Ukristo ni mfumo ambao haujawahi kufeli. Tafiti zake na mipango yake ni endelevu na ndiyo maana hawaangaishwi na wanojaribu kuwakosoa.mfumo wa Ukristo utawala Hadi Yesu arudi Hilo alisema Yesu mwenywe. Mt 16:16-18 * Hakuna kama Yesu,Hakuna kitabu kama Injili.Injili Ina Habari. Za Yesu Alie hai*
asante BWANA kwa roho wako,roho mtakatifu,roho wa kweli,nakuomba Mungu wangu, utukufu wako uujaze ulimwengu,uwajaze watu wako kwa roho wako katika ukuu wako Yesu kristo Mungu na muumba wetu
Kuongelea Ukristo au Bible ni wazi kuwa Q,ran Haina Cha kusimulia na kutoa challenge Kwa jamii. Ni rahisi Waislamu kuichambua,lakini hutamkuta Mkristo anaichambua Q,ran Kwa sababu Ukristo umetosha. Yesu atarudi na kuwahukimu wote.
Ni Mungu yupo aliiteremsha Quran. Nani walishuhidia.mwaka Gani na katika eneo Gani. Mungu mnaomuamini mnasema haionekani. Kama hakuna walioshuhudia ikiteremshwa,basi Hilo ni jambo la kushangaza. Maneno ya Biblia Yana umri mrefu kuliko kitabu chochote * Biblia ni kitabu kilichofanyiwa tafiti*
Biblia ni mkusanyiko wa vitabu neno biblia ni neno la kilatini na kigiliki lenye maana ya kitabu au vitabu usipotoshe watu we shee . Inaonekana bado sana hujui kuhusu neno la Mungu
Neno la Mungu ni taa ya miguu yangu. Sitateteleka na kama bibilia ni ya uongo nitaifuta na kuiamini hata kufa kwangu. Na ukweli ni kwamba unachokitafutia udhaifu ili watu wasikiamini ndicho cha kweli
Hakika, ndio maan hiyo hajachafua kitabu cha mungu ispokuwa wmchkua maneno na kuyawka ndan ya kitabu chauo, pia kwa kulithibitsha hilo kuwa vitabu vya mungu havichafuliw ni kwamba, Quran inamiak mingi sasa laki hkuna version wala kuonguza/ kuongeza katika kitabu hcho, ahdi hii imo ndan y Quran, ukifatlia utajua hilo..
Asalaam aleikum Ustadh, Naomba nukusihi vitabu vya agano ya kale inna vitabu 39 na site 29 kama vile ulivvyo tamka. Pili, wana Israili wapitishwa bahari Nyekundu (Red Sea) na site Mediterranean Sea. Naomba radhi.
Asalaamu aleykum my brother Dr sule mashalaah may Allah give you long life to do what you are doing wallaahi I'm following you for long time nimefaidika nyingi. Your brother Bazi abu Baker from London msomali
Watu wa msalaba wanapingana na ukweli wa maandiko kama kawaida yao full coment za uzwazwa 😅 elezea shekhe wangu mwenye masikio na asikie asie sikia wacha apinge.
Kama kweli Biblia iliharibuliwa kwanin Muhammad alisema Wakristo na wayahudi waifuate vitabu vyao? Al-Baqarah 2:89 And when there came to them (the Jews), a Book (this Quran) from Allah confirming what is with them *[the Taurat (Torah) and the Injeel (Gospel)],* although aforetime they had invoked Allah (for coming of Muhammad Peace be upon him) in order to gain victory over those who disbelieved, then when there came to them that which they had recognised, they disbelieved in it. So let the Curse of Allah be on the disbelievers.
@@truthspeaker2405 kama wapinga Nani alipewa hiyo biblia basi kama wakazana? Yesu alipewa injili sio biblia,mbona hamna akili nyie wakristo wenye shingo ngumu?
Kwayyte yule atakaye kufa akiwa si muslim ataingia motoni milele namuomba mungu atutowe dunian haliyakuwa waislam mungu atufufue n mtume muhammad (saw) izo dini yengine n vitabu nyengine visivokuwa vile 4 ivo vyengine ni empty
Wakristo hawapendi kujifunza wao wanaushabikituu, mwalimu anadomesha vizuri sana lakini wanacomment kwa hasira , sababu wao wanashabikia hata ujinga , walimu wao akipiga mikeleletuu bila kusomesha wao wanaamini hiyo ndoo ibada , hebu jifunzeni bila ushabiki halafu kawaulizeni wachungaji wenu
sisi ni mashahidi,tumeuona uwepo wako wazi, eeeeh Mungu wangu, YESU KRISTO, BWANA,utuokoe na watu wa dunia hii wanaofuta mapenzi yao,kila akuaminiye wewe BWANA muumba mbingu na nchi,na vyote viujazavyo ulimwengu,tumekuona na wewe hakika ni YAHWE
kuwa ni Neno la Mungu hakutegemei kukubali au kukataa kwako, ukweli unabaki pale pale hilo ni Neno la Mungu ukilitii unaona matokeo yake yalivyo, kwanza huna taalumu ya theology, unahitaji uokoke tu, uislamu umeanza juzijuzi tu.
Huu ni uongo na hiyo niroho ya mpinga kristo kama toratai ni ya uongo unaisoma ili iweze kuwadanganya watu acha haraka usitafute masirahi yako kwenye maneno ya mungu tafuta masirahi yako tu.
Quran ni kitambu cha mungu Allah sw ww chambua tuu hutakuta madhaifu bali itakufanya kjmuamini Allah sw yaani mungu mmoja tuu bila ya kjmshirikisha na kitu chochote Quran inaamrisha upweke wa mungu mmoja Allah sw, uchamungu,Quran ni sumarize ya vitabu 3 vilivyokuja kabla yake Zabur tauranga injil and last book nj Quran
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Mbona Injili Ya mwanafunzi wa Yesu Barnabas haiko na ndio injili ya kweli Kwa Sababu jina la mtume Muhamed SaW liko kwenye injili ya Barnabas
Wewe bado upo kwenye kwenye nyakati za unabii hivyo huwez jua chochote ila kumbuka si kila asemaye bwana bwana atauona ufalme wa mbinguni Bali yeye ayatendaye mapenzi ya mungu chambua bible verses zote na Korean ila jichunguze roho Yako unaenda sawasawa na mapenzi ya mungu
Na Pia Sisi WAISILAMU Lazima Tujiulie Hivi Vitabu Mfano Bukhari Muslim Al Kafi Ibn Maja Ni Vitabu Vya MMungu? Maana Asilimia 99 Dini Yetu Inategemea Hivyo Vitabu Visiokuwa Vya MMungu
Hebu angalieni hapa wenzagu😂 Quaran Inasema endeni mkapiganie dini yenuu 😂 Bible Inasema endeni mkawahubirie na muwabatizee kwa jina Kristu yesu🙏 Which side makes sense 🙏🙏 I believe in bibke
Huyu Dr Sulle anaufahamu mkubwa sana hata kuliko mapadri wengi na walimu wengi WA kikristo ijapikuwa Mimi ni mkiristo lakini lazima tukubali ukweli yakwamba Dr Sulle anaufahamu mkubwa sana.
Mmh huyu ni much know,, biblia ni kibebeo tu ambapo ndan yake kuna vtab vitatu ukiondoa qran ambyo haimo,, biblia sio maandiko matakatf, sema huyu hamnazo
Allah akuongoze upate salama ukisilimu madhambi yote mungu anakufutia uisilamu uko sawa Kama unavyoona uisilamu ni unyenyekevu hata yesu ni mnyenyekevu
Pamoja na kwamba nimechelewa kuisikiliza Mbona unatoa references za manabii wote waliotumwa na MUNGU kutoka kwenye Biblia, lakini Mohammad hayupo, musa yopo kwenye Quran, Yesu yupo kwenye Qurani, na hao pia kwenye biblia wapo Kwanini Mohammad hayupo kwenye Biblia? Je yeye(Mohammad) alitumwa na nani mbona hathibitishi kwenye biblia. (Torati ni sheria ukumbuke hilo popote utakaposoma pameandikwa torati kuwa na kumbukumbu)
Kwani wewe unasema injili,torati,zaburi viko wapi si ndani ya biblia Yani unasema wewe si mtanzania wakati nida na utambulisho wako unakuonyesha dhahiri,unayo macho alafu unasema siyo ya kwako
Bible is the messages that had been given to prophets of GOD himself or it is GOD who had written the same bible or in another word it is to say that bible it is GOD himself in the physical. But it doesn't address truly who Jesus Christ is because Jesus Christ is the true GOD as per the bible in the book of John chapter 17 as from verse 2 to 3 read together with bible in the book of John chapter 14 as from verse 10 to 11 and bible in the book of John chapter 10 verse 30 as well in the bible in the book of John chapter 15 as from verse 22 to 24. Here meaning or saying that GOD is the one who had originated from Jesus Christ who was there before anything else being life entity and his real name is life where all other lifes had been originated the life of GOD included.
Rudi usome kwa makini bibilia Ni muunganiko wa vitabu vyote vya manabiii au watu mungu aliowaandaa ili watuletee sisi . Then tofautisha majors na nyakati usiunganishe nyakati kwa akili yako au ulichokalilidhwa mungu hajawah kushusha kitabi Bal alishusha mbao zilizobeba amri na pia alikuwa anaongea na manabii Kisha manabii wanaandika, jiulize Mohammad alikuwepo lini na yesu alikuwepo Lin ujue kuwa Mungu ni wa wote wenye mwili. Hivyo vtab unavyotaja ndivyo muunganiko wa biblia Kama unajua injili ya yesu inauongofu na Nuru amka sasa ukatubu maana unachokiongea hukojui vzuri
Wee joezono8 ndie unaeropoka, hizo zinzotolewa na dr sule ni hoja madhubuti, za kielimu, sasa na ww unatakiwa uzijibu kielimu, jibu hoja acha kuropoka, au kulalamika,
Uyu jamaa ni cartel anasema biblia si kitabu cha mungu alafu anatusomea kutuonyesha vile torati injiri na zaburi kwa biblia na anaiita maandiko matakatifu. Kuran pia iekwe kwa biblia
Hivi kwa nini mnapenda sana kusema sema ukristo? Miaka kadhaa hapa nyuma mlikua mkiponda sana Biblia, leo hii mnaitumia Biblia kufundishia na kuuponda teana ukristo.... ajabu sana, Biblia ni jina la mjumuiko wa hivyo vitabu vyote ulivyo sema, sasa kuweka hoja ya ubishi ubishi inasaidia nini sasa
Masheikh na wachungaji,, tangazeni neno la mungu sio kusema na kuongea vibaya na dini nyingine.. Maana siku zote anaejikweza ushushwa mbele za mungu... Usijidanganye sheikh kama chako bora kuliko cha mwingine...nyie ni mpo kufunza watu dini au neno la mungu?
Mbona hafanya research kuhusu vyanzo vya uislam amachacha na bible ambayo imefanyiwa research na karibu kilamtu.? Acheni unafiki fanyieni Quranic research .. mtakayo yapata mtakuja hapa na machozi.. Quran Ina habari mingi ilihepa sana Kisha muhim.. na zingefanya Quran muhim sana but vile ilihepa ni pigo kubwa sana kwake
Hivi wakristo wanaweza kukaa hata dakika Moja kukisoma kitabu Cha qurani ! Haslan habadan , kitu haramu ni haramu tu, waislamu miaka yote hooo Biblia siyo kitabu Cha mungu lkn kitabu hiki kinawafanya waislamu hawalali usiku na mchana wakiangaika na Biblia tangu enzi na enzi . Mbona wakristo na wayahudi mbona hawana time na qurani! , Uislam umekuja duniani na kukuta ukristo na uyahudi upo miaka kabla ya Muhammad?! Sikiliza maswali yake yalivyo ya kislam kislam ovyo ovyo eti Biblia kapewa bwege gani? Kweli umewapata waislamu
Hi video ni kwaajil ya kufundish na kukup hint ufany uchunguz sio unakua mpumbav, Freemason hawatak dini ya uislam na ukristo jichunguz kwann dini ckuiz inakua Kama biashara Sasa ndo nawaambia watu hii video ya kukufundisha .
@@saleherajabu6890 unaonekana huna elimu kwaio acha kupaza sauti sasa kitabu chenu kuna mpaka kitabu cha maji kila kitabu kinajina la mtu au hujawahi kisoma kitabu chako au hujui kama wale ni watch 1 Al Faatiha 2 Al Baqara 3Al Imran 4 An Nissai 72 Al jinn Au huju kama haya ni majina ya watu hizo sura zote nimajina kama huju sura ya kwanza mpaka ya 114 ambayo inaitwa ANNA acha kuongea usiyo yajua
Usitukane ndg ang na mkristo mwenzangu njia yetu na yakweli ni Yesu Tatizo n pale biblia nyingine n vitabu 72 nyingine n 66 na biblia kua na matoleo tofaut tofaut
shekhe umekulupukia mambo usiyo yajua biblia ni kitu chatofauti sana tofautisha na vitabu vingine kwanza ili uielewe lazima uiamini , pili haisomwi kama gazeti unavozania wewe hivo tatu hujui tafsili yaneno biblia nne usifanye mambo kwakutaka kushindana na mtu au imani ya mtu kama unajiamini na dini yako na upo sahihi na imani basi baki nayo usikulupukie yajilani yako yaache naomba nikujibu kiufupi tu Biblia ni kitabu cha vitabu yaani namaanisha kimepewa jina biblia kwasababu kimebeba vitabu vyenzake ndani ambavyo vimewekwa humo ili kupunguza nakufanya wepesi waupatikanaji kwasababu vitabu ni vingi nikushauli tu kama unataka kusemea jambo kama hilo siku nyingine fanya uchunguzi wamambo kabla hujauambia uma mfano mimi siwezi kutukana au kusema habari za kuruhani wakati hata kilichoandikwa sikijui na sijakijua hata kama nikijifanya nakijua nitakua muongo kama wewe unashadadia tu akati hata kialabu chenyewe hujakimaliza umeanza kudandia biblia. pia Dini siyo yako wala yangu jitaidi kutafta kwanza utakatifu wako wewe na MUNGU wako nauhakika hata sasa unataka ujihesabie haki kuwa wewe na dini yako mpo sahihi kumbe hata sasa tukifa hujui kinachofata nyuma ila sikupingi mana nchi yetu ipo huru na unaruhusiwa kufanya lolote nakuzungumza tu naomba achana na biblia sabu ni neno la MUNGU na lina NGUVU hata sasa linafukuza mapepo linaponya linafufua wafu hata linaweza kumfufua Mtume Mhamadi huyo unae mshadadia wewe ambaye yeye alisema mfwateni mtoto wa mariam ndiye mkombozi wako
Je waislamu wanavitabu vya torati enyewe tu??? Au imechanganywa na frukani ??? Manake Kiran ni mkusanyiko wa vitabu vya kuabudia na hivyo ndivyo ilivyo bibilia
Maahaallah Dr sule , hii ndio kazi ya Amani na upendo. Allah akurehemu wewe na waislamu wote ulimwenguni.
Ukristo ni mfumo ambao haujawahi kufeli. Tafiti zake na mipango yake ni endelevu na ndiyo maana hawaangaishwi na wanojaribu kuwakosoa.mfumo wa Ukristo utawala Hadi Yesu arudi Hilo alisema Yesu mwenywe. Mt 16:16-18
* Hakuna kama Yesu,Hakuna kitabu kama Injili.Injili Ina Habari. Za Yesu Alie hai*
DR SULLEY ALLAH SW AKUPE UMRI MREFU TUFAIDI ZAIDI HAYA MAMBO MATAMU.
Amine
asante BWANA kwa roho wako,roho mtakatifu,roho wa kweli,nakuomba Mungu wangu, utukufu wako uujaze ulimwengu,uwajaze watu wako kwa roho wako katika ukuu wako Yesu kristo Mungu na muumba wetu
Kuongelea Ukristo au Bible ni wazi kuwa Q,ran Haina Cha kusimulia na kutoa challenge Kwa jamii. Ni rahisi Waislamu kuichambua,lakini hutamkuta Mkristo anaichambua Q,ran Kwa sababu Ukristo umetosha.
Yesu atarudi na kuwahukimu wote.
Ni Mungu yupo aliiteremsha Quran. Nani walishuhidia.mwaka Gani na katika eneo Gani. Mungu mnaomuamini mnasema haionekani. Kama hakuna walioshuhudia ikiteremshwa,basi Hilo ni jambo la kushangaza. Maneno ya Biblia Yana umri mrefu kuliko kitabu chochote
* Biblia ni kitabu kilichofanyiwa tafiti*
Amen
thank you LORD JESUS CHRIST for the HOLY SPIRIT
Jiulize bible ilikuwepo lini na mohamed kaja lini baada ya yesu ni ujingatu ulio jificha
Yaani wewe hujui kitu
@@abdalahsuleman2791 Amna anayejua kila mtu anasema kwa anavyoelewa
Asaalmwalekm warahmatourlaih wabarakatu, mweyezimungu akufanyi wepesi ishaalh kutujuza tusio fahamu
00000
Biblia ni mkusanyiko wa vitabu neno biblia ni neno la kilatini na kigiliki lenye maana ya kitabu au vitabu usipotoshe watu we shee . Inaonekana bado sana hujui kuhusu neno la Mungu
Neno la Mungu ni taa ya miguu yangu. Sitateteleka na kama bibilia ni ya uongo nitaifuta na kuiamini hata kufa kwangu. Na ukweli ni kwamba unachokitafutia udhaifu ili watu wasikiamini ndicho cha kweli
Waisilamu wanawazaga kuuwa tu achana nao
@@kefajoseph158 imani potofu!!
Mnaifata kwa sababu inaendana na matamanio yenu, inawaruhusu kula nguruwe, kunywa pombe bila ata kukemewa inaeapambia maisha ya dunia
@@paschaljuma3312 nyie waislam hawanywi pombe?hawali nguruwe🤣🤣🤣🤣🤣
Sio uutafute ukwl ndgu, ukifata kilichokua sio cha kwl, utapata unachoratajia siku ya mwisho?
Unahitaji kusoma sana mr sule ili uelewe mambo
Na Mungu wetu,muumba wetu, YESU KRISTO wa Nazareth,akulipe sawa na uovu wako, wewe unayemkataa roho mtakatifu,
Mashallah
Ubarikiwe Sana
Wewe Benson msikilize vizur siokuropokatu
Sule uislamu wenyewe haujui vizuri je Biblia utaifaham
Bibilia n mkusanyiko wa vitabu je quran nini
Nimekuelewa
Mwenyez mungu hawez kuruhusu vitabu vyak vipotezwe
Hakika, ndio maan hiyo hajachafua kitabu cha mungu ispokuwa wmchkua maneno na kuyawka ndan ya kitabu chauo, pia kwa kulithibitsha hilo kuwa vitabu vya mungu havichafuliw ni kwamba, Quran inamiak mingi sasa laki hkuna version wala kuonguza/ kuongeza katika kitabu hcho, ahdi hii imo ndan y Quran, ukifatlia utajua hilo..
Asalaam aleikum Ustadh,
Naomba nukusihi vitabu vya agano ya kale inna vitabu 39 na site 29 kama vile ulivvyo tamka. Pili, wana Israili wapitishwa bahari Nyekundu (Red Sea) na site Mediterranean Sea.
Naomba radhi.
Hana jipya
Naam shekhe.
Asalaamu aleykum my brother Dr sule mashalaah may Allah give you long life to do what you are doing wallaahi I'm following you for long time nimefaidika nyingi. Your brother Bazi abu Baker from London msomali
Daaah yaaan mungu akuongoze kwakweli kwasababu
Watu wa msalaba wanapingana na ukweli wa maandiko kama kawaida yao full coment za uzwazwa 😅 elezea shekhe wangu mwenye masikio na asikie asie sikia wacha apinge.
KWELI KABISA
Kama kweli Biblia iliharibuliwa kwanin Muhammad alisema Wakristo na wayahudi waifuate vitabu vyao?
Al-Baqarah 2:89
And when there came to them (the Jews), a Book (this Quran) from Allah confirming what is with them *[the Taurat (Torah) and the Injeel (Gospel)],* although aforetime they had invoked Allah (for coming of Muhammad Peace be upon him) in order to gain victory over those who disbelieved, then when there came to them that which they had recognised, they disbelieved in it. So let the Curse of Allah be on the disbelievers.
@@truthspeaker2405 mpigie simu Dr Sulle akupe elimu au kasome mwenyewe .
@@truthspeaker2405 kama wapinga Nani alipewa hiyo biblia basi kama wakazana? Yesu alipewa injili sio biblia,mbona hamna akili nyie wakristo wenye shingo ngumu?
Kwayyte yule atakaye kufa akiwa si muslim ataingia motoni milele namuomba mungu atutowe dunian haliyakuwa waislam mungu atufufue n mtume muhammad (saw) izo dini yengine n vitabu nyengine visivokuwa vile 4 ivo vyengine ni empty
Wakristo hawapendi kujifunza wao wanaushabikituu, mwalimu anadomesha vizuri sana lakini wanacomment kwa hasira , sababu wao wanashabikia hata ujinga , walimu wao akipiga mikeleletuu bila kusomesha wao wanaamini hiyo ndoo ibada , hebu jifunzeni bila ushabiki halafu kawaulizeni wachungaji wenu
Allah akujalie
Nimekuelewa sana Dr sule
sawa nimekuelewa
sisi ni mashahidi,tumeuona uwepo wako wazi, eeeeh Mungu wangu, YESU KRISTO, BWANA,utuokoe na watu wa dunia hii wanaofuta mapenzi yao,kila akuaminiye wewe BWANA muumba mbingu na nchi,na vyote viujazavyo ulimwengu,tumekuona na wewe hakika ni YAHWE
kuwa ni Neno la Mungu hakutegemei kukubali au kukataa kwako, ukweli unabaki pale pale hilo ni Neno la Mungu ukilitii unaona matokeo yake yalivyo, kwanza huna taalumu ya theology, unahitaji uokoke tu, uislamu umeanza juzijuzi tu.
Mtatafakari sana lakin inatakiwa mjue kuwa akili za Mungu hazichunguziki.Bali utafuteni uso wa bwana Yesu mpate kuokolewa.
Kafiri wewe subiliufe utanuja jua
Fata uislam usalimike acha kudanganywa kanisani
Sawa mfate yesu lkn yesu hakupewa bibilia
Huu ni uongo na hiyo niroho ya mpinga kristo kama toratai ni ya uongo unaisoma ili iweze kuwadanganya watu acha haraka usitafute masirahi yako kwenye maneno ya mungu tafuta masirahi yako tu.
Siogopi kusema Ivi
Bible is the only holy book ,,,,,I believe in BIBLE only ,,,,,,
Kumbe mpuzi 2
Man sha Allah sasa chekh wetu Sule injili yakweli ingepatikana??
masha allah
Maa shaallwah
Mashallah Allah
Maxhalah
Nawasii Waislam tukiichambua Quran Usichukie Mue wapole kama sisi 🙏
Chambua bora useme ya kweli tu
Utopata mapungufu we chambua paka kiama
Quran ni kitambu cha mungu Allah sw ww chambua tuu hutakuta madhaifu bali itakufanya kjmuamini Allah sw yaani mungu mmoja tuu bila ya kjmshirikisha na kitu chochote
Quran inaamrisha upweke wa mungu mmoja Allah sw, uchamungu,Quran ni sumarize ya vitabu 3 vilivyokuja kabla yake
Zabur tauranga injil and last book nj Quran
Swadacta doctor sule
Sasa hio bibilia kapewanani benson
❤jazakallahu khaira Allah akupe umri mrefu shekh tuzd kunufaika
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Mbona Injili Ya mwanafunzi wa Yesu Barnabas haiko na ndio injili ya kweli Kwa Sababu jina la mtume Muhamed SaW liko kwenye injili ya Barnabas
According to me,,,,,god did not create religion bt this is an idea of some people's business
Wewe bado upo kwenye kwenye nyakati za unabii hivyo huwez jua chochote ila kumbuka si kila asemaye bwana bwana atauona ufalme wa mbinguni Bali yeye ayatendaye mapenzi ya mungu chambua bible verses zote na Korean ila jichunguze roho Yako unaenda sawasawa na mapenzi ya mungu
Neno linasema mwapotea kwa sababu hamyajui maandiko
Na Pia Sisi WAISILAMU Lazima Tujiulie
Hivi Vitabu Mfano
Bukhari
Muslim
Al Kafi
Ibn Maja
Ni Vitabu Vya MMungu? Maana Asilimia 99 Dini Yetu Inategemea Hivyo Vitabu Visiokuwa Vya MMungu
Kumbe ni historian siyo maneno ya mungu
Hebu angalieni hapa wenzagu😂
Quaran Inasema endeni mkapiganie dini yenuu 😂
Bible Inasema endeni mkawahubirie na muwabatizee kwa jina Kristu yesu🙏
Which side makes sense 🙏🙏
I believe in bibke
Bible ni mkusanyiko wa vitabu vitakatifu vya Mungu ambavyo ni Torati, zaburi, injili .
MashaAllah
TOKA MWANZO HAD UFUNUO NI YESU MANENO TOTE YANAMUHUSU YESU NI KUTOKUJUA TU NAKUOMBEA KWA MUNGU AKUPE ROHO WAKE MTAKATIFU AKUONGOZE
Nyie ndo mlipewa yenu close your mouse
Huyu Dr Sulle anaufahamu mkubwa sana hata kuliko mapadri wengi na walimu wengi WA kikristo ijapikuwa Mimi ni mkiristo lakini lazima tukubali ukweli yakwamba Dr Sulle anaufahamu mkubwa sana.
Na vizur kusikiliza hoja zake na c kupinga ... SIKILIZA Fanya UTAFITI
Mmh huyu ni much know,, biblia ni kibebeo tu ambapo ndan yake kuna vtab vitatu ukiondoa qran ambyo haimo,, biblia sio maandiko matakatf, sema huyu hamnazo
Allah akuongoze upate salama ukisilimu madhambi yote mungu anakufutia uisilamu uko sawa Kama unavyoona uisilamu ni unyenyekevu hata yesu ni mnyenyekevu
Haina haja kuumiza kichwa biblia ni mkusanyiko wa vitabu vingi
Pamoja na kwamba nimechelewa kuisikiliza
Mbona unatoa references za manabii wote waliotumwa na MUNGU kutoka kwenye Biblia, lakini Mohammad hayupo, musa yopo kwenye Quran, Yesu yupo kwenye Qurani, na hao pia kwenye biblia wapo Kwanini Mohammad hayupo kwenye Biblia? Je yeye(Mohammad) alitumwa na nani mbona hathibitishi kwenye biblia. (Torati ni sheria ukumbuke hilo popote utakaposoma pameandikwa torati kuwa na kumbukumbu)
😂😂 Asante daktari Swali ni BIBILIA NI KITABU CHA NANI NA KAPEWA MTUME/NABII GANI???????? kuruka ruka ndio kuiva Kwa maharageee😅😅😅😅
Kwani wewe unasema injili,torati,zaburi viko wapi si ndani ya biblia Yani unasema wewe si mtanzania wakati nida na utambulisho wako unakuonyesha dhahiri,unayo macho alafu unasema siyo ya kwako
dr sule inajichanganya, soma malaki 4:4
Bible is the messages that had been given to prophets of GOD himself or it is GOD who had written the same bible or in another word it is to say that bible it is GOD himself in the physical.
But it doesn't address truly who Jesus Christ is because Jesus Christ is the true GOD as per the bible in the book of John chapter 17 as from verse 2 to 3 read together with bible in the book of John chapter 14 as from verse 10 to 11 and bible in the book of John chapter 10 verse 30 as well in the bible in the book of John chapter 15 as from verse 22 to 24.
Here meaning or saying that GOD is the one who had originated from Jesus Christ who was there before anything else being life entity and his real name is life where all other lifes had been originated the life of GOD included.
Masha Allah mungu akuongezee maisha ili udufundishe zaidi
Kaeni na mtume wenu alokuwa hajui kusoma na na siku akirudi nabii isa hajui atafanywa nini
Rudi usome kwa makini bibilia Ni muunganiko wa vitabu vyote vya manabiii au watu mungu aliowaandaa ili watuletee sisi . Then tofautisha majors na nyakati usiunganishe nyakati kwa akili yako au ulichokalilidhwa mungu hajawah kushusha kitabi Bal alishusha mbao zilizobeba amri na pia alikuwa anaongea na manabii Kisha manabii wanaandika, jiulize Mohammad alikuwepo lini na yesu alikuwepo Lin ujue kuwa Mungu ni wa wote wenye mwili. Hivyo vtab unavyotaja ndivyo muunganiko wa biblia Kama unajua injili ya yesu inauongofu na Nuru amka sasa ukatubu maana unachokiongea hukojui vzuri
Wee joezono8 ndie unaeropoka, hizo zinzotolewa na dr sule ni hoja madhubuti, za kielimu, sasa na ww unatakiwa uzijibu kielimu, jibu hoja acha kuropoka, au kulalamika,
Uyu jamaa ni cartel anasema biblia si kitabu cha mungu alafu anatusomea kutuonyesha vile torati injiri na zaburi kwa biblia na anaiita maandiko matakatifu. Kuran pia iekwe kwa biblia
Hivi kwa nini mnapenda sana kusema sema ukristo? Miaka kadhaa hapa nyuma mlikua mkiponda sana Biblia, leo hii mnaitumia Biblia kufundishia na kuuponda teana ukristo.... ajabu sana, Biblia ni jina la mjumuiko wa hivyo vitabu vyote ulivyo sema, sasa kuweka hoja ya ubishi ubishi inasaidia nini sasa
Ndugu yangu jifunze biblia yeremiya hajasema tautati
Hakika ya Uislamu ni dini ya haki
Poteeni tu wazee wa kukariri
Dr sulle vizur sana, wakristo jifunzeni darasa hili, msipohelewa hapa hamtaelewa tena.
Masheikh na wachungaji,, tangazeni neno la mungu sio kusema na kuongea vibaya na dini nyingine.. Maana siku zote anaejikweza ushushwa mbele za mungu... Usijidanganye sheikh kama chako bora kuliko cha mwingine...nyie ni mpo kufunza watu dini au neno la mungu?
Upo sahihi hawafunzi neno la Mungu bali wanafunza dini wanapenda kujikweza kujiona wapo corect
Umekomalia tu ubishi tuambie biblia imeteremshwa kwa nabi gani wakati vitabu vyote vina manabii
Mbona hafanya research kuhusu vyanzo vya uislam amachacha na bible ambayo imefanyiwa research na karibu kilamtu.? Acheni unafiki fanyieni Quranic research .. mtakayo yapata mtakuja hapa na machozi.. Quran Ina habari mingi ilihepa sana Kisha muhim.. na zingefanya Quran muhim sana but vile ilihepa ni pigo kubwa sana kwake
Shida biblia inasomwa kama adithi ila biblia unaitaji roho mtakatifu akuongoze
Hivi wakristo wanaweza kukaa hata dakika Moja kukisoma kitabu Cha qurani ! Haslan habadan , kitu haramu ni haramu tu, waislamu miaka yote hooo Biblia siyo kitabu Cha mungu lkn kitabu hiki kinawafanya waislamu hawalali usiku na mchana wakiangaika na Biblia tangu enzi na enzi . Mbona wakristo na wayahudi mbona hawana time na qurani! , Uislam umekuja duniani na kukuta ukristo na uyahudi upo miaka kabla ya Muhammad?! Sikiliza maswali yake yalivyo ya kislam kislam ovyo ovyo eti Biblia kapewa bwege gani? Kweli umewapata waislamu
Nakuliza swali wakati quran inataja kwamba watu wa bibilia Yani mayahudi na wakristo ulikuwa waelewaje quran yako
Imesema watu wa vitabu haujasema bibilia
Dini ya juzi karne ya saba. Inashindana na dini ya karne ya tatu.
Ulikuwepo? Au mnashadadia mission za Hawa washenzi wakoloni wa kiaarabu na kizungu?
Angeanza na kitabu chake kwanza
Mbona unasema zaburi kapewa nabii mohamed tena unasena zaburi kapewa daudi inamaana walipewa wote wawili zaburi
Kwani hivyo vitabu vilivyoshushwa kwa manabii vilishushwa vitabu kama vitabu au walivuviwa watu kuandika hayo maneno matakatifu ya maandiko?????
Wewe hata ndacha hakufai una hoja za kitoto mahadhiri muisilamu pekee nadhani shafi mazinge kazeeeka anautindio wa bongo
Hi video ni kwaajil ya kufundish na kukup hint ufany uchunguz sio unakua mpumbav, Freemason hawatak dini ya uislam na ukristo jichunguz kwann dini ckuiz inakua Kama biashara Sasa ndo nawaambia watu hii video ya kukufundisha .
usitukane kama unaona kakosea mkosoe kwa kutaja vifungu . jazba ktk mambo ya dini haipendezi.
Huyu si tapeli tumeambiwa Kyle😂😂😂
Ameweka namba mbona hapokei,muislamu anayejiamini naweka namba nimpe vitu mnavyofichwa waislamu
Wakristo huwa wakiona njia sahihi kwao ni rahisi zaidi kutambua na kufata, fata njia ilonyooka sasa
Umesema bibilia in a vitabu 66 agano jipya ina vitabu 23 na agano jipya 29
Kitu ambacho hesabu ya maneno yako havina ukweli, je hivyo vingine?
Andiko huua roho mtakatifu huuisha,,
Embu ututolee ujinga ongea fact izo ni tabia za ki mbwa
mbwa ni wachungaji wenu,Jacob julius
Dante nimeelewa
Mungu akusaidie kuutambua ukweli, ipo siku Yesu atakuokoa
Ni vyema ukamjibu tu swali hilo kama unajua na sisi tujue
Mwambie tenaa
Mbona unatuchanganya inashauri gani kua ayo unayoyasoma ni ya Alla?
Ni vema kusikiliza na kuelewa sio mtu anabishana na kuona kuwa shehe ayuko sawa hata nyie wakristu mkisikiliza vizuli mtaelewa
Sasa kiongozi ni wap katika Quran kuna torati,zabur na injli
Akiliako ndo inakudanganya mnasoma bibilia arafu mnapinga fundisheni yakwenu wapinga crst nyinyi
Kristo ni nani kwanza...ebu muelezee
Sule mh
Watu wangu wanangamia kwakukosa maarifa wewe huna maarifa
Maarifa mmeshazoa kuongepewa mandiko yenyewe sio ya mungu,niyakina matayo ,yohana,yakobo,wakolinto joshua,walawi warum n.k..mana yesu ndo kapewa injiri ,lakini sasa ayo majina yakima yohana yameingiaje
@@saleherajabu6890 unaonekana huna elimu kwaio acha kupaza sauti sasa kitabu chenu kuna mpaka kitabu cha maji kila kitabu kinajina la mtu au hujawahi kisoma kitabu chako au hujui kama wale ni watch
1 Al Faatiha
2 Al Baqara
3Al Imran
4 An Nissai
72 Al jinn
Au huju kama haya ni majina ya watu hizo sura zote nimajina kama huju sura ya kwanza mpaka ya 114 ambayo inaitwa ANNA acha kuongea usiyo yajua
Mimi ninashinda yakuamini kila nikisikiliza watu, nimeamua kuamini akili yangu tu sasa
Amini quran maana maisha yako yote yapo
Na kingine quran inaeleza mpk mambo yanayokuja tokea mamb yaliyopit bado huamn tu
Ukiona hivo jitahidi uijue haki iko wapi
Sasa unahangaika nn kwakuhani musa kwa mwamposa wamejaa kibao wewe piga pwapwa zk
Haupo sahih, hautakuwa salama siku ya mwsho tafta ukwl, uufuate huo ndio ushauri wng kwko..
wemsenge kweli
Msenge wwx
Usitukane ndg ang na mkristo mwenzangu njia yetu na yakweli ni Yesu
Tatizo n pale biblia nyingine n vitabu 72 nyingine n 66 na biblia kua na matoleo tofaut tofaut
Congratulations Dr,Sule
Revelation 1:1 waja uongo
Uwongo wa vipi?
shekhe umekulupukia mambo usiyo yajua biblia ni kitu chatofauti sana tofautisha na vitabu vingine
kwanza ili uielewe lazima uiamini ,
pili haisomwi kama gazeti unavozania wewe hivo
tatu hujui tafsili yaneno biblia
nne usifanye mambo kwakutaka kushindana na mtu au imani ya mtu kama unajiamini na dini yako na upo sahihi na imani basi baki nayo usikulupukie yajilani yako yaache
naomba nikujibu kiufupi tu
Biblia ni kitabu cha vitabu yaani namaanisha kimepewa jina biblia kwasababu kimebeba vitabu vyenzake ndani ambavyo vimewekwa humo ili kupunguza nakufanya wepesi waupatikanaji kwasababu vitabu ni vingi
nikushauli tu kama unataka kusemea jambo kama hilo siku nyingine fanya uchunguzi wamambo kabla hujauambia uma mfano mimi siwezi kutukana au kusema habari za kuruhani wakati hata kilichoandikwa sikijui na sijakijua hata kama nikijifanya nakijua nitakua muongo kama wewe unashadadia tu akati hata kialabu chenyewe hujakimaliza umeanza kudandia biblia.
pia Dini siyo yako wala yangu jitaidi kutafta kwanza utakatifu wako wewe na MUNGU wako nauhakika hata sasa unataka ujihesabie haki kuwa wewe na dini yako mpo sahihi kumbe hata sasa tukifa hujui kinachofata nyuma
ila sikupingi mana nchi yetu ipo huru na unaruhusiwa kufanya lolote nakuzungumza tu
naomba achana na biblia sabu ni neno la MUNGU na lina NGUVU hata sasa linafukuza mapepo linaponya linafufua wafu hata linaweza kumfufua Mtume Mhamadi huyo unae mshadadia wewe ambaye yeye alisema mfwateni mtoto wa mariam ndiye mkombozi wako
Hizi ni nyakati za mwisho kila mtu ashike yake,ushauri wangu mtafute Mungu wa kweli
Mungu wa kweli tunayemuabudu ss waislamu..! Wengine huabudu watu waliokuwa wakila na kwenda choo ..!
Hakuna kushika lake dini ipo na imetimia na tunatakiwa tuiftate
Waislam wanamjua mungu wa kweli ila Wakristo hamumjui mnabakia kumuabudu mwanaadam mwenzenu tu
Hakuna kitabu kimeshushwa, hata Musa alikuwa anapewa aandike
Nani kasema kimeshushwa
Tumekuteremshia kitabu cha quran na wale tuliowapa biblia. Nenda kasome quran bwege we
aya gani iyo inaosema ivyo!!!!?? kweli kuwa mkristo ni shidda !!!
Makafiri akili zao mbovu
Je waislamu wanavitabu vya torati enyewe tu??? Au imechanganywa na frukani ??? Manake Kiran ni mkusanyiko wa vitabu vya kuabudia na hivyo ndivyo ilivyo bibilia