🚨Yanga 1-0.Simba,Tathimini ya mchezo,Ubora wa goli la max,Makosa ya waamuzi yalipofeli

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ย. 2024
  • #ahmedally #alikamwe #simba #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube #football

ความคิดเห็น • 16

  • @user-ge3yd1tx5e
    @user-ge3yd1tx5e หลายเดือนก่อน +1

    Makolo mmecheza lakn mmechezea Haoooo

  • @Stephano722
    @Stephano722 หลายเดือนก่อน +3

    ❤stephano mange wa ngudu kwimba mwanza 🎉nyie watangazaji muwe munakumbuka mnavyotangaza watu wengi wanasikiliza muko kishabiki saana kwa Nini timu zingine tuwaeleweje ukiwa studio siovizuri mnachofanya angalieni yanayojumuisha pande zote siokukalia jambo kama hatujautazama m hezo❤🎉 Mimi simba

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 หลายเดือนก่อน

      Simba gani anaishi ngudu, nafikiri unaishi mwamashinba

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 หลายเดือนก่อน +8

    Endeleeni kumchukulia poa Duke Abuya 😂

  • @user-hz2us9wm1f
    @user-hz2us9wm1f หลายเดือนก่อน

    Mchambuzi unatudanganya, matukio mengi unasimulia vitu tofauti.

  • @ombeniulime2768
    @ombeniulime2768 หลายเดือนก่อน +1

    Wacha mbuzi ni mbuzi kweli kweli mbuzi

  • @kichefuchefu2382
    @kichefuchefu2382 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga bingwa tuuu

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv หลายเดือนก่อน

    Yanga ni DUBWANA KUBWA SANA saivi.
    Yaani kufa lazime tu ufe ila kuna kila aina ya vifo.. #YANGA

  • @SATURNDRILL-f1j
    @SATURNDRILL-f1j หลายเดือนก่อน

    Daah..! Jean Duke Abuya, kwng Mm anapaswa kupewa Kitambaa Cha Captain, Na Sina Shka.

    • @Asia-p5r
      @Asia-p5r หลายเดือนก่อน +2

      Kujua kucheza na jitihada peke yk haimaanishi kwamba unaweza kuwa kiongozi mzr kwa wenzako

  • @selemonsalvatory4414
    @selemonsalvatory4414 หลายเดือนก่อน

    Yaan bongo bana kweli ni nyoso wachambuz wa bongo tyr mmeshaathiriwa na usimba na uyanga

  • @Stephano722
    @Stephano722 หลายเดือนก่อน

    🎉❤stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba sombaya hatakidogo🎉 ❤ ila mazungumuzo studio muyabalansi ili wafatiliani tuwasikilize mutahali munavyofanya munajionyesha nyie u to oporo 😮kabisa mwishowe mtatukanwa🎉

  • @aggreysalhanga2965
    @aggreysalhanga2965 หลายเดือนก่อน

    Huyu anayechambua ndiyo anatuchanganya kabisa , kwanza anasema mwamzi wakati kasha puliza filimbi kua ni Gori ila alivyorudi hatua tatu nyuma akaona kipendere Kiko juu ndiyo naye akalikataa Gori, wakati mwanzo amesema azizi alifunga Gori wakati mwamuzi kasha puliza filimbi kua ni offside

  • @edwindavid7037
    @edwindavid7037 หลายเดือนก่อน

    Ile ya Aziz ni penalty kaka, sema nyie wachambuzi nanyi mna balance kama waamuzi

  • @mussalimbe6673
    @mussalimbe6673 หลายเดือนก่อน

    Hakuna lolote mchambuzi mavi makosa ya kapombe kutengeneza mstari wake ni kosa la kapombe ni move ya kawaida

  • @user-eg8yq7nf2m
    @user-eg8yq7nf2m หลายเดือนก่อน +1

    Sasa matusi ya nini umekuwa lipumbavu mbwa wewe Yanga bingwa jibu unalo mpira bila makosa ulisikia wapi