KILICHOTOKEA SIKU YA KUUWAWA RAIS ABEID KARUME/RISASI ZILIPIGWA BALAA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 87

  • @Hassanali-sq2dm
    @Hassanali-sq2dm 8 หลายเดือนก่อน +1

    Alitumwa na nyerere lengo nikumua karume ili asivunje mungano karume alitaka kuvunja mungano badala kuona anapelekeshw na nyerere

  • @ahmadajafari7083
    @ahmadajafari7083 ปีที่แล้ว +3

    Mie nafaham vizuri sababu ya huyo mwanajeshi alika na cheo luteni sio cpt alikua mwarabu amempiga risasi kwaajili ya kulipiza kisasi cha baba ake ambae inasemekana aliuawa kwa anri ya rais karume wakati wa mapinduzi mie nafaham vizuri historia ya jambo Hilo lengo ilikua kuipindua serikali Kiongozo mkuu alikua conalAli mahfudh mie nilikua mwanajeshi wakati huo nikiwa na cheo Cha sgt

    • @selemanimakau9026
      @selemanimakau9026 ปีที่แล้ว

      Acha uongo mungu anakuona,na siku ya hukumu ukasimame useme ivoivo,unafikiri watu hatujui kuna siku maumivu ya watu yataisha,je angekuwepo mpaka leo zanziba ingekuwaje,acha kudanganya watu wanajua.

    • @jofreymsigwa85
      @jofreymsigwa85 ปีที่แล้ว

      Sasa ukweli n upi

    • @alrabee01suleiman40
      @alrabee01suleiman40 ปีที่แล้ว

      Unafahamu kisasi hicho lakini ndio umewiva husein kitu cha kweli

    • @YussufAli-yt6dp
      @YussufAli-yt6dp ปีที่แล้ว

      ​@@selemanimakau9026 hug Thu by😊h

  • @allychale2885
    @allychale2885 ปีที่แล้ว +1

    Usidanganye wazanzibari semeni ukweli nyerere alipoona muungano unakaribia kuvunjika nyerere akamuua karume ikawa hakuna kuvunjika muungano tena wanasahau kwamba karume alisema muungano mwisho chumbe

  • @Bam268
    @Bam268 ปีที่แล้ว +3

    Na ukimaliza hapo uende ukatutafutie historia ya tanganyika pia ni nnchi yenye history nyingi tu

  • @AllyHamran
    @AllyHamran 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu amlipe pepo Homoud Mohd Homoud yeye na wenziwe kwa wema mkubwa wa kumuuuwa kiumbe Karume.

  • @AllyHamran
    @AllyHamran 6 หลายเดือนก่อน

    Mbona unamtaja Humoud tu huwataji na wengine .hakuwa humudi pekee walimuwa wengi wataje usifanye bias.

  • @mchagagaspar6649
    @mchagagaspar6649 ปีที่แล้ว +1

    NYERERE ndie alie mumaliza MZEE KARUME acheni kuzungumza!!

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz 6 หลายเดือนก่อน

    Ongea ukweli karume alimuuwa baba yake humud karume kutaka humudi asahau wkt huo humudi alikua kjn mwenye elimu karume akampatia veo vikunwa ili asahau machungu ya kuuliwa baba yake kumbe humudi alikua anamachungu na nyerere alipanga mipango amkimbize humud baada ya humud kuuwa na wenzake wakakimbilia shamba chwaka kupanda boat na boat haikuwepo

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 ปีที่แล้ว +5

    Lazima iko au ziko sababu lakini hawataki kutangaza,wengi wanaohusika wanajua lakini wanaogopa kusema ukweli

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 ปีที่แล้ว

      Lengo na sababu ya kuuliwa kwa Rais Abeid Karume ni Siri na Kitendawili.

  • @sulimanm6525
    @sulimanm6525 ปีที่แล้ว +3

    Anafahamu kila kitu uyooo anaogopa kusema

  • @bwittozmjomba7019
    @bwittozmjomba7019 ปีที่แล้ว +4

    Leo ssa nimejifunza kitu ususan kifo cha karume, Nilikuaga sijui kam alikufa kwa bunduki. Lkn nimejua kumbe muuaji Alikua mwiongoni mwa walizi police

  • @michaelmkisi6999
    @michaelmkisi6999 ปีที่แล้ว +1

    Hamtapata ukweli hata kidogo media ndogo sana . CCM wameshindwa kutoa habari hizo CCM Leo wasafi mpate habari hizo za miaka takribani miaka 31.

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 ปีที่แล้ว +3

    *Ukweli Upo Ila Tutajuwana TU kwamungu*

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 ปีที่แล้ว +1

    Zanzibari mpaka leo haijapata uhuru wake kutoka kwa ungereza NA waarbu ikaja ukoloni wa tanganika

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa wale walio burutwa na gari ni kina nani

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 8 หลายเดือนก่อน +1

    KUUWAWA KWA MUUWAJI WA WAZANZIBARI MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU MADHALIM HAKI ATAILETA IN SHAA ALLAH AMEEN

  • @VedastoRushalizi
    @VedastoRushalizi 5 หลายเดือนก่อน

    Kikubwa aliwadaidia wanyonge

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 ปีที่แล้ว +2

    Ukitenda dhulma n wewe itakukuta Dhulma ameuwa n yeye ameuliwa

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 5 หลายเดือนก่อน

    M mungu akurehemu mzee wetu

  • @yudakassim1138
    @yudakassim1138 ปีที่แล้ว +2

    Mungu ampunguzie adhabu yakabuli inshallah

  • @abdulab6202
    @abdulab6202 ปีที่แล้ว +1

    Hao wengine hawakupigwa risasi zilikuwa zile risasi anazopigwa Mzee karume ndio zilikuwa zikimtoka zinawapiga wale wengine nikweli alikuwa mlengwa ni yeye na Marehemu humudi alikuwa na lengo lake

  • @redmondbaby1710
    @redmondbaby1710 ปีที่แล้ว +2

    Karume akifufuka leo akiiona znzbar ilivyo hii atalia sn

  • @Bam268
    @Bam268 ปีที่แล้ว +2

    Nyerere ndie alie kuwa mtuhumiwa mkubwa wa kifo cha karume

    • @sephaniaizengo760
      @sephaniaizengo760 ปีที่แล้ว

      Jna lako tuu linaonesha ufinyu wa fikra na kwanza unachafua jina la kiongoz ,tna baloz madhubuti malawi

  • @b.3940
    @b.3940 ปีที่แล้ว

    Mbona hamtaji Tito Okello katika historia ya Ungunja? Zanzibar haingekuwa huru bila huyo mganda.

  • @bakarimtange570
    @bakarimtange570 ปีที่แล้ว +1

    Uo ulikua mpango ambao Nyerere aliupanga

  • @limbunyuguyu1573
    @limbunyuguyu1573 ปีที่แล้ว +2

    Dada uko vzr umehoji na kutuonyesha mambo ya Msingi sana hongera

  • @mohammedbakar4142
    @mohammedbakar4142 ปีที่แล้ว

    Wewe unajuwa humo ndani makao maku ya ASP kiswandui hakuna kaburi la mzee Abeid Amani Karume peke yake humo ndani kuna makaburi mawili moja la mzee Abeid Amani Karume na jengine limo ndani hukulitaja ?

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 ปีที่แล้ว +1

    Yaani mwafrica bwana kweli hakuna kuaminiana

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 ปีที่แล้ว

    Bibilia nikitabu kizuri kilichotafusiri mambomengi yaduniani hata yapeponi,kunamahali pameandikwa kwamba lisilowezekana kwetu kwamwenyezimungu lawezekana vilevile auwaekwaupanga atauawakwaupanga

  • @rahmajaffar794
    @rahmajaffar794 ปีที่แล้ว

    Tukio limetokea cha msingi tujiulize wananchi tumejifunza nini na viongozi pia wajiulize wamejifunza nini? Halafu tuiombee dua zanzibar na Tanzania kwa ujumla ibarikiwe na amani na rizki za halali

  • @WinfridaZakayo-mj7co
    @WinfridaZakayo-mj7co ปีที่แล้ว

    Kumbe karume aliuliwa nilikua cjawahi kujua mtangazaji umefanya kazi nzuri 🎉🎉

  • @redmondbaby1710
    @redmondbaby1710 ปีที่แล้ว +1

    Hhhhhh hata Mimi siyafaham 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mchezo nini

  • @LeylatVlogs
    @LeylatVlogs ปีที่แล้ว +1

    Nimeipenda na nimesoma kuhusu jina la Eneo hilo kuitwa kisiwa ndui ambalo sikujua maana yake kabla 👏

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 ปีที่แล้ว

    Nyie ccm mkowa mnajuwa Karume hakuwa na makuu na nyie kuwache makuu muwache wizi

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 ปีที่แล้ว

    Nyie mbona hamtii nchi yenu mnawachia watanganyika wanaimaliza.

  • @hanihaji6217
    @hanihaji6217 ปีที่แล้ว +1

    Historia ya khalifan

  • @MaryamAmour-k7m
    @MaryamAmour-k7m 7 หลายเดือนก่อน

    Mung amjalie wazee wetu wot waingie pepon llf wot alikua ateswe kwanz ndipo auliwe uyo mshenzi muuwaj😢

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 ปีที่แล้ว

    Huyo muuwaji alijuwa ni shemeji yake alikuwa analipa kisasi cha kupinduliwa maana alikuwa mwaarabu na karume aliowa nwaarabu baada ya kuwapindua hao waarabu

    • @lutegochangarawe412
      @lutegochangarawe412 ปีที่แล้ว

      Una uhakika

    • @binseifalsuleimaniy503
      @binseifalsuleimaniy503 ปีที่แล้ว

      Duh kam hujui bora usicoment karume kao muarabu tena akaza kabla ya mapinduzi mapinduzi yanatokea yeye ameshaowa zamani san ,tena murabu ,pmoja na kina Aboud jumbe ,Ali hasan mwinyi na wengine wengi wameo waarabu tena kabla ya kufanya mapinduzi ,rudi shule kijana

    • @barwani890
      @barwani890 ปีที่แล้ว

      ​@@binseifalsuleimaniy503 tena kwa nguvu kuoa

  • @janerouhassanjanerou7933
    @janerouhassanjanerou7933 ปีที่แล้ว

    Duh mzanzibar gani huyo anaesema Afisi

    • @fareesfarees7634
      @fareesfarees7634 9 หลายเดือนก่อน

      it seems u don knw swahili

  • @AliAli-rx6wu
    @AliAli-rx6wu ปีที่แล้ว

    Kwani hilo li miwani bayaaa kama la kipofu!!! La nini??? Au una makengeza!!!

    • @idrisasimba8501
      @idrisasimba8501 ปีที่แล้ว

      Acheni kuingilia privets lives za watu

  • @tamyomy8398
    @tamyomy8398 ปีที่แล้ว

    Aliua wa arabu na akauliwa na humud muarabu

  • @nelsonjonathan7660
    @nelsonjonathan7660 ปีที่แล้ว +1

    Safi dada umehoji vyema

  • @frankmlowe7559
    @frankmlowe7559 ปีที่แล้ว

    Duuh ilikuwa hatari mzee karume aliuliwa kikatili Sanaa

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 ปีที่แล้ว

      Frank,jaribu kuulizia namna Kassim Hanga na Othman Sharif walivyo uliwa huko Zanzibar.Ukipata taarifa sahihi ndio utajua nini ukatili

  • @hamadysalum7032
    @hamadysalum7032 ปีที่แล้ว +1

    Wasafi namkubari saanaa

  • @allychale2885
    @allychale2885 ปีที่แล้ว

    Leo kilakitu CCM kanisa

  • @idrisasimba8501
    @idrisasimba8501 ปีที่แล้ว

    Hmmm memorandum of understanding.

  • @theophilluskahigwa8128
    @theophilluskahigwa8128 ปีที่แล้ว

    Watangazaji punguzeni au acheni kuvaa miwani ya jua mkiwa ndani ya majengo! Mnajificha nini? Mbona watangazaji wa vyombo vingine vya nchi za nje hawana tabia hiyo?

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 ปีที่แล้ว

    Adela hongera kwa history

  • @timotheosumba4293
    @timotheosumba4293 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏

  • @salumahmadasalum1556
    @salumahmadasalum1556 ปีที่แล้ว

    Mkuki ndani ya mkuki

  • @edwardmenawezkuzamakwadaki4825
    @edwardmenawezkuzamakwadaki4825 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda xana

  • @erenwesmgeni4837
    @erenwesmgeni4837 ปีที่แล้ว

    Duuu aliyafanya

  • @omarimpogo6895
    @omarimpogo6895 ปีที่แล้ว +1

    We muandishi umeniboa... Unaacha kuuliza maswali ya msingi unauliza kuhusu bao

  • @stanleymsenga9444
    @stanleymsenga9444 ปีที่แล้ว

    Duu

  • @kelvinbernard5453
    @kelvinbernard5453 ปีที่แล้ว

    Nimependa Sana Sana tu

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 ปีที่แล้ว

    Afisi kiswahili wacha ushamba

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 ปีที่แล้ว

    Muulize huyo jamaa alikuwepo hapo wakati wa tukio?
    Mie nishaelezewa na mzee aliyekuwepo hapo siku ya tukio.

    • @ZanzibarOrchestra
      @ZanzibarOrchestra ปีที่แล้ว

      tuelezee wewe bac huenda tukapata faida zaidi.

    • @belgieboys9867
      @belgieboys9867 ปีที่แล้ว

      @@ZanzibarOrchestra
      Muuaji alikuja na vikosi vya jeshi wakavamia makao makuu nje.
      Muhusika muuaji aliingia akaua na alipotoka nje na katika hao majeshi waliokuja nao walimuua.
      Hadithi hiyo niliipata makao makuu ccm kwa mzee mmoja ambaye alikuwa mzee wa chama na yeye siku ya mauaji alikuwepo nje ya jengo kwa alivyonihadithia.
      Na akanambia rover mbili ziliingii moja geti la mbele na moja nyuma
      Sasa hiyo hadithi nilipewa makao makuu

    • @belgieboys9867
      @belgieboys9867 ปีที่แล้ว

      @@ZanzibarOrchestra
      Hata hadithi ya mapinduzi ukiisikiliza kwa mama karume siku ya mwaka wa kwanza mwanawe kuwa rais alisema mumewe alikuwa kalala naye nje zogo watu wanauana tvz record ipo.

    • @belgieboys9867
      @belgieboys9867 ปีที่แล้ว +1

      @@ZanzibarOrchestra tizama nani aliyekuwa akiwauza watumwa ni muengereza au muarabu?
      Muarabu alikuwa ni transport tu.
      Mabaki wanaotembelea wazungu ambayo ni mafichio ya watumwa yapo wapi ?
      Misikitini au makanisani?

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 ปีที่แล้ว +1

    Piya uko vizuri dada

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 ปีที่แล้ว

    Hiyo Miwani ya nini?.

    • @rajabjuma277
      @rajabjuma277 ปีที่แล้ว

      Umeona ndio wandishi wa tz

  • @rizikivincent5255
    @rizikivincent5255 ปีที่แล้ว

    Huyu baba anayajuwa yote maana anaeleza mambo yanayoonyesha kuwa katika shauri lililopangwa naye aliusika maana alitaja na viseemu walivyoikalia kana kwamba alikwenda kwanza kupeleleza nafasi karume ameketi ni wapi akapaona nakuelekea kumwambia muaji mbinu laana na mikosi waafrika azitawatoka maana usaliti umewajaa moyoni mtabaki kuwa watumwa wawazungu myaka nenda myaka rudi msipojikosowa dhambi zenu za kusalitiana

    • @akinzaathumani3870
      @akinzaathumani3870 ปีที่แล้ว

      Huo mnafikiii anajuwa kabisaa muwajii nawewe atawawa tuu eleezaa tu ukwelii mzee

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 ปีที่แล้ว

      Hee jamani,SI historia inatunzwa