanza kama umesoma sawasawa unaweza kumunyang'anya mtu title ila wasomi wa kuungunga ndivyo walivyo. Maana wamefika mahali walipokuwa hawategemii kabisa. Akifika kwa kudura zake Mungu pia hawezi kumkumbuka Mungu aliyemfikisha hapo. Ananza kuwadhibu watu waliokuwa na title aliyokuwa anatamani.
Nyie wapinzani ni wajinga kila hafai Nyerere hafai kaja Mwinyi nae akawa hafai Akaja mkapa nae akawa hafai Akaja kikwete nae akawa hafai Akaja magufuri ambae watanzania Wakawa wanampenda wote nyinyi pia Mkawa Hamumtaki kaja Samia pia hafai huo ni upumbavu Tu na chuki binafsi
Wacheni Ujinga maraisi wote waliopita mbona hamkuwasema, Kikwete aliwaweka Waislamu jela na kuwafungulia kesi za Ugaidi, Mashehe wa Zanzibar wamekaa jela miaka minane bila ya kosz lolote kwa wao ni Wazanzibari na walikuwa wakizungumza kuhusu Muungano.
Viongozi wa Zanzibar waliokuwepo madarakani wametokana na DHULMA ya 2020 hawajachaguliwa na Wazanzibari wamewekwa madarakani na jeshi la na la magufuli Tanganyika.
Rais anachaguliwa dodoma ,AKISHACHAGULIWA MKITAKA MSITAKE HUYO ANAKUWA RAIS ,,KWA HIYO WAZANZIBARI WANACHAGULIWA KIONGOZI NA MA CCM YA TANGANYIKA ,,WAZANZIBARI HAWAKUWAHI KUCHAGUWA RAIS WANAYEMTAKA ,,KURA NI UBABAISHAJI TU
Ukifuatilia comments utaamini sisi watanganyika ni waajabu. hatujitambui kabisa.tunaendekeza ushabiki wa kijinga na uchawa.wenzetu Zanzibar wanailinda sana zanzibar yao na rasilimali zao.kila Rais aliyetoka Zanzibar huja na lengo la kuhamisha rasilimali za tanganyika.watanganyika tumekodoa macho tu. hao waliopewa nafasi ni chumia tumbo tu...
Ww slaa huna sera yoyote ni wivu na chuki tu unaokufanya uwe hivo msaliti mkubwa Kama ww unapata wapi NGUVU ya KUSEMA ? Acha uzandiki huo ,ulikuwa chadema ukawasaliti na NJIA zako Hadi ulipo ni usaliti mtupu mtupu
Shetani wewe silaha ibilisi shetaniiiiiiiii wa tanzania ni silaha kipindi ya magu halikuongea hili shetani mwalimu nyerere aliyatabiri haya masherani ya ubaguzi yatatokea
Samia suluhu hatufai watanganyika tumukatae Kwa nguvu zote
wewe sio mtanzania rudi kwenu rwanda
Samia aondoke atuachie tanganyika yetu
Ondoa Samia suluhu hasani Tanganyika
WATANGANYIKA WENGI HATUJITAMBUI,, TUNA WOGA na HOFU KUPITILIZA LINAPOKUJA SUALA LA KUDAI HAKI YA KWEĹI ,, KUTOJUA VIFUNGU VYA SHERIA na KATIBA,, na KUTOTAMBUA na KUTOKUWA NA UCHUNGU WA RASILIMALI ZETU ILI KUZIPIGANIA na KUZILINDA"
Tuambie Doctor Willbrod Silaa
CCM ni washenzi sanaaaa tunapata shida ya mtandao kumbe wao ndio wameagiza hivi hiki hawa watu wana mpango gani na nafsi zetu sisi watanzania furaha yao ni kuona tunateseka tunaishi kwa shida na mateso wao wakiwa wamekaa kwenye viyoyozi ipo siku tu mtafika mwisho na nyumba zenu zitageuka magofu
Dr
Slaa ni kweli hatuna njia nyingine
zaidi ya Kufia nchi yetu. Tusipo kubali kufa damu zika tapakaa majiani hawa CCM hawawezi kuachia madaraka.
Mungu Akubariki
Inauma sana asante sana Dr Slaa Mungu akulinde na akubariki sad !
Sema doctar
Wenye MASIKIO na wasikie 😢😢
Maandamano yasiyo na fujo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.
Binafsi sijawahi kuona wala kusikia.
Tatizo la wanasiasa wetu hawaaminiki na walishagundua ss watz ni rahisi kubadilishwa fikra, leo hii mwanasiasa atakueleza hoja nzito kesho akioneshwa fungu au channel ya pesa anawabadilikia. Mfano huyu Slaa wakati ameteuliwa kuwa balozi na serikali ya ccm alikuwa kimya na akawa anawaponda chadema leo hii yuko nje ya system anaongea kwa uchungu tushike lipi? Tatizo wengi wanapigania matumbo yao sio ukombozi wa Umma.
Aliondolewa kwenye ubalozi au uliukataaa
Dr. Slaa is right in addressing the subject matter to the standing president, kwa vile kwa mfano "why did she & her CCM ... ' Stone' on the issues of reconsolidation? Mwizi aitwe mwizi na anaeshikwa na "ngozi" Ndie mwizi wetu!!!
Asante kwa comment yako. Vip kwa lugha ya Slaa ipo sahihi kumkosoa Rais? Tujadili pamoja
@@ChanzoTvOnlinendio Yuko sahihi kama ana hofu ya MUNGU abadilike, ajitenge na genge la wahuni lililopo ndani ya CCM
Hana uchungu na Watanganyika, wamasai wanafukuzwa kwenye uasili wao bila huluma
Anafanya hivyo ili kimaliza Tanganyika. Tunataka KATIBA. TUFIKIE MWISHO KWA CCM WAFURAHIA
HUJATUUDHI DOCTOR MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU
VIVA COMRADE SILAA....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU....WATANZANIA WOTE BILA KUJALI TOFAUTI ZETU TUIUNGE MKONO CHADEMA.
asante sana watanganyika nikweli atuna raisi Bali tunaongozwa na magenge yalio jificha nyuma ya Samia ondoeni hiki kichaka chenu Cha muungano na Tanzania iiitwe tanzanaiti jina jipya la madini yetu makubwa barani afrika na dunia ituelewe hivyo yakwamba tumeamua kutangaza madini yetu kuwa jina la nchi yetu wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu
Tanganyika haifuati Sheria inawaonea wananchi.
Tusimkufuru mungu hakuna binaadam asiekosea na kukosolewa ni wajibu kwa binaadam hakuna kosa
Je lugha ya Slaa ipo sahihi kumkosoa Rais?
@@ChanzoTvOnlineyapu kwanini asokosolewe yeye ni MUNGU? Anapaswa kijirekebisha kama ana hofu ya MUNGU
Kama rais Samia angelimuacha na ile nafasi yake ya ubalozi asingeyazungumza hayo, hizo ni hasira tu kwa kutemwa. Kwani kampuni ya ticks pale bandarini ilikuwa inafanya nini na hii dp world inafanya nini au kosa la kampuni hii inatoka nchi za kiarabu ile ticks kutoka uchina kulikuwa kimya.
Dr Slaa, usimusahau Much. Xtofa Mtikila aliye simamia na kuhubiri maswala ya Tanganyika na Watsnganyika siku zote za uhai wake!!
Mkuu wa jeshi alileta habari kwake kuwa jeshi limejaa watu wa inje ya Tanganyika. Mbona hajafanya lo lote.
Lasilimali zetu zinaisha kwa warabu. Kwahiyo yeye anapigania warabu.
It the time ccm leadership prapar for crush social security on that effect east Africa electronics we doughty possibility of ply around before election it can be there because of fear social media
Mheshimiwa Dr. Hivi Raisi anahusikanaje na Internet
Aumnamchafua tu niliamini kwa umri wako ni Busara lakini badala yake
Mtanganyika gani aliwahi kuwa Rais akawa na uchungu na mali za watanganyika? Nyerere aliwafanya mfike kutembea makalio nje, kuwaingiza kwenye vita bila sababu, kufanya nchi masikini ya Kutupwa, Mkapa yeye aliwapa mitaji Yote ya uma kwa watu wachache. Kikwete ndio hasemeki. Magufuli kawatia kwenye madeni makubwa
Watu wa CCM BADO WANAONGEA UONGO MKUBWA.HIYO NDIYO ILIBAKI TU. HUYO TUTAMDHIBITI. CCM NI WACHAWI WAKUBWA
Babu wa mipasho anajua kika kitu kikiwa siri au zahiri tunafanya mpango aingie tot kwa ajili ya kuimba mipasho
Watanganyika tuamke kama wenzetu wa Zanzibar tutetee tanganyika yetu tuache uchawa kwa CCM, wanzanzibar wanaumoja na msimamo kudai Zanzibar yao tuamke
sasa slaaa kwenye uchaguzi utachaguwa chama gani miaka iliyo pita ulikuwa mfanyakazi wa mwenda zake leo hiii unasikilizika kama chadema au ndio upepo wa siasa mzeee
Kwani unaweza kuondoa title kweli? Atakapofungasha mizigo yake kwenda kwao Zanzibar au uwarabuni dr.atamwacha na urahia wake na ubalozi wake uko pale pale kwa sababu alimaliza na kuondoka kurudi nyumbani kwa heshima ya balozi. Hakuharibu kitu huko ubalozini sasa kwa nini aone shida. Kwanza kama umesoma sawasawa unaweza kumunyang'anya mtu title ila wasomi wa kuungunga ndivyo walivyo. Maana wamefika mahali walipokuwa hawategemii kabisa. Akifika kwa kudura zake Mungu pia hawezi kumkumbuka Mungu aliyemfikisha hapo. Ananza kuwadhibu watu waliokuwa na title aliyokuwa anatamani.
Nyie wapinzani ni wajinga kila hafai Nyerere hafai kaja Mwinyi nae akawa hafai Akaja mkapa nae akawa hafai Akaja kikwete nae akawa hafai Akaja magufuri ambae watanzania Wakawa wanampenda wote nyinyi pia Mkawa Hamumtaki kaja Samia pia hafai huo ni upumbavu Tu na chuki binafsi
Wacheni Ujinga maraisi wote waliopita mbona hamkuwasema, Kikwete aliwaweka Waislamu jela na kuwafungulia kesi za Ugaidi, Mashehe wa Zanzibar wamekaa jela miaka minane bila ya kosz lolote kwa wao ni Wazanzibari na walikuwa wakizungumza kuhusu Muungano.
Wakumbushe, suluhisho ni kuuvunja. Ni busara kuzungumzia kuuvunja ni hatari zaidi kuvunjika wenyewe na unaelekea huko kuliko kujadili Katiba Mpya.
Uko nje yahoja
Viongozi wa Zanzibar waliokuwepo madarakani wametokana na DHULMA ya 2020 hawajachaguliwa na Wazanzibari wamewekwa madarakani na jeshi la na la magufuli Tanganyika.
Zanzibar unaielewa ni Unguja na Pemba na kila chama kina nguvu upande mmoja.
Rais anachaguliwa dodoma ,AKISHACHAGULIWA MKITAKA MSITAKE HUYO ANAKUWA RAIS ,,KWA HIYO WAZANZIBARI WANACHAGULIWA KIONGOZI NA MA CCM YA TANGANYIKA ,,WAZANZIBARI HAWAKUWAHI KUCHAGUWA RAIS WANAYEMTAKA ,,KURA NI UBABAISHAJI TU
Is 2 late 😂😂😂😂
Uchawi wao ni ule mwenge unaopitishwa kila mahali ili uzidi kutupumbaza.
Daa uhakika uncle aliusimamisha
😂
Silaa tulia huna jipya
Unamsema rais sababu alikutoa kwenye ubalozi.utasema sana.hata akija rais mwingine akikunyima nafasi utamseme hivyohivyo.acha
Ukifuatilia comments utaamini sisi watanganyika ni waajabu. hatujitambui kabisa.tunaendekeza ushabiki wa kijinga na uchawa.wenzetu Zanzibar wanailinda sana zanzibar yao na rasilimali zao.kila Rais aliyetoka Zanzibar huja na lengo la kuhamisha rasilimali za tanganyika.watanganyika tumekodoa macho tu. hao waliopewa nafasi ni chumia tumbo tu...
Kwani kuna Mzanzibar gani aliyewahi kuiongoza Tanzania.
Wewe.mnafiki.ulitusaliti.unajjisogeza.kamakawaida.ulebingo.kama.ulooita
Dk Samia piga kazi usisikilize huyu muflisi wa kisiasa na alieshindwa masharti ya upadre, mtu mwenyewe anaelekea kupata stroke, akapumzike huko Mbulu
Doct.yote njaa.wewe kila kitu una dandia tu.kwanza tunauliza wewe ni nani?kwa sababu
Ww slaa huna sera yoyote ni wivu na chuki tu unaokufanya uwe hivo msaliti mkubwa Kama ww unapata wapi NGUVU ya KUSEMA ? Acha uzandiki huo ,ulikuwa chadema ukawasaliti na NJIA zako Hadi ulipo ni usaliti mtupu mtupu
Samia anauchungu na warabu wajomba wake au baba zake. Kwni akienda Uwarabuni anatofauti gani anajipigia debe ili wamkaribishe kwao
Huyu hana fupa la kukukugunya akipewa fupa hunyamaza kimya. Hebu mpeni tena Ubalozi ataisifia CCM.
Lambda wakupe wew
Huyu silaha shenan
Shetani wewe silaha ibilisi shetaniiiiiiiii wa tanzania ni silaha kipindi ya magu halikuongea hili shetani mwalimu nyerere aliyatabiri haya masherani ya ubaguzi yatatokea
Samia anauchungu na warabu wajomba wake au baba zake. Kwni akienda Uwarabuni anatofauti gani anajipigia debe ili wamkaribishe kwao