WALIOMUUA KARUME WALISOMA CUBA/ HUYU MZEE HUKAMATWA KILA MWAKA/ WAZAMIAJI ZANZIBAR HUSHTAKIWI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ม.ค. 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" TH-cam channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 100

  • @zakariapaulowiliamuwiliamu1840
    @zakariapaulowiliamuwiliamu1840 4 หลายเดือนก่อน +2

    mzee wetu anajua mengi sana na mamenifungua mengi hongera kwako black and White

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 5 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu mzee Mungu amuweke anaifahamu sana Zanzibar kuliko viongozi waliopo sasa hawa ndio watu tunaowataka ktk uongozi

  • @ahmedalbalushi6239
    @ahmedalbalushi6239 หลายเดือนก่อน

    Halaiki kwanza sisi tuliokuwa tunasoma Pemba tulifundishwa uwanja wa Ndugukitu anakumba Said 😂

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 4 หลายเดือนก่อน +2

    MV MAPINDUZI IHAIKUUNDWA CHINA NI JAPAN KTK KAMPUNI YA NIIGATA Engineering lkn umeme. Lift ya kwanza ILIKUA beiltjaib. Simu ikiwekwa pale Serena hotel.

  • @ndalahwakulwa8758
    @ndalahwakulwa8758 4 หลายเดือนก่อน +1

    John Okello ndio Ali ongeza Mapinduzi akisaidiwa na Tanganyika
    Karume alichomekwa na Tanganyika
    Ndio maana Tanganyika Tanganyika bado inaongoza na kuhakisha Jumbe
    Mwinyi waliwekwa kutawala

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz หลายเดือนก่อน

    Hatuwezi kujivunia mapinduzi kwasababu yalikuwa mauwaji ya wazanzibar kama alivyosema mzee Hashil anaomba radhi walihadaiwa

  • @muddyausi8470
    @muddyausi8470 3 หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda hy hameni mabondeni na wanajibu kijeuri et mumejenga wenyewe kwenye mashamba ya mpunga

  • @user-pf6yw7vh1p
    @user-pf6yw7vh1p 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wahadimu sio wakusini maana ya hadimu ni huduma wahudumu ni watu kutoka bara waliokua wanatumwa mashambani 11:07

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 5 หลายเดือนก่อน +12

    Mr x ndie aliemuuwa karume na ndie alieuwa wazanzibari 12/1/1964 akaweka ukoloni wa kitanganyika laana tullah Nyerere

    • @machaliakulima76
      @machaliakulima76 4 หลายเดือนก่อน +1

      Waliomuua AAKarume ni makomred chini ya uongozi wa Abdulrahman Babu si Nyerere

    • @abdifaraji2883
      @abdifaraji2883 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@machaliakulima76 Watu wanajua lakini wanaogopa kusema tu kuwa kifo kibaya cha Karume Mwalimu alihusika. Mwalimu alikuwa na wasiwasi kuwa hurnda siku moja karume akaitoa Zanzibar katika mungano.

    • @sammarley1413
      @sammarley1413 3 หลายเดือนก่อน

      ​@abdifaraji2883 nyerere alikua adui mbaya sana kwa jamii yawaislam mapinduzi yanzanzibar ndie Alie yapanga nakuuwa waislam wengi kwa kisingizio cakuwapindua eti watu weupe
      Masikitiko makubwa baadhi yawaislam wakashiriki kuwauwa waislam wenzao.
      Nyerere alikula njama na wakoloni waingereza nahivyo wakakubaliana kuleta wanajeshi wa Kenya kuja kufanya mauwaji na Zama hizo hizo ndio ikapacikwa Mombasa kwenye ardhi ya Kenya Mombasa sio Kenya . Lengo kuu ilikua kuangamiza uislam mwambao wa bahari Hindi. Nabada ya hapo ikaletwa hila ya vita vya kagera ili kumuondoa pia Id amin dada.
      Yote haya yalifanyika kwa sirikubwa namasikitiko Hadi Leo waislam wa Tanzania wapo bado tu kwenye ujinga hawataki kujua ukweli Bali wao nikukaririshwa tu

    • @user-nv9to8cq6d
      @user-nv9to8cq6d 3 หลายเดือนก่อน

      Mjinga mpe cheo, wewe ni kubwa jinga

    • @salmaabdu5011
      @salmaabdu5011 3 หลายเดือนก่อน

      @@machaliakulima76 wazanzibari si wajinga kama wewe msione tunanyamaza ila hakuna tusokijuwa nyerere ndio alowatuma na akapanga njama

  • @eddyjabry6939
    @eddyjabry6939 5 หลายเดือนก่อน +2

    Well done Mr.Miraji 🫡 nimefurahi sana.

    • @aliferuzi1537
      @aliferuzi1537 หลายเดือนก่อน

      Lkn. Mimi mdogo mengine kakosea

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 5 หลายเดือนก่อน +2

    A nice interview, full information

  • @georgemkira1720
    @georgemkira1720 5 หลายเดือนก่อน

    Nimejifunza sana kuhusu zanzibar , mahojiano muhimu sana kwa vijana wa sasa

  • @ahmedalbalushi6239
    @ahmedalbalushi6239 หลายเดือนก่อน

    Said Miraji ambae nilisoma nae pamoja mwishoni mwa 70s mpka 81 kule kisawani Pemba

  • @wamisangi2801
    @wamisangi2801 5 หลายเดือนก่อน +3

    Kenya hamna Bora kuna Batta. Bora ya Mwl JKN.

    • @machaliakulima76
      @machaliakulima76 4 หลายเดือนก่อน

      Ndugu nimekukubali, ingawa ni mbara lakini nilikuja Unguja nikiwa na miaka 13, 1969 Disemba 29, lakini nimeikuta Zanzibar iko bado na moto wa mapinduzi, Abeid A.Karume akisema CURFEW wote mnajifugia ndani siku kadhaa isipokuwa jeshi, polisi na mgambo wanatamba nchi nzima, ilikuwa raha kweli kweli.

    • @machaliakulima76
      @machaliakulima76 4 หลายเดือนก่อน

      Viatu vya raba Bora Tanzania na raba Bata na raba za China.

    • @machaliakulima76
      @machaliakulima76 4 หลายเดือนก่อน

      Nimecheza halaiki nyingi za mapinduzi Zanzibar tangu 1970

  • @mamohamed1252
    @mamohamed1252 5 หลายเดือนก่อน +3

    Waliomuuwa Karume hawakusoma Cuba.
    Kwa taarifa yako kwa mfano Humudi alipata mafunzo ya kijeshi Urusi. Fanya utafiti wa kina tusipoteshe.

    • @humphreychristopher8577
      @humphreychristopher8577 5 หลายเดือนก่อน

      Kusoma Cuba na Russia si tofauti kwa kuwa nchi zote mbili hizo za kikomunist zilizalisha makomredi wenye mtazamo komavu na angavu😊

    • @BedroomTvKe
      @BedroomTvKe 2 หลายเดือนก่อน

      Ndugu unamrekebisha mtu aliyekuepo wakati ule

  • @karimdaud3993
    @karimdaud3993 4 หลายเดือนก่อน +1

    Aquarium kubwa Africa ilikua fisheries .abayo wa bara wameivunja.chuo cha uvuvi 😅

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv 4 หลายเดือนก่อน

    Haya hayakuwa Mapinduzi yalikuwa ni mauwaji yaliyopangwa Kwa makusudi kuwauwa Watu na akisaidiwa Na Laana tu Allah Mungu ampe adhabu Kali huko aliko kaburi limbane Sana Kafiri la Kitanganyika.

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe 2 หลายเดือนก่อน

    Kuna mambo mengine nmejifunza leo juu ya kifo cha Mzee Karume, haya mambo sikuwahi kuyasikia kabisa kabisa

  • @ahmedalbalushi6239
    @ahmedalbalushi6239 หลายเดือนก่อน

    Gari za serikali
    SMZ

  • @ahmedalbalushi6239
    @ahmedalbalushi6239 หลายเดือนก่อน

    Mchanganyiko wa watu hao ulowataja ukasahau kutoka Iran
    Ambao babu zetu ndio wametoka na kuingia Zanzibar tokea 1700

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 5 หลายเดือนก่อน +2

    Television ya rangi ya kwanza Afrika

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 5 หลายเดือนก่อน

    Sk,Said Miraj umeekeza historia nzr kwa faida ya vijana wetu.Mungu akubarili sn!!

    • @abdifaraji2883
      @abdifaraji2883 4 หลายเดือนก่อน

      Haijui vizuri historia ya Zanzibar na Maponduzi yake. Vijana waliokuwa katika Police Mobile Force wanayajua vizuri, kwani walikwisha pata habari miezi 2 kabla hayajatokea, lakini walinyimwa silaha na maofisa Wazungu, na wengi wao wakapewa ruhusa ya kwenda kulala majumbani kwao siku ya mapinduzi, yaani late pass.

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey 4 หลายเดือนก่อน +1

    BABA HUMUD ALIMUUA. MUGHERI KWA AJILI KUWATETEA WATU WEUSI YOTE UONGO NA HAKUPEWA ADHABU YOYOTE NA YEYE AKAPEWA HUKUMU YA KIFO

  • @siasia5469
    @siasia5469 5 หลายเดือนก่อน +2

    "Alikuwa Baharia Original "

  • @selemanshayo7126
    @selemanshayo7126 2 หลายเดือนก่อน

    Nimemuelewa san mzee miraji ni mpinzani ila anaongea kweli

  • @mikiothman103
    @mikiothman103 5 หลายเดือนก่อน

    darajani canal imefukiwa 1932 na treni ya znz ilianza 1905 na safari yake ilianzia ngome kongwe ama forodhani na kuishia bububu namueka sawa kidogo.

  • @saqrymo379
    @saqrymo379 3 หลายเดือนก่อน

    Sheikh umesema mengi mazuri lakini mengi hukuyasema ya ubaya. Labda watu Unguja walikuwa na raha. Pemba tulisumbuka sana hasa 1969 - 1972. Njaa ilitupiga vibaya sana mpaka hata vilimo haviwi. Yakaja maduka ya ukoo tukiletewa sembe manjano mafunza watupu. Wapanga foleni ukifika mlangoni unaambiwa limekwisha. Karafuu ilikuwa haina faida mwisho wakaja serikali kuikata ili waPemba wazidi kufa njaa. Wakata mikarafuu kupanda raba na iliki. Iliki haikuwa. Tukaanza kufanya magendo ya kuuza karafuu Mombasa na Tanga ill tupate kula. Akaja Mh Rais Karume, Mtabwe Daya akasema nyie ndio munafanya magendo atakae kamatwa atapigwa risasi. Watu wakipigwa ovyo na watu walowekwa kwenye ubalozi wa nyumba kumi kumi. Ah inatosha Pemba tulipata adhabu sana mpaka leo. 😢😢

  • @fanityubumedia
    @fanityubumedia 5 หลายเดือนก่อน +3

    Duh Zamaradi umempa nini jamaa Kutoka Dar24

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 หลายเดือนก่อน

      Yupo vizuri sana somo yangu huyu

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 หลายเดือนก่อน

      Dar 24 wana watu sana hata maalim Kondo(Shaban Kondo) yupo vzr sana.

  • @ahmedalbalushi6239
    @ahmedalbalushi6239 หลายเดือนก่อน

    Ni propaganda za kudanganya hasa wenzetu wa Tanganyika
    Said ndugu yangu hapa nakuonga mkono kuwazibua viziwi

  • @kassimhaji3238
    @kassimhaji3238 5 หลายเดือนก่อน +1

    Aliyemuuwa rais KARUME ni mr X ambapo hadi leo haijawekwa wazi huyu mr X ni nani

  • @shahidmaftouh1141
    @shahidmaftouh1141 4 หลายเดือนก่อน

    1976 halaiki iliyo shinda ni usalama ❤kutoka wete, ukombozi chake chake 😂

    • @aliferuzi1537
      @aliferuzi1537 หลายเดือนก่อน

      Halaiki ya usalama na ukombozi PIA zilikuwspo Zbar

  • @alijuma7882
    @alijuma7882 5 หลายเดือนก่อน +3

    Maneno mengine anayosema ya uwongo
    Kupata passport utawala wa karume ilikuwa kama unataka kwenda sayari ya mars

  • @machaliakulima76
    @machaliakulima76 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa kifupi kajitahidi kuelezea Zanzibar kuanzia mapinduzi, kaeleza kwa hamasa na fasihi

  • @ahmedalbalushi6239
    @ahmedalbalushi6239 หลายเดือนก่อน

    Na wewe Said wakati tunasoma ulikuwa kiongozi wetu

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s 3 หลายเดือนก่อน

    Nkuulize swali hivi muhammad Shamte sio mzawa na kazaliwa chambani Pemba.

  • @alijuma7882
    @alijuma7882 5 หลายเดือนก่อน

    Tartan ilikuwa baadae sio wakati wa karume

  • @suleimansaid7486
    @suleimansaid7486 5 หลายเดือนก่อน +3

    NI MAVAMIZI NA SIO MAPINDUZI.

  • @HafidhOmar-rs4ty
    @HafidhOmar-rs4ty 5 หลายเดือนก่อน +1

    Saidi miraji siasa vp umerud tna

  • @mbogelabairo4722
    @mbogelabairo4722 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hakika kunavitu ukisikia na kuambiwa kichwa kinakuuma sana. Zanzibar ilikuwa mbele sana sana Nadhan viungozi na siasa imekuwa changamoto ktk maendeleo

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 4 หลายเดือนก่อน

    OKELO KUTOKA UGANDA NDIE ALIYEONGOZA MAPINDUZI, KARUME ALIKUWA TANGANYIKA AKIPAKWA HINA ZA MIGUU NA MIKONO, ACHENI KUDANGANYA WATU!

  • @maomacatta9770
    @maomacatta9770 5 หลายเดือนก่อน +2

    Viatu Bora sio kutoka Kenya ilikuwa kiwanda cha serikali ya Tanzania Bara Pugu Road

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 4 หลายเดือนก่อน

    Viatu vya Kenya ni Bata,sio Bora,Bora ilikuja baada ya kutaifishwa Bata. Bora imekufa,Bata bado ipo na ubora wake upo palepale.

  • @cosmasmilanzi7117
    @cosmasmilanzi7117 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mtu anaijua vema Zanzibar

    • @machaliakulima76
      @machaliakulima76 4 หลายเดือนก่อน

      Sana tu anajua sana lakini mengine kabania bania

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 5 หลายเดือนก่อน

    Karume alianzisha TV ya Rangi ya Zanzibar ya mwanzo Afrika.

  • @victorjeremiah246
    @victorjeremiah246 5 หลายเดือนก่อน +2

    Aliyemuua Bado anaishi au keshatangulia mbere ya HAKI?

    • @machaliakulima76
      @machaliakulima76 4 หลายเดือนก่อน

      Kauliwa siku hiyo hiyo 07.04.1972 pale pale Makao Makuu ya ASP Ijumaa saa 11 jioni, Capt Ali Humoud ndo alomuua AA Karume. Humoud aliuliwa na dreva wa AA Karume

  • @salma_6j975
    @salma_6j975 5 หลายเดือนก่อน +1

    Majina ya miraji tunakuwaga na akili sana

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 5 หลายเดือนก่อน

    cha kushangaza yani nchi yetu hii kila mzee wa miaka hiyo ana sema maisha yalikuwa bora kenye uongozi wa zamani ila sio sasahivi basi tume logwa ama kweli

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 5 หลายเดือนก่อน +1

      Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ndio ulioiharibu Zanzibar bro Muungano ndio kirusi cha Zanzibar kutokukuendelea

  • @hafidhali3020
    @hafidhali3020 4 หลายเดือนก่อน

    Si wengi waliofurahi na mauwaji ya kimbari yayofanywa na wakoloni weusi

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 5 หลายเดือนก่อน

    Wakati wa ujenzi wa Hoteli ya Bwawani Karume hushika Sururu asubuhi na wafanyakazi.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yani hatokei kama karume kwa kweli 😢😢😢 mola amlaze pma peponi

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 4 หลายเดือนก่อน

    Mnona zanzibar isewe nchi kivyake

  • @nassorsubah3100
    @nassorsubah3100 4 หลายเดือนก่อน

    Sio wote wazanzibar

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 4 หลายเดือนก่อน

    Jamaa alitoka dar 24 au?

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kweli inauma unasema kweli mzee kama nayaona uongeayo mana tulikuwa wadogo lakin tulishuhudiyq bibi zetu wakifanya kazi humo mote

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 4 หลายเดือนก่อน

    Treni imeanza Bububu SIO mwembe makumbi
    Bububu mpaka shangani

  • @SaidHassan-wz1px
    @SaidHassan-wz1px 5 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba zake

  • @abdifaraji2883
    @abdifaraji2883 5 หลายเดือนก่อน

    MV Mapinduzi imeundwa Uchina au Japani ?

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 4 หลายเดือนก่อน

    Mtafute jusa...huyo msanii tu...

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa muongo anaongea nn kama anaogopa kusema ukweli

  • @user-sq5mb2gd6x
    @user-sq5mb2gd6x 5 หลายเดือนก่อน

    Unaijuajeehistoria ya mapinduzi wewe kumbe ulikuwa atahaujazaliwa.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 5 หลายเดือนก่อน

    Siasa inatuvuruga

  • @badruabdalla5301
    @badruabdalla5301 4 หลายเดือนก่อน

    Hajui anachokisema

  • @abdulhalimjuma7786
    @abdulhalimjuma7786 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu anatafuta mchongo

  • @user-sq5mb2gd6x
    @user-sq5mb2gd6x 5 หลายเดือนก่อน

    Wewe mzee ukweli bado hujasema kifo cha mzee karume.

  • @humphreygodfrey5400
    @humphreygodfrey5400 4 หลายเดือนก่อน

    Zanzibar ni Tanzania 🇹🇿 hao watu unaowasema ni Waarabu,wahindi, wa Iran nk hao wote ni foreigners, Zanzibar, Pemba nk hii ni Tanzania 🇹🇿 hakuna kitu kinachoitwa wazanzibar, wapemba.

    • @rashidsuleiman9253
      @rashidsuleiman9253 4 หลายเดือนก่อน

      Zanzibar ipo na itakuwepo. wazanzibari wapo na wataendelea kuwepo. Kama hutaki rudi kwenu Tanganyika

  • @alikashmir2983
    @alikashmir2983 4 หลายเดือนก่อน

    ,,,,,,,,

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 5 หลายเดือนก่อน

    karume na nyerere ndio walikua viongozi kweli bwana saahivi hakuna viongozi

    • @abdifaraji2883
      @abdifaraji2883 5 หลายเดือนก่อน

      Nyerere alikuwa mtawala, Karume alikuwa Kiongozi baye Watawala walikuwa hawampendi, wakiogopa asije kuvunja Mungano aliolazmishwa kuingia.

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 4 หลายเดือนก่อน

      Hata samia na hussein .
      Ndio maendeleo yanafufuka sasa mola awaweke AMEEN

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 5 หลายเดือนก่อน

    Karume kauliwa kwa sababu alitaka kuuvunja muungano

  • @iddiyrashid1682
    @iddiyrashid1682 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa imekuwa nyuma kama mkiya