ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

🚨Simba yaishitaki Coastal Union sakata la Lameck lawi,Afisa habari Coastal Athibitisha

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ค. 2024
  • #football #yangatv #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #youtube

ความคิดเห็น • 29

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig 28 วันที่ผ่านมา +1

    Tamaa ni mbaya chamoto mtakiona

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 27 วันที่ผ่านมา

    Kitaumana huko juu Kwa juu kama nyuki

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 27 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂kitawakuta

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 26 วันที่ผ่านมา

    WEWE NI MWONGO SANA MNAMHARIBU SANA LAWI.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 26 วันที่ผ่านมา

    NYIE MNATAMAA SANA. MMEMSHAWISHI LAMEKI LAWI ILI AANDIKE BARUA. MNAMKOSEA SANA LAWI.

  • @GabrielMkuki
    @GabrielMkuki 28 วันที่ผ่านมา +1

    Viongozi wa tff ndo walioanzisha maana ndo wanataka kumuuza

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu4524 26 วันที่ผ่านมา

    Coastal union kunakoelekea mtatuudh watu wa Tanga inaonekan kijana atafungiwa na timu itawajibika

  • @DM_15
    @DM_15 28 วันที่ผ่านมา

    Tamaa mbaya cost union kucheleweshwa kwa hela siku 9 mna zingua dirisha lilikua halijafunguliwa, nb mwamnyeto walikaa mwaka mzima wakalipwa inamaana mwamnyeto hakua wamaana kwao? Waache sarakasi

  • @tempochoir
    @tempochoir 28 วันที่ผ่านมา

    Coastal acheni janja janja ....soka letu halipo huko kwa sasa ..

  • @hamisijuma5010
    @hamisijuma5010 28 วันที่ผ่านมา

    Cost wanajikanyaga

  • @taucdulle7460
    @taucdulle7460 27 วันที่ผ่านมา

    Yani uyu jamaaa ni muongooo😂😂😂

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 27 วันที่ผ่านมา

    Coastal ni wasenge tamaa mbona mamnyeto mlikopwa mbwa nyie na mpaka Leo hamjalipwa fara hawa mashoga sana

  • @williamkajala8005
    @williamkajala8005 28 วันที่ผ่านมา

    Subilieni Iwanyeshee, Simmeyataka?

  • @ernestkamata2555
    @ernestkamata2555 28 วันที่ผ่านมา

    Mtaongea mengi

  • @user-tm3wk7qt4h
    @user-tm3wk7qt4h 28 วันที่ผ่านมา

    Kimenuka

  • @silasjacob-j2l
    @silasjacob-j2l 27 วันที่ผ่านมา

    nyie costal niwapuuzi mnamshawishi ili nyie muuze nje mmebugi

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 28 วันที่ผ่านมา

    Coastal hamna viongozi.. Mpira wa miguu ukiwa timu kubwa lazima ufuate sheria siyo uswahili uswahili.. Mnaidumaza timu kwa hizo akili zenu za ubabe wa kimbumbumbu

  • @vascombembela3632
    @vascombembela3632 28 วันที่ผ่านมา

    Mbona maelezo ya mwanzo na Leo yanakinzana kabisa? Mwanzo walisema club haijalipwa pesa yote, Leo wanasema mchezaji alisema hajalipwa pesa yote !ajabu sana yaani hata ukimsikiliza msemaji unaona Tu kwamba kuna mahali wamejichanganya ngoja tusubiri tuone Nani mkweli?

  • @taucdulle7460
    @taucdulle7460 27 วันที่ผ่านมา

    Anajikanyagaaa😂😂😂daaah
    Na baada iyo pesa kuingia hawakujibu walikaa kimya😂😂waache kumjandamiza mtoto wa wa watu

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 28 วันที่ผ่านมา

    Coastal mmefanya uhuni na mmeponzwa na tamaa. Mlipokubaliana na Simba hamkuwa na deal la Belgium

    • @nkoydavid9658
      @nkoydavid9658 28 วันที่ผ่านมา

      Hilo dili la ubelgiji ni uongo uhakika ni Haowanaojiita Wabelgiji ni Yanga walimshawishi mchezaji ..ndio maana walikuwa wameamua kumtema Gift Fred ila mambo yamekuwa magumu wanataka wamrudishe Fred

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 28 วันที่ผ่านมา

      ​@@nkoydavid9658😂😂😂😂 yanga hawana shida na lawii .... Pambaneni na hali zenu 😂😂😂 ... Yanga imevuka kwenye hatua za hovyooo😂😂😂

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 28 วันที่ผ่านมา

      Huna akili usajili wa ndani utafananisha lawi na nani kwa beki?​@@mwanangusana

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 28 วันที่ผ่านมา

    Hapo ndio mtajuwa hao wanaowashawishi kma hamuijui Simba.

  • @gaudencehaule7398
    @gaudencehaule7398 27 วันที่ผ่านมา

    Ukichunguza sana utagundua Kuna vgogo wapuuz wapo nyuma ya coast

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 28 วันที่ผ่านมา +1

    Tff hawana budi kwa simba kuna sheria inatumika inaitwa BUSARA wataitumia kuinyonga coastal Union

    • @monelayongola419
      @monelayongola419 27 วันที่ผ่านมา

      Nyie ndio mnawarubuni Watu , HAKUNA Cha busara Bali Kuna utaratibu na kanuni. Tatizo lenu mnawasikiliza COASTAL UNION pekee na hata Hawa wachambuzi wanafeli. Nilazima ubalansi stori kwa KUHOJI pande zote. UKWELI nikua , Simba walishamalizana na kukamilisha kila kitu. PESA ukiicheleweshwa kidogo, HURUHUSIWI KUVUNJA mkataba. INATAKIWA kumkumbusha mnunuzi na kumpa siku 10 ukisubiria Na ndio Simba walitakiwa kulipa pesa, Mwisho tarehe 31/06/2024 Ila walichelewa na hatimaye wakakamilisha tarehe 08/07/2024. LAWI Ni Mali halali ya Simba. Sio kwa busara Bali kwa kanuni na Sheria. Kukawiza pesa hakuwapi uhalali Coastal kuvunja mkataba. Walitakiwa kuwaandikia Simba barua na kuituma kwa email. COASTAL hawakufanya hayo. Na Simba hawakuzidisha siku 10 Tena .
      AHSANTE

    • @oliverwhite1676
      @oliverwhite1676 27 วันที่ผ่านมา

      Wewe unauwakika cost union anaonewa!?

  • @iddiramadhan
    @iddiramadhan 28 วันที่ผ่านมา

    Achani zenu tamaa mbaya munoooo