YESU ALIVYOMTABIRI MTUME MUHAMMAD /DINI YA UYAHUDI ILIVYOANZISWA/MAAJABU YA TAIFA LA ISRAEL. DK SULE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ก.ค. 2021

ความคิดเห็น • 160

  • @yusufrichardomuna5452
    @yusufrichardomuna5452 3 ปีที่แล้ว +5

    naomba Allah anipe jannah pamoja nawe Doctor,tibu baba

  • @HassanAli-lt4xm
    @HassanAli-lt4xm 3 ปีที่แล้ว +5

    Nimekubali Dr.sule mkali ,Allah ampe umri mrefu na amlinde

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n 3 วันที่ผ่านมา

    Masha Allah mwalimu mzuri sana ❤❤❤❤❤❤

  • @kelvinpius-ne9rz
    @kelvinpius-ne9rz หลายเดือนก่อน

    sisi hatuhitaji vitabu eti ndo tumjue Mungu, Yesu Kristo wa Nazareth ni Mungu mkuu na ametawala milele na milele

  • @kassimmgona-vx9tr
    @kassimmgona-vx9tr ปีที่แล้ว

    ALLAAH akuzidishie kheri na baraka tele Dr. sure na akulinde zaid, tupate kuelimika zaidi juu ya ALLAAH., kupta ukweri. wa DINI ya hakii .

  • @jumasalum2677
    @jumasalum2677 3 ปีที่แล้ว +2

    Jazaakallah khaira

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh wetu jamani twawapenda nyote kwa ajili ya Allah Allah awape hafya nakuzidisha watu wa ki elimu ya lili kundi lenu lote liendeleye mpaka kiyama inshaallah naona na keya na rwanda wameanza utamu wakufunza uisilsm

  • @gu-away5246
    @gu-away5246 ปีที่แล้ว

    Hiiii vidéo imejibu maswali yangu yote niliokua najuuliza kutokana Na biblia moja kwa moja
    Mwenyezi Mungu akulipe kheri kubwa sulle 🤝

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 2 ปีที่แล้ว +1

    Jazaakumullahu khaira 🙏

  • @hajirinibakari25
    @hajirinibakari25 2 ปีที่แล้ว +1

    Dr sule kunajamaa anachafua mazingira kwenye tv ya davista anapotosha sana kuhusu uislamu naomba fatilia iyo tv utusafishie anadai alikua sheikh nakuomba fatilia

    • @pungopungo411
      @pungopungo411 ปีที่แล้ว

      Mtapamba na watu wangapi eti fatilia. Lazima mpakwe kinyesi nyie sababu mnalitaja jina la yesu kipuuzi. Anarudi

  • @tambweomary3456
    @tambweomary3456 3 ปีที่แล้ว +2

    Kheri na salama ya allah izidi kuwa nawe kipenzi cha muumba

  • @jeanpaulkwizera3216
    @jeanpaulkwizera3216 8 หลายเดือนก่อน

    Yesu Aja mutabiri uyo mwenye munaita prophet ata Mungu mweye we hajamutuma Muhammed

  • @yusufrichardomuna5452
    @yusufrichardomuna5452 3 ปีที่แล้ว +2

    MashaaAllah

  • @nyanziratatou5404
    @nyanziratatou5404 3 ปีที่แล้ว +2

    Allah Akbar Hadi raha . Ubarikiwe Dr Sule upewe hero zake.

    • @loysamwel6308
      @loysamwel6308 2 ปีที่แล้ว

      Njoo kwayesu

    • @elizabethmaleko7887
      @elizabethmaleko7887 2 ปีที่แล้ว

      Da! huyu jamaa anapotosha sana yani yesu katabiri coroan mimi nimesoma coron nimesoma chuo chabibilia unayo ongea nikweli kwa hstoria ila kwa utabiri njoo tukufundishe na ninaapa Mungu anajua hili Yesu hakutabiri uislamu na hamjui muhamad

    • @thadeozacharia8428
      @thadeozacharia8428 2 ปีที่แล้ว

      Ww muuongo

    • @muksinsaidi4892
      @muksinsaidi4892 ปีที่แล้ว

      Elizabeth, yesu ni mungu kwa mujibu wa ibada zenu, anashindwaje kumjua muhammad, achana na utabili kama kweli yesu ni mungu bila shaka anatujua wote,

    • @muksinsaidi4892
      @muksinsaidi4892 ปีที่แล้ว

      Na quran uijui usidanganye apa, labda ulifundishwa baadh ya aya ili ukejeli uislam, maana ndo kaz yenu munapoamua kuisoma quran

  • @fatwimatzahrau2327
    @fatwimatzahrau2327 3 ปีที่แล้ว +2

    MashaLLAH

  • @samuelngogo5572
    @samuelngogo5572 2 ปีที่แล้ว +2

    Danganya umati Muhammad Yesu alituonya na manabii wa uwongo

    • @saphinalutaha9077
      @saphinalutaha9077 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 manabii wa uongo mbona ndo wanaowaogoza Sara zenu

    • @chikuiddy9946
      @chikuiddy9946 หลายเดือนก่อน

      Makanisani ndo wanaongoza kwa hao manabii😂😂😂

  • @isihakajarika2668
    @isihakajarika2668 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @petermwijage9882
    @petermwijage9882 ปีที่แล้ว +1

    ubarikiwe

  • @titusmachelela7550
    @titusmachelela7550 ปีที่แล้ว +2

    Nakukubali docta sule kwa kuwa Mimi napenda kujifunza na sio kuponda maana wengi tumefunzwa kuponda uislamu mungu atubusuru

  • @omarshaban1721
    @omarshaban1721 ปีที่แล้ว

    Mashallah shekhe upo vzri

  • @user-hw7ce8gf6v
    @user-hw7ce8gf6v 6 หลายเดือนก่อน

    HAKUNA SEHEMU YESU ALIMUTABIRI MAREHEMU

  • @daawaonlinetv4486
    @daawaonlinetv4486 3 ปีที่แล้ว +2

    MAASHALLAH MADA NZURI SANA ALLAHUMMA BAARIK LAKA

  • @neemafelister9584
    @neemafelister9584 2 ปีที่แล้ว +1

    ISA MASIAH NDIYE NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE AMINA.
    Mungu wa
    Ibrahim,
    Isaack,
    Isiraeri ndiye
    Isa masiah aliye kufa msalabani ni ISA (INRI

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 ปีที่แล้ว

    Mnashindwa kutangaza uisilsm wa kweli kazi nikupekuapekua mambo msioyaelewa

  • @TomAyodi
    @TomAyodi 2 วันที่ผ่านมา

    Uongo uongo uongo

  • @user-rw2hx5eb7p
    @user-rw2hx5eb7p 5 วันที่ผ่านมา

    Hayo sio maneno ya kuongea ndugu yangu kama umemsikiliza dk sule auja muelewa usikejel unapo mtaja mtume wetu umeutaja uislam mtu akimkejel yesu utakubal sio maneno mazur acha chuki kama auja muelewa dk sule wacha usiandike uchochez

  • @aminially5123
    @aminially5123 3 ปีที่แล้ว +1

    Ukisoma isaya 18 1-7 utagunduwa kwamba mayahudi og wako katika nchi za maziwa makuu ngambo ya mto nile.

  • @loysamwel6308
    @loysamwel6308 2 ปีที่แล้ว +1

    Sule muwongo sana

  • @swalehsalim5576
    @swalehsalim5576 2 หลายเดือนก่อน

    Acha kupindua maandiko ‼️

  • @loysamwel6308
    @loysamwel6308 2 ปีที่แล้ว +1

    Wasamu pingiya muhamadi debe

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah mungu akupe uhai mrefu kaka

  • @ibrahimmchuka6730
    @ibrahimmchuka6730 2 ปีที่แล้ว +1

    We

  • @user-sj1fj6uz1z
    @user-sj1fj6uz1z 3 หลายเดือนก่อน

    19:27

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k 10 หลายเดือนก่อน +1

    Makafir wabishi Sana njoon kwenye haki Uislamu ndio din ya haki ache I ubishi shehe wetu waambie yote

  • @gideonlangat5035
    @gideonlangat5035 ปีที่แล้ว +1

    Mdomo tu na kelele mingi, mwalimu mjinga kabisa Kama marehemu gaidi (Alie oa mtoto) Muhammad.

    • @salumkigoya5891
      @salumkigoya5891 4 หลายเดือนก่อน

      Apo uwezi elewa maana ni kisomo TU sio kelele na kukaririshwa,,apo lazma ukae darasan mwamba

    • @chikuiddy9946
      @chikuiddy9946 หลายเดือนก่อน

      Chuki binafsi

  • @saalongophilip702
    @saalongophilip702 10 หลายเดือนก่อน

    Utoe evidence sio maneno mengi

  • @josephmuchiri3180
    @josephmuchiri3180 2 ปีที่แล้ว +1

    Daaaa?uyu jamaa anazungumza nn?shule muhimu sana akyamungu

    • @salimrangi7026
      @salimrangi7026 6 วันที่ผ่านมา

      Hayo maneno unayapata shule gan kama shule muhimu usichanganye elimu ya dini na elimu ya shule yesu alisoma shule gan

    • @josephmuchiri3180
      @josephmuchiri3180 6 วันที่ผ่านมา

      @@salimrangi7026 iyo ni kenge acha kuisikiliza

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam5813 3 ปีที่แล้ว +1

    YESU KUMTABIRI Muhammad ni sawa na MKUU WA WILAYA KUMTEUA RAIS WA NCHI

    • @mangeraalbert7982
      @mangeraalbert7982 3 ปีที่แล้ว

      Wacha mchezo wewe, ongea kweli tu, sio akili yako kufasiri utakavo.

    • @sawdaasawdaa7903
      @sawdaasawdaa7903 3 ปีที่แล้ว

      Kafiri tubu bila kimusilim nakufanya mema huendi mbinguni

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 3 ปีที่แล้ว

      @@sawdaasawdaa7903 kama mbingu ya bibi Yako sawa

    • @Simulizitulivuu
      @Simulizitulivuu 3 ปีที่แล้ว

      Mnamacho lakin amuoni nyie wana wa paulo @Joseph wiliam

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 3 ปีที่แล้ว

      @@Simulizitulivuu WAna WA Muhammad,,,unadhani kwa kitendo Cha Aisha kuolesa akiwa na miaka Sita kwa Hali ya ubinadam inaitwaje?

  • @graduationtv3072
    @graduationtv3072 7 วันที่ผ่านมา

    Haukma mahala mohamad anapatikan kwenye biblia japo mtu wa kwanza kutafsiri Biblia ni Muislamu wa Mombasa kisha akachomeka mskiti na arabu

  • @editrudesmbonde9051
    @editrudesmbonde9051 2 ปีที่แล้ว +1

    YESU hajatabiri ujio wa Muhammad acha uongo wako,hata ukisoma theologia bila ROHOMTAKATIFU huelewi kitu,hata wewe unachokiongea hujui.😎

  • @raykyando7571
    @raykyando7571 8 หลายเดือนก่อน

    Na hao watakao amini neno lao yaani watakao amini injili ya wanafunzi wa yesu baada ya yeye kuondoka , sio hicho unacho tafsiri

  • @Footballer-1992
    @Footballer-1992 3 ปีที่แล้ว +1

    Fuata mwenye anakuombea Kwa Mungu si mwenye ako kaburi anaongoja kiyama.

  • @essaumpuma2981
    @essaumpuma2981 2 ปีที่แล้ว +1

    Angalien waislam wanavyotapatapa kutafuta ushahidi WA kiislam ndani ya kitabu kitakatifu cha biblia

    • @Michoarbah
      @Michoarbah 2 ปีที่แล้ว

      Vzr sana tunafurah umefatikia mungu akuongoze...

  • @chrispinkundaeli1752
    @chrispinkundaeli1752 3 ปีที่แล้ว +1

    Mh bibilia gani hio jamaa anayoisoma hapo?cku za usoni utakuja kuwa Mkristo

    • @ambarnelly6304
      @ambarnelly6304 2 ปีที่แล้ว

      Yni ulivyo potea ndugu ata biblia yako huijui ndo shida ya biblia kuandikwa kwa matakwa ya binadamu mpaka huelewi

    • @chikuiddy9946
      @chikuiddy9946 หลายเดือนก่อน

      Watu wanaijua vzuri biblia yenu

  • @BonifaceIrungu-fv9pf
    @BonifaceIrungu-fv9pf 5 หลายเดือนก่อน

    Wewe ndio hujui Thiology kwa sababu ufahamu unaojengaa wewe hauendani na maandiko

  • @Footballer-1992
    @Footballer-1992 3 ปีที่แล้ว +1

    Soma kwa Quran

  • @maziyaofficialke2412
    @maziyaofficialke2412 ปีที่แล้ว

    Uyo shehe hana elimu yoyote ya biblia,iyo story amesema yote,ni vle wasabato waliuliwa na wakatoliki,kwa ivo soma vizr acha kudanganya watu bure

  • @Footballer-1992
    @Footballer-1992 3 ปีที่แล้ว +1

    Just read King James Version mzee. Si kitabu cha catholic.

  • @macrinajoseph1422
    @macrinajoseph1422 3 ปีที่แล้ว +2

    Huna kipimo historia ya.yesu kabla ya kuzaliwa na baada ya kuzaliwa yatosha kujua ukweli.wa.mungu. .hicho ndicho kipimo . Unatafuta kujua alipotabiliwa.muhamadi. Unalazimisha biblia on ikubali .muhamadi. Ninabii wa mungu. Ukweli upo wazi kwako usilazimishe bila yesu hakuna msamaha wa zambi. YESU AMUWEKA. WAZI. MUHAMADI . YOHANA. 5;38. 47 MATHAYO. 24:. 26

    • @selemanmakau5967
      @selemanmakau5967 3 ปีที่แล้ว +1

      Yesu Hana mamlaka ya kusamehe dhambi kea sababu ni binadamu ambae alifungwa Bambino,alikunya alitahiliwa, mamlaka ya kusamehe dhambi ni ya mungu alomuumba yesu,alomuumba wewe na alowaumba wazazi wako,yesu hakuumba hata mbu,hawezi

  • @prochesernest5439
    @prochesernest5439 3 ปีที่แล้ว +1

    Katika watu wanafiki wew ni namba moja unamsingizia Bwana Yesu kumtabili Muhammad Hana vigezo kwenye Hilo andiko halfu unasema mnamuamini Yesu wakati kifo chake mnakikataa kuwa Mwana wa Mungu muongo

    • @fatwimatzahrau2327
      @fatwimatzahrau2327 3 ปีที่แล้ว +1

      Hawa ndio wale Alowasema MWENYZMUNGU summun bukmun ghumyun ww kama ulkua wataka kujua haki usingeleta matusi ungefwatilia ukajua haki iko wapi

    • @lileoh3893
      @lileoh3893 3 ปีที่แล้ว

      Tatizo. Husuda mnasubili kudanganywa nawachungaji soba bibilia mhamadi yupo tatizo uelewa soma yohana 16

    • @ibrahimjuma7071
      @ibrahimjuma7071 3 ปีที่แล้ว

      hawandowale walikuwa wakipiga zogo darasani yani mpakaleo wameendeleya naujinga wawo soma ww siounapiga zogotu

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 3 ปีที่แล้ว

      @@lileoh3893 usikubari kuonekana mginga tena wa mwisho hiyo Yohana 16 hakuna ushaidi wa kuwepo mtume Muhammad hapo Soma hapo hakuna jina Muhammad usiwe kipofu na Mimi nipo naisoma

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 3 ปีที่แล้ว

      @@lileoh3893 Muhammad anaitwa Roho Mtakatifu akiitwa Roho Mtakatifu nasilimu Sasa hivi nakumia namba yangu ya sim nionyeshe

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 4 หลายเดือนก่อน

    Waislam bhana et Yesu alimtabiri Muhammad 😂😂😂😂😂 sure huo u doctor wa Uongo umeutoa wp?unachekesha. Afu hutowi maandiko ambayo Yesu kamtabiri Muhammad Moja kwa Moja kutoka kwenye Bible zaidi ya kutoa maelezo ya Uongo tu.😂😂😂.
    Pia unapo soma hilo andiko Yeremia 8:8 na kulitafasiri kimakosa. Afu unadai Quran ipo kwa ajiri ya kuinyosha Bible huo ni uongo uliopindukia.😂😂😂😂 Ulicho takiwa nikutoa Aya Yesu kamtamka Muhammad, siyo kusoma Bible kipande kidogo afu ukaingiza mawazo yako ili uhalarishe unacho taka ili kupoteza zaidi wenzio😂😂😂😂pia ukumbuke Quran 10:94 inamtaka mtume wenu Muhammad kusoma vitabu vilivyo tangulia kabla yake ambavyo ndiyo Bible ili kuthibitisha ukweli wa utume wake ikiwa anayo shaka leo nyie mnasema et Quran iilekebishe Bible sinikioja hicho😂😂😂😂😂😂

    • @salimrangi7026
      @salimrangi7026 6 วันที่ผ่านมา

      Biblia kitabu cha mungu toa andiko au aya inayosema biblia ni kitabu cha mungu sisi tunaijua injili ya yesu ndo kitabu cha mungu hyo biblia haipo na kama ipo toa andiko

  • @charlesjoseph2092
    @charlesjoseph2092 3 ปีที่แล้ว +1

    Duuh sulle, huna unachojua ila waislam wanaokusikiliza wanaona kama umesema kitu

    • @kibaikiramadhani1475
      @kibaikiramadhani1475 3 ปีที่แล้ว

      Ww unajua nn maana kristo nina ma yesu vp ufsnye dini?acha mihemko

    • @charlesjoseph2092
      @charlesjoseph2092 3 ปีที่แล้ว

      @@kibaikiramadhani1475 Hujaeleweka umeandika nini Rudia upya usaidiwe Rafiki

    • @sidempemba4722
      @sidempemba4722 3 ปีที่แล้ว

      Ww mkristo sikia mandiko na history ujifunze ukristo sio dini ya mungu ww soma vizuli bibilia

    • @charlesjoseph2092
      @charlesjoseph2092 3 ปีที่แล้ว

      @@kibaikiramadhani1475 Ukisoma Qurani 33:56 inasema Hakika allah na malaika zake wanamsalia nabii Enye mlioamini msalieni nabii na msalimu kwa salamu,
      Swali mungu anasali?? Je anasali kwa mungu gani ikiwa yeye ndiye allah je allah nae husali???

    • @babazfirenaya7171
      @babazfirenaya7171 2 ปีที่แล้ว

      @@charlesjoseph2092 wacha uongo na fitina soma hyo aya vizuri Quran 33.56 Hakika Mwenyezi Mungu anamneemesha Mtume na Malaika wake. Enyi mlioamini, muombeni [Mwenyezi Mungu amfikishie rehema] na mwombeni [Mwenyezi Mungu amfikishie rehema].

  • @editrudesmbonde9051
    @editrudesmbonde9051 3 ปีที่แล้ว +2

    Jamani hapo YESU hajamtabiri Mtume wenu,msiwe waongo jamani.
    Hata wewe hapo Thelogia hujui.😂😂

    • @zaburi2386
      @zaburi2386 3 ปีที่แล้ว

      Jamaa wanachota watu akili hawa😅

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 3 ปีที่แล้ว

      @@zaburi2386 Umeona eeeh!!
      Yaani wanatumia uongo ili kuhalalisha mapungufu yao!
      Eti wao wasome sana elimu ya Biblia kuliko Quran,ulisikia wapi????
      🙏🙏🙏

  • @piterlaiza5576
    @piterlaiza5576 3 ปีที่แล้ว +1

    Sule, Kila nikiangalia TH-cam nakukuta tu unamuongelea bibilia na YESU. Okoka maana ni nafasi ndio inakusuta kwamba Mohamed hawezi kua njia ya wewe kuingia mbinguni, wewe mwenyewe ni shahidi okoka. Maana nakuhakikishia ukweli hakuna mwislamu yeyote atakaeingia mbinguni.
    Sure, hakuna mwislamu yeyote atakaeingia mbinguni. Okoa nafsi yako kwa kumpokea YESU KRISTO.

    • @selemanmakau5967
      @selemanmakau5967 3 ปีที่แล้ว

      We unasema mbinnguni, mbona huko mbali nyie kabulini kazi munayo kwa ukafiri wenu,siku hiyo ndo utajua fungu lenu waabudu binadamu mutakwenda wapi,uyo anakuelewesha wewe,unasema mungu anamtoto,

    • @Simulizitulivuu
      @Simulizitulivuu 3 ปีที่แล้ว

      Kwani yesu alikuwa mkristo au

  • @Footballer-1992
    @Footballer-1992 3 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe Yesu wanaombea????? Na Muhammad anafanya nini????

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 3 ปีที่แล้ว

      Kak huyu shekh anaangaika Yesu ni Bwana hakuna Bwana mwingine kila goti la kila mwanadamu litapigwa na kukiri Yesu ni BWANA siku inakuja

    • @fatwimatzahrau2327
      @fatwimatzahrau2327 3 ปีที่แล้ว

      Hata Mtume Muhamad anatuombea tuko na bahati tunaombewa na mitume

    • @fatwimatzahrau2327
      @fatwimatzahrau2327 3 ปีที่แล้ว

      @@prochesernest5439 jaribuni kufwatilia mijadala yakina mazinge na wengineo
      Mtajua haki tu siku moja

    • @davidmaisely7487
      @davidmaisely7487 3 ปีที่แล้ว

      Uwa mnatumia nguvu sana kudanganya watu !! Biblia imejitosheleza Ukristo umejitosheleza ..

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 3 ปีที่แล้ว +1

      @@davidmaisely7487 safi sana kaka ubarikiwe Yesu akurinde

  • @Footballer-1992
    @Footballer-1992 3 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe unajua Bwana ni Mungu. For your information. Yesu ni Bwana.1Peter 1:3. Kubali Yesu utapata usima wa Milele

    • @subrahhamimu2377
      @subrahhamimu2377 3 ปีที่แล้ว +1

      Acha ukafiiiiiiiriiii,, kafiri wewe

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 3 ปีที่แล้ว

      @@subrahhamimu2377 mtu ambaye anaemjua Mungu Hana matusi ubadilike