MZEE MTITU: AFUNGUKA USIYOYAJUA SAKATA LA MAGOMA | WANACHAMA WASIMUONE KICHAA KUWASHITAKI.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ย. 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

ความคิดเห็น • 76

  • @user-xv2zm5ec9y
    @user-xv2zm5ec9y หลายเดือนก่อน +12

    Nilikua nakusubili Kwa ham mzee wewe ndomwelewa kuliko ote unaogea kiumakini mno mungu akuongeze maisha malefu ili niendelehe kukusikiliza vitu vingi unavijua

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 หลายเดือนก่อน +3

    Wenye akili yanga wawili lakin kwa sasa watatu na magoma ndan

    • @lukomanomaliki5442
      @lukomanomaliki5442 หลายเดือนก่อน

      Kwa hiyo wanaofoji Saini za watu na kufungua kesi ndo wana akili?

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 หลายเดือนก่อน +1

    Vyiura cf mnateseka mkiwa wapi hahahaha hii ndoo ubaya ubwela😂😂😂😂

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 หลายเดือนก่อน +1

    Conflict of interest

  • @ntulloboy2916
    @ntulloboy2916 หลายเดือนก่อน

    Yanga vichwa vigumu Sana kuelewa achana nao

  • @user-tg2dj2vi7w
    @user-tg2dj2vi7w หลายเดือนก่อน

    Engeneer madawa huuzi tena. Biashsra imeshaanza kuharibika umewazurumu wenzio. Unakula peke yako. Wajanja wameshtuka. Safari haxiishi kimbe anauza madawa. Anzeni kumchunguza vzr. Hana uengeneer wwte anauza madawa

    • @ephesongailo8564
      @ephesongailo8564 หลายเดือนก่อน

      Katoe taarifa polisi,,,, hapa sio mahali pake....! Utajichumia kesi ndugu.

  • @MaximilianBKalitibu
    @MaximilianBKalitibu หลายเดือนก่อน

    Magoma achukuliwe hatua zakishelia kwakuidhalilisha yanga African

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA หลายเดือนก่อน

    JUMA MAGOMA HOYEEEEEEEEE!

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 หลายเดือนก่อน +1

    Wala mihogo jazz band

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 หลายเดือนก่อน +1

    Magom yuko sahihi mimi ni yanga naona wazi kuna upigaj mkubwa sana unaoendelea yanga.kuna wazee wanapozwa pesa na kuna kundi la vijana wanapozwa ili wamdhihaki mzee magoma kunyamaza.kiukweli kagoma yuko sahihi sana

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 หลายเดือนก่อน

      Ww ni taahira kama alivyo kagoma

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 หลายเดือนก่อน

      Ww ni taahira kama alivyo magoma

  • @user-sb5cd4jg5q
    @user-sb5cd4jg5q หลายเดือนก่อน

    Acha habari zenu

  • @rajabukitego1662
    @rajabukitego1662 หลายเดือนก่อน

    Magomaaaaaa😅

  • @philoteuslwena3082
    @philoteuslwena3082 หลายเดือนก่อน

    Kweli kina vilaza na waelevu.kakushinda mzeee we kijana point huna.. mzee magoma yupo sahihi

  • @rajabukitego1662
    @rajabukitego1662 หลายเดือนก่อน

    Utopolo,mmemuelewa,mzee,

  • @ramadhansesala4891
    @ramadhansesala4891 หลายเดือนก่อน

    Yanga kweli vilaza

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 หลายเดือนก่อน

    Hivi vizee vyahivi ni vya hovyo

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee niwalewale😂😂😂😂😂😂

    • @hamadshembago7647
      @hamadshembago7647 หลายเดือนก่อน

      Kivip yan au kipi hujaelewa😂😂halaf kumbuka huyo ni mzee,hajui kutumia google lkn yupo straight 😂😂angalia hilo la pemben linalokuna pua tu,yan lipo tayar kwa mabishano tu huyu ndo walewale sasa kwel uto😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌

  • @hamadshembago7647
    @hamadshembago7647 หลายเดือนก่อน

    Huyo jamaa wa pemben amekaa kinafiki nafiki kwel yan

  • @nasrakambimton9522
    @nasrakambimton9522 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 msiye jua maana ya kolo ni mjomba na makolo ni wajomb kwaiy youote any ita kolo jua unait mjomb😂😂

  • @bone102
    @bone102 หลายเดือนก่อน

    Hivi kwann Yanga wanaongea Pumba sana aisee yaan Kijana kazidiwa na mzee ambaye hata kutumia vizur google hajui

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx หลายเดือนก่อน

    Ubera ubwera

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA หลายเดือนก่อน

    HAWA WAZEE WA YANAGA NINAWAELEWA VIZURI WAKO MAKINI MNO.

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 หลายเดือนก่อน

    Magoma katumwa na Mangungu na Try again full stop ✋️

  • @thomangwanyama7122
    @thomangwanyama7122 หลายเดือนก่อน

    Simba jifarijini mapema kabla kivumbi akijaanza uo ndio us Hindi wenu ligi ikianza auna chenu tabu iko palepale

  • @kyaligonzalouis4663
    @kyaligonzalouis4663 หลายเดือนก่อน

    Mgongano wa maslahi ni Conflict of interest sio controversy. Ubaya Ubwela

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn หลายเดือนก่อน

    😀😀😀😀😀magoma ashakua super star

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA หลายเดือนก่อน

      Kabisaaaaaaaaaaaaaa! ulijuaje?

  • @timothymbughuni1356
    @timothymbughuni1356 หลายเดือนก่อน

    Controversy??????

  • @ambwenemwamwimbe153
    @ambwenemwamwimbe153 หลายเดือนก่อน

    Simba wanawatu bana

  • @jamesgeorge8279
    @jamesgeorge8279 หลายเดือนก่อน

    Utopolo mbona coment siizioni leo mzee mtitu anawaelewesha mana huku mtaani jitu hayajui ki2 yanatubania pua tu

  • @stevennambunga9093
    @stevennambunga9093 หลายเดือนก่อน

    Makolo mikundu inawasha jambo haliwahusu

  • @khalidmgonja
    @khalidmgonja หลายเดือนก่อน

    Waandishi wakat mwingn watu kam nasoro pila msiwe mnawahoj maan wanapend kuongelea mapenz ya uyanga hawan hoj za msingi mabwabwa hawa

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo หลายเดือนก่อน

    Kuhusu mwanasheria kweli Yanga hatuna kabisa.

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 หลายเดือนก่อน

    Huna akili hiyo ni press wanachama wa nini

  • @salomemongi1246
    @salomemongi1246 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni Yanga

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l หลายเดือนก่อน

    Bundi limehamia jangwani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hapo ndo mtajua nini maana wa neno ,UBAYA UBWELA 😅😅😅

  • @yuzoooyuso583
    @yuzoooyuso583 หลายเดือนก่อน

    Aliesema Yanga woote hawana akili pepo ataiona.wale wawili mpokeeni na huyo mmoja Mzee magoma.nyinyi vyura aka gongowazi hebu toeni mwiko huko nyuma labda akili itawarudi mnaibiwa acheni kuendelea kullewa supu na ipo siku mtamkumbuka Mzee magoma

  • @RAJABUALLYCHANDEALLYCHANDE-n4i
    @RAJABUALLYCHANDEALLYCHANDE-n4i หลายเดือนก่อน

    Kumbe nyinyi ndio munao mtuma uyo bwege mwenzio uyo, baasi mutayaoga

  • @haroldtarimo3115
    @haroldtarimo3115 หลายเดือนก่อน

    Masuala ya yanga unamhoji mtu wa simba kulikoni

  • @user-rl8ge1zl1m
    @user-rl8ge1zl1m หลายเดือนก่อน

    Wachezaji Sasa hivi wanalipwa kiasi gani

  • @salomemongi1246
    @salomemongi1246 หลายเดือนก่อน

    Kwenda huko,we kaongee ya simba

  • @salomemongi1246
    @salomemongi1246 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni Simba,wametumwa

  • @IbrahimMakonga
    @IbrahimMakonga หลายเดือนก่อน

    Uyo hajui kitu utopolo

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g หลายเดือนก่อน

    Kolo yeyote yule katika hili nilazima atampigia chapuo tu mzee magoma kitakita

    • @bone102
      @bone102 หลายเดือนก่อน

      Mnajionyesha wazi kuwa hamjielewi aisee yaan Mangoma kawazidi akili nyie mnafurah wakat Yanga inapotezwa kwa kudanganywa na matokeo ya uwanjan Timu inatakiwa kuingiza hela zaidi sio kuacha sifa za kufika robo fainali au kujaza vikombe wewe dogo

  • @vom84
    @vom84 หลายเดือนก่อน

    Huyo shabiki wa Yanga Hana uelewa, hajui lolote linalohusu sheria

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 หลายเดือนก่อน

    We mzee waambiye hao vijana wanunulie hiyo kahawa maana nakuona unajichanganya yaani unataka kusema mama Karume atiye saini ajishitaki mwenyewe ? Hapo wewe umesema bodi iliyopita na mama Karume alikuwepo sasa vipi leo atiye saini kwa kujishitaki ? Mimi hapo sijaelewa

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur หลายเดือนก่อน

    Vyura mwaka huu wanacho utopolo bwana

  • @Shags.1972
    @Shags.1972 หลายเดือนก่อน

    Tatizo hata mkisema wanachama waende wote wakajadili hayo marekebisho Dar wanachama wataweza kufika wote acheni fikira za kizee nyie kinawauma nini

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg หลายเดือนก่อน

    Huyu bwege alisema heri baba afe abaki mo

  • @KumbaBoy
    @KumbaBoy หลายเดือนก่อน

    Sasa mzee mtitu turudi nyuma mama Samia ni raisi wa jamuur wa muungano wa Tanzania ukirudi yeye ndie mwenyekiti wa ccm jee mzeemtitu unajuwa iyo unaic aiwezekani

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 หลายเดือนก่อน

    Auna lolote mzee Mtitu nyinyi watu wa simba mpo nyuma ya huyo mzee kagoma

  • @ambwenemwamwimbe153
    @ambwenemwamwimbe153 หลายเดือนก่อน

    Huyo jamaa wa utopolo kalewa chibuku

  • @christopherdaniel7279
    @christopherdaniel7279 หลายเดือนก่อน

    Hakuna mwanasimba ambaye anaweza kumuongelea vibaya magoma over ila dozi ipo palepale

    • @muhamedjaffar5653
      @muhamedjaffar5653 หลายเดือนก่อน

      Mie ni yanga ila magoma yuko sahihi .tuache ushabiki maandaz .tuangalie maslah ya yanga yetu.sio wamekaa wapigaj

  • @salomemongi1246
    @salomemongi1246 หลายเดือนก่อน

    Wanafiki Hawa wanaingikiaje mambo ya Yanga?Watatuvuruga,watatuchanganya?Tuwe makini

  • @user-rl8ge1zl1m
    @user-rl8ge1zl1m หลายเดือนก่อน

    Mwandishi mjinga na yeye ni kolo

  • @JohnKapalamula-z9j
    @JohnKapalamula-z9j หลายเดือนก่อน

    Mzee huna akili wewe umekujaa ushabiki

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p หลายเดือนก่อน

    Mgongano wa kimaslahi = conflict of interest.

  • @user-sy4wf5ll4o
    @user-sy4wf5ll4o หลายเดือนก่อน

    Hawa watu wayanga hawajui wanachokiongea maskini

  • @kingzu_97
    @kingzu_97 หลายเดือนก่อน

    V

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 หลายเดือนก่อน

    Mashabiki WA SIMBA siyo waelewa na ndiyo maana timu Yao aifanikiwi kamwe ni kama mashabiki wanao mshabikia harmonaizi vile awajitambui ikitokea harmonaizi ayupo woote watarudi Kwa Ally kiba ndiyo maana diamond kafanya mchezo mchafu kumtoa harmonaizi kundini kijanja ili ampoteze Ally kiba na kafanikiwa ila hao mashabiki ni madunduka awajielewi ndiyo mashabiki WA simba

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo หลายเดือนก่อน

      Haifanikiwi wakati iko ndani ya vilabu 10 bora Afrika. Wewe kweli chizi😂😂😂

    • @maikomatayo2794
      @maikomatayo2794 หลายเดือนก่อน

      wee choko kweli aya nyinyi utopolo mnae jierewa mna mafanikio gani 😢😢

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n หลายเดือนก่อน

    Kolo akili hawana, Magoma hatambuliki kwa sasa kwa katiba iliyopo, na kakiri mwenyewe hajawahi kulipia 😅

    • @AzizMangara
      @AzizMangara หลายเดือนก่อน

      Kama magoma, atambuliki, na wale wanne Nao awatambuliki?! Utopolo, msilete mihemko. Kikubwa kukaa na wale wazee, kwani walicho kisema ni kweli au katiba aijachezewa?! Tunapenda maendereo ya mpira na hata Hawa wazee wakiachiwa Timu awawezi, ila wanahaki tusilete ujanja janja, na tusilete mihemko ya Simba na Yanga. Kaeni Nao zungumzeni Nao vinginevyo mtatafutana saana.

    • @user-dl1mg2qf4n
      @user-dl1mg2qf4n หลายเดือนก่อน

      @@AzizMangara Sio mimi ni yeye mwenyewe kasema hajawahi kulipia kadi miaka minne sasa, je ukiwa na akili timamu atakuwa mwanachama kweli au shabiki?

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo หลายเดือนก่อน

      Mawazo yako mgando unadhani kesi kapeleka Juma peke yake. Wako wengi wewe mshamba😂😂😂