KUNDI LA WAZEE 70 WAKIGIRIKI NDIO WALIOSHIRIKI KUANDIKA BIBLIA YA KALE ZAIDI MWAKA 331 , DK SULE.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 มิ.ย. 2021

ความคิดเห็น • 279

  • @fadhilikawambwa1586
    @fadhilikawambwa1586 3 ปีที่แล้ว +5

    NAKUKUBALI SANA DR SULE NA SAIMU GWAO ONLINE TV.ALLAH SW AWAPE UMRI MREFU.AMINI

    • @hemed4064
      @hemed4064 3 ปีที่แล้ว +1

      Vitabu vya zamani hivo havipo tena vimeshaharibiwa vyote. Wayahudi wameharibu kila kitu. Kwaio saiz ktk vitab vya zaman hakuna ata kimoja

  • @rabiyamaulidinduwimana4110
    @rabiyamaulidinduwimana4110 3 ปีที่แล้ว +5

    Masha allah mwenyezi Mungu akupeumri mureeefu na awalipemema akhera

  • @mhandoonthebeats8581
    @mhandoonthebeats8581 ปีที่แล้ว +2

    Nashukuru Mungu kuwa Msabato sababu hii sikukuu ya Xmass hatuitambui maana haipo kwenye Biblia

  • @guledomary2812
    @guledomary2812 3 ปีที่แล้ว +5

    Jazakallahu khairan jazaa sheikh Sule Mola akuzidishie kila la kheri katika maisha yako na akupe umri wenye baraka na mwisho mwema.amiyn.

  • @salimawishenga7588
    @salimawishenga7588 ปีที่แล้ว +2

    Mashaa Allah Shaikh kwa muda wako na uwezo wa Allah kutupea darsa mwafaka, Allah atuzidishie elimu kwa sote ❤❤

  • @hemedhaulee
    @hemedhaulee 3 ปีที่แล้ว +7

    Allah Akbar bless you abundantly from Dubai

  • @tunudimandogreek9683
    @tunudimandogreek9683 2 ปีที่แล้ว +3

    Daim mwenyezi Mungu akupe wepesi wa kutuamsha na kutuelimisha insha'Allah

  • @zahirurumidis4301
    @zahirurumidis4301 3 ปีที่แล้ว +5

    Inshallah tumekuelewa shekhe!

  • @RachidMassud10
    @RachidMassud10 ปีที่แล้ว +2

    From Moz🇲🇿🇲🇿🇲🇿 tunawapenda sana ndugu zetu wa🇹🇿🇹🇿

  • @BashiluSalimu-md2yt
    @BashiluSalimu-md2yt ปีที่แล้ว +1

    Mashaalla,, nashari ,dkta fungua chuo ili uache urithi wa. Fani au taaluma uliyonayo bila ivo tutapoteza elimu iliyo muhimu Sana kwa Zama tulionayo don't sule fikiria hilo

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari2833 2 ปีที่แล้ว +3

    Mwenyezi MUNGU yupo pamoja nawe

  • @fadhilikawambwa1586
    @fadhilikawambwa1586 3 ปีที่แล้ว +5

    EWE MWENYEZI MUNGU KWA UTUKUFU WAKO MPE UMRI MREFU DR SURE.AMINI

  • @eliasifiwekimaro5570
    @eliasifiwekimaro5570 ปีที่แล้ว +3

    Siku za mwisho injili itahubiriwa kwa kila mtu ili asiwepo atakayesema hakusikia.Na kila ulimi utakiri kua Yesu ni Bwana na kila goti litapigwa mbele zake

    • @Muslim-qu8el
      @Muslim-qu8el ปีที่แล้ว

      Wakwanza kukiri wewe na wamwisho wewe

  • @MbarakaMkali
    @MbarakaMkali 8 หลายเดือนก่อน

    Inshallah Alhaj Sule fundisha uwezavyo na pia usisahau kufundisha kwa lugha zingine kama vile.English.nk

  • @MbarakaMkali
    @MbarakaMkali 8 หลายเดือนก่อน

    Dr Sule,Alhaj Sule fundisha history ila usisahau kufundisha kwa lugha zingine tofauti-tofauti duniani

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 2 ปีที่แล้ว +6

    Kweli mungu hamuadhibu mja mpaka apeleke muonyaji

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 3 ปีที่แล้ว +3

    Shukrani kwa kutoa Ushahidi tena kwa maandiko na Shukrani umetupa elimu. Allah akuweke Shekhe wetu.

  • @masudingana9550
    @masudingana9550 ปีที่แล้ว +1

    Allah akupe umri mrefu sheykh wangu,darsa kuntu kweli

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 3 ปีที่แล้ว +3

    Shukrani sana kwa somo

  • @mohamedkibwana7558
    @mohamedkibwana7558 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah jazakAllah kheyr Sheikh Sule

  • @seifissa9705
    @seifissa9705 ปีที่แล้ว +1

    Alhamdulilah tatizo wakirsto wamekaririshwa hawataki kusoma tatizo lingine hawaiamini kuruan wakati vitabu vyooote vya manabi woote vipo kwenye kuruani wanapata tabu sana kujua

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 3 ปีที่แล้ว +3

    Alhamdulilah unafundisha ukweli ambao manaswara hawafundishwi kanisani. Kama Manaswara wana akili wajifunze kupitia nyinyi wahadhiri wetu.

  • @husseinawadh4009
    @husseinawadh4009 3 ปีที่แล้ว +4

    Shukrani

  • @Saimugwaotv
    @Saimugwaotv  3 ปีที่แล้ว +3

    Mashaalah tuko pamoja

  • @issambilikira
    @issambilikira ปีที่แล้ว

    Rabbi akufanyie kila la heri Maalin Alhajk Dr sulle katika uvumbuzi wako inshaallah

  • @yussuphshilingi3258
    @yussuphshilingi3258 ปีที่แล้ว +1

    Allah akuhifadhi yaakhii UJUMBE UMEFIKA

  • @atifmohdkhamis1648
    @atifmohdkhamis1648 2 ปีที่แล้ว +4

    Me niwaombe tu kwa allha awape umri mrefu wenye kheri na nyie mashehe wetu na awazidishie elimu za Siri na imani ya kweli nasi tujifunze kwenu, Aamin Aamin

  • @aishasaid6749
    @aishasaid6749 3 ปีที่แล้ว +1

    Shukraan sana sheikh

  • @JosephZawadi-if4yu
    @JosephZawadi-if4yu ปีที่แล้ว

    Asante San sheh kwakutueleza torati ilipopotelea je na injili ya nabii issa pia ilipotelea wap mpaka biblia ikaandikwa injili ambayo sio Ile ya nabii issa aliyopewa na Allah

  • @user-ki6nw6ve7p
    @user-ki6nw6ve7p 3 ปีที่แล้ว +1

    Asaalmwalekm, mashaalah mweyezimungu akuwekee wepes ishaalh, nahakupe humrimurefu

  • @aminahkimwana109
    @aminahkimwana109 ปีที่แล้ว

    Waislam wote tumshukuru Mwenyezi_Mungu Sheikh Allah akustiri

    • @omarymadongo
      @omarymadongo ปีที่แล้ว

      Ww si unamuamini yesu ndio munguwako

  • @omarshaban4735
    @omarshaban4735 2 ปีที่แล้ว +2

    Masha Allah

  • @UtufyoPangachini-ru3yg
    @UtufyoPangachini-ru3yg ปีที่แล้ว

    Dr nakupata vyombo ya hekaluni sio vya msikitini ila uko vizuri.fanya hayo kwa moyo wa kweli sio kwa kutaka pesa kama wengine wanaotuzalilisha sisi wafuasi wa yesu

  • @AlhajiSaidi-uo8zl
    @AlhajiSaidi-uo8zl 8 หลายเดือนก่อน

    Mashallah Dt sule

  • @user-rn2en6kk2k
    @user-rn2en6kk2k 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulipe insha allah

  • @bakarichimako2266
    @bakarichimako2266 ปีที่แล้ว +1

    Allahubarik

  • @rashidiakili412
    @rashidiakili412 3 ปีที่แล้ว +7

    Dr ukifa waislamu tutakuwa tumepata hasara isiyosemeka na ni pengo lisilozibika labda kwa uwezo wa alla tu

    • @fadhilikawambwa1586
      @fadhilikawambwa1586 3 ปีที่แล้ว +1

      KWA MATERIO ALIYOACHA DR SULE HAKUNA PENGO ATALOACHA.KAZI MIMI NA WEWE SASA.TUOMBE MWISHO MWEMA

    • @salummzee9739
      @salummzee9739 ปีที่แล้ว

      Astghifu llah rudi kwa Allah umuombe msamaha hio sasa shirki, Mtume Muhammad s a w amefariki na dunia ipo na uislamu unaendelea kuwepo ,soma Qur-an uelewe dini kwanza sio kufata shangwe uislamu sio chama uislamu ni unyenyekevu kwa Allah

  • @user-zv9kv2lp5w
    @user-zv9kv2lp5w 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubarik

  • @husseinsaid8021
    @husseinsaid8021 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakupata saimu gwao toka SINGAPORE

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว +1

    Muombe Mungu akujalie kumjua Mungu. Mungu ajifunue kwako si kwa juhudi na maarifa ya kidunia vinavyoweza kukufanya ukamjua na kumcha Mungu. Ni kwa neema tu.

    • @nasrimbaraka341
      @nasrimbaraka341 ปีที่แล้ว

      Yani we bado hujaelewa tu hivi hujifunzi alikua mwenzenu sasa mwenzetu mchungaji mkuu wa Marekani

    • @abdallahmnyanga5019
      @abdallahmnyanga5019 ปีที่แล้ว

      Wanatumia ponti hiyo kuwabakisha mudumu huko wewe mpk babu zako Mia mbili walipita hamkumuona yesu km ilivyo sisi hatukumuona Muhammad tumewajua watu kupitia maandiko kwahiyo kuna haja ya kuyajua vizuri maandiko na klichoelezwa

    • @scanertv7806
      @scanertv7806 ปีที่แล้ว

      Uislam ni dini ya shetani mkubali mkatae maana nilikuwa huko nimeyaona kwaiyi sihangaiki mtu akibadilisha dini anakuwa tu na mambo yake binafsi ila siyo kwa lengo la kumtafuta mungu hakuna lolote huko njia pekee ya kuuona ufalme ma mungu ni kumukili yesu kristo kuwa bwana na mwokozi wa maisha yako. Amuaminie yy na sipotee bali awe na uzima wa milele

    • @mohammedbakari9797
      @mohammedbakari9797 ปีที่แล้ว

      Krbu ktk uislamu Dini ya manabii wote kumuabud Mola mmoja wala Soo kumuabud mwanadamu kupitia upotoshaji wa wazungu

    • @mohammedbakari9797
      @mohammedbakari9797 ปีที่แล้ว

      Uislamu Dini ya haki n Amani

  • @sharomdguda
    @sharomdguda 8 หลายเดือนก่อน

    Unachukuwa muda mrefu kwa kitabu ambacho mnadai haikutoka kwa mungu! , Mnatusaidia sana kumhubiri yesu, nyinyi roho mbaya, na chuki sumu Kali mioyoni mwenu , mgelikuwa na Mungu kweli mgelituzidi kwa mengi, lkn mmekuwa laana kwa Kila kitu,

    • @hajiameir8688
      @hajiameir8688 8 หลายเดือนก่อน

      Wewe kijana huna akili wala hujui vitabu vilivyoteremshwa na huna ufahamu

    • @kaoretosha6668
      @kaoretosha6668 3 หลายเดือนก่อน

      Maskiniiii....unaongezwa na ushabiki na umbumbumbu... Haujipi nafasi kujifunza....

  • @royalpriestsmusic5685
    @royalpriestsmusic5685 ปีที่แล้ว

    Inabidi ujue injili inamhusu nani au bible inamhusu nani na ni Nani aliyeumba ulimwenguni huu Kwa Neno lake ukijua Jambo hili utamshukuru Sana Mungu Kwa jina la Yesu

  • @godfreybakari5320
    @godfreybakari5320 ปีที่แล้ว

    History nzr bt n vzr unavyotusimulia utupatie na Aya katika bible na Quran kama iyo TAREHE 25 /12 /ya uyo mtoto wa

  • @nicolauskeha2489
    @nicolauskeha2489 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu fala anajua sana historia

  • @abdallahhamisiiddi4513
    @abdallahhamisiiddi4513 ปีที่แล้ว +1

    Wataelewa makafiri ,nikuwakaanga kwamafutayao wenyewe tu,
    Ukija kwa Qur an tunakusanya kijiji ,

  • @nockigona5160
    @nockigona5160 ปีที่แล้ว

    Amini unachooamini,Niamini ninachoamini
    Sisi sote tunamuomba mungu mmoja

    • @Omar-hd7er
      @Omar-hd7er 8 หลายเดือนก่อน

      Kumaanisha kuwa umeamua kuabudu masanamu ndio siku ya kiama upelekwe jahanam ukiwa unataka

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว +2

    "Mene mene tekeni peresi" ufalme umeondoka

  • @dani72130
    @dani72130 ปีที่แล้ว +1

    ulikuwepo dr sule wakati inaandikwa hiyo Bible?

  • @zainulabideen6955
    @zainulabideen6955 3 หลายเดือนก่อน

    Allah Akbar.

  • @masoudkitambi1610
    @masoudkitambi1610 ปีที่แล้ว

    Dr Sule kwa hakika umechambua kaka

  • @akimuabdallah8039
    @akimuabdallah8039 2 ปีที่แล้ว +2

    Hayo maandiko wachungaji hawawezi kuyafundisha kanisani maana wanajua waumini watawakimbia na kusilimu kitu kitakacho wakosesha kupungukiwa na waimba kwaya.

    • @domykimata5768
      @domykimata5768 2 ปีที่แล้ว

      😅😅😅that's true

    • @damianandrew3074
      @damianandrew3074 2 ปีที่แล้ว

      Ulianza vzr Sana ktk historian hiyo Ila umebugi pale waliponywea vikombe sio vya msikitini Bali Ni vya hekaruni ktk hekaru la Wana wa islael sio waharabu kwani waislael sio waislamu Sasa unapohongopa hadharani wadanganye waislamu wenzio wasio Soma vitabu wao Ni kudomewa tu ndipo mnapo wadanganya nyie viongozi vipofu.

    • @damianandrew3074
      @damianandrew3074 2 ปีที่แล้ว

      Ukumbuke vzr uhislamu kautambulisha duniani muhamed sw na sio mwingine mbona mnaongopa bure mwislamu wa kwanza unamjua sio ibrahimu

  • @UtufyoPangachini-ru3yg
    @UtufyoPangachini-ru3yg ปีที่แล้ว

    Walawi 11:3 na kuendelea mungu alivyo vikataza sio nguruwe viumbe vingi hadi ngamia,sungura ,samaki wasio na mgamba,vyote vitambaavyo

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 ปีที่แล้ว

    Miaka 570 sawa na Karine 6. Ukristu umewaacha sana.Katika Biblia vitabu vya agano la kale vimepitwa na wakati.Hakuna Mkristo Alie Mkristo kweli ambae anaaviishi vitabu vya agano la kale. Mkristo wa kisasa ni Yesu na Injili.Agano la kale e Lina maeneo yanaingiliana na Q,ran ambayo Wakristu wenye Yesu hawaikubali kamwe

  • @user-wv6jw9qw8c
    @user-wv6jw9qw8c 8 หลายเดือนก่อน

    Unajua kupinga

  • @petermgonja8547
    @petermgonja8547 2 ปีที่แล้ว +1

    Dr.sule Yuko vizuri .Ila mbona hachambui kuwa waislamu na majini ni kitu kimoja?

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 ปีที่แล้ว +1

      Majini ni viumbe miongoni mwa viumbe alivoviumba M/Mungu km alivosema ndani ya Qur'an "hakika Tumewaumba Majini na Watu ili wapate Kuniabudu"na Majini wapo waislam na Wakristo km ilivo kw Binaadam,Na jini ambae anapand kichwani ama kuingilia maisha ya mwanadam uyo amemuasi M/Mungu na adhabu yke ni moto kiyama na hakuna uhusiano wala kuingilian kwnye maisha ya mwanadam na jini kila mmoja anatakiw aishi maisha yke.

    • @nurualishaban7383
      @nurualishaban7383 ปีที่แล้ว

      Huna elimu hata kidogo ilhali wabisha na hauna dini. Mwislamu hawezi funzwa lolote kwa sababu ana elimu na anayo ufahamu kwa dini yake na kitabu chake cha Qur'an

    • @nasrimbaraka341
      @nasrimbaraka341 ปีที่แล้ว

      Ni kweli majini ni viumbe kama sisi kasoro yao na ss ni kuuumbwa kwa moto na binaadam udongo

    • @abdallahmnyanga5019
      @abdallahmnyanga5019 ปีที่แล้ว

      Kijue kwanza kitabu chako kabla ya kutailiwa

  • @nockigona5160
    @nockigona5160 ปีที่แล้ว

    Badili kubidisha waisilam wenzako waswali umekazania ukristo
    ndugu shika ulichonacho
    tukutane mwisho wa duniani (Qiyama)

    • @mudighurayra
      @mudighurayra ปีที่แล้ว

      Sie sio wachoyo tunataka sote tukaipate pepo ya Mwenyez Mungu, Soma vizur ujue ukweli

  • @nasrimbaraka341
    @nasrimbaraka341 ปีที่แล้ว

    Tunasubiri namba3

  • @ericalexandre2166
    @ericalexandre2166 3 ปีที่แล้ว +1

    Angaikeni na kinacho wa husu, mbona wa Kristo hua hawana mda na nyinyi. Mungu pekee ndie Jaji mkuu na kazi ya ujaji amempa Yesu so sisi wengine tusubirie hukumu ndo itakao amua

    • @hamisabdalai1775
      @hamisabdalai1775 2 ปีที่แล้ว

      Acha uongo mtafute mtu mmoja anaitwa Daniel mwankemwa uwone anasoma nn kama huwezi kujibu hoja kaa kimya dr peleka somo mpaka utakapokwenda kukutana na mola wako.huu ni ulimwengu wa hoja. Sio maneno.

    • @daxas_tv5881
      @daxas_tv5881 2 ปีที่แล้ว

      @@hamisabdalai1775 yule jamaa anatafuta tu ugali ndugu ila hamn mkristo anaejielewa akawa anabishana na mtu wa Imani nyingine ...maan kubishana maan yak hauamini unachokiabudu ko unahangaika kukosoa vingine Ili kuiridhisha nafsi yako..na mwisho wake ni kubomoa hamn kujenga..fatilia koment za uyu mwankemwa utakuna muislam akimkosoa huuomb mabishano nae af shart yaww yanarekodiwa Ili aje TH-cam kupata ela ...nadhn umeelewa hapo ndugu yangu

  • @ibrahimiddi3134
    @ibrahimiddi3134 3 ปีที่แล้ว +1

    Duhh wakiristo wabish sn tn ttz lao hawatafut haki wapo kiukaid t n kukejel hata ikiw n haki wao wanasikiliz maneno y wachungaj wao t

    • @lilianjoshua1407
      @lilianjoshua1407 3 ปีที่แล้ว

      Wewe husikilizi maneno ya mashehe?

    • @furahaluhambati4399
      @furahaluhambati4399 ปีที่แล้ว

      Hekalu lawezaje kuwa Msikiti hapo umechemsha umelazimisha tu haviwezi kuoana hata kidogo angalia historia ya Msikiti na Hekalu nimbalimbali

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 ปีที่แล้ว

    namwamini yesu krisito

  • @johnmwanandenje3456
    @johnmwanandenje3456 7 หลายเดือนก่อน

    Wewe muhuni hujui kitu?

  • @johnfaceluhigilo7129
    @johnfaceluhigilo7129 ปีที่แล้ว

    Cjaelawa lengo lakonni sasa

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 ปีที่แล้ว

    Unapotosha. Acha uzushi.

  • @shahabdallah9407
    @shahabdallah9407 5 หลายเดือนก่อน

    Part 3 ipo wp?

  • @paulmalagila4152
    @paulmalagila4152 ปีที่แล้ว

    Na cyo wakiristo wote tengua kaul

  • @injilinuruyamilele
    @injilinuruyamilele 3 ปีที่แล้ว

    Utajibiwa

    • @nasrimbaraka341
      @nasrimbaraka341 ปีที่แล้ว

      Hmn wa kujibu hapo Huwo ndio ukweli jifunze

    • @omarymadongo
      @omarymadongo ปีที่แล้ว

      Kwani hayo maandiko anayatoa wap mbona wabishi nyie

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว

    King James Version

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 ปีที่แล้ว

    Huwezi kulifahamu Historia ya Biblia usipoongozea na Roho Mtakatifu.Hufahamu historia. Hakuna makanisa, Kuna Kanisa moja tu, Roman Catholic. Kanisa ambalo lilijengwa na Yesu mwenyewe. Biblia Mt 16.18-18. nje Ya Roman Catholic ni madhebu ya Kikristo.Kanisa sio majengo yenye misalsba.
    * Yesu aliahidi atajenga Kanisa juu ya mwamba ambao no Petro. Mapaka Leo Kanisa katoliki haliwezi kushindwa na Imani yeyote. Na linaendelea kushindwa mpaka Yesu atakaporudi

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtafuteni Mungu wa.kweli mumwabudu badala ya kuhangaikia wafuasi kama Simba na Yanga. Dini na madhehebu kinachowatesa ni kupata mashabiki na sio kuwaelekeza waamini kwa Mungu wa kweli. Mahubiri ya 4x4 drive ndio yanazitesa dini za ulimwengu huu. Mbaya zaidi wengine humkufuru Mungu pasi na kujijua.

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 2 ปีที่แล้ว +1

      @Benedict Mrisho pole sana wee!

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว

    Bibilos bibilia Kigiriki

  • @godfreybakari5320
    @godfreybakari5320 ปีที่แล้ว

    Kwaiyo iyo torati walio choma magiliki ilikua ni kitabu kimoja tu au ?

  • @dani72130
    @dani72130 ปีที่แล้ว +1

    hata hiyo historia unayosoma inatoka kwa Bible hiyo unayoipinga.

    • @hajiameir8688
      @hajiameir8688 8 หลายเดือนก่อน

      Wewe hujamfahamu waislamu wanaamini nabii ISSA na kitabu chake sio kitabu kilichoandikwa na wagiriki na kupotosha baadhi ya maandiko na kuficha ukweli hapo ndipo hatufahamiani na nyinyi makafiri

  • @paulmasalu2219
    @paulmasalu2219 2 ปีที่แล้ว

    Nakushauri shehe Biblia haisomwi kama vitabu vya hadithi. Mwombe Mungu akupe ufahamu.

    • @nurualishaban7383
      @nurualishaban7383 ปีที่แล้ว

      Kitabu cha biblia hakina utakatifu wowote hata chooni unaingia nacho kwa ukwapa hhhhhhhh

  • @johnfaceluhigilo7129
    @johnfaceluhigilo7129 ปีที่แล้ว

    Ivi kama waisilamu mnaitambua biblia tunatofautiana wapi jamani

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว

    Unaonaje theory ya jino kwa jino na Yesu alsemaje juu ya jino.kwa jino. Ukipigwa shavu la kulia Yesu alijibuje ikiwa unasingizia Yesu alikuwa mwiisilamu?Kama Yesu alikuwa mwisilamu mjisaili vizuri mbamfuataje na mkumbuke atarudi na atawauliza mlimfuataje?

    • @nurualishaban7383
      @nurualishaban7383 ปีที่แล้ว +1

      Yesu akirudi atawauliza nyie makafiri mlipataje ukafiri maanake yesu alikuwa mwislamu

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว

    Google Novena to St Jochim and Anne grand parents of Jesus. Yaani wazazi wa Mariam Acha kuwachanganya wakristo ambao hawajakomaa. Iko historia ya watakatifu.

    • @husseinkazigo6189
      @husseinkazigo6189 2 ปีที่แล้ว +1

      Mbona huwelewek

    • @bakariathman5029
      @bakariathman5029 2 ปีที่แล้ว +1

      We hujielewi ndugu.sasa hayo mambo yakugoogle c yalifanya kuekwa na watu 2.kipindi hcho google ilikuepo hadi unataka Dr sule agoogle???

    • @nurualishaban7383
      @nurualishaban7383 ปีที่แล้ว

      Ukafikiri ni mtihani kwa hakika... alhamdulillah kwa neema ya uislamu

  • @raphaelkatanga5335
    @raphaelkatanga5335 ปีที่แล้ว

    Hapolengolako ninihasa

  • @ikramtryphon8089
    @ikramtryphon8089 3 ปีที่แล้ว +6

    Kunajamaa anajiita idris kaz ubish2 Dr. Sule ndo mwalim wenu wachungaj wenu wanawapoteza2

  • @paulmalagila4152
    @paulmalagila4152 ปีที่แล้ว

    Unatupa historia za mdomo wa2 rejea wap imeandikwa

  • @danielerio5615
    @danielerio5615 2 ปีที่แล้ว

    Unaona guruwe je ngamia samaki wasio na magamba Kama kambale tasi mbona mnakula

    • @nurualishaban7383
      @nurualishaban7383 ปีที่แล้ว

      Soma biblia yako utaelewa mbona yesu aliwakataza Kula nguruwe,wacha kubisha kile hukijui

  • @ethaneliudy7758
    @ethaneliudy7758 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwan shee alikuwepo miaka hyo au nae kasoma tuu bas historia kaikalili vizur bas alikuwepo
    wote tunaiash kwa imani nowdayz..tuache kudanganyana hapa..wazee sabin aliwaona au alisoma simulizi zilizoandikwaaa

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 ปีที่แล้ว +1

      Nyie mlosema Yesu kasulubiwa mlimuona?

    • @nurualishaban7383
      @nurualishaban7383 ปีที่แล้ว

      Nawe ulimuona yesu ama wamfuata Tu na kumuabudu bure???

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 2 ปีที่แล้ว

    Kumi yalikuwa kaskazini mwa Israel. Na makabila mawili yalikuwa kusini mwa Israel

    • @nurualishaban7383
      @nurualishaban7383 ปีที่แล้ว

      Na kabila lako kama mwafrika lapatikana wapi?

    • @mhandomhina5503
      @mhandomhina5503 ปีที่แล้ว

      Na Yale yaliyosambaa mashariki ya mbali baada ya utawala wa Nebuchadnezzar wa Babel katika utumwa ?

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว +1

    Chura anazidi kupigwa teke. Bibilia hoyeee.

  • @danielerio5615
    @danielerio5615 2 ปีที่แล้ว +1

    Unaonaje ukafundisha kwenye misikiti kuliko kwenye mitandao

    • @dededshud7047
      @dededshud7047 2 ปีที่แล้ว +1

      Hhhhhhhhhhhhhhh inapenya

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 ปีที่แล้ว +2

      Lengo ni kuelimishwa nyie mnaoabudu Binaadam mwenzenu,mnaumia makafiri

    • @nurualishaban7383
      @nurualishaban7383 ปีที่แล้ว

      Utasomaje na utaelewa Vipi ww kafiri anayeabudu MTU mwenzio?

    • @danielerio5615
      @danielerio5615 ปีที่แล้ว

      @@nurualishaban7383 mimi najua ninacho kiabudu ila wewehutaki unataka niamini unacho amino wewe haiwezekani

    • @mhandomhina5503
      @mhandomhina5503 ปีที่แล้ว

      Hii Ni neema ya tehama na utandawazi hivyo hata wale wanaofunikwa funikwa baadhi ya mambo nyeti lazima wapate madini mwanga lakini siyo ya kule Longido

  • @sharomdguda
    @sharomdguda 8 หลายเดือนก่อน +1

    Biblia waislamu wanaipenda , japokuwa mnajitahidi kuwafanya waislamu wasisome maana watajua ukweli na ukweli itawaweka free sana. Historia nzima ya ulimwenngu utaipata ktk Biblia hakuna kitu kwenye qurani, kwanza qurani sichochote Bora hadhi kuliko qurani, hadhi Ina nguvu zaidi, eti maneno ya mtume yaliyoandikwa na mijitu tu miaka kadha baada ya mtume kufariki duniani. Sasa tufuata maneno ya watu hadithi au qurani!? Waislamu finish finito

    • @hajiameir8688
      @hajiameir8688 8 หลายเดือนก่อน

      Wewe hujamfahamu Dr sule

  • @vailethmarack374
    @vailethmarack374 3 ปีที่แล้ว

    Mi nimekusiliza vizuri kuwa biblia ni yakutunda ila bado unaisoma kutafuta ushahidi kwa mada hizo. unajichanganya mwenyewe. Alafu umetoa habari wanyama ktk danieli umechanganya mbavu tatu dubu ndio alikuwa nazo kinywani sio Simba.

    • @lightnesselirehema1464
      @lightnesselirehema1464 2 ปีที่แล้ว

      Kumbuka kuwa biblia itasomwa kwa vyovyote vile.

    • @dededshud7047
      @dededshud7047 2 ปีที่แล้ว

      Umemskiliza Ila hujamuelewa

    • @dededshud7047
      @dededshud7047 2 ปีที่แล้ว

      Uwongo ushahidi wake unatoka kwenye uwongo

    • @dededshud7047
      @dededshud7047 2 ปีที่แล้ว

      Hata kuzini umekatazwa Ila unazini kwa iyo uko sawa

    • @mhandomhina5503
      @mhandomhina5503 ปีที่แล้ว

      Biblia inipingana baadhi ya maandiko hii Ni ishara ya shaka ndani yake japo yapo maandiko yaliyoandikwa katika kweli yake. Na Qur'an Ni kitabu kilichoandikwa moja kwa moja kutoka ufunuo .

  • @dani72130
    @dani72130 ปีที่แล้ว

    kama hayo maandiko hayapo wewe ulipata wapi?

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว

    Nikushukuru kwa mijadala yako ambayo itawafumbuanmadhehebu madogo madogo ya Kikristo watakapopata ukweli unaouficha juu ya historia ya kanisa. Bibilia ni kongwe kuliko quran na inayo maagano mawili kale na jipya na husomwa pamoja. Uwe unapingana na watu kama wakotoliki wanaoifadhi historia za watakatifu. Kanisa katoliki linampa heshima Mama wa Yesu Bikira Maria kuliko Marium katika quran. Hata novena na sala mf rozari na ibada ni ushaidi. Omba umjue Yesu zaidi.

    • @ghazarmohamed1585
      @ghazarmohamed1585 2 ปีที่แล้ว

      Astaghafilullah Allaha akusaidie, huu ni ugonjwa kwenu mkubwa sana mpaka Allah akufanyie wepesi

  • @aloysmrimi3250
    @aloysmrimi3250 2 ปีที่แล้ว

    Pale akili ndogo inapoongea mbele ya akili kubwa.

    • @nasrimbaraka341
      @nasrimbaraka341 ปีที่แล้ว

      Sasa wewe na yeye nani kasoma biblia hahaha jifunze yani wewe unajiona umesooma jifunze

    • @abdallahmnyanga5019
      @abdallahmnyanga5019 ปีที่แล้ว

      Sikiliza darsa vizuri pumba zikutoke huyo docter sule anatoa Madini ya maana

  • @anordlazarolazaro8445
    @anordlazarolazaro8445 ปีที่แล้ว

    Mbona uongelei walevi walio andika Quran

    • @nasrimbaraka341
      @nasrimbaraka341 ปีที่แล้ว

      Kitabu kisicho badilika milele kisicho na shaka kilichobeba vitabu vyote

    • @mudighurayra
      @mudighurayra ปีที่แล้ว

      Kama una akili timamu soma kwanza ndio ujue ukweli

  • @injilinuruyamilele
    @injilinuruyamilele 3 ปีที่แล้ว

    Ebu eleza umma jinsi quran ilivyo andikwa

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 3 ปีที่แล้ว

      Yani huyu haijui bible ila analopoka tu, kwanini asiwaubirie waislam maandiko yatokanaya na Quran anakomaa na bible ambayo haielewi

    • @husseinissa7118
      @husseinissa7118 3 ปีที่แล้ว +1

      Quran aliipokea mtume Muhammad(s.a.w) na wanafunzi wake ndo walikuwa wanaandika na kusomeshwa kwa usimamizi wa mtume Muhammad(s.a.w) mpaka leo imebaki katika uhalisia wake (original context/language).na itaendelea kuwa ktk uhalisia wake bila kuchakachuliwa kama torati,injili na zaburi zilivyochakachuliwa na waandishi soma yeremia 8:8

    • @nurualishaban7383
      @nurualishaban7383 ปีที่แล้ว

      Aeleze na waislamu Wana elimu Hadi kwenye kitabu cha kikafiri ambacho nyinyi wenyewe hamkijui. Qur'an iko Sawa kwa mwislamu tunakifahamu vizuri sana alhamdulillah

    • @nasrimbaraka341
      @nasrimbaraka341 ปีที่แล้ว

      France wewe unaonekana umesoma sana kushinda Sule na Sule yeye alishawahi kuwa mchungaji sasa wewe nani umesoma nini Yani we upo upo tu hujui lolote haha

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 3 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣🤣🤣🤣.........yani unaichambua Biblia kwa kutumia biblia na yote uyasomayo unaamini kuwa ni ya kweli afu unahitimisha kwa kuipinga hiyo hiyo Biblia🤣🤣..ni kweli nyiee jamaa hamjielewi kabisaaaa, yani mpaka kitabu cha Daniel unakisomaa!!! Nyie si mnasema mnaitambua torati ,Zaburi na Injili, sasa inakuaje leo hii unaamini ni Mungu alikuwa anaongea na Daniel kwenye hicho kitabu cha Danieli?🤣🤣🤣.........tatizo Lenu hamjui mtakuja kufanywa nini pamoja na mtume wenu siku ya kihama.

    • @omarsaid7153
      @omarsaid7153 2 ปีที่แล้ว

      Siku ya Kihama ndo kuhamia wapi? Nguruwe mpotovu ww !

    • @profs.a5412
      @profs.a5412 2 ปีที่แล้ว

      @@omarsaid7153 🤣nasikia matusi kwenu ni miungoni mwa suna za mtume wenu ,ni kweli?🤣

    • @mohammedbakari9797
      @mohammedbakari9797 ปีที่แล้ว

      Ww tafadhali usimtaje Mtume wetu ktk matusi Natamani ngelikupata nkakukata kichwa chako Kwa kumkosea Mtume heshima we Una bahati uko mbali

    • @profs.a5412
      @profs.a5412 ปีที่แล้ว

      @@mohammedbakari9797 acha upumbavu kijana , utakatwa mwenyewe, we unazani mnadini ya kuwapeleka peponi nyinyi?? Nyie dini yenu inawapeleka jehanamu tu. Kamuhlize vzuri mtume wako. Tatzo hata Quran yenu hamsomi🤣🤣 nyie hakuna mnachokingojea zaidi ya jehanamu tu. Omba Mungu akutoe hukoo. We unajua mtume wako aliyokutana nayo kwenye mapango ya jabal Hilah!? 🤣 Soma vitabu upate kuwa huru acha kumeza Aya, elewa aya

  • @ikramtryphon8089
    @ikramtryphon8089 3 ปีที่แล้ว

    Idris hunaunacho kijua tatiz wakrist hamtak kujifunza kazi ubishi2 mmezoea kusomewa makanisani ukiulizwa swali kutoka kwenye bibilia yako hujibu mbak kiama...

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 3 ปีที่แล้ว

      Nyie mnajua kitu gani ?si aubiri Quran na madudu yake mbona anatumia bible inatakiwa mumhoji shehe wenu kenge nyinyi

    • @nurualishaban7383
      @nurualishaban7383 ปีที่แล้ว

      @@francisjoseph1074 biblia mnafunzwa nyie mikafiri msio na dini wala kitabu... Qur'an mwislamu anakifahamu vizuri Sana,hatuna tatizo kama nyie makafiri sugu

    • @legrandmsangi8405
      @legrandmsangi8405 ปีที่แล้ว

      @@francisjoseph1074 Quran inajitocheleza haihitaji longolongo. Tunachambua bibilia Ili tujue ukweli wake coz ni maandiko yasiyojitosheleza, haijulikani alipew nani hicho kitabu coz vitabu hupewa manabii. Tunaifunua bibilia Ili tuokoe watu waliopotoka

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 ปีที่แล้ว

      @@nurualishaban7383 kweli we hujielewi, Bible Karne na Karne, mpaka yesu kaikuta mpaka anaondoka kaiacha inapita miaka Mia sita anakuja taperi mmoja anajiita Muhammad analecta Qurani yake ya uongo swali kabla ya Muhammad uislam na kurani yake ulikuo Kona ipi?

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 ปีที่แล้ว

      @@legrandmsangi8405 inajitosheleza Kwa kipi , akati imecopy Aya from bible , kwani Nani ambae hajui kama Muhammad alikua anamsikiliza story na kuadisiwa mambo ya kale nayy anaenda kuwapiga fix warabu coz shule walikua hawana

  • @dani72130
    @dani72130 ปีที่แล้ว

    unatafuta tu subscribers, kama sio kweli umepata wapi hiyo historia ya wana Israeli?
    je ni kweli wana wa israeli walitoka Misri kwenda kaanani?
    mbona unaiamini Bible nusunusu kama kawaida yenu?
    kama huiamini chukua kitabu cha sayansi ndio ufindishie watu.

  • @vincentwise8100
    @vincentwise8100 3 ปีที่แล้ว

    kama haya ni kweli kwanini mkona versions za qurani zaidi ama 10 . WARSH and hafs versions mbili kama example?

  • @Dani-fv3lk
    @Dani-fv3lk 2 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa anawapotosha,,mm nataka niiende naye mjadala na yeye wa Dini,kati ya uislamu na Ukristo

  • @vailethmarack374
    @vailethmarack374 3 ปีที่แล้ว +1

    Ambacho mi nashanga kwenu ni kwamba munakesha kuelezea kitabu ambacho hamna nuru nacho. Ikiwa Imani yako ndio sahihi wekeni mikutano kila mahali mkahubili kwa sauti kuu kuwa Imani ya uisilam ndio sahihi ili watu wasikize kile mnachohubili Ila ninyi mwekesha na biblia huku mnakikata kuwa sio maneno ya Mungu, na wakati huohuo mnakisoma kutapata ushahidi humo. Hili ni tatizo mi ningeona mnamaalifa ningewaona mkihubili kwa sauti kuu ujumbe. wa kitabu ca Imani yako ili mtu asikilize na kuona wapi Kuna nuru. Kama wanavyo fanya wakristo huweka mikutano yao Kisha wanahubili kwa sauti kuu ujumbe wa Imani yao Kisha mtu anatafakali mwenyewe wapi niende.

    • @crescentvscross1132
      @crescentvscross1132 3 ปีที่แล้ว

      Wewe ni mvivu wa changamoto za maisha

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 3 ปีที่แล้ว

      Yani huyu shehe akili yake haina akili ,haielewi bible ila anaropoka

    • @seifmziray2551
      @seifmziray2551 2 ปีที่แล้ว +1

      Nilihama ukristo mana sijui bibilia nimekuja na nabii gani Mana vitabu ni vinne na vinamitume
      1,zaburi,,Saudi.
      2,taurati,Musa
      3,injili,,isa)/yeah
      4,Quran,, Muhammad,
      5,bibilia,,?
      Na ndio maana kitabu Cha bibilia nikitabu Cha kutunga tu hamna kitu hapo

    • @seifmziray2551
      @seifmziray2551 2 ปีที่แล้ว

      @@francisjoseph1074 yupo sawa chukua elimu mzee ukirsto sii dini bibilia hakuna nabii yeyote aliyekabiziwa ,,nikitabu Cha kutunguwa bibilia inashughudia

    • @daxas_tv5881
      @daxas_tv5881 2 ปีที่แล้ว

      @@seifmziray2551 sawah broo wew ndo umesema..ila jua wtu wanafanya dhambi sana wakristo Kwa waislm lengo la huyo dada ni kutak na masheikh bhas wawasaidie wachungaji kuuhubiri watu waache dhambi maan Amna mtu anapona kisa ety yuk dini Fulani..Hawa viongoz wenu na wao wawe wanatangaz dhambi ni zipi Ili watu waache sio kukosoa Imani isiowahusu maan ata watu wakiwa waislm af wakawa hawahubiriwa kuacha dhambi watakuw tu wanajiridhish nafsi zao af the end Mungu ndo anajua 🙏

  • @daxas_tv5881
    @daxas_tv5881 2 ปีที่แล้ว

    Sheik ungekuw na akili usingewez kutoa ushahidi kwny bible iliharibiwa af ukaji prove right hapo utakuw ni dhaifu sana...na piah usihangaike na watu ambao wew unaona wamepotea Kam wao wanavokuona wew...kama kweli unajielewa tangza uislam Kwa kusema mema yake na watu waache dhambi....tofauti na hapo HAUAMINI UNACHO KIABUDU ✌🏿

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 3 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa chizi kweli, sasa kwenye hivyo vitabu vya musa kuna sehemu imeruhusiwa kula nguruwe??? Kama torati ya kwanza ilichomwa tupe tofauti moja tu kati ya torati ya kwanza unayo amini ilikuwepo na hiyo unayo dai iliandikwa na wazee 70...utawadangnya waislamu wenzio wasio na akili😀😀

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว

    Abraham alikuwa mkristu ama mwislam na kama Mkristu ama Mwisislam dini hizi zilizaliwa mwaka gani na Ibrahimu alikufa akaziacha? Abraham anapiganiwa kama mpira wa kona!