🚨Mzee Magoma Alipuka baada ya kushindwa kesi nakutakiwa kuilipa Yanga million 70.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ย. 2024
  • #ahmedally #alikamwe #simba #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube #football #simbaislive

ความคิดเห็น • 21

  • @user-lb2jh4ss6v
    @user-lb2jh4ss6v วันที่ผ่านมา

    Ataenda jela taperi mze uyo

  • @romimwalu
    @romimwalu หลายเดือนก่อน +1

    George anachambua kishabiki,mahakama haiangalii uwezo wa mtu bali sheria

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv หลายเดือนก่อน +2

    Jua kuwa kuna na Hiyo ya Jinai ....wewe jikaange tuu... Umeyakanyaga mzee wetu.... utakonda hivi karibuni watu wa pembeni watakumbia wote 😢😢

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 หลายเดือนก่อน +1

      Ajipe moyo kama mgonjwa wa ukimwi

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 หลายเดือนก่อน +1

      Utauza kibanda chako mzee we lete jeuri

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx หลายเดือนก่อน +2

    Funzo funzo kwa mataharira

  • @IddyAloyce
    @IddyAloyce หลายเดือนก่อน +1

    Kataka. Mwenyewe alipe tuuuu

  • @ramadhankombe2643
    @ramadhankombe2643 หลายเดือนก่อน

    Hawez kuachwa huyo mzee ana domo sana.viongoz tunaomba mkomeshen ili iwe funzo.

  • @juliusmagoti5650
    @juliusmagoti5650 หลายเดือนก่อน +1

    Ili kukomesha utahaira na uhuni kama wa mzee Magoma, wacha alipe tu hiyo fidia ili wote tujifunze. Lakini kwa upande mwingine ndugu mtangazaji, tunahitaji constructive challenges and criticisms, siyo kama uhuni wa mzee Magoma wa hadi kugushi sahihi za watu. Lets be objective

  • @emmanuelelisha173
    @emmanuelelisha173 หลายเดือนก่อน +1

    WeweGoerge Job unataka kutuaminisha kwamba kama mtu akifanya kosa akiwa hana pesa kwamba anatakiwa asamehewe?
    Halaf mwanasheria ni sehemu ya benchi la ufundi?

  • @kasongoIDDi-mx7gz
    @kasongoIDDi-mx7gz หลายเดือนก่อน

    Kwani kesi mwisho wakukata rufaa ni siku ngapi wanasheria mtuambie

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx หลายเดือนก่อน +1

    Lazima adaiwe ili iwe funzo

  • @user-oy2ui7rj8v
    @user-oy2ui7rj8v หลายเดือนก่อน

    Inabidi Yanga wachukue tahadhali kwa sababu sio kwamba Hoja zooote za Magoma hazina mashiko, hayo yaliyo na mashiko ndio wanayotakiwa wayashughulikie na asije kwenda FIFA

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 หลายเดือนก่อน +1

    Hakunaga jeshi la mtu mmoja mzee hata siku moja.Yanga sio mama yako unaweza kuachananayo

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu หลายเดือนก่อน

    Yanga wametumia uwezo wa kifeza inamana rushwa ndo inayofanya kazi na inchiyetu tunavo ijua kuusu rushwa aliwezi likashangaza.

  • @etufaniakahemela5879
    @etufaniakahemela5879 29 วันที่ผ่านมา

    Kinacho mponza mzee magoma ni ubishi na kutaka kushindana wakati anajua kua hawezi

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 หลายเดือนก่อน

    Mbona fidiA ndogo

  • @juliusmagoti5650
    @juliusmagoti5650 หลายเดือนก่อน

    Jeshi la mtu mmoja😂😂😂😂

  • @lusajomwakasonda785
    @lusajomwakasonda785 หลายเดือนก่อน

    Mbona hamueleweki?..mi naona kama mnazunguka mbuyu tu,yaani mnaonekana mnajadili kitu ambachi hamkijui.Hivi mbajua kesi ya msingi ni nini?

  • @AnnoyedDove-oo3kk
    @AnnoyedDove-oo3kk หลายเดือนก่อน

    Magoma ule wimbo wa lucky dube wa if you stand in the truth you will stand alone pambana mzee wametoa kitu hapo mbona wao walihukumiwa hawakutoka ofisini 😂😂 ndo tz ingekuwa kwetu kenya hakihaki

  • @mwanangusana
    @mwanangusana หลายเดือนก่อน

    Magoma kaungane na naniliii pale Udundukani.......... Kwa wazee wa SANDA nyekundu mpeni kampani moamed 🤣🤣🤣