KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADHARANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 เม.ย. 2020
  • Moja ya matukio muhimu ya kihistoria yaliyowahi kutokea ndani ya Zanzibar ambayo hata mtoto wa darasa la kwanza anatambua ni kifo cha Mzee Abeid Amani Karume ambaye aliuawa Aprili 7, 1972, siku ambayo sio rahisi kuisahau.
    Jina lake ukamilifu ni Abeid Amani Karume. Alizaliwa Agosti 4, 1905 katika kitongoji cha Pongwe huko Mwera Wilaya ya Magharibi “A” Zanzibar.

ความคิดเห็น • 252

  • @mohamedboya5227
    @mohamedboya5227 4 ปีที่แล้ว +2

    Asante kwa makala hii inatukumbusha mbali nawengene hatuwepo duniani

  • @alshaqsi1369
    @alshaqsi1369 3 ปีที่แล้ว +6

    Ukidhulumu na ww utadhulumiwa
    Mzee Abeid karume hakuzaliwa zanzibar

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 3 ปีที่แล้ว +1

      Alizaliwa Tanganyika.

    • @pendooscar9322
      @pendooscar9322 3 ปีที่แล้ว +1

      Warabu wako mbioni kuwatawala Tena

    • @khadijarajab8383
      @khadijarajab8383 3 ปีที่แล้ว +1

      @@pendooscar9322 Umeona eeh..hila haitatokea sababu Tz tupo na tunaamua

  • @alicegitau2942
    @alicegitau2942 3 ปีที่แล้ว +4

    I don't know why but I love love history and I am just an 11 years old girl please tell me if you love history I feel alone guys

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 3 ปีที่แล้ว +8

    mola akuremu sote ndio safar yt allah atupe kheri

  • @mariselilekibalunye5933
    @mariselilekibalunye5933 ปีที่แล้ว +1

    Poleni sana mungu ailaze roho yake mahali pema peponi

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 4 ปีที่แล้ว +11

    Acheni upotoshaji,Karume hakuzaliwa Zanzibar,ni mhamiaji kutoka Malawi enzi hizoo

    • @ramadhanimadanga9932
      @ramadhanimadanga9932 3 ปีที่แล้ว

      Kumbe ww jjnga

    • @shukurusiwakwi6129
      @shukurusiwakwi6129 ปีที่แล้ว

      Uko sahihi alitokea nyasaland

    • @user-bs1zq5ts1r
      @user-bs1zq5ts1r 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂nimeona uongo umezidi mumechoka wengine museme katoka Niger Nigeria mara Malawi

  • @uwezowamunguutendaokazi3043
    @uwezowamunguutendaokazi3043 3 ปีที่แล้ว +3

    Usaliti ni hatari sana. Wapinga maendeleo ni watu hatari sana. Kila wakati nasema dunia aiwezi kua salama wakati silaha zipo na zinatumika na wasiyo penda amani. Mungu mkuu aturehem sote. Amen.

    • @ahally61
      @ahally61 2 ปีที่แล้ว

      Huyo okelo alzaliwa wapi na ilikuwaje akaongoza mauwaji Zanzibar na alipomaliza alibakia wapi na ameishia wapi mbina tunamuona kwenye mwanzo wa historia za zanzibar tu lakini alivyoishia haelezewi na wala hamtwambii kama alikuwa nani wakati na baada ya mapinduzi

  • @hashimmohamed3215
    @hashimmohamed3215 2 ปีที่แล้ว +1

    Ndugu zangu. Tutambie kuwa hoja siku zote huvunjwa na hoja na wala si matusi na kashfa. Watanganyika na Wazanzibar ni ndugu na wengi wetu hatujawahi kuishi kabla ya Tanzania. Sintofahamu zitakuwepo na njia bora ya kuzimaliza ni kujadiliana kwa heshima, hoja na hekima. Mungu ibariki Tanzania.

  • @alimohd8427
    @alimohd8427 2 ปีที่แล้ว +2

    Nyerere ndo alomuua

  • @zahorsalum4976
    @zahorsalum4976 2 ปีที่แล้ว +2

    Aliua kwarisasi watu wengi.nayy akauliwa kwarisasi.jmn ubaya ukowapi hii ndo sifa Allah.amuonei mjawake.

  • @b.3940
    @b.3940 2 ปีที่แล้ว +5

    Karume hakuwa mzanzibari ni mzaliwa wa Lagos Nigeria jina lake halisi ni Prince Oyenusi Oga.

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 3 วันที่ผ่านมา

      We ndio ulimzaaa au

    • @b.3940
      @b.3940 3 วันที่ผ่านมา

      @@RomanMwinyi sina uke wa kuzaa mie lakini najuwa wewe unao. Si unikopeshe Mroma Mwinyi.

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 3 วันที่ผ่านมา

      @@b.3940 njoo uchukue nakufungia sasa ivi ndan adi asubuh mimb ya mapacha

    • @b.3940
      @b.3940 3 วันที่ผ่านมา

      @@RomanMwinyi 🤣🤣🤣🤣

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 3 วันที่ผ่านมา

      @@b.3940 njoo ujionee kama uwaminii

  • @alikabeya138
    @alikabeya138 2 ปีที่แล้ว +3

    Historia ya uanzishaji wa ASP umechapia walianza na AA kabla ya kuunganisha AA na Shiraz Association. Toa Uongo ndugu

  • @xinyingmiao4996
    @xinyingmiao4996 3 ปีที่แล้ว +7

    duuh karume alikuwa ni mkubwa sana kiumri zaidi ya nyerere

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 2 ปีที่แล้ว

      Lakini kiakili nyerere mjanja NA ana akili mkubwa kaweza kuimeza zanzibari milele

    • @tariquexplore
      @tariquexplore ปีที่แล้ว

      ​@@alialamoudi9729 heheh dhulma huwa inarudi tu Zanzibar one day tutawala tanganyika yenu fuck you ....mtu ambaye hana akili utajenga magorofa na shilingi 1 yetu ilikuw dola mbili za kimarekani na 5 paundi

    • @sammarley1413
      @sammarley1413 3 หลายเดือนก่อน

      Ndio alikua mkubwa Ila kicwa maji

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@sammarley1413kwanini 😂😂😂😂

  • @AllenSimon-rz8ye
    @AllenSimon-rz8ye 24 วันที่ผ่านมา

    Naipenda sana

  • @okellonjaramba6759
    @okellonjaramba6759 2 ปีที่แล้ว +7

    Please regnise Field Marshal John Okello as the true leader of the revolution of Zanzibar

    • @dianadenis7557
      @dianadenis7557 2 ปีที่แล้ว

      They will never do that and its true John Okello rest in peace Amen!

  • @faridimohammed4823
    @faridimohammed4823 3 ปีที่แล้ว +4

    Yeye kauwa wanga, munasahau mwaka 64

  • @harounbuzohera4797
    @harounbuzohera4797 2 ปีที่แล้ว +3

    There is a hidden story of Field Marshal John Okelo ,the man who masterminded the Revolution in ZANZIBAR.

  • @lugwetunje3896
    @lugwetunje3896 2 ปีที่แล้ว +2

    Mimi ni mkenya nimesoma msg zenu na naona kumbe hamko pamoja wazanzibari wao wajiona ni waarabu lkn utaka kujua wewe si mwarabu bali ni mwafrika nenda warabuni

  • @salimabdillah1623
    @salimabdillah1623 3 ปีที่แล้ว +3

    RIP Mkombozi wa wanyonge, may Allah shower His mercy on him and all Zanzibar fallen heroes. Mapinduzi daima.

    • @imash04tv20
      @imash04tv20 2 ปีที่แล้ว

      mkombozi kweli maana hapo ulipo ww una njaa wale walofukuzwa wakauliwa na wengine wakarudi kwao sasa iangalie nchi yao

    • @salimabdillah1623
      @salimabdillah1623 2 ปีที่แล้ว

      @@imash04tv20 alhamdulillah nipo vizuri, kilichowaleta Zanzibar nini? Si wanakie makwao, Zanzibar ni ya waafrika sio wamanga

    • @salimabdillah1623
      @salimabdillah1623 2 ปีที่แล้ว

      Si wengebakia kwy majangwa yao wakati huo, wao ndo walokuwa na waya mkali zaidi wa njaa.

    • @salimabdillah1623
      @salimabdillah1623 2 ปีที่แล้ว

      @@imash04tv20 Zanzibar itabakia ya waafrika daima, wananga hadi leo mate yanawadondoka, mapinduzi daima, usultani kwisha zake

    • @salimabdillah1623
      @salimabdillah1623 2 ปีที่แล้ว

      @@imash04tv20 heri ya njaa kuliko utumwa na kutawaliwa, na hata dini, wapi na wapi eti ibadhi, khawareej, wazanzibari ni sunni muslims, wakome kuharibu dini za watu

  • @dullaomar3610
    @dullaomar3610 3 ปีที่แล้ว +2

    Kauwa na yeye kauliwa ukweli unajulikana na alie muuwa ni shemegi yake hakuna cha ukombozi ni mauwaji tu.

  • @rajakhamis8902
    @rajakhamis8902 2 ปีที่แล้ว +1

    Watanganyika wameanza zamani kujipndekeza kwetu Zanzibar na hadi sasa sanazaliana tu hku

  • @shaabansabour1214
    @shaabansabour1214 ปีที่แล้ว +1

    Watanzania bara, munapotosha ukweli. Yuko wapi hapa Fidel Mashal John Okello. Watu nyinyi wacheni uongo.

  • @fredelias5176
    @fredelias5176 3 ปีที่แล้ว +2

    History is the past,present and future events

  • @rajakhamis8902
    @rajakhamis8902 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyo nyerere si ndio alie muwa karume ili watanganyika wapate kujipendekeza vzur hku zanzibar na kushobokea wazanzibar

  • @abdulazizislam1261
    @abdulazizislam1261 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kama alivyo uwa na yeye ameuwawa hiyo ni hukumu ya mungu

  • @musawenkosigroup7962
    @musawenkosigroup7962 3 ปีที่แล้ว +2

    Mbona amusemi kwamba John Okello kutoka Uganda ndo alieongoza mapinduzi...?

  • @halidhamaad177
    @halidhamaad177 2 ปีที่แล้ว +1

    Bro hujui historia ya karume tuache

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 4 ปีที่แล้ว +6

    Baraka Shilumba: hebu tupe kwa ueleo wako hao uliowataja ni nani?

  • @feisal6592
    @feisal6592 ปีที่แล้ว

    Watsfutenii wanataka kumuuwa kijana wakee abireddd karumee plz mumewaonaa wahuthuria

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 4 ปีที่แล้ว +16

    Kumbe wasiojulikana walikuwepo tangu mwanzo 😭

    • @marcusraina3682
      @marcusraina3682 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂

    • @jamesponeca8912
      @jamesponeca8912 2 ปีที่แล้ว

      Wanajua

    • @shaabansabour1214
      @shaabansabour1214 ปีที่แล้ว

      Innocent mashauri huwezi kuwa muandishi na msemaji wa Historian wakati wenyewe, wazanzibari bado wapo. Na ni wasomi.

  • @goldenboy7504
    @goldenboy7504 2 ปีที่แล้ว +1

    Hao waaasisi na watoto wao wote mumewadharau awamu hii na ndio maana munakosa radhi siku zote unayemkuta muheshimu

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy9041 3 ปีที่แล้ว +3

    Chanzo cha kifo cha mzee karume ni nyerere mshenzi halafu karume hajazaliwa zanzibar jutaahid kuulizia kwanza kabla kutoa makala brother

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 ปีที่แล้ว

      Tofauti na mkewe,
      Nani mwingine atakupa ukweli...!

  • @riffayahmad2021
    @riffayahmad2021 4 ปีที่แล้ว +6

    huna unalo jua....

  • @ahmedkhamis1167
    @ahmedkhamis1167 4 ปีที่แล้ว +2

    Uongo karume hajazaliwa Zanzibar zama hizi za uwazi na ukweli cjui kwann bado mnangangania uongo

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 3 ปีที่แล้ว

      Ndio maana mnatawaliwa na Dodoma.

    • @teacherchundu4062
      @teacherchundu4062 3 ปีที่แล้ว

      @@uledimtumwa2406 Ninyi mlitawaliwa na mmalawi.

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 3 ปีที่แล้ว

      @@teacherchundu4062 Na sasa tunatawaliwa na mmakunduchi,watanganyika hatuna ubaguzi kama nyie waoman.

  • @jamesponeca8912
    @jamesponeca8912 2 ปีที่แล้ว +3

    HISTORIA ZINGINE KAMA HAMJUI MSIWE MNASIMULIA

  • @fatmaali2050
    @fatmaali2050 ปีที่แล้ว

    Hakuzaliwa Zanzibar huyu jamani hamuijui historia

  • @user-bl9zf1zb2t
    @user-bl9zf1zb2t ปีที่แล้ว

    Waafrica ni sawa na binadamu wote ubaguzi ni shida,m bora wetu ni mchamungu.

  • @aby21111
    @aby21111 2 ปีที่แล้ว +5

    A criminal who killed innocent great grandfathers and grandfathers .What goes around comes around. 💃💃💃💃💃❤

  • @jamesponeca8912
    @jamesponeca8912 2 ปีที่แล้ว +1

    SEMA UKWELI NANI,ALIEMUUA USIFICHE,

  • @allymwazoa6301
    @allymwazoa6301 4 ปีที่แล้ว +1

    Hivi kanali mahfudh ni nani?

    • @skywalkercool6788
      @skywalkercool6788 4 ปีที่แล้ว

      free.facebook.com/WatanzaniaMashuhuri/photos/a.454736727904699/475211132523925/?type=3&_rdc=1&_rdr

  • @ibrahimdabo7163
    @ibrahimdabo7163 3 ปีที่แล้ว +2

    Hawaachi kusema uwongo wamezoweya bado wanazidi kudanganya watu duuuu

  • @johnrimoy370
    @johnrimoy370 4 ปีที่แล้ว +3

    Kichwa cha habari kinatakiwa kiwe History ya Karume.

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 3 ปีที่แล้ว +3

    Walale pema peponi viongozi waasisi wa taifa letu tukufu hayati mwl.julius k nyerere na hayati Abeid Aman Karume

  • @pmanpjjp
    @pmanpjjp 3 ปีที่แล้ว +4

    Rest in peace

  • @abdhihariabdhallah760
    @abdhihariabdhallah760 4 ปีที่แล้ว +11

    Karume aliuwa wangapi mbona hakuzaliwa unguja alizaliwa Malawi Zanzibar alikua hana ndugu yoyote alitokea Kenya na meli akafika unguja kama baharia waongo historia ya uongo

    • @milleniyahmohamedy8787
      @milleniyahmohamedy8787 4 ปีที่แล้ว

      Abdhihari Abdhallah acha upumbavu wewe

    • @abdhihariabdhallah760
      @abdhihariabdhallah760 4 ปีที่แล้ว +1

      Mpumbavu.ni.wewe.semeni.kweli.karume.hakuzaliwa.Zanzibar.iko sauti yake alivosema unguja hana MTU isipokua mkewe na wanawe alitumiwa na nyerere kuuwa watu 64 kwa chuki aliyokua nayo kwa wazanziba nenda ukalitafute kaburi LA MAMAKE kama utaliona karume ni mmalawi alikua Kenya alifika Zanzibar na melj kama baharia acheni kupotosha watu ukweli tunaujua

    • @maikosaga3632
      @maikosaga3632 4 ปีที่แล้ว

      Pole sana ndugu yangu kwa hasira zako ila fahamu huu mchezo hauhitaji hasira ndugu

    • @abdhihariabdhallah760
      @abdhihariabdhallah760 4 ปีที่แล้ว

      Sjna hasira broo maoni ya MTU atakama huyapendi unatulia usiingilie MTU moja kwa moja

    • @nassormohammed1743
      @nassormohammed1743 4 ปีที่แล้ว

      story yako nusu yake uongo

  • @salimabdillah1623
    @salimabdillah1623 3 ปีที่แล้ว +2

    Ndani ya ofisi si hadharani km title yako inavodai though your description is ok.Pia hakuna nchi inayotwa Zanzibari, it's Zanzibar ( pronounced Zanziba ) in Swahili.

    • @salimabdillah1623
      @salimabdillah1623 3 ปีที่แล้ว

      Inayoitwa ( correction)

    • @dolldoll8483
      @dolldoll8483 3 ปีที่แล้ว +1

      Lol we sijui wa wapi. Kiswahili ni Zanzibari english ndo Zanzibar(zanziba)

  • @user-js5hh8tt4u
    @user-js5hh8tt4u 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba kuu liza kwni kuna alo zaliwa zanzi bar au sote niwaha miaji tu

  • @del-mohaa7527
    @del-mohaa7527 3 ปีที่แล้ว +1

    Mbna mauwazi ya maraisi ni africa tu na sio continent zengine africa sisi ni matajiri sanaa tukiacha kuaibudu dollar tujisisimamie wenyewe watakuja wao kutuabudu sisi

  • @godblessminja3380
    @godblessminja3380 3 ปีที่แล้ว +3

    Kumbe hakuwa na elimu huyo mzee

  • @robertkasike4061
    @robertkasike4061 4 ปีที่แล้ว +14

    Aliye muua karume aliuawa na dereva wa karume wakati ule ule msifiche ukweli mtafuteni dereva wake bado yuko hai

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 3 ปีที่แล้ว +1

      Yeah wanajaribu kupindisha ukweli wanatufanya watanzania ni mazokwa wakati ukweli tunaujua

    • @stephanomoses7694
      @stephanomoses7694 2 ปีที่แล้ว

      Aisee kumbe iko hivo. Ndo tatizo la africa . Huyo dreva wamempoteza ili kupindisha historia pia ni ili asipewe heshima yake na kutunzwa

    • @dottoamos2902
      @dottoamos2902 ปีที่แล้ว

      Bro uko wapi unisimulie

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 3 วันที่ผ่านมา

      sasa wakamuulize kabuli au wap

  • @pascarmwatosya6815
    @pascarmwatosya6815 3 ปีที่แล้ว +1

    R,I,P.

  • @tecnof1232
    @tecnof1232 4 ปีที่แล้ว +4

    Msitubabaishe, Karume hakuzaliwa Zanzibar

  • @khadijavassardanis3178
    @khadijavassardanis3178 3 ปีที่แล้ว +1

    Pumzika kwa amani

  • @rahimasalim26
    @rahimasalim26 2 ปีที่แล้ว +1

    Kama kulikua na ukoloni kabla ya mapinduzi
    Jee? hawa wasomi wote kina Nyerere
    , Karume, Aboud Jumbe, Ali Hassan Mwinyi etc walusomeshwa na nani?
    Kwa ajili wote ni wasomi na very smart wala huwezi kuwalinganisha na wasomi wa sasa

  • @petermunanka3827
    @petermunanka3827 2 ปีที่แล้ว +1

    Wewe muongo zamani darasa la 7 halikuwepo

  • @saeedaltae2169
    @saeedaltae2169 3 ปีที่แล้ว +3

    Uongo hy amezaliwa 1902 sio 1905

    • @philbertcelestin2702
      @philbertcelestin2702 3 ปีที่แล้ว

      Mwaka wake wa kuzaliwa haufahamiki sana.kakini 1905 ndiyo unatambuliwa!

    • @mauadaud4447
      @mauadaud4447 3 ปีที่แล้ว

      Kweny historia uwo ndo mwaka aliozaliwa 1905

  • @yasinamiri7649
    @yasinamiri7649 2 ปีที่แล้ว

    Kila mtu anajua nyerere ndio alie muua Abedi amani karume na chanzo cha kifo cha karume nimuungano na ushahidi upo kabsa German

  • @dogracfalijala3051
    @dogracfalijala3051 3 ปีที่แล้ว +1

    Mmmh makubwa kw nn wat atupendan APA dunian in njia t yakupta

  • @hemedytengu5718
    @hemedytengu5718 4 ปีที่แล้ว +9

    Aliye muuwa karume naye alikufa na musijifanye hamumjui , chogo tu

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 3 ปีที่แล้ว +1

      Wanajaribu kupindisha ukweli wakat aliuawa na akajulikana vzur kbs wanatufanya sisi ni mazoba ila wajue tu ukweli halisi tunaufahamu tena kitambo sana hvyo imekula kwao labda wakawadanganye mataifa ya jiran tena kuzaz kipya maana cha zaman chote kinajua

    • @bableeyzabdalla531
      @bableeyzabdalla531 3 ปีที่แล้ว +1

      @@lirastanley390 hakuna anaejuwa alizaliwa lini hao ndugu zake waliotajwa hapo ni uongo sikweli karume alikuja zanzibar akitokea mombasa na meli ni mnyasa hii stori niyauongo kwa kauli yake karume alisema zanzibar hana mtu isipokuwa mke na watoto wake hao wengine walitokea wapi hakuna hata kaburi lililooneshwa kuwa ni la bbke au mmke

  • @jarsjam8894
    @jarsjam8894 2 ปีที่แล้ว

    Karume alikuwa mkulima na mawaziri wakwezi

  • @LovelyBubbleTea-vz4ol
    @LovelyBubbleTea-vz4ol 3 หลายเดือนก่อน

    Hato iona hata haruf ya pepo

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 2 ปีที่แล้ว

    Anaepinga histaria hii na kuchukia huyo sio mzanzibari na tunahasira nae sisi wazanzibari

  • @talisajoo3355
    @talisajoo3355 2 ปีที่แล้ว +1

    Rip

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah8505 3 ปีที่แล้ว +10

    Mm nataka niwaambie watanganyika au watanzania bara kwanza kabisa acheni kujipendekeza kwa wazanzibar,mbona ss hatuna shobo na nyinyi,pili km munataka kuandika makala ya viongozi wa Zanzibar na historian ya nchi basi anzeni kuandika historia ya nchi yenu ya Tanganyika na Kiongozi wenu km munashahu nyinyi mjnapensda kujipndekeza kwetu ss Kiongozi karume mungu amrehemu ameshatueleza kuwa Zanzibar itaongozwa na wa Zanzibar wenyewe na s vyenginevyo na haitoongozwa na watu kutoka kwenu
    Andikeni historian ya kwenu Tanganyika inawashinda mutawezaje kuandika ya Zanzibar ambayo tayar ni ambyo imewatangulia kwa mda mrefu sana

    • @gracekikula6279
      @gracekikula6279 3 ปีที่แล้ว +2

      Hovyoooo

    • @pendooscar9322
      @pendooscar9322 3 ปีที่แล้ว +9

      Haha yani ndomana warabu wanakula bata nyie mnatoa vyombo arafu Zanzibar ndio nini kwamfano huyo abed mlimuuwa nyie wenyewe yaani ata nyerere hausiki natena ipo siku tutavunja muungano atakae shinda vita ndio atakua mtawala loho mbaya mwajidayi mumeshika dini wakat mnafilana mumeambukiza paka tanganyika tuliokua hatuna mambo hayo nyooo

    • @eliaslazaro2809
      @eliaslazaro2809 2 ปีที่แล้ว +8

      Mmekalia kuvaa misuri kilaktu kwenu niuvivu tu mmeishia kupangusa miguu ya waarabu tu.Inakuuma nn kuungana?

    • @stephanomoses7694
      @stephanomoses7694 2 ปีที่แล้ว +4

      Nyinyi bado hamjawa na akili ya kujiongoza wajinga ninyi lazima tuwaendeshe kama ng'ombe bila hivyo mtatawaliwa tena na waarabu. Maana hampendi kujituma katika kazi zaid ya uvuvi wa samaki na kufirana2 mbwa nyie mtafanya mungu aichome tanganyika kama sodoma kwa ajili yenu

    • @nurumvungi2210
      @nurumvungi2210 2 ปีที่แล้ว +9

      Acha hasira...jipangeni upya muikomboe nchi yenu... maana kwa Sasa ni mkoa tu wa Tanganyika huo..
      Sioni njia ya nyie kujikomboa maana hamna jeshi, hamna polisi,hamna benki kuu,hamna sarafu...Sasa hiyo ni nchi au mkoa tu?

  • @halidihemed1006
    @halidihemed1006 4 ปีที่แล้ว +2

    Alie sababisha kifo chake na kashaa tanguria mbere ya haki

  • @jumakhalid5554
    @jumakhalid5554 2 ปีที่แล้ว

    Waongo

  • @asmanmoha6679
    @asmanmoha6679 2 ปีที่แล้ว +1

    Half baked information ....do research of karume death at length

  • @saidaly8201
    @saidaly8201 2 ปีที่แล้ว

    Mbona husemi uhuru wa zanzbr mana mpnduz yamefnyka bada uhur

  • @jojininga1780
    @jojininga1780 3 ปีที่แล้ว +1

    Walimuuwa kalume niwatu wasiojulikana

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 2 ปีที่แล้ว

    ZANZIBAR sio zanzibari usiliharbu jina letu

  • @saadnahoda707
    @saadnahoda707 4 ปีที่แล้ว +6

    Allah amsamehe makosa yake na amlaze mahali pema peponi

    • @abdhihariabdhallah760
      @abdhihariabdhallah760 4 ปีที่แล้ว +3

      Allha amlipe makosa yake kama vile alivouwa watu ambao hawana makosa yoyote

    • @abdallahjuma8168
      @abdallahjuma8168 4 ปีที่แล้ว

      @@abdhihariabdhallah760 ndio pahala pake ndio hukumu yake ukiua na ww utauliwa 2 kwa njia yoyote hle

    • @hassanmirambo564
      @hassanmirambo564 4 ปีที่แล้ว

      Abdhihari Abdhallah unaushahidi wowote? au unaropoka tu

    • @abdhihariabdhallah760
      @abdhihariabdhallah760 4 ปีที่แล้ว

      Ushahidi wa mini mirambo

    • @hassanmirambo564
      @hassanmirambo564 4 ปีที่แล้ว +1

      Abdhihari Abdhallah ushahidi wa kuwa aliuwa la kwanza,tumefundishwa kuwa tusiwe wenye kuongea mabaya ya marehemu wetu,swali ulishawahi kuwasikia Wakristu wakiongelea mabaya ya Mwl Julias Kambarage Nyerere?

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 29 วันที่ผ่านมา

    Nahisi huyu wanamsifia tu lkn ukifatilia alikua mtu mbaya

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya8717 3 ปีที่แล้ว

    Du!! Kumbe Fatma Aka Shangazi kafanana na bibi yake 100%

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 2 หลายเดือนก่อน

    itakua john okero naliamua kulipiza kisasi nini

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 3 ปีที่แล้ว

    Hivi karume hajawahi kuuzwa sokoni ?

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung2410 4 ปีที่แล้ว

    Dah

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 2 ปีที่แล้ว

    NIKISKIA ZANZIBAR NAONA NIPITE TU

  • @himidomarhimid7759
    @himidomarhimid7759 4 ปีที่แล้ว

    safi kwa makala

    • @tecnof1232
      @tecnof1232 4 ปีที่แล้ว

      Hapana lolote, historia feki, Karume ni Mmalawi au Congo

  • @issahajiday4398
    @issahajiday4398 4 ปีที่แล้ว +4

    Kiswahili chogo hukijui ....nenda kafatilie history ya wenzako sio kwetu .

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 2 ปีที่แล้ว

    ALAFU HAYO YOTE ALIPOTELEA WAPI MELI ZILIZOFIKA BANDARINI

  • @barakashilumba1103
    @barakashilumba1103 4 ปีที่แล้ว +3

    Hakika mema yake yanakumbukwa.milele namilele zote ni hila za watu weupe

  • @ahmedrashid2037
    @ahmedrashid2037 2 ปีที่แล้ว

    Wacheni upotoshaji nyie kenge hakuna asie jua kwamba karume hakuzaliwa Unguja ni mzaliwa wa Malawi ni wa kuja kuuwa watu na kuchukuwa Zanzibar akushiriyana na nyerere pamoja na watanganyika hamuwezi kutupotosha tunajuwa kila kitu.

  • @nassorhabdalla1734
    @nassorhabdalla1734 3 ปีที่แล้ว +3

    Nenda kasome vitabu kabla makala. Ktk makala yako Kuna Mambo sio sahihi. Chama cha ASP hakikutoka na chama cha mabaharia. Kilitokana na muungano wa African Association na Shirazzy Association. Afro ( African) Shirazzy ( Shirazzy) party

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 2 ปีที่แล้ว +1

    Story yako ya uongo dogo njoo Unguja tukujuze kabla kutoa habari potoshi dogo

  • @davidmwita3008
    @davidmwita3008 2 ปีที่แล้ว

    Miaka mitatu madarasa Saba

  • @amraniramadhani7412
    @amraniramadhani7412 3 ปีที่แล้ว

    Acha uongo , rais wa kwanza wa za zibar

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 3 ปีที่แล้ว

    Ukisoma comments utagundua wapemba ndio waliopanga kuuawa Jemadari Karume.Wapemba wanaamini Karume sio mzawa wa Zanzibar ila ni Mmalawi.Ndio
    maana wanachuki na Mapinduzi matukufu.

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 2 ปีที่แล้ว

      Unauweleo mkubwa wa kujua nani Mpemba nani MuUnguja kwa kusoma hoja.
      Kama huijui historia ya Zanzibar bora usichangia maana naona hapa unataka kuzidi kuwachafua WaZanzibari kwa kuleta "Upemba na Uunguja"

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 2 ปีที่แล้ว

      @@ahmedalbalooshi8518 Wewe muOman

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 2 ปีที่แล้ว

      @@uledimtumwa2406 sijakuuliza wewe kwenu wapi.Ardhi ya Allah ni kwa ajili yetu sote.

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 2 ปีที่แล้ว

      @@ahmedalbalooshi8518 Zanzibar ni ya Wazanzibar Wanyamwezi hatuna fursa.

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 2 ปีที่แล้ว

      @@uledimtumwa2406 Wanyamwezi nao pia wako miongoni mwa WaZanzibari toka enzi

  • @lordnicky
    @lordnicky 4 ปีที่แล้ว +1

    John okello

    • @mosesmzakwe7774
      @mosesmzakwe7774 4 ปีที่แล้ว +1

      Waafrika wengi akili zenu huwa IPO matakoni kwasabsbu huwa hamtaki kuukubali ukweli
      Mnasena karume alizaliwa Malawi.acheni uongo
      Karume alizaliwa Zanzibar ila asili yake ilikuwa nchi ya Malawi na Malawi hakukuwa kwao kwani Malawi alipita njia tu akitokea nchi ya Botswana.
      Mbona nyerere asili yake in Ethiopia lakini hamjawahi kusema.
      Viongozi wengi wa kiafrika wanaongoza nchi ambazo siyo asili yao japo wamezaliwa humo.
      Hata Obama asili yake siyo Kenya kama tunavyodanganywa
      Obama asili yake in nchi ya Ghana. Kenya walipitia tu enzi za utumwaaa ndiyooo maana wanasema Kenya ndiyo nchi ya Obama

    • @fugameza6011
      @fugameza6011 4 ปีที่แล้ว

      @@mosesmzakwe7774 ebo wewe una matope nini wa Zanzibar wanajuwana hata kwa bahati mbaya wee vipi

    • @hassanmirambo564
      @hassanmirambo564 4 ปีที่แล้ว

      Moses mzakwe kwahiyo nawazazi wako akili zao zipo matakoni,wape pole wazazi wako kwa kuzaa mtoto habithi kama wewe

    • @nurdinmihumbi6487
      @nurdinmihumbi6487 4 ปีที่แล้ว

      Hata asiyesoma anajua kama wazanzbar wametoka bara haya wayafanyayo ni kukosa uelevu

    • @fugameza6011
      @fugameza6011 4 ปีที่แล้ว

      @@nurdinmihumbi6487 wee usha wahi auu tukuulize suwala gani uridhike usije ukasema umetukanwa

  • @allyhemed2434
    @allyhemed2434 2 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji sio Zanzibari ni Zanzibar nenda shule kwanza

  • @siasapolitiks5624
    @siasapolitiks5624 ปีที่แล้ว

    Because History is written by the winners videio depicts a false verse History of Zanzibar's revolution by omitting he truth that Field Marshall John Gideon Okello of Uganda was real force behind of Zanzibar's revolution. But when Karume took power to be President, he expelled John Gedion Okelo from Zanzibar maybe to Glorify himself as the architect of the revolution.

  • @user-pf9cd6zj1g
    @user-pf9cd6zj1g 4 ปีที่แล้ว +3

    Wewe unae sema stori ya kurume huijui mulize mzazibari atakueleza stori ya karume wewe ni mtanganyika hujui chochote yote unayo sema niya uwongo au unapalilia kitumbua chako

    • @aishayusufu2082
      @aishayusufu2082 4 ปีที่แล้ว

      Said Albusaidi unaliwa

    • @shamtesaid1377
      @shamtesaid1377 3 ปีที่แล้ว

      Nyinyi nyote wazee wenu wakuja tu msohaya

  • @amraniramadhani7412
    @amraniramadhani7412 3 ปีที่แล้ว +2

    Acha uongo rais wa kwanza wa za nzibar, alikuwa ni Mohamed shamte,ndie alieshinda Kwa kura,alimshinda abeid,

    • @philbertcelestin2702
      @philbertcelestin2702 3 ปีที่แล้ว

      Mohamed Shamte alikuwa waziri mkuu(Kiongozi mkuu wa serikali)mkuu wa nchi alikuwa Sultan Jamshid Hadi napinduzi ya Jan .12 1964 ndipo Karume akawa Rais.Kwa hiyo Karume ni Rais wa Kwanza wa Zanzibar lakini ni mkuu wa pili wa serikali ya Zanzibar.

  • @fugameza6011
    @fugameza6011 4 ปีที่แล้ว +2

    Sasa wewe undhani ukifuga kuku utapata kenge kashandikiza mauwaji halafu vipi

  • @dkt.mohammedsaid8337
    @dkt.mohammedsaid8337 3 ปีที่แล้ว +1

    Waongo : hamjafanya utafiti . Mmekurupuka . Zanzibar hakuna Kijiji Cha pongwe.

    • @sharifjuma227
      @sharifjuma227 2 ปีที่แล้ว

      Hahaha kipo kaka usikatae hahaha

  • @princenyakurungwi6925
    @princenyakurungwi6925 3 ปีที่แล้ว

    Pongwe mwera ni wila ya kati acha uongo wewe

  • @mufamozmufash166
    @mufamozmufash166 3 ปีที่แล้ว

    Very bad R.I.P champ

  • @salujuma4530
    @salujuma4530 3 ปีที่แล้ว +2

    huyo alomuua alikua hajulikani antokea wp

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 3 ปีที่แล้ว

      Alitumika kumuwa Karume kwa kuwa baba yake aliuliwa na utawala wa Karume , makomrade walitaka kupindua sasa walipofeli wakahairi.ila jamaa akaona wacha tu alipizie kisasi

  • @mustafapandu5189
    @mustafapandu5189 2 ปีที่แล้ว

    hujaeleza kweli bado.False history

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar3429 3 ปีที่แล้ว

    Pimbavu

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung2410 4 ปีที่แล้ว

    Mtuwa simulizi kiswahili kinakupa shida sana...

    • @hadijarajabu5312
      @hadijarajabu5312 3 ปีที่แล้ว

      Sasa yeye na wewe Nani hajui kiswahili ?

    • @kassimkhatib1843
      @kassimkhatib1843 3 ปีที่แล้ว

      Tokablini uledi akawa mzanzibari usituingilie ktk mambo ya nchi yetu