Fatma Karume: Mimi Nimeachwa I Nilijiona Sina Amani I Watoto Wanampenda Baba Yao I Nilipatwa Simanzi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ธ.ค. 2023
  • #CloudsDigital tumekuwekea mahojiano ya Mwanaharakti Fatma Karume katika kipindi cha #Shajara ya #CloudsTv na mtangazaji Babbie Kabae.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 370

  • @raymondswai5555
    @raymondswai5555 5 หลายเดือนก่อน +4

    Shangazi nakupenda sana na kwa moyo wa dhati
    Si kimahusiano, maana hili li nchi 90% hatumiii ubongo ( kichwani) kutafakari, tumenyoshwa maji ya chooni,,m c.c 😊😊 uokoo very bright shangazi

  • @marianajohn5415
    @marianajohn5415 4 หลายเดือนก่อน +1

    Shangazi ❤❤❤❤❤❤ ni mmoja tu! Naye ni madam Fatma🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @mussamwamoto8231
    @mussamwamoto8231 5 หลายเดือนก่อน +2

    nimeipenda hii interview.sijawahi kumsikiliza ktk maisha nje ya kazi.nimemuelewa fatma huwa anaishi yeye kaka yeye sio kwa ajili ya .

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 4 หลายเดือนก่อน +4

    Shangazi hongera sana unafaa kuwa kiongozi wa ngaxi za juu nchini.Nakupenda sana kwa ujasili ulionao ni kipaji .Mungu akubariki sana uko vizuri saaaaana.Ungekuwa waziri mkuu hata urais unauweza hata ujaji mkuuu unauweza.Barikiwa sana.

    • @ndementriavermand8010
      @ndementriavermand8010 4 หลายเดือนก่อน

      Nampenda sana huyu dada jasiri mkweli mtu wa haki

  • @agreymbwilo5874
    @agreymbwilo5874 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu lugha zote kazoe kuziongea kwenye maisha ya kawaida. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 6 หลายเดือนก่อน +4

    Asante kwa kushea. Mimi mchango wangu kwa Watanzania wengi wenye kujenga chuki kwa watu = haters. Mchukie mtu kwa vitendo vibaya alivyofanya na sio maneno aliyosema. Wazungu husema “actions speak louder than words”. Vitendo vina nguvu zaidi ya maneno kwahio tusichukiane bure ni mambo ya kijinga

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo 6 หลายเดือนก่อน +15

    Pole sana wifi yangu Fatma ,tunepotezana lkn nitakutafuta inshaallah,kuhusu ndoa rizki inshaisha tumuachie Allah japo kipindi kile Cha harakati zako kiilikua kigumu sana kwako na nilikua nahofia sana Hilo cos mwanamke ukiwa unapambana Kwa ujasiri mkubwa kiasi kile,wanaume zetu hua hawaelewi,Kuna maisha mengine baada.ya mapambano na simanzi. Enjoy the moment my love

    • @wilsonelias9012
      @wilsonelias9012 4 หลายเดือนก่อน

      Acha kutetea ujinga hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mwanamke mwenye mota mdomoni anajua kila kitu, jitu lina miaka 60 linaongea kama binti wa miaka 20

  • @caritasmushi461
    @caritasmushi461 6 หลายเดือนก่อน +7

    Fatma umejibu vizuri sana na you are a down to earth person but with principles. Keep it up my dear

  • @yusuphabel5530
    @yusuphabel5530 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nampenda sana Shangazi Fatma,ana akili sana na ni mwanamke wa shoka.Mungu ampe maisha marefu.

  • @yussufhaji3335
    @yussufhaji3335 6 หลายเดือนก่อน +3

    Usomi kweli unaharibu na kubadilisha maadili ya dini yetu ,inna lillahi wainna ilahi rajiuuwun.

    • @user-vn6vx1qk5i
      @user-vn6vx1qk5i 6 หลายเดือนก่อน

      Ni huzuni sana kuona mtoto kama huyu unavomuona sasaiv alivyovaa na kuweka makucha, manywele uchavu tu, kuwa katoka ktk familia tunaambiwa ya kiislam, kwa kweli msiba

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 6 หลายเดือนก่อน

      Anakaa uchi tu

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 6 หลายเดือนก่อน

      Wasomi ni kama mbwa tu

    • @moodyzanzibar4336
      @moodyzanzibar4336 4 หลายเดือนก่อน

      labda HII KUKAA UCHI NDIO MOJA YA MATUNDA YA MAPIDUZI

  • @officialkmoneyvevo3175
    @officialkmoneyvevo3175 6 หลายเดือนก่อน +7

    Mshangazi Una Mguu Bi fatmaa😅❤

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 6 หลายเดือนก่อน +6

    Binadamu hawana jema, inasikitisha baadhi yenu kutoa maneno ya kuudhi wakati una uhuru wa kumsikiliza au ukaacha!

  • @cheka480
    @cheka480 5 หลายเดือนก่อน +2

    The one thing she is real not fake

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 4 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤❤love hivi ndivyo tulivyo Akina FATMA

  • @mosesgasana4102
    @mosesgasana4102 4 หลายเดือนก่อน +3

    Walah nampenda sana Fatma. Mungu ampe uzima mwingi na mengi ya heri

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 6 หลายเดือนก่อน +5

    Mpitie na kwangu wapenzi ❤

  • @NyotaTanoTV-gt3od
    @NyotaTanoTV-gt3od 6 หลายเดือนก่อน +7

    Shajara mtangazaji wangu pendwa kila siku unani surprise I like the way you control the show. Maswali unavyo Uliza alafu unagawa nafasi ya majibu. Fatma mbona hajui Kiswahili vizuri Tena ni mzenji OG? That’s terrible 😮 but all in all this is good interview much love ❤️

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 6 หลายเดือนก่อน +2

      Ameishi sn njee dats the problem

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 6 หลายเดือนก่อน +5

    Intelligent and gorgeous woman

  • @cynthiafolonja3050
    @cynthiafolonja3050 6 หลายเดือนก่อน +6

    Ndoa sio kifungo jamani.... yanini kufia kwenye hamna 😂... Wala huyo sio wa kwanza kuachika .....shangazi anazeeka na urembo wake!!

  • @knight6757
    @knight6757 6 หลายเดือนก่อน +21

    Very proud of her...May God Aways Bless Her..Ameen!

  • @user-vq2hl4jp1j
    @user-vq2hl4jp1j 6 หลายเดือนก่อน +5

    Aunt tuma❤

  • @user-px1fg3jz4p
    @user-px1fg3jz4p 6 หลายเดือนก่อน +1

    Pole usihuzunikee mwamwini Allah yeye ndie mpangaji

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 6 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu dada si.ndo.aliifedhehesha.Tanzania kumbe nae.Mungu alimfadhaisha huyu.dada alitetea sana ushoga

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 6 หลายเดือนก่อน +43

    This shangazi is so intelligent, she should be a judge in the Supreme Court. Walioko huko hawamfikii huyu mama!

    • @user-cr7vi4qp9c
      @user-cr7vi4qp9c 6 หลายเดือนก่อน +8

      Kwenye haya mahojiani kuna kipi kipya kuwa yuko juu?

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 6 หลายเดือนก่อน +9

      Kipimo chako cha uwezo ni kipi n wangapi unaowajua walioko huko court ambao uwezo wao ni mdogo? She is talking much of her personal life ila inakutosha kumpa ujaji? Things never taken that way aisee. Nyie ndio mnasema lissu ni mwanasheria Bora kuliko wote ikiwa mmemuona kwenye majukwaa ya siasa na sio kwenye podium of practices stop those mediocrity thoughts.

    • @immamfugale7835
      @immamfugale7835 6 หลายเดือนก่อน +4

      Kwa kipi?

    • @salomemlagila5757
      @salomemlagila5757 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@fahadfaraj6474 kweli kabisa

    • @MOJAZAIDI.
      @MOJAZAIDI. 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@fahadfaraj6474Ni kweli ila kwa Lissu rekodi zake ziko wazi nay be una personal conflicts na yeye. Just saying...

  • @Mohamed-uz8id
    @Mohamed-uz8id 5 หลายเดือนก่อน +4

    nàmpenda sana Fatma Karume anaakili mnoooooo😘

  • @seynabhaji8035
    @seynabhaji8035 6 หลายเดือนก่อน +8

    My advice to Fatma, kubali siku moja kuongea lugha unayoifahamu ili maneno ya changamke nina hakika unamazuri ya kueleza. Halafu jitahidi kujifundisha kiswahili tukutane tena hapo baadaye🎉

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 6 หลายเดือนก่อน +3

      Shangazi Kiswahili anakijua vizuri ila ndio kujifanyisha sijui, usome shule ya Msingi Unguja ukose kujua Kiswahili?

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 6 หลายเดือนก่อน

      Mmmh wewe mbona unachanganya Lughq

    • @suleymanmakiwa1651
      @suleymanmakiwa1651 6 หลายเดือนก่อน

      ​Mtu anayejifanyisha hujulikana tu@@darajalakidatukilomgi2362

    • @ummuraw6372
      @ummuraw6372 6 หลายเดือนก่อน

      Na akiongea mpka mizizi ya shingo imtoke anatumia nguvu sana hlfu sidhni kma hajui kiswahili ila ana pritend tu hao watoto tulowazaa ulaya wanaongea kiswahili kizuri tu

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 5 หลายเดือนก่อน +2

      Hajui “SAFE” kwa Kiswahili, this is biggest pretending….LAZIMA BWANA AKIMBIE

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah ❤Unamwili nzuri sana mungu akuweke amiin 🤲❤️

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 6 หลายเดือนก่อน

      Ila anakaa uchi Mbele ya Mataifa

  • @jumayussuf6786
    @jumayussuf6786 6 หลายเดือนก่อน +2

    Unamkumbuka teacher khadija mgangazija anakaa kiswandui

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 5 หลายเดือนก่อน +1

    Fatma kweli inasikitusha kuwa kiswahili hujui na ni aibu sana .Kiswangereza wengi hawakuelewi .kwa sababu hawajui kiingereza.😢😢

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 5 หลายเดือนก่อน

      Lretending

  • @MosiHassan-dx6gc
    @MosiHassan-dx6gc 6 หลายเดือนก่อน +9

    Acheni chuki na hasada aliyepewa kapewa mola ndie amemueka hapo achenichoyo

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 6 หลายเดือนก่อน +2

    Shangazi hapo kwa Nadia Suala la Muungano, lizingatiwe Wapemba🎉🎉🎉🎉 Mnauma meno Sana..wepesi kidogooo ❤❤❤❤❤ Mama Mkwe. Kama mama Mkwee

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 6 หลายเดือนก่อน

      Kwani umeambiwa mpemba

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@sultansallah8772wabongo wanaelewa zanzibar n nchi yenye kabila la wapemba. Wapemba ni kabila kutoka zanzibar hivo ndio wanavoelewa yani neno unguja kwa bara hawalielewi

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ila watu why are you so bothered na maisha ya wengine mpaka mnatoa kashfa 😮😮😮 watu hawalingani wala kufanana jamani, na wala hakuna mkamilifu 😮😮

  • @bensonmwakalindile8545
    @bensonmwakalindile8545 หลายเดือนก่อน

    My good presenter

  • @robinbayser3079
    @robinbayser3079 4 หลายเดือนก่อน

    Shangazi wa Taifa soo beautiful

  • @hafidhkhalfan1660
    @hafidhkhalfan1660 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nampenda sana nataman kumuoa jaman

  • @naomimaro2156
    @naomimaro2156 6 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu mama Fatma ,anaonyesha anauchungu moyoni

  • @Iragibarune1.
    @Iragibarune1. 5 หลายเดือนก่อน +1

    From USA Jamani mimi sio mtazania ila uwa napenda sana shangazii fatma karume alafu ana akili sana

  • @divaimafuru6844
    @divaimafuru6844 6 หลายเดือนก่อน +7

    Shangazi unamguu wa bia😂 cute

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 5 หลายเดือนก่อน

    I love fatma

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 6 หลายเดือนก่อน +14

    Ila fatma is so beautiful

  • @amanmyolo5359
    @amanmyolo5359 4 หลายเดือนก่อน

    God is good

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv 6 หลายเดือนก่อน +2

    Enjoyment Fatma au Fateeema ❤❤❤

  • @abusalman5139
    @abusalman5139 4 หลายเดือนก่อน

    Hakuna mwanaume ataweza mvumilia mwehu kama Fatma Karume

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hacheni matusi,kama nia yenu ni kumtukana mtafuteni kwa wakati wenu,unayrtaka Fatma akufindishe sheria,nenda shule ukasome.

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 6 หลายเดือนก่อน +1

    Alokupa Jina saluti kwakwe

  • @bakarimdeve8386
    @bakarimdeve8386 6 หลายเดือนก่อน +4

    Napendezwa na kz yake ila ninachukizwa na tabia ya kuzungumza Kiswenglish japo Familia yao ni waswahili safi tena wa Zanzibar wakwel aache hio staili

    • @SafiaOmar
      @SafiaOmar 6 หลายเดือนก่อน +2

      Hao familia yao wanaishi kama wazungu. Kama unavyo muona ndio maisha yao. Nilisoma na mtoto wa ndugu yake secondary

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 6 หลายเดือนก่อน +2

      ​@SafiaOmar Bora umwambie ww, hao kwao niwazanzibari lkn wamelelewa kizungu, na Ivo alivo ndoivo Ivo kwao kizungu zungu TU mpak mavazi mpaka mama Yao yupo Ivo Ivo mavazi yake.

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 6 หลายเดือนก่อน

      @@nahlahassan-fd6le kulelewa kizungu ndio unatupa na lugha yako? Mbona wazungu wenyewe wanajifunza na kuongea Kiswahili? Nani amewadanganya na kiswaglish

  • @mbarakawesu6213
    @mbarakawesu6213 6 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani eeh..! Mimi sina mke. Namtaka huyo dada ...!

  • @amanmyolo5359
    @amanmyolo5359 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤Asalam alaiqm Warahmatulah wabarakatu allah kariim

  • @bongomastory791
    @bongomastory791 6 หลายเดือนก่อน +8

    wanawake wengi wanasheria wanajifanyaga wana harakati so wanaletaga uharakati kwenye ndoa hivyo sio rahisi kudumu kwenye ndoa

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 6 หลายเดือนก่อน

      💯%🤝

    • @aliganzel6512
      @aliganzel6512 6 หลายเดือนก่อน

      Hili limenikuta mimi

  • @johntemba4281
    @johntemba4281 6 หลายเดือนก่อน +1

    Shangazi nakupenda natamani uwe mke wangu sijali umri sijali elimu bali nakuhitaji niwe nawe ktk utetezi wawatu, mi naishi moshi karibu. Mimi ckuachi na tutaendesha kazi zetu kama kawaida.

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 6 หลายเดือนก่อน +2

      Hahahahah wabongo mnataka maokoto 2 ushamjua anatokea katika Royal family unataka utelezi hahahahha hongera kaka

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mmmm jamani nafikiri ni mtazamo tu ,mie nimekuwa kwetu wafanyakazi 2 lakini nikiwa na Miata 4-5 nlikuwa nafanya KAZI kulingana na umri wangu na hata kukorogo uji ,kufua sox , kufua NGUo za ndani , kufagia nlifanya haswaaaa so siyo kuwa WANAFANYA Kwa sababu ya shida za WAZAZI ila ni WAZAZI wanamtazamo gani Kwa watoto WAO na wanataka kutengeneza mtoto wa aina gani

    • @annethomas7520
      @annethomas7520 6 หลายเดือนก่อน +3

      Mtoto wa miaka 5 akoroge uji jikoni???!

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 6 หลายเดือนก่อน

      @@annethomas7520 NDUGU ukishangaa ya Musa ......... ? UNADHANGAA MIAKA 5 ? Hongera mpendwa , isogelee JAMII UTAONA mengi

  • @songombingo108
    @songombingo108 6 หลายเดือนก่อน +6

    Da Fatma nakupenda. Nitafute tuwe marafiki.

    • @choggysly3541
      @choggysly3541 6 หลายเดือนก่อน +1

      Acha songombingo

  • @MussaSuleiman-ui9fy
    @MussaSuleiman-ui9fy 6 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe Fatima jitathini hii elimu hii ya Sheria itakupeleka motoni Rudi kwa muumba

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 6 หลายเดือนก่อน +6

    Yaani ukisikiliza kiingereza cha huyu mama,unasikia rafudhi za waingereza.

    • @amerwelder7786
      @amerwelder7786 6 หลายเดือนก่อน

      Uyo kakaa sana iingereza

    • @cosmasthomas9164
      @cosmasthomas9164 6 หลายเดือนก่อน

      @@amerwelder7786 ndiyo maana,yaani hadi raha kumsikiliza

    • @gracekagoma3231
      @gracekagoma3231 5 หลายเดือนก่อน

      😢

  • @ganomwakisambwe2715
    @ganomwakisambwe2715 4 หลายเดือนก่อน +2

    I love you Fatuma,my sis....you are heroine!

  • @MohamedAbdallahSaid
    @MohamedAbdallahSaid 4 หลายเดือนก่อน

    Mswahili Mzungu

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 4 หลายเดือนก่อน

    Mwanaume ndiyo anaowa na mwanaume ndiyo anaacha true shangaz nakuelewaga sana hauna baya

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 6 หลายเดือนก่อน +1

    Siyo shangazi yangu.Ana kasumba ya wazungu sa n a A n achanganya kuswahili na kiingereza sa n a h ata 5:18 5:20 simuelewi japo nimesoma sana kama yeye au labda zaidi.Acha kuongea kiingereza wakati unaongea n a waswahili😅😅

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 6 หลายเดือนก่อน +4

    Aging gracefully girlfriend❤

  • @aliathmani7165
    @aliathmani7165 6 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu shida anayo ni kujisahau, kiswahili chake ni cha kujifunza ama ni kingereza chaki.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 6 หลายเดือนก่อน +5

    Kumbe sawa sawa na mimi 1969

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 5 หลายเดือนก่อน

    It was kawaida😂😂😢😢😢😢
    Mwingereza hachanganyi lugha yake hata siku moja.Kasumba ni mbaya jamani.😢😢

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 6 หลายเดือนก่อน +3

    Naomba kufahamu lugha Rasmi ya haya mahojiano! Kuna sehemu hatuelewi

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 4 หลายเดือนก่อน

      Anajifafanya hjui kiswahili😂😂😂😂

  • @amneamne2492
    @amneamne2492 6 หลายเดือนก่อน +1

    Shangazi tuambie huyo bi zahara unomwita nana. Yuko wapi. Pls

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 4 หลายเดือนก่อน

    Love you wajina

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j 6 หลายเดือนก่อน

    Sijasikia vizuri. Fatma umezaliwa mwaka gani?

  • @missg1430
    @missg1430 6 หลายเดือนก่อน +2

    I just love her

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 5 หลายเดือนก่อน

      Approach her

  • @user-rv3pw3cz5z
    @user-rv3pw3cz5z 2 หลายเดือนก่อน

    ❤naomba nambazake

  • @agreymbwilo5874
    @agreymbwilo5874 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu ya mazoea. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna lugha ya mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.

    • @gracekagoma3231
      @gracekagoma3231 5 หลายเดือนก่อน

      Ndugu yangu hiyo ni tabia tu.Ya kujitakia.kuna watz wanao ongea lugha nyingi za kimataifa bila kuchanganya..Pamoja na mimi mwenyewe🎉🎉

  • @issakawaya8315
    @issakawaya8315 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ana uzungu mwingi

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 6 หลายเดือนก่อน +3

    Nakupenda shangazi nikueke nyumbani tuzae na unifundishe sheria

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 6 หลายเดือนก่อน

    Aise

  • @kulthummaabad
    @kulthummaabad 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 6 หลายเดือนก่อน +14

    Shangazi yetu kwenye kujieleza sifuri,

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 6 หลายเดือนก่อน +1

      Na icho kiswahili chake zero😂😂😂😂anaongea kiswanglish lkn ovyoo

    • @George_Ruttagah
      @George_Ruttagah 4 หลายเดือนก่อน

      Watu waliokulia nje au waliosoma shule za international huwa wanakawaida ya kuchanganya lugha. Fatma ni very bright na brave at the same time. Jaribu kuangalia mazingila aliyokulia alafu utamuelewa vizuri kabisa. Mimi personally nimekulia U.S. toka na miaka 13. Ulimi wangu unakua mzito napoongea Kiswahili kwa sababu si lugha ninayotumia sana. Kwa hiyo najikuta tu nachanganya Kiswahili na Kingereza.

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 6 หลายเดือนก่อน +7

    Sauti yake kama bibi yake wajina wake

  • @user-th9to6yt9y
    @user-th9to6yt9y 5 หลายเดือนก่อน

    Dah kiswahili

  • @seifserenge3340
    @seifserenge3340 6 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana bi Fatma, wewe ni mzungu mzanzibari

  • @wilsonelias9012
    @wilsonelias9012 4 หลายเดือนก่อน

    Ndio maana aliachwa hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mwanamke mwenye mota mdomoni, anajua kila kitu amesema ameachwa

  • @mgenimgambo2312
    @mgenimgambo2312 5 หลายเดือนก่อน

    umependeza sana n km ulivyosema kuwa kujitizama na kufurahi ulichokuwa nacho hakuna kitu km furaha ya nafsi umebadilika sana

  • @ezekielmabwai4614
    @ezekielmabwai4614 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna mtu wa kunishawishi hapa, unahitaji uvumilivu wa ziada kukaa na huyu mdada. Bora nioe house girl nitakuwa na amani.

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 6 หลายเดือนก่อน +1

      Hicho chuma kichwa kimepevuka....wewe na house girl sawa kabisa...ndo lika lako.

  • @emanuelsichone8027
    @emanuelsichone8027 6 หลายเดือนก่อน +8

    Wanyonge hao ninan au wale mashoga anaosema wawepo tena wawehuli 😢mbwa mkubwa

  • @hamidafundi-pw1gw
    @hamidafundi-pw1gw 6 หลายเดือนก่อน

    Mh !😮

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe Fatuma ni mtu mzima sana!!!! Kinachonishangaza ni Fatuma kuzaliwa Zanzibar, kusomea Zanzibar na kujifanya hajui kiswahili ajabu sana!!!!!!

  • @abuumadesign8095
    @abuumadesign8095 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa u much know huu lazima ndoa ikushinde, stop comparing everything to ulaya

  • @sm5tv
    @sm5tv 6 หลายเดือนก่อน

    Kumbe tumezaliwa Hospital Moja

  • @robertadolf562
    @robertadolf562 6 หลายเดือนก่อน

    Ila bado mtamu mbona

  • @SalminMkwachu
    @SalminMkwachu 6 หลายเดือนก่อน +1

    mifano mingi ni ulaya/wazungu, hivi kwanini tunadhani kufuata mode za wazungu au code za maisha za wazungu ndio ustaarabu??

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 6 หลายเดือนก่อน

      Ndio shida ya hawa waliosomea nje ya Tanzania wanawaabudu wa Ulaya kama Mungu, mbona Tanzania kuna mifano mizuri mingi sana Kwa nini hasifii

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge 6 หลายเดือนก่อน

    Jamani HATA uislamu huna ukajistiri muili wako umeuponza uislamu Alla akuuongoze ktk njia ya haki. HATA lugha umeiuza unaiga lugha sio yako

    • @ngoni7944
      @ngoni7944 6 หลายเดือนก่อน

      Ondoa wivu wako na uislam wako, huoni kapendeza,

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 4 หลายเดือนก่อน

    Uluachwa kwa sbb unamapungufu mengi ambayo hayavumiliki.
    Huku nje unavyo bwabwaja kama mlevi hivyo, huko ndani inakuaje! Lazma uachwe tu. Unamdomo sana wewe unaonekana tu.

  • @SuweidJuma
    @SuweidJuma หลายเดือนก่อน

    Bifatma sasa ubadilke uache maadili uliokuwa nayo sasa na ufuate madili nasheria ya kiislam maisha aya ni ya mpito to

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 6 หลายเดือนก่อน +2

    Shangaz wa taifa

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 6 หลายเดือนก่อน +6

    Mcharuko wanguvu

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j 6 หลายเดือนก่อน

    1969 na babu yake kafariki 72 ni sawa kua alikua na miaka 3 tu. Ivi kweli miaka 3 anaweza kujua yote hayo kuhusu babu yake? Naona kama kachemsha kidogo

  • @paulshija7632
    @paulshija7632 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mtume Mohamad alioa mtoto wa miaka sita, we kupika unasema it's not normal? 😂

    • @khumayraabdul3259
      @khumayraabdul3259 6 หลายเดือนก่อน

      Anachana na mtume wewe usiejua

  • @antybabybintrashid2333
    @antybabybintrashid2333 6 หลายเดือนก่อน

    Nmeitwa auntybaby na watoto mpaka watu wazima mwisho mwanangu mwenye ananita auntybaby majna ya utoton hayapotei

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 2 หลายเดือนก่อน

    Katika familia ya mzee hili ndilo dish

  • @SHALLOOTV
    @SHALLOOTV 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hii Ai mnaoitumia inapoteza quality ya video

  • @salehmkubwa8542
    @salehmkubwa8542 5 หลายเดือนก่อน

    Hapa kwenye nimeachika ndio naelewa sisemi mengi lakini akisema ujane umemchosha nipewe taarifa 😅😅😅😅

  • @openmindtz
    @openmindtz 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mm siwez kukuhukum kwa chochote kila kwa maana maisha yana mambo mengi mno hvyo siwez jua the otherside but in all majina ya fatuma kuongea ni miongoni mwao....

    • @FatumaIssa-kw3vv
      @FatumaIssa-kw3vv 6 หลายเดือนก่อน +1

      Hahahaha umejuwaje 😂😂😂

    • @openmindtz
      @openmindtz 6 หลายเดือนก่อน

      @@FatumaIssa-kw3vv neema za mungu tuh si kwa ujanja wangu

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 6 หลายเดือนก่อน

      Swadaktaa

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b 6 หลายเดือนก่อน

      Tena sio kuongea tu hatupendi kuonewa pia 😅

  • @allywaziry6419
    @allywaziry6419 4 หลายเดือนก่อน

    Mm namtaka huyo Aje nimuoe chaap..