Tamaa mbaya cost union kucheleweshwa kwa hela siku 9 mna zingua dirisha lilikua halijafunguliwa, nb mwamnyeto walikaa mwaka mzima wakalipwa inamaana mwamnyeto hakua wamaana kwao? Waache sarakasi
Coastal hamna viongozi.. Mpira wa miguu ukiwa timu kubwa lazima ufuate sheria siyo uswahili uswahili.. Mnaidumaza timu kwa hizo akili zenu za ubabe wa kimbumbumbu
Mbona maelezo ya mwanzo na Leo yanakinzana kabisa? Mwanzo walisema club haijalipwa pesa yote, Leo wanasema mchezaji alisema hajalipwa pesa yote !ajabu sana yaani hata ukimsikiliza msemaji unaona Tu kwamba kuna mahali wamejichanganya ngoja tusubiri tuone Nani mkweli?
Hilo dili la ubelgiji ni uongo uhakika ni Haowanaojiita Wabelgiji ni Yanga walimshawishi mchezaji ..ndio maana walikuwa wameamua kumtema Gift Fred ila mambo yamekuwa magumu wanataka wamrudishe Fred
Nyie ndio mnawarubuni Watu , HAKUNA Cha busara Bali Kuna utaratibu na kanuni. Tatizo lenu mnawasikiliza COASTAL UNION pekee na hata Hawa wachambuzi wanafeli. Nilazima ubalansi stori kwa KUHOJI pande zote. UKWELI nikua , Simba walishamalizana na kukamilisha kila kitu. PESA ukiicheleweshwa kidogo, HURUHUSIWI KUVUNJA mkataba. INATAKIWA kumkumbusha mnunuzi na kumpa siku 10 ukisubiria Na ndio Simba walitakiwa kulipa pesa, Mwisho tarehe 31/06/2024 Ila walichelewa na hatimaye wakakamilisha tarehe 08/07/2024. LAWI Ni Mali halali ya Simba. Sio kwa busara Bali kwa kanuni na Sheria. Kukawiza pesa hakuwapi uhalali Coastal kuvunja mkataba. Walitakiwa kuwaandikia Simba barua na kuituma kwa email. COASTAL hawakufanya hayo. Na Simba hawakuzidisha siku 10 Tena . AHSANTE
Tamaa ni mbaya chamoto mtakiona
Kitaumana huko juu Kwa juu kama nyuki
😂😂😂kitawakuta
WEWE NI MWONGO SANA MNAMHARIBU SANA LAWI.
NYIE MNATAMAA SANA. MMEMSHAWISHI LAMEKI LAWI ILI AANDIKE BARUA. MNAMKOSEA SANA LAWI.
Viongozi wa tff ndo walioanzisha maana ndo wanataka kumuuza
Coastal union kunakoelekea mtatuudh watu wa Tanga inaonekan kijana atafungiwa na timu itawajibika
Tamaa mbaya cost union kucheleweshwa kwa hela siku 9 mna zingua dirisha lilikua halijafunguliwa, nb mwamnyeto walikaa mwaka mzima wakalipwa inamaana mwamnyeto hakua wamaana kwao? Waache sarakasi
Coastal acheni janja janja ....soka letu halipo huko kwa sasa ..
Cost wanajikanyaga
Yani uyu jamaaa ni muongooo😂😂😂
Coastal ni wasenge tamaa mbona mamnyeto mlikopwa mbwa nyie na mpaka Leo hamjalipwa fara hawa mashoga sana
Subilieni Iwanyeshee, Simmeyataka?
Mtaongea mengi
Kimenuka
nyie costal niwapuuzi mnamshawishi ili nyie muuze nje mmebugi
Coastal hamna viongozi.. Mpira wa miguu ukiwa timu kubwa lazima ufuate sheria siyo uswahili uswahili.. Mnaidumaza timu kwa hizo akili zenu za ubabe wa kimbumbumbu
Mbona maelezo ya mwanzo na Leo yanakinzana kabisa? Mwanzo walisema club haijalipwa pesa yote, Leo wanasema mchezaji alisema hajalipwa pesa yote !ajabu sana yaani hata ukimsikiliza msemaji unaona Tu kwamba kuna mahali wamejichanganya ngoja tusubiri tuone Nani mkweli?
Anajikanyagaaa😂😂😂daaah
Na baada iyo pesa kuingia hawakujibu walikaa kimya😂😂waache kumjandamiza mtoto wa wa watu
Coastal mmefanya uhuni na mmeponzwa na tamaa. Mlipokubaliana na Simba hamkuwa na deal la Belgium
Hilo dili la ubelgiji ni uongo uhakika ni Haowanaojiita Wabelgiji ni Yanga walimshawishi mchezaji ..ndio maana walikuwa wameamua kumtema Gift Fred ila mambo yamekuwa magumu wanataka wamrudishe Fred
@@nkoydavid9658😂😂😂😂 yanga hawana shida na lawii .... Pambaneni na hali zenu 😂😂😂 ... Yanga imevuka kwenye hatua za hovyooo😂😂😂
Huna akili usajili wa ndani utafananisha lawi na nani kwa beki?@@mwanangusana
Hapo ndio mtajuwa hao wanaowashawishi kma hamuijui Simba.
Ukichunguza sana utagundua Kuna vgogo wapuuz wapo nyuma ya coast
Tff hawana budi kwa simba kuna sheria inatumika inaitwa BUSARA wataitumia kuinyonga coastal Union
Nyie ndio mnawarubuni Watu , HAKUNA Cha busara Bali Kuna utaratibu na kanuni. Tatizo lenu mnawasikiliza COASTAL UNION pekee na hata Hawa wachambuzi wanafeli. Nilazima ubalansi stori kwa KUHOJI pande zote. UKWELI nikua , Simba walishamalizana na kukamilisha kila kitu. PESA ukiicheleweshwa kidogo, HURUHUSIWI KUVUNJA mkataba. INATAKIWA kumkumbusha mnunuzi na kumpa siku 10 ukisubiria Na ndio Simba walitakiwa kulipa pesa, Mwisho tarehe 31/06/2024 Ila walichelewa na hatimaye wakakamilisha tarehe 08/07/2024. LAWI Ni Mali halali ya Simba. Sio kwa busara Bali kwa kanuni na Sheria. Kukawiza pesa hakuwapi uhalali Coastal kuvunja mkataba. Walitakiwa kuwaandikia Simba barua na kuituma kwa email. COASTAL hawakufanya hayo. Na Simba hawakuzidisha siku 10 Tena .
AHSANTE
Wewe unauwakika cost union anaonewa!?
Achani zenu tamaa mbaya munoooo