SAM AWATEMEA NYONGO SIMBA | TUSEME UKWELI TUMSHUKURU REFA KAPUNGUZA GOLI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 59

  • @SalmaKimwaga
    @SalmaKimwaga หลายเดือนก่อน +4

    Azam tv mpeni kazi huyu kijana mchambuzi wa ukweli sio mchongo ❤❤❤❤❤

  • @user-um5uw9yo5q
    @user-um5uw9yo5q หลายเดือนก่อน +2

    Dah broo unajua sana mungu akupe kazi ya uchambuzi kituo chochote kile

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu Kijana Nakubali.. Mashaallah

  • @nazarethally9509
    @nazarethally9509 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu jamaa yupo vizuri anajua mpira haongelei ushabiki

  • @HamadZahoro
    @HamadZahoro หลายเดือนก่อน +2

    Broo Sam nakukubali sana mpira huu wakisasa unaujua siyo kichwa tenge kisugu

  • @MbwanaAlly-i3l
    @MbwanaAlly-i3l หลายเดือนก่อน +6

    Upo sawa ndugu unajua mpila

  • @user-ui7vw8kr7y
    @user-ui7vw8kr7y หลายเดือนก่อน +13

    Huyu kijana tamani sana kumuona kwenye uchambuzi,kinachonishangaza na kunifikirisha sana nikuona studio zimejaaza wachambuzi uchwala,hawana wanachojua zaidi ya uchawa,wanawaacha vijana km hawa wenye akili.hii nchi tutafika tukiwa tumechoka sana

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 หลายเดือนก่อน +3

    Refa alikuwa family,na sio refa alikuwa mbali na matukio bali alifanya makusudi tu kuwabeba kwaiyo mumshukuru refa kapunguza magoli ila hiyo ni mbaya kwa upande wenu maana mtakuwa mnajifarij kuwa mnateam kumbe bado sana

  • @maxmillianmarwa5943
    @maxmillianmarwa5943 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa anasema kweli kabisa,

  • @juniorjotham1524
    @juniorjotham1524 หลายเดือนก่อน +4

    like kwa mwandishi😂😂

  • @cmbizo9592
    @cmbizo9592 หลายเดือนก่อน +2

    Brother unajua soka

  • @StevenGendo-vx9jo
    @StevenGendo-vx9jo หลายเดือนก่อน +2

    Samu nimekupenda bure unahekima sana

  • @GodfreyMwendawila-ff7on
    @GodfreyMwendawila-ff7on หลายเดือนก่อน +1

    Washabiki wengi hawajui mpira ndo maana wako kiushabiki na sio ukweli nakuelewa sana SAM Simba unajua mpira mwanangu

  • @KhatibuMadizii
    @KhatibuMadizii หลายเดือนก่อน +3

    Nakukubali sana

  • @lusubilokorosso5661
    @lusubilokorosso5661 หลายเดือนก่อน +1

    Uko vizuri sana Majizo chukua huyu😂

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 หลายเดือนก่อน

    SAMU YUKO VIZURI SANA hachambui kwa mapenzi kama wengine Akina JB64

  • @lutegogospelteam1939
    @lutegogospelteam1939 หลายเดือนก่อน +1

    Uko vizuri ila kuna neno sijalielewa nielewesheni ni No county au No cout.!

  • @abdulkarimum.khamisi3128
    @abdulkarimum.khamisi3128 หลายเดือนก่อน +1

    Ukifungwa umefungwa tu utaongea pumba ,kama refa kasema off side linakuwaje goli sasa ,goli halali ni moja kwani kila offside refa kaibeba timu acha ushabiki.

  • @MikidadiNyangi
    @MikidadiNyangi หลายเดือนก่อน +1

    Ngugu yangu hahahahahaha endelea utayakuta mbele usije ukajuta

  • @DanielSamson-sh8bq
    @DanielSamson-sh8bq หลายเดือนก่อน +1

    Sam unajua,hakika ukiongeza zaidi utafikia kama Dr rick

  • @AliJuma-eg8tq
    @AliJuma-eg8tq หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa anajua kuusemea mpira
    Nimependa
    Umesema "mm sio mfia timu"

  • @MikidadiNyangi
    @MikidadiNyangi หลายเดือนก่อน +1

    Hiv wee unatarisha maisha yako kisa unapewa hela na yanga hata mungu alisema mjali mzaz wako kuliko vitu vingine haya ongea baba

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 หลายเดือนก่อน +1

      Unamraumu kwa lipi mtu anaongea clear kabisa

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 หลายเดือนก่อน

      Ulitaka aseme uongo na porojo

  • @OmanOman-hx8yv
    @OmanOman-hx8yv หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa anajua

  • @mojakatundu
    @mojakatundu หลายเดือนก่อน

    Sam upo vzr sana, big up

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 หลายเดือนก่อน +2

    Hurt umevaa Jezi tu, wewe ni utopolo 😂🎉

    • @StevenGendo-vx9jo
      @StevenGendo-vx9jo หลายเดือนก่อน

      We shabik mandaz huna lolote ulijuwalo

  • @ownmpompo6299
    @ownmpompo6299 หลายเดือนก่อน +1

    Eti Simba ina vibaraka kama hivi,vinavaa jezi za simba na kujifanya wachambuzi,uchwara

  • @MariaHussen
    @MariaHussen 28 วันที่ผ่านมา +1

    Nikweritu jamaa aongea archon kiona mnamtukana nn wakings nyie hamjui mpra matusitu

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu anajua na anaongea facts

  • @SamsonMasalu-y5f
    @SamsonMasalu-y5f หลายเดือนก่อน +1

    waandishi acheni kumuhoji kisugu muhojini sam ndio anajua mpira.

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira645 หลายเดือนก่อน +1

    Anaendaga avic town kuangalia mazoezi ya yanga

  • @MikidadiNyangi
    @MikidadiNyangi หลายเดือนก่อน +1

    Kumamako

  • @MichaelJohn-vn3bt
    @MichaelJohn-vn3bt 29 วันที่ผ่านมา

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 หลายเดือนก่อน +1

    Simba huyu kijana anasema ukweli

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 หลายเดือนก่อน +1

    SIMBA msikilizeni huyu kijana anaongea ukweli kabisa

  • @user-vh4hy8ee9y
    @user-vh4hy8ee9y หลายเดือนก่อน

    Simba ina washabiki wazuri wanao ujua mpila kuliko wa shabiki wa yanga!

  • @SamsonMasalu-y5f
    @SamsonMasalu-y5f หลายเดือนก่อน +1

    acheni mambo yenu tatizo hamjui mpira tunadanganywa na ahmed ally .yani timu imefungwa yeye analala usingizi.sisi ndo tunaumia.ngoja dabi ingine inakuja.jamani tupaze sauti .

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira645 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe sio simba usichunguze msemaji wetu shika yako unapenda kuongelea tznga kuwasifia achana na tim yetu mamluki mkubws

    • @user-du1nq6sz4m
      @user-du1nq6sz4m หลายเดือนก่อน +1

      Wew hauna akili

    • @jimmypeter5667
      @jimmypeter5667 หลายเดือนก่อน

      Huyo anaeongea ni mwanasoka ila wewe ni mnazi! Mnazi ni chawa wa timu, wengi ni wagonjwa kichwani.😅

  • @ownmpompo6299
    @ownmpompo6299 หลายเดือนก่อน +1

    Ujue mtangazaji anakuchora,kwa ujinga wako unajimwagaa

  • @MwanahawaMaliki
    @MwanahawaMaliki หลายเดือนก่อน

    Uyu mwamba mchambuzi

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 หลายเดือนก่อน +1

    Kiukweli walitegemea kupigwa nyingi hivyo kapunguza

  • @IsraelMwakagire-hn8pn
    @IsraelMwakagire-hn8pn หลายเดือนก่อน +2

    Tatizo liko wapi kusema smells vizuri?

  • @user-rr7du8om1z
    @user-rr7du8om1z หลายเดือนก่อน +2

    Unapswa uwekewe ulinzi

  • @user-vf6nq8dw7v
    @user-vf6nq8dw7v หลายเดือนก่อน

    Sasa mobeto kaingiaje hapo mzee wangu. Hebu kuwa na maswali ya msingi baba. Usiulize maswali kama mtoto wa vidudu.

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 26 วันที่ผ่านมา

    Mpila Kama mpila vinaingilianaje na Amissa

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 หลายเดือนก่อน +1

    Hy naye alipaswa kupakwa mafuta tu km Mchome

  • @AyubuMwambola-j3k
    @AyubuMwambola-j3k หลายเดือนก่อน +1

    Wewe yanga sitaki hata kukusikia mjinga wewe,hata kuchambua huwezi

  • @lovenesspaul5804
    @lovenesspaul5804 หลายเดือนก่อน +1

    huyu jamaa amenikosha na huyu sio shabiki nimpenzi wa mpira na anaongea kifahamu sana mimi nisimba kindaki lakin kunavitu kanifundisha

  • @mojakatundu
    @mojakatundu หลายเดือนก่อน

    Kama huna tabia ya kuji tathmin hutayaona na kuyajua madhaifu yako, sam---- (kum radh) (ashakum si matusi) haangalii----ni nyani anae angalia kundule, haangalii kundu la mwenzake.

  • @MariaHussen
    @MariaHussen 28 วันที่ผ่านมา +1

    Msimtuka jamn anaongea ukwelitu

  • @MikidadiNyangi
    @MikidadiNyangi หลายเดือนก่อน +1

    Mnalipya na gsm ilimharibu simba hahahaha nakuhurumia sana na pole sana

    • @MshaniMsasu-mt3pj
      @MshaniMsasu-mt3pj หลายเดือนก่อน

      Mkiambiwa ukweli mnabisha, kama huamini kwamba Simba uwezo wakumfunga Yanga bado angalia rekodi ya mech TH-cam utaona.

  • @severinusviatory4624
    @severinusviatory4624 หลายเดือนก่อน +2

    wew si mnyama msipende kuvaa nguo za simba vaa kawaida na uongee kutuponda ila nakujua sana wewe yanga

    • @MwenyeheriMwegeru
      @MwenyeheriMwegeru หลายเดือนก่อน

      Kwahiyo mtu akiongea ukweli basi msalit

  • @maxmillianmarwa5943
    @maxmillianmarwa5943 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa anasema kweli kabisa,