DR SLAA ANAONGEA MAZITO: HATUNA RAIS, HANAUCHUNGU NA TANGANYIKA.KAGUSA KUZIMWA KWA INTERNET TZ

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 69

  • @marwamagere
    @marwamagere 21 วันที่ผ่านมา +10

    Samia suluhu hatufai watanganyika tumukatae Kwa nguvu zote

    • @kasimkassam9565
      @kasimkassam9565 20 วันที่ผ่านมา +2

      wewe sio mtanzania rudi kwenu rwanda

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 20 วันที่ผ่านมา +1

      Samia aondoke atuachie tanganyika yetu

  • @marwamagere
    @marwamagere 21 วันที่ผ่านมา +6

    Ondoa Samia suluhu hasani Tanganyika

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 19 วันที่ผ่านมา +2

    WATANGANYIKA WENGI HATUJITAMBUI,, TUNA WOGA na HOFU KUPITILIZA LINAPOKUJA SUALA LA KUDAI HAKI YA KWEĹI ,, KUTOJUA VIFUNGU VYA SHERIA na KATIBA,, na KUTOTAMBUA na KUTOKUWA NA UCHUNGU WA RASILIMALI ZETU ILI KUZIPIGANIA na KUZILINDA"

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 22 วันที่ผ่านมา +2

    Tuambie Doctor Willbrod Silaa

  • @healingclinic698
    @healingclinic698 18 วันที่ผ่านมา +1

    CCM ni washenzi sanaaaa tunapata shida ya mtandao kumbe wao ndio wameagiza hivi hiki hawa watu wana mpango gani na nafsi zetu sisi watanzania furaha yao ni kuona tunateseka tunaishi kwa shida na mateso wao wakiwa wamekaa kwenye viyoyozi ipo siku tu mtafika mwisho na nyumba zenu zitageuka magofu

  • @user-ii3xo5jw9y
    @user-ii3xo5jw9y 19 วันที่ผ่านมา +1

    Dr
    Slaa ni kweli hatuna njia nyingine
    zaidi ya Kufia nchi yetu. Tusipo kubali kufa damu zika tapakaa majiani hawa CCM hawawezi kuachia madaraka.

  • @bahatikulwa56
    @bahatikulwa56 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu Akubariki

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 21 วันที่ผ่านมา

    Inauma sana asante sana Dr Slaa Mungu akulinde na akubariki sad !

  • @MichaelJoashi
    @MichaelJoashi 22 วันที่ผ่านมา +2

    Sema doctar

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 22 วันที่ผ่านมา

      Wenye MASIKIO na wasikie 😢😢

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 21 วันที่ผ่านมา +2

    Maandamano yasiyo na fujo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 21 วันที่ผ่านมา

      Binafsi sijawahi kuona wala kusikia.

  • @issaramadhani9141
    @issaramadhani9141 21 วันที่ผ่านมา +7

    Tatizo la wanasiasa wetu hawaaminiki na walishagundua ss watz ni rahisi kubadilishwa fikra, leo hii mwanasiasa atakueleza hoja nzito kesho akioneshwa fungu au channel ya pesa anawabadilikia. Mfano huyu Slaa wakati ameteuliwa kuwa balozi na serikali ya ccm alikuwa kimya na akawa anawaponda chadema leo hii yuko nje ya system anaongea kwa uchungu tushike lipi? Tatizo wengi wanapigania matumbo yao sio ukombozi wa Umma.

    • @healingclinic698
      @healingclinic698 18 วันที่ผ่านมา

      Aliondolewa kwenye ubalozi au uliukataaa

  • @bensonkaduvage9549
    @bensonkaduvage9549 21 วันที่ผ่านมา +1

    Dr. Slaa is right in addressing the subject matter to the standing president, kwa vile kwa mfano "why did she & her CCM ... ' Stone' on the issues of reconsolidation? Mwizi aitwe mwizi na anaeshikwa na "ngozi" Ndie mwizi wetu!!!

    • @ChanzoTvOnline
      @ChanzoTvOnline  21 วันที่ผ่านมา

      Asante kwa comment yako. Vip kwa lugha ya Slaa ipo sahihi kumkosoa Rais? Tujadili pamoja

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@ChanzoTvOnlinendio Yuko sahihi kama ana hofu ya MUNGU abadilike, ajitenge na genge la wahuni lililopo ndani ya CCM

  • @NizoTV
    @NizoTV 17 วันที่ผ่านมา

    Hana uchungu na Watanganyika, wamasai wanafukuzwa kwenye uasili wao bila huluma

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 16 วันที่ผ่านมา

    Anafanya hivyo ili kimaliza Tanganyika. Tunataka KATIBA. TUFIKIE MWISHO KWA CCM WAFURAHIA

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 19 วันที่ผ่านมา

    HUJATUUDHI DOCTOR MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 21 วันที่ผ่านมา

    VIVA COMRADE SILAA....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU....WATANZANIA WOTE BILA KUJALI TOFAUTI ZETU TUIUNGE MKONO CHADEMA.

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b 21 วันที่ผ่านมา

    asante sana watanganyika nikweli atuna raisi Bali tunaongozwa na magenge yalio jificha nyuma ya Samia ondoeni hiki kichaka chenu Cha muungano na Tanzania iiitwe tanzanaiti jina jipya la madini yetu makubwa barani afrika na dunia ituelewe hivyo yakwamba tumeamua kutangaza madini yetu kuwa jina la nchi yetu wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 21 วันที่ผ่านมา

    Tanganyika haifuati Sheria inawaonea wananchi.

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy 22 วันที่ผ่านมา +1

    Tusimkufuru mungu hakuna binaadam asiekosea na kukosolewa ni wajibu kwa binaadam hakuna kosa

    • @ChanzoTvOnline
      @ChanzoTvOnline  22 วันที่ผ่านมา

      Je lugha ya Slaa ipo sahihi kumkosoa Rais?

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@ChanzoTvOnlineyapu kwanini asokosolewe yeye ni MUNGU? Anapaswa kijirekebisha kama ana hofu ya MUNGU

  • @husseinothman1257
    @husseinothman1257 18 วันที่ผ่านมา

    Kama rais Samia angelimuacha na ile nafasi yake ya ubalozi asingeyazungumza hayo, hizo ni hasira tu kwa kutemwa. Kwani kampuni ya ticks pale bandarini ilikuwa inafanya nini na hii dp world inafanya nini au kosa la kampuni hii inatoka nchi za kiarabu ile ticks kutoka uchina kulikuwa kimya.

  • @bensonkaduvage9549
    @bensonkaduvage9549 21 วันที่ผ่านมา

    Dr Slaa, usimusahau Much. Xtofa Mtikila aliye simamia na kuhubiri maswala ya Tanganyika na Watsnganyika siku zote za uhai wake!!

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 16 วันที่ผ่านมา

    Mkuu wa jeshi alileta habari kwake kuwa jeshi limejaa watu wa inje ya Tanganyika. Mbona hajafanya lo lote.
    Lasilimali zetu zinaisha kwa warabu. Kwahiyo yeye anapigania warabu.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 20 วันที่ผ่านมา

    It the time ccm leadership prapar for crush social security on that effect east Africa electronics we doughty possibility of ply around before election it can be there because of fear social media

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 20 วันที่ผ่านมา

    Mheshimiwa Dr. Hivi Raisi anahusikanaje na Internet
    Aumnamchafua tu niliamini kwa umri wako ni Busara lakini badala yake

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 12 วันที่ผ่านมา

    Mtanganyika gani aliwahi kuwa Rais akawa na uchungu na mali za watanganyika? Nyerere aliwafanya mfike kutembea makalio nje, kuwaingiza kwenye vita bila sababu, kufanya nchi masikini ya Kutupwa, Mkapa yeye aliwapa mitaji Yote ya uma kwa watu wachache. Kikwete ndio hasemeki. Magufuli kawatia kwenye madeni makubwa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 16 วันที่ผ่านมา

    Watu wa CCM BADO WANAONGEA UONGO MKUBWA.HIYO NDIYO ILIBAKI TU. HUYO TUTAMDHIBITI. CCM NI WACHAWI WAKUBWA

  • @bongo39
    @bongo39 21 วันที่ผ่านมา

    Babu wa mipasho anajua kika kitu kikiwa siri au zahiri tunafanya mpango aingie tot kwa ajili ya kuimba mipasho

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah 20 วันที่ผ่านมา

    Watanganyika tuamke kama wenzetu wa Zanzibar tutetee tanganyika yetu tuache uchawa kwa CCM, wanzanzibar wanaumoja na msimamo kudai Zanzibar yao tuamke

  • @kasimkassam9565
    @kasimkassam9565 20 วันที่ผ่านมา

    sasa slaaa kwenye uchaguzi utachaguwa chama gani miaka iliyo pita ulikuwa mfanyakazi wa mwenda zake leo hiii unasikilizika kama chadema au ndio upepo wa siasa mzeee

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 16 วันที่ผ่านมา

    Kwani unaweza kuondoa title kweli? Atakapofungasha mizigo yake kwenda kwao Zanzibar au uwarabuni dr.atamwacha na urahia wake na ubalozi wake uko pale pale kwa sababu alimaliza na kuondoka kurudi nyumbani kwa heshima ya balozi. Hakuharibu kitu huko ubalozini sasa kwa nini aone shida. Kwanza kama umesoma sawasawa unaweza kumunyang'anya mtu title ila wasomi wa kuungunga ndivyo walivyo. Maana wamefika mahali walipokuwa hawategemii kabisa. Akifika kwa kudura zake Mungu pia hawezi kumkumbuka Mungu aliyemfikisha hapo. Ananza kuwadhibu watu waliokuwa na title aliyokuwa anatamani.

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d 17 วันที่ผ่านมา

    Nyie wapinzani ni wajinga kila hafai Nyerere hafai kaja Mwinyi nae akawa hafai Akaja mkapa nae akawa hafai Akaja kikwete nae akawa hafai Akaja magufuri ambae watanzania Wakawa wanampenda wote nyinyi pia Mkawa Hamumtaki kaja Samia pia hafai huo ni upumbavu Tu na chuki binafsi

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 21 วันที่ผ่านมา +2

    Wacheni Ujinga maraisi wote waliopita mbona hamkuwasema, Kikwete aliwaweka Waislamu jela na kuwafungulia kesi za Ugaidi, Mashehe wa Zanzibar wamekaa jela miaka minane bila ya kosz lolote kwa wao ni Wazanzibari na walikuwa wakizungumza kuhusu Muungano.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 21 วันที่ผ่านมา

      Wakumbushe, suluhisho ni kuuvunja. Ni busara kuzungumzia kuuvunja ni hatari zaidi kuvunjika wenyewe na unaelekea huko kuliko kujadili Katiba Mpya.

    • @evelynmwaimu-vd9jo
      @evelynmwaimu-vd9jo 18 วันที่ผ่านมา

      Uko nje yahoja

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 21 วันที่ผ่านมา +1

    Viongozi wa Zanzibar waliokuwepo madarakani wametokana na DHULMA ya 2020 hawajachaguliwa na Wazanzibari wamewekwa madarakani na jeshi la na la magufuli Tanganyika.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 21 วันที่ผ่านมา

      Zanzibar unaielewa ni Unguja na Pemba na kila chama kina nguvu upande mmoja.

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k 21 วันที่ผ่านมา

      Rais anachaguliwa dodoma ,AKISHACHAGULIWA MKITAKA MSITAKE HUYO ANAKUWA RAIS ,,KWA HIYO WAZANZIBARI WANACHAGULIWA KIONGOZI NA MA CCM YA TANGANYIKA ,,WAZANZIBARI HAWAKUWAHI KUCHAGUWA RAIS WANAYEMTAKA ,,KURA NI UBABAISHAJI TU

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 22 วันที่ผ่านมา

    Is 2 late 😂😂😂😂

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 21 วันที่ผ่านมา

    Uchawi wao ni ule mwenge unaopitishwa kila mahali ili uzidi kutupumbaza.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 20 วันที่ผ่านมา

      Daa uhakika uncle aliusimamisha

  • @LucasCharles-vm5ig
    @LucasCharles-vm5ig 21 วันที่ผ่านมา

    😂

  • @paulrwechungura4284
    @paulrwechungura4284 21 วันที่ผ่านมา +1

    Silaa tulia huna jipya

  • @user-ig3bu6lb5i
    @user-ig3bu6lb5i 21 วันที่ผ่านมา

    Unamsema rais sababu alikutoa kwenye ubalozi.utasema sana.hata akija rais mwingine akikunyima nafasi utamseme hivyohivyo.acha

  • @ElibarikiEliud
    @ElibarikiEliud 21 วันที่ผ่านมา

    Ukifuatilia comments utaamini sisi watanganyika ni waajabu. hatujitambui kabisa.tunaendekeza ushabiki wa kijinga na uchawa.wenzetu Zanzibar wanailinda sana zanzibar yao na rasilimali zao.kila Rais aliyetoka Zanzibar huja na lengo la kuhamisha rasilimali za tanganyika.watanganyika tumekodoa macho tu. hao waliopewa nafasi ni chumia tumbo tu...

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 21 วันที่ผ่านมา

      Kwani kuna Mzanzibar gani aliyewahi kuiongoza Tanzania.

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2n 21 วันที่ผ่านมา

    Wewe.mnafiki.ulitusaliti.unajjisogeza.kamakawaida.ulebingo.kama.ulooita

  • @Zainabnoor0087-ze
    @Zainabnoor0087-ze 15 วันที่ผ่านมา

    Dk Samia piga kazi usisikilize huyu muflisi wa kisiasa na alieshindwa masharti ya upadre, mtu mwenyewe anaelekea kupata stroke, akapumzike huko Mbulu

  • @user-ig3bu6lb5i
    @user-ig3bu6lb5i 21 วันที่ผ่านมา

    Doct.yote njaa.wewe kila kitu una dandia tu.kwanza tunauliza wewe ni nani?kwa sababu

  • @obeidchamila6392
    @obeidchamila6392 21 วันที่ผ่านมา +1

    Ww slaa huna sera yoyote ni wivu na chuki tu unaokufanya uwe hivo msaliti mkubwa Kama ww unapata wapi NGUVU ya KUSEMA ? Acha uzandiki huo ,ulikuwa chadema ukawasaliti na NJIA zako Hadi ulipo ni usaliti mtupu mtupu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 16 วันที่ผ่านมา

    Samia anauchungu na warabu wajomba wake au baba zake. Kwni akienda Uwarabuni anatofauti gani anajipigia debe ili wamkaribishe kwao

  • @hadjihadji197
    @hadjihadji197 21 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu hana fupa la kukukugunya akipewa fupa hunyamaza kimya. Hebu mpeni tena Ubalozi ataisifia CCM.

    • @user-lw3tg3yg5b
      @user-lw3tg3yg5b 20 วันที่ผ่านมา

      Lambda wakupe wew

    • @AllyKiduka
      @AllyKiduka 19 วันที่ผ่านมา

      Huyu silaha shenan

    • @AllyKiduka
      @AllyKiduka 19 วันที่ผ่านมา

      Shetani wewe silaha ibilisi shetaniiiiiiiii wa tanzania ni silaha kipindi ya magu halikuongea hili shetani mwalimu nyerere aliyatabiri haya masherani ya ubaguzi yatatokea

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 16 วันที่ผ่านมา

    Samia anauchungu na warabu wajomba wake au baba zake. Kwni akienda Uwarabuni anatofauti gani anajipigia debe ili wamkaribishe kwao