TAZAMA MCHEZO HATARI WA KUJIRUSHA BAHARINI, UMEKUWA KIVUTIO ZANZIBAR, SERIKALI YAANGILIA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- #makachuZanzibar #millardayoUPDATES
Makachu ni mchezo maarufu kwa Zanzibar hasa eneo la Forodhani vijana wengi hujumuika muda wa jioni na kucheza mchezo huo wa kujirusha Baharini, kwa sasa ni kivutio kikubwa kwa wageni wanaotembelea Zanzibar na tayari Serikali imekuchukua hatua za kuwatazama vijana wanaocheza mchezo huo kwa kuwaboreshea eneo wanalofanyia mchezo huo
Hongra kak..... Kutemblea kisiw ch marash my home good good. Gonga like hap kw zanzibar. Km upendo❤️
kisiwa cha marashi ni pemba
Nakumbuka nikiwa Nina umri wa miaka kumi takribani miaka ishirini na mbili iliyopita nilinusurika kufa hapo Allah aliniokoa. Alhamdu lilahi. Lakini makachu ni raha. Keep it on love you zanzizbar wherever I am.
Ok
Wengi vijana wa ngamo tumepita hapa hahaha nazani ulikuwa mtoro chuoni na unakuja kujificha forozani kwa makachu hahaha
@@receptionifabeach1329 sure bro That day nilifanya utoro kidogo nikatinga foro
Wekeni walipe mpate rizki hakuna vya bure siku hizi
Huu mchezo mwanzo ulikuwa on fire utaanza kupoteza radha sasa kwa kuwa control na mamluki kujiingiza
Huyu mtangazaji ni International level aisee...anajua kuuliza maswali vizuri sana na anajua kutumia sauti yake..nimemfatilia sana tangu anaishi mwanza pale nyegezi he is a good guy...keep it up brother
Ok
Mambo ya kawaida tu ayo kwa wazanzibar lazima upite apo toka enzi na enzi hakuna hatari yoyote
Jambo muhimu ni kupewa elimu
Hao wanao ruka isitoshe wapimwe
Afya zao na vilevile naomba
Wapewe mafunzo kwani wanaruka ovyo
Ovyo watapata vilema kuvunjika shingo
Na sehemu nyingine naona wengine
Wanaangukia tumbo ni hatari
Pia waokoaji wa majini lazima wawepo
Kweli kabisa
Afya wanazo ndomana wanaruka
Yani iyo sehem watu wengi wamebakia walemavu kisa uo mchenzo tu
Niliruka sana hapo sana tulipiga vidola vya wazungu daaah enzi hizo natokea chuini hadi folo daah
Kwa iyo skuiz kuogelea hapa ni kwa kibali? acheni ayo mambo maisha magumu na starehe ya mnyonge isiyo na dhambi pia mnataka kuifanya ngumu ,ayo mambo ya vibali hatuyataki pelekeni ukoo
Huyu muhindi muongo sijawahi kusikia kuhusu vitambulisho na mm naenda kujirusha na watu na sijawahi kudaiwa kitambulisho wala nn
Good job, sema uyu mwandishi namfananisha na Dula Ambua kwl yn au n ndugu?
Serikali ingewajengea vizuri ikaweka steps pale mkiruka badala yakupanda ukuta mpite kwenye steps naona kama mtafika mbali zaidi hata kwenye michezo ya Olympics mutafika kukiwa na mpangilio mzuri
Tumependelea ukuta
Na ngazi zipo sio kama hamn ila ukuta ndo kat ya kivutio pia
Hivii panakuwa na kina apoo wanapotulia amaa maji ya kifua tuu
@@ramsikhamis7083 parefu apo tena san hasa yani kama hujui kuogelea unakufa apo
Kama Pana mawe bac nivizur yakatolewa kwaajili ya usalama zaid
6:05 That one is So Funny🤣🤣
Hiyo sio hatr ni michezo yet wameruka kk zang nimeruka na mm na wataruka wtt wng asil haipotei Zanzibar ndio yet koga mton uliwe na mamba hbr redio
Hapa Forodhani ni zaidi ya miaka khamsini vijana ikifika jioni tuu mchezo unaanza.watu wazamani walikuwa wakipanda juu ya ile restaurant na kuruka, vipi ilikuwa raha Zanzibar ikifika jioni hapo Forodhani. .Dr. Hussein vijana kama hawa lazima uwape support kubwa...
Panaita blues
Kipindi icho sisis tunaita mizingani nishapija makwachu kwa sana tu kipindi icho nasoma ndani ya shule ya hammamni halfu kuna sehemu nyengine inaitwa ngazi miaaa 100 alo kitambo sana inshallah nikirudi tz kwa kudraa za Allah nataka nifike apo
Aje na kitambulisho cha mzanzibar? Kama anacho cha Bára je?
Kwan kuna cha bara au kuna cha tz?
Waacheni wapige makwachu wote wanajielewa ao wanaakili zao kwiy linalowatokea watajijua wao wenyew sjawah kumuon chizi akaend foro akapiga makwachu
Wanabiapaji vikubwq sn yn wngekuwa nje saaiz wanakula pesa mno. Lkn sio Tzd
Zanzibar ni yetu sote yaani kuogelea tu forodhani uwe na kitambulisho na barua ya sheha au mjumbe hee ni Mtihani basi?
Wenye mamlaka wautazame huu mchezo usije ukalete mahafa kuchukua taazari mapema
Kuna mmoja kashapararaiz
Sio mmoja wawili wamepalalaiz wapo kitandan hd Leo huo mchezo mbaya Sana Basi tu
@@linahsemindu4261 aisee kumbe wawil bhc mm nlimuona yule mmoja yaam dah cjui pesa wanalipwa nyng maskn dah
@@Zainab-sq1tc wawili my Tena huyu wa 2 naona ni wajuz juz nae anatakiwa pesa nyingi apelekwe nje ni kijana mdg Sana shombe shombe
@@linahsemindu4261 Kuna mmoja wa hapa mahonda kashafariki miaka Sasa.
Fanyeni kitu ambacho hao vijana they can make something in profit
Hatari ipo wapi ata Mimi naweza hiyo.
MUWEKEWE NGAZI ZA KUPANDIA KUTOKA KWENYE MAJI KURUDI JUU.
PIA MUWEKEWE KITU PA KUKANYAGA KABLA YA KURUKA HAPO.ISIWE TOFALI.
Ah! Makachu forodhani! I Miss This!
Ikitokea ajali mtu anaumia na ku paralais atajuta kuzaliwa ana dive anapgiza kichwa na mawe humo baharini tatizo ndo linaanza hapo
Sio mchezo mzuri sana watu waumia sana uti wa mgongomungu atawasitiri
Htr Yann icho ni Kipqji na nchi. Za wenzetu wanafanya ji ajira iyo sio mchezo WA Bure
Barua ya sheha tena.. Watu tumezaliwa stone town kesha unipangie boya nin wew...
Hujalazimishwa mzeee
Hujamuelewa mzee apo amezungumzia kuwa memba sio kuwa mrukaji warukaji wapo wengi ila member sio wte
Waruhusuni wageni pia kufanya show kwa kulipia
Tungepataa wabunge kama hawa tungefika mbali sana Mana weng waujum uchumii tuu?
Na pia kuwekwe mahodari wa hiyo kazi incase mmoja akishindwa asaidiwe😂😂uoga mbaya
Jiangalieni msije mkajivunja uti wa mgongo
Hio sehemu iacheni public kuifanya private ni ujinga mkubwa.
Zanzibar Raha Sanaaaa
Serikali inaingiza pesa kwa nguvu za vijana kama mumejiandikisha munatangaza utalii nyie vijana munalipwa kila mwezi na serikali ama vp mwambieni Raisi awe anawalipa mana naona ata mukipata ajali hawawezi kuwatibu angalau mumengeomba insurance ili muende check up kwa mwezi sio kuruka tuu kuitangaza nchi wkt hampati chochote serikali oneni aibu kwa vijana hii ni ajira yao bwana
MTANGAZAJI ANAFANANA NA DULA SURA HADI KUTANGAZA
Naomba namba ya simu ya kiongozi wao
Jamani nawakaribisha kusikiliza wimbo wangu mzuri na mtamu sana
Allah awalinde
Hatari
Yaan uku zenji ukiongeya maneno ayo bx ushamba
Jmn angalien msije mkavunja uti wa mgongo
Huk foro kwetu ni kawaid t n wat kutok nchi tofaut wanakuj kujioneya
Hata sio mzuri
Masha-allah
Mbona sio hatar mzeee
At 2.09 he said this game doesn't appear anywhere in the world except zanzibar 🙄. There kids doing this in Morocco too "paradise valley" Agadir Morocco.
kivutio kikubwa within but not duniani
Dunia hadi diddy kapost
Ni dunia aana wana trend vibaya
New songs Mimi na wewe kutoka kwangu njoo uisikilize nyimbo tam ya mapenzi
Hichi ndio kisiwa ambacho watu wake wanaimani sana kwa hakika ndio kisiwa kitukufu kwa hapa duniani Mashaallah ,sio Kama Tanzania bara hapa kwa hakika kwa sbbu Wabongo ni shida duh
Wanainani ya kuswali tu Ila Wana laana ya zinaaa
Jidanganye
Umeongea ukweli zinaa hapo ndio yao na wala hawaogopi
Hahahahhaa mambo yasiyooneka kwa macho ndio hataarii zaidi kuliko yanayoonekana kwa macho...we fanta uchunguzi tena utakuja na majibu menginee na utafunga kimya kuwanenea watu wabaya kama hayo.
Badae mkipata matatizo ndio muanze kuomba msaada wakuoelekwa india
Manshallah Kaka mzur umeoa kama hujao mke mwema nipo hapa
مشاء الله عليهم.. أنا ازور زنجبار عشرات المرات . وهالمكان دوم اجلس فيه لأن يعجبني اشوف السباقات.. بس بجد الاخ العماني بويتكلم سواحيلي مضبطها صح كانه منهم وفيهم 😀😂 .. اقول للجروب بس لاتروحوا اماكن اخرى بتنزانيا حلوة وطبيعية مثل مونزا وبوكوبا واروشا وموشي... 👍🌺 ترا خلصتها تنزانيا حواطة واستكشاف
Welcome again Tanzania dear
Karibu tena Tanzania.
Ukuye
@@ronnamax238 ???
مرحبا بك يا أخي الفاضل الزنجباري
🌳🌳🌳🌲🌲🌿🌿🌿
Daaaah saizi wanajisajiri aaaaaaaah ujinga tu!!zamani ilikuwa free hapo
Sio hatari achaneni ushamba nyie.
Aje na kitambulisho kama yeye ni mtanzania na sio kama yeye ni mzanzibari,wote ni watanzania
usime wa vyetu vyenu, vyenu vyenu umekufa now. Forodhani Iko Zanzibar na anataka lazima awe mzanzibar. So, aje na kitambulisho Cha Mzanzibar
Mchezo mbaya sana huo watu wanalala kitandani miaka kwa ajili ya michezo hiyo.
Qadar
Kwetu kuzuri mashaallah 🥰
Members 60
Wakivunjika uti wa mgongo wanakuja kutulilia tuwasaidie michango
😁😂😂
Ndo hapo sasa na hawajifunzi tu kupitia hao waliokwishaumia.
@@pantherking_tz yani acha tuu wanaumia vibaya sana na wote waonaumia kwenye makachu ni uti wa mgongo unavunjika so sad kwa kweli
Keasababu hawajapewa mafunzo
Ya kuruka majini wanajirukia ovyo ovyo
Wakiangukia tumbo,shingo,vifua
Nihatari sio kufurahia na serikali inaona
sku zote hakuna kizuri kikosacho kasor lila kitu kina faida na hasira zake so tuache husda na kuombeana mabala tuombeane mema tusapotiane na kwa maana ajali zipo majin na nchi kavu...!!
Mashallah ALLAH barik
Kwa wale wanaotaka mambo ya Wazima karibu ujionee 🍆🍑💧th-cam.com/video/obPggjKPDQIh/w-d-xo.htmlttps://th-cam.com/video/obPggjKPDQIh/w-d-xo.htmlttps://th-cam.com/video/obPggjKPDQI/w-d-xo.html
Duuh
masha Allah lkn huu mchezo unawatia watu ulemavu wa maosha😅😅
Zanzibar 🥰🥰
Jamani nawakaribisha kusikiliza wimbo wangu mzuri na mtamu sana
🤣🤣🙏
Huyu kijana anaitwa Hussein ni handsome sana..kama kuna handsome Man toka zanzibar wapo... nataka mchumba.☺️☺️☺️ Am from Oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Handsome man tupo kila mahali ni wewe tuu useme wataka mfupi au mrefu
@@binhussain3445 😂 am serious about what I said 👍
Nipo handsome nilokosa Matunzo from Zanzibar
@@fariduwezo9557 I didn't understand??
😁😁😁
Nzuri ila bado staili mpya hamuna mana wengine wanajirusha tu hazina mbwembwe.vionjo tafauti na zamani miaka ya 1995
Unajua kwanini mulikuwa nikivutio kikubwa na watu waliwapenda na mukaonekana ni wa kipekee ni ile staili ya kuchupa namakanzu yenu ingawaje sio vizuri lakini ndo mulipendeza sasa kama leo mumevaa sare munakuwa wakawaida tu sio ishu ni kama diving wengine tu duniani.
Washakufa wengi hapo na hilo eneo limesha lemaza wengi hivyo hivyo.
Hakuna sehemu wasokufa watu tatizo wengine maji sio Mambo yenu
Njoeni mafia money vipaji vya diving humujui chochote wanzazibari
Chuki hizo zisizo sababu chanzo chake roho mbaya na roho mbaya haijengi hubomoa....umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.....znz ni nchi ya utalii na vivutio vingii.....kazi kwako
@@hannansdeliciousfood4261 njoo mafia uone utalii znz hakuna chochote
@@ahmedismail4192 hahaha ukishaona ww inatoshaa......tangaza utalii nje sio kwa wazanzibar bye
Mtihani
Aya hao wana luka kawaida sana unaluka unajigeuza ki samaki ukiwa angani sio poa
Wew fatilita iyo halfu nd uongee maneno yk
*MASHALITI YA KUMILIKI PESA ZA MAJINI/MIZIMU.*
1. Uwe na umri kuanzia miaka 18 n.k
2. Uwe na moyo kutunza siri pindi utakapo kua umemiliki pesa za Majini/Mizimu.
3. Uwe ni wa kusaidia ndugu zako pamoja na kutoa misaada katika vituo wanavyo lelewa watoto yatima au wazee
4. Uwe unavaa nguo nyeupe kila siku ya alhamisi pamoja na kuchinja mnyama kila mwaka Kisha kula pamoja na ndugu zako au jamaa na marafiki. Usinyanyase ndugu eti kwasababu unamiliki pesa hizi.
5. Pia haichagui jinsia uwe mke au mume wote inawezekana kumiliki pesa za majini
Sio mchezo mzuri sana baadae watapata madhara makubwa ya mgongo
Huo mchezo muuache Mara moja .
Unaumwa wewe
Xx ukiskiy foro nd hap kweny buruda y makwachu
Hindi ata kiswahili hakikijuwi vizur ila ndio linawapangia watu wapi wakoge na wapi wasikoge ndani ya nchi yao
😂😂😂 fala ww yy ni moja kati ya uongozi bichwa lako sikia vizur acha ubaguzi
@@alphadreammedia Anaweza akawa sio mzanzibar lakini akawa mtanzania halisi au bado ni mbaya ?
Unaijua Zanzibar na watu wanaoishi??
Baguzi hiloooo...bado na ushamba wa kizamani eti mhindi..big fool wewe
@@ezekieljacob5795 Inaonesha hajuwi hata zanzibar inawatu waaina gani 🤣🤣
DAWA ZA KUONGEZA AKILI,PAMOJA NA KUMBUKUMBU,*#
m.th-cam.com/video/ntptVUbwEts/w-d-xo.html
DAWA ZA KUONGEZA AKILI,PAMOJA NA KUMBUKUMBU,*#
m.th-cam.com/video/ntptVUbwEts/w-d-xo.html