UPENDO PENEZA AFUNGUKA/ RUSHWA YA NGONO/ HALIMA MDEE NA MBOWE/ NJAA IMEKUPELEKA CCM?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 พ.ค. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

ความคิดเห็น • 273

  • @salinjason
    @salinjason หลายเดือนก่อน +8

    Huo ni mwisho wako wa kisiasa huna mvuto tena jitafakari

  • @jonathansirkintungi7434
    @jonathansirkintungi7434 หลายเดือนก่อน +7

    We dada unatafuta vyeo kijinga kwanini hukusema ukiwa huko. Nashangaa unaitwa mwanasiasa sijui kwa kigezo kipi. Hii ndio tz

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz หลายเดือนก่อน

      Imekugusa sn ndugu

    • @yugemasanza1008
      @yugemasanza1008 หลายเดือนก่อน

      ​@@KassimAlly-xp4dz Uvumilivu umemshinda

  • @dulasaid2581
    @dulasaid2581 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa bahati mbaya na masikitiko Chadema haina pesa za kuhonga. Wasaka Tonge kama huyu watajitokeza wengi.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 11 วันที่ผ่านมา

      Hahahaha,,, kwahiyo unadhani Mbowe ni masikini?

  • @eliaskangabo779
    @eliaskangabo779 หลายเดือนก่อน +3

    Uchaguzi unakaribia unatafuta fursa siku zote ulikuwa wapi?

  • @ROBERT75376
    @ROBERT75376 หลายเดือนก่อน +2

    Najua kuwa ni haki yako ya kikatiba ila, ukweli fahamu tu kuwa, wapo vijana wengi walikuwa wanakutazama wewe na kujifunza mengi. Tunatamani ungepambana na rushwa hukohuko CHADEMA. Kuhama kipindi hiki ambacho shutuma kama hizo ziko kila upande inatoa nafasi kwa baadhi kukufikiria vibaya pia. Lakini mwisho wa yote, kila la heri huko, usisahau kupigania haki uliyokua unapigania ulikokua.

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 หลายเดือนก่อน +1

    Tamaa tu, huko ccm ndio kumeoza na hutoongea chochote wenzio wamepotelea kabisa huko.

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 หลายเดือนก่อน +3

    Duhuuuuu!! Ila sisa bhan yaani uyu dada upendo nlikuwa namkubali ss ndo anakwenda kupotea kabisa na ukimskiliza anavyo jibu ni hopless hana majibu sahihi njaa mbayasan

  • @francomwalutende7864
    @francomwalutende7864 หลายเดือนก่อน +2

    Peneza uwezo wake wa kujibu hoja ni mdogo sana, hawezi kujenga hoja wala kuchanganua hoja

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola หลายเดือนก่อน +2

    Mmmm tamaaaa tu

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 หลายเดือนก่อน +3

    Yuda vipande 30 utavitapika

  • @KJHusseinKJ
    @KJHusseinKJ หลายเดือนก่อน +2

    Mi nilifikiri Delilah alikua yule m'moja tu mke wa Samsoni kipindi kile.... kumbe hata leo yupo mwengine tz

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m หลายเดือนก่อน +4

    Usimwamini mwanamke hata sikumoja huyu wa ngapi

  • @user-xy7eu6ev6c
    @user-xy7eu6ev6c หลายเดือนก่อน +2

    Anatoa hoja bila ushahidi mf:athibitishe palipofanyika rushwa.Mwandishi mpigie Mbowe simu athibitishe kama aliwahi kupewa ushauri .

  • @benardsamizi-qo4yp
    @benardsamizi-qo4yp หลายเดือนก่อน +5

    Tulizoea kuona wasariti wanaume kumbe hata wanawake wapo??? Subiri uteuliweeee!!!

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y หลายเดือนก่อน

      alisema CCM wameniibia kura mwaka 2020, CCM ni mafisadi na wala rushwa sasa nimeamua kujiunga na wezi wa kura, mafisadi na wala rushwa naombeni cdm mjirekebishe msaliti mkubwa anazunguka mbuyu baada ya kukosa ubunge mwaka 2020 na njaa imeanza ingia kichwani sasa hata kufikiri ni shida kutokea tumboni. serikali ya CCM lini imejisafisha na uwizi na ufisadi wa mali za umma umesoma kweli ripoti za CAG?? Nenda uko ukajaze tumbo lako msaliti mkubwa wewe..

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 หลายเดือนก่อน

      Kuhama chadema ni usaliti na kuhama CCM ni ushujaa!!! Hayo ni maneno ya wanachadema waliofilisika kifikra na kisiasa!

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv หลายเดือนก่อน

      Tena wasaliti wa kike niwabaya kuliko shetani, mke wa Ayubu ana mwambia Ayubu mkufuru Mungu ili ufe unafikiri alimuinea huruma kwa mateso ya mumewe, kumbe kuliwa na mpango afe Ayubu ili aolewe na wale wasaliti wa Ayubu, au marafiki wa Ayubu, Huyo niwaku muangalia nje ya box,

  • @mohamoudali8652
    @mohamoudali8652 หลายเดือนก่อน +2

    Halafu huyu dada kajichubua kishenzi. Maskini ana tatizo la kutokujiamini.

  • @dennisrwelamira1259
    @dennisrwelamira1259 หลายเดือนก่อน +3

    Mbona Upendo Peneza anakimbia maswali kwa kutoa majibu yasiyo sahihi

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 6 วันที่ผ่านมา

      muombe mtangazaji aje akuhoji wewe umpe majibu uyatakayo

  • @brendangabriel1643
    @brendangabriel1643 หลายเดือนก่อน +2

    Pendo, ni kweli ccm imekuwa takatifu mbele yako kwa maovu yake yote wizi, dhuluma, kuteka na kuua w/nchi wake, rushwa, kutowajibika kwa ye yote(ripoti ya CAG) maisha magumu kwa w/nchi, kuuza mali ya umma, kuikanyaga katiba nk. Umeshindwa kuchukia haya, unahangaika kuinanga CDM ambayo haina baya kwa umma. Wewe unaiwekea uovu hafifu wa kutunga ili kuhalalisha njaa zako za kutafuta uteuzi.
    Kushutumiana viongozi sio malaika, ni njia ya kukemea rushwa wazi wazi inayotoka nje ya CDM. Pesa ya rushwa siku zote inatoka ccm. Ccm ni mtoaji mzuri wa rushwa, hilo huwezi kulikemea, ila unahangaika na Cdm wanaokemea hadharani, wewe unaita kushutumiana.
    Ninyi waganga njaa, kuweni kama Lowassa hakutunga wala kunanga Cdm.
    Pendo, epuka interviews hizi zinakuvua nguo bila kujijua kwa hoja hafifu mno mpaka hujibu maswali, ila unabaki kujikanyagakanyaga tu. Bora ukae kimya ule vinono ulivyoendea huko ccm.

  • @zat6311
    @zat6311 หลายเดือนก่อน +2

    Makosa sana kuwa na mtu wa aina hii chamani

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 หลายเดือนก่อน +1

    >Duuuu...Madam Upendo Peneza..jibu refu sana lisilo mwisho kwa swali rahisi la kutoka CHADEMA kuhamia CCM!
    >Spot on Mtangazaji..kiongozi/mwanasiasa kijana kaporomosha sana hadhi yake kwa kitendo cha kuhama! Mapungufu ndani ya CHADEMA kulinganisha na CCM yaweza kweli kuwa sababu kuhalalisha msukumo kutoka?

    • @henrymmbando5930
      @henrymmbando5930 หลายเดือนก่อน

      Kwa hiyo CCM ukikutana na changamoto ambazo haziendani nae atahamia kwa Mzee wa Ubwabwa?
      Huyu wala si mwanasiasa. Muda si mrefu mtajionea.

  • @KilonzoJohn-mg7cw
    @KilonzoJohn-mg7cw หลายเดือนก่อน +2

    Huyo Hana jipya ni kirusi kama wengine waliotoka chadema na kwenda ccm Hana la tofauti ni mchumia tumbo

    • @linusmwanitega4173
      @linusmwanitega4173 หลายเดือนก่อน

      Yaani ww unapenda mtu aseme mazuri tu kwa chadema ila akisema mazr ya ccm hutaki kusikia. Ila upo sawa maana huwezi kuwa kuunga asiye kuwa wa upande wake.

  • @zat6311
    @zat6311 หลายเดือนก่อน +2

    Mzigo tu huo

  • @zat6311
    @zat6311 หลายเดือนก่อน +2

    Mchanga kisiasa hiyu wala cdm kisihangaike kujibu

  • @mchunguliechibwa198
    @mchunguliechibwa198 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe file lako tutalipata tu,,bure kabisa 😮😮

  • @zat6311
    @zat6311 หลายเดือนก่อน +2

    Mwongo huyo utafikiri siyo ke

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza หลายเดือนก่อน +1

    Maovu ya ccm unayafahamu.mnanunuliwa.kuahidiwa vyeo..ni hongo. Wanaye mwona ni best toka chadema ananunuliwa

  • @kelvinkangomba9590
    @kelvinkangomba9590 หลายเดือนก่อน +1

    Ningefurahi sana Upendo ungekuwa direct zaidi kwenye kujibu maswali. Unaongea mnooo katika maswali yasiyohitaji maneno mengi. Utakuwa mwanasiasa mzuri kama utapunguza maneno mengi na hapa kwenye kuwa na maneno mengi ndipo watu wanaona kuwa hauna hoja yaani unajaribu kuokoteza maneno bila kuwa na data. Unaulizwa kuhusu rushwa wewe badala ya kuja na uthibitisho unaanza kufanya reference kwa maneno ya watu wengine.

    • @henrymmbando5930
      @henrymmbando5930 หลายเดือนก่อน

      Huyu ana nongwa tu kwa wale Covid 19 kutomweka kundini na alikuwa anajiona ni mwanamke ambae ndani ya cdm alikuwa juu sana. Covid 19 walimtema akaona hana kitu tena. Je huyu angejumuishwa ndani na Mdee je angekataa icovid ??

    • @kelvinkangomba9590
      @kelvinkangomba9590 หลายเดือนก่อน +1

      Mimi ni muumini wa kuamini kuwa kwenye kila taasisi alimradi inaongozwa na watu basi lazima kuwe na changamoto. Inategemea tu wewe unaamini katika nini . Mimi ni ccm lakini mtu wa aina ya Upendo ni wa kuogopwa sana. Yeye hana anachokipigania zaidi ya maslahi yake. Ninachokiona anataka kujiaminisha kuwa ili upate nafasi ya uteuzi basi uwe mpika majungu kwa upande wa pili. Ni majungu kwasbb sijaona tangia ameanza kuhojiwa na vyombo mbalimbali akitoa hoja zenye ushahidi kuntu ili kuhalalisha malalamiko yake.mtu kama huyu kama hatoweza kupika majungu katika level ya chama basi atapika majungu between individuals ili yeye aonekane msafi. Tunahitaji kizazi jeuri chenye uwezo wa kuhoji na kukosoa kwa hoja na ushahidi lakini sio kama Upendo Peneza. Nawaheshimu sana wanasiasa marehemu Bernard Membe pamoja na Edward Lowasa. Pamoja na kuhama ccm lakini bado walikiheshimu chama na walikuwa makini sana katika kujibu maswali yenye viashiria vya uchonganishi, vivyo hivyo waliporejea ccm kutoka upinzani hukuwasikia wamesema maneno mengi zaidi tu ya kujibu "nimerejea nyumbani". Hivi ndivyo siasa zinavyokuwa.

  • @venatusmukungu3340
    @venatusmukungu3340 หลายเดือนก่อน +3

    Umejiuza kirahisi mno dadangu.

  • @deusdeditsimba4452
    @deusdeditsimba4452 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba MUNGU anipe Uhai mrefu ili niendelee kuyaona na kuyasikia ya Dunia,Maana Wengine tutafika Mbinguni tukiwa TUMECHOKA VIBAYA

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu dada inaonekana alikuwa na tamaa ya uongozi sana!. Kwa hiyo yeye alitaka CHADEMA kama taasisi wamsikilize yeye?!. Kwa hiyo CCM ndio watakusikiliza?. Bora ungenyamaza kwa sababu unajichanganya zaidi!. Ila ukiwa sebuleni unatakiwa ukae kwa nidhamu kwa sababu ukicheza vibaya hata chakula utanyimwa!!.

  • @henrymmbando5930
    @henrymmbando5930 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu dada mhuni tu, Anaongelea rushwa lakini hana hoja yeyote kuthibitisha.
    Huyu ni kiruka njia tu. Kaona hapati chochote kagilibiwa, kalegea ameamua tu kujivua mwenyewe arudhishe roho yake.
    Hivi huyu dada Kaolewa? Kama ndiyo nashauri mwenza achukua nafasi ya counseling. Huyu kavurugwa.

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 หลายเดือนก่อน +1

    nakuonea Huruma Rudi Chadema moyo wako nakuona unakuuma na unaelewa serikali aifanyi saw Kwa wananchi na unaenda hukohuko watumishi was imma halo ya mishahara haiendani na mabadiliko ya kiuchumi

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo8704 หลายเดือนก่อน +3

    Can we call this political prostitution?

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm หลายเดือนก่อน

      Kabisa, ni malayamalaya bila kumung’unya.

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ni Lilith tu aliye msaliti Mungu aliye Muumba awe make was Adam ye akamuacha Adam na kwenda kuolewa na lisifel aliye muasi Muñgu

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 หลายเดือนก่อน +1

    Nimefurahi umehakikisha kuwa Chadema haikupeleka majina ya wabunge wa viti maalum. Moja baada ya kingine yatajulikana. Mungu yupo

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 หลายเดือนก่อน +1

    "Naomba nimalizie"....Stanslaus Lambat mpe mwenzio "amalizie"😂😂😂

  • @user-ti8fn1wn1w
    @user-ti8fn1wn1w หลายเดือนก่อน +1

    Pumbavu malaya wew

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 หลายเดือนก่อน +1

    Hujaelewa kulamba sukari mbowe alimaanisha nini!!
    Hata CCM hawakuwa wanasema kuhusu majadiliano

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya หลายเดือนก่อน +1

    Kweli, wengine hawana aibu. Mnarudisha nyuma harakati za kudai haki katika nchi yetu. Mnawavunja moyo wapiganaji halali.

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s หลายเดือนก่อน +1

    Yaani wewe pendeza hutaki cdm wanavyofanya mikutano ya kuelimisha wananchi juu ya maofu ya ccm basi wewe ni pandikizi lililokomaa sana ulikua unasubiri update nafasi kubwa ili uumize cdm vizuri Wacha biashara chafu ya siasa huko ulikokimbilia ndo umekufa kisiasa kabisa umebaki na mdomo na sauti mpaka aibu unaoneka usoni mwako

  • @marwamagere
    @marwamagere หลายเดือนก่อน +2

    Huyu changu doa Hana jipya upendo peneza unazidi kujivua nguo

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y หลายเดือนก่อน +1

      mtangazaji yuko sahihi km angekwenda upinzani lakini tatizo kubwa la Upendo kulalamikia rushwa ndani ya Cdm halafu unakimbilia kwy chama cha mapapa wa rushwa, yaani unakimbia mkojo unakanyaga mavi

  • @SAMSONKAGOSE
    @SAMSONKAGOSE 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    🙏🙏🙏🙏🧑‍🔬🧑‍🔬💓💓💓💓👀👀acheni kebee uzalendo ndo msingi WA taifaletu 1:01:05 tuache kebei amaniuliyo nayo ni CCM utawala bora

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai หลายเดือนก่อน +1

    Mama ccm Kuna vijana wengi wametumikia chama kwa maisha Yao yote hao ndio uwape uteuzi sio Hawa wadangaji kwani wewe nani

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 หลายเดือนก่อน

    Njaa mbaya sanaa

  • @modestuslwemigira7188
    @modestuslwemigira7188 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona alisema chadema wanavunja katiba Sasa mbona anatetea kuvunjwa kwa katiba ya CCM. Nafikiri Kala rushwa huyo ni wakuogopa kama ukoma

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s หลายเดือนก่อน +1

    Kama hakuna rushwa ngono. CCM hakuna basi hakuna wsnaume. Sehemu yoyote humo maofisini. Vyama vya siasa rushwa ya ngono haikwepeki

  • @paulowilly7864
    @paulowilly7864 หลายเดือนก่อน +1

    Damu ya mawazo itakuandama mpaka mwisho ni afadhali viongozi wa chadema wanasema rushwa ndani yachama kumbe Yuko sahihi huko kwenu CCM nani aliwahi kusema rushwa mnasema Kila Moja ale kwa kamba yake

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu dada ni Malaya tu Tena Kuma lake linawashwa ccm amefuata mboo tu hana jipya

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 หลายเดือนก่อน +1

    Rambat nakukubali. Professional

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq หลายเดือนก่อน

      Mzee hata jina ambalo lmeandikwa hapo unashindwa kuliandika tukueleweje. Huyu ni Lambat bro sio "Rambat" Tatizo nini jamani mbona hivi?

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel หลายเดือนก่อน +1

    Kwa hio my sister hukitoka na CCM,pia utataka watu wakufate huko huliko?.......
    Lakini peneza kama hukikosa huongozi je, hutaendelea na CCM au hulicho fata huko ni huongozi?.....
    Lakini peneza unataka kusema CCM hawaikosei katiba yao?.......
    Na Je,ndani ya CCM hakuna mambo ya Rushwa?.......
    Naona my sister nikama hunajiukumu your self
    Kwa ni huko hulikokwenda wako sahii kuliko kila chamq kina shida zake mi naona peneza
    Ni bora hukanyamaza husizungumze mengi sana maana hayo unayo yazungumza yanaweza kukuludia.

  • @ishengomanelson
    @ishengomanelson หลายเดือนก่อน +1

    Inasikitisha sana. Afrika haitawahi kupiga hatua kwa aina ya watu tunaowaita viongozi wetu. These are self-serving fugures ambao wameitesa Afrika. Wananchi tujitambue.

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7y หลายเดือนก่อน +1

    @Lambert umeniangusha kumto mchallenge suala la Biden kwani Biden aligombea ndani ya democratic na wenzake wengine hakuwa peke yake

  • @PeterJohn-sg4oe
    @PeterJohn-sg4oe หลายเดือนก่อน +1

    Kwani CCM hawatuhumiani kwa Rushwa?! Sema unataka cheo

  • @MdYeasin-xx1gm
    @MdYeasin-xx1gm หลายเดือนก่อน +1

    akuna kisichokuwa na mapungufu tatizo ww umetoka kw pipa na kuamia dampo afazali unge amia jalalani

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna chama cha siasa kilicho salama,

  • @user-fe8tx5bo2f
    @user-fe8tx5bo2f หลายเดือนก่อน +1

    Wasaliti walikuepo tangu enzi za yuda

  • @SAMSONKAGOSE
    @SAMSONKAGOSE 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Upovizuri mahaliulipo ndosehemu sahihi wanao kubeza hawana tochi ya maono ya baadae Kwanza ulipotezanguvunyingi sana chadema Dada CCM chamakubwa karibu CCM wewe ni mama na nchiinaongozwa na mama mama ndoanae jua uchungu WA mwana waache wapige porojo wewe pambana nikijana na sisivijana tunakukubali

  • @user-qo7uv2zc3g
    @user-qo7uv2zc3g หลายเดือนก่อน +1

    Dada jitadhmini sana unapotea vibaya mnomno nenda kwenye majukwaa leo ukawaeleze utawafanyia nini ndani ya CCM ambayo imekaa madarakani toka unazaliwa mpaka leo uwapatie maendeleo leo hiii

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel หลายเดือนก่อน +1

    Naombeni nafasi ya kumuhoji huyu my Sister
    Natamani kama nitapata nafasi ya kumuoji

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mwanamke anaonekana msomi lakini pia ni mchumia tumbo

  • @ngalamawecheslous9976
    @ngalamawecheslous9976 หลายเดือนก่อน +1

    Wananch hatukutaki njaaaa inakusumbua umeona kupa ubunge kwa tket ya chadema ni kwa jasho unataka ccm kwa sababu ni mtelezo utagazwe kwa ulizi wa police

  • @joyceharris2093
    @joyceharris2093 หลายเดือนก่อน +1

    Hana sababu iliyonyonko iliyomfanya kuamia ccm. Pia anashindwa kujibu maswali anayoulizwa

  • @user-fe8tx5bo2f
    @user-fe8tx5bo2f หลายเดือนก่อน +1

    Ww acha huongo tutaona utafika wap tunapigania halakati alafu nyinyi mnatushika miguu Kwa ajili ya matumbo yenu kuna chama kinacho ongoza Kwa lushwa kama ccm.pumbavu kabisa ww

  • @emmanueltarimo892
    @emmanueltarimo892 หลายเดือนก่อน +1

    Unayoyakosoa chadema yote yapo ccm.so kuhamia kwako ccm hakuna logic

  • @aloycejames4862
    @aloycejames4862 หลายเดือนก่อน +1

    Buree kabsa

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 15 วันที่ผ่านมา

    Huyu ni hatari sana

  • @SAMSONKAGOSE
    @SAMSONKAGOSE 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    🙏🙏🙏🙏🧑‍🔬🧑‍🔬💓💓💓💓👀👀acheni kebee uzalendo ndo msingi WA taifaletu

  • @marybalya2371
    @marybalya2371 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe Kama uliondoka ya Nini kuendelea kubwabwaja?. Hizo Ni njaa na umalaya unakusumbua.

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi หลายเดือนก่อน +1

    Kwahiyo huko ccm Hamna rushwa mbona unaongea HOJA nyepesi

  • @FikiriniMwaluko
    @FikiriniMwaluko หลายเดือนก่อน +1

    Chadema muwe makini na mamluki wanakuja kuwavuruga chama

  • @evelina9621
    @evelina9621 หลายเดือนก่อน +1

    Upendo.acha.maneno..mungu.kila.mahali

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d หลายเดือนก่อน +1

    Acha uwongo mlafi ww chadema waache hata huko hawakupendi kisa umbea walikupa ubunge wa kupewa sema asante endelea kusema uwongo ok

  • @stevenngussa9334
    @stevenngussa9334 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe Paka tuu!! kama paka wengine nenda ukalale

  • @etufaniakahemela5879
    @etufaniakahemela5879 หลายเดือนก่อน +1

    Anajikanyaga hata maongezi yake njaa siyo kitu kizuri

  • @abiadhasmassawes3984
    @abiadhasmassawes3984 หลายเดือนก่อน +1

    hakuna kitu hapa, hayo mamikono ni mengi kama anavyoongea. Mpeni maji kwanza amalizie uongo wake

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel หลายเดือนก่อน +1

    Au hunaenda kuwachunguza CCM, humetumwa kwenda kufanya investigation

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq หลายเดือนก่อน

      " Hunaenda" "humetumwa" hicho ni Kiswahili gani? Na ikija kuandika hapa utaandika "apa" Huu ugonjwa gani unawasumbua nyie waTz wa siku hizi? Mmesomea shule za aina gani nyie?😢

  • @user-td5ye9zb1l
    @user-td5ye9zb1l หลายเดือนก่อน +1

    Mwanamke acha uongo mbona njaaa yako utalipa ktk hayo Machafu mnafiki mkubwa.

  • @salarose5980
    @salarose5980 8 วันที่ผ่านมา

    Duh binadamu hatari sana

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u หลายเดือนก่อน +1

    Utahangaika sana pendo , uchakifanya ni ulaghai

  • @maudimwalwembe
    @maudimwalwembe หลายเดือนก่อน +1

    Jamani siasa ni maisha

  • @user-rw5em6lt1j
    @user-rw5em6lt1j หลายเดือนก่อน +2

    Huyo dada anatatizo la kiakili hivi ccm hakuna rushwa? Hata hiyo rushwa anayoisema ipo cdm hajathibitisha

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir หลายเดือนก่อน

      Yeye na wewe nani mwenye matatizo kiakili? Wapumbavu kama wewe huwa ni mashoga huko mbele ya maisha

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 หลายเดือนก่อน

      Aliyesema chadema kuna rushwa ni makamu mwenyekiti wa chadema akiwa Iringa kwenye mkutano wa hadhara!pia mwenyekiti kwenye mkutano wa hadhara wa kwanza alisema kuhusu watu kulamba asali

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 หลายเดือนก่อน +1

    Hata sielewi hoja yake,anaulizwa hii anasema hii

  • @user-cz3gk2op9r
    @user-cz3gk2op9r หลายเดือนก่อน +1

    Unachokitafuta ni nini?

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 15 วันที่ผ่านมา

    Hawa sio viongozi jaaa tu hafanani na kiongozi

  • @emanuelmwakasungula3052
    @emanuelmwakasungula3052 หลายเดือนก่อน +1

    Umepoteaza dira

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 15 วันที่ผ่านมา

    Haibu sana pesaaaaaa inauwa

  • @marybalya2371
    @marybalya2371 หลายเดือนก่อน +1

    Jina maana

  • @ngalamawecheslous9976
    @ngalamawecheslous9976 หลายเดือนก่อน +1

    Sema njaaa ya tumbo inakusumbua

  • @bilid4128
    @bilid4128 หลายเดือนก่อน +1

    Ana maneno mengi hata sielewi

  • @oss6689
    @oss6689 หลายเดือนก่อน

    #Rushuwa
    Hauezi kuilamu chadema haijawahi kua madarakani leo Unasifia fisi kula kuku analamu kuku kukukataa kuliwa

  • @user-qy4gb1kn4z
    @user-qy4gb1kn4z 7 วันที่ผ่านมา

    yaani nani akutake kimbaombaowewe

  • @burchardkasindo1676
    @burchardkasindo1676 หลายเดือนก่อน

    Naamini huyu mtoto wakati anajiunga Chdema alikuwa anakfahamu kinachomplekahuko, Ila sasahivi hajui kwanini anatoka , nahuko aendapo haelewi kwanini anakwenda. anakwenda.

  • @fredymapunda1768
    @fredymapunda1768 หลายเดือนก่อน +1

    Hii kichwa ikiliwa ni sawa tu hamna kitu

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kifupi ni njaa inakusumbua.
    Umeona ukihamia huko utahongwa cheo. Pole sana kwani umejidhalilisha sana. Hsts sauti yako inaonesha kuna kauongi.. you have no confidence.
    By the way mimi si mwanachadema.

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 หลายเดือนก่อน

      Kwa wanachadema hasa wasiojua siasa kujiunga chadema ni ushujaa na kujiondoa chadema ni njaa! Acheni hizo siasa za kihuni zinakiua chama chenu!!!Rudini kwenye msitari ili CCM ipate mpinzani anayetosha

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂 naona kama kinyani

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel หลายเดือนก่อน +1

    Kwa hio mnataka kutuaminisha hivi vyama vya siasa ni wauni tu?.......

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 หลายเดือนก่อน

    Manyumbu bana wamemshika dada wa watu wakati anatoa maoni yake na mtazamo wake akiwa mtanzania huru.

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 15 วันที่ผ่านมา

    Kichaaaaa

  • @sondajohn1371
    @sondajohn1371 หลายเดือนก่อน +1

    Duh hawa ndo wanadam hakna jipy chn yajua

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 หลายเดือนก่อน

    Ccm uliko ndo kusafi hakuna rushwa? Unaakili kwel wewe? Unajisikiaje unapoongea utumbo maana akili hana na hujitambui kabisa hta mtoto wa chekechea anweza kudadavua mambo sio boya kma wwe

  • @paulowilly7864
    @paulowilly7864 หลายเดือนก่อน +1

    Ww ni malaya tu