ALLAH akulipe kwa mujibu wa amali zako,KAMA NYERERE hukukuchongea michongo ya kukuuwa Zanzibar tusingekua na unyonge huu tulonao. baba huko uliko ujue koti alivuki na limetubana haswaaaa
Huyo ndio aliyepoteza uhuru kamili ya wazanzibari NA kuleta ukoloni wa nchi jirani kwa sababu ya maslaha yake kasababisha kuuliwa watu raia bila ya hatia hatia wakati ilikuwepo serekali ya halali halali ilichaguliwa nawenyewe NA wazanzibari wenyewe ilitoka uvamizi kutoka tanganika nyerere NA ungereza
ALLAH akulipe kwa mujibu wa amali zako,KAMA NYERERE hukukuchongea michongo ya kukuuwa Zanzibar tusingekua na unyonge huu tulonao.
baba huko uliko ujue koti alivuki na limetubana haswaaaa
Mungu akurehemu Mkombozi wetu,baadala yako wamekuja wengine Wana nyoyo tofauti na zako.
Namuamini Allah tuu akisema kun fayakun inshaallah
Safi sana
Mungu amuhifazi shujaa abedi karume kapambania haki ya zanzibar
Allah atupe salama kwahii znz ya leo
Mm hukaa na watu wanajidai ccm mfano km mm ula hawana uchungu na nchi hata kidogo wao wapo kimaslahi tu
Huyo ndio aliyepoteza uhuru kamili ya wazanzibari NA kuleta ukoloni wa nchi jirani kwa sababu ya maslaha yake kasababisha kuuliwa watu raia bila ya hatia hatia wakati ilikuwepo serekali ya halali halali ilichaguliwa nawenyewe NA wazanzibari wenyewe ilitoka uvamizi kutoka tanganika nyerere NA ungereza
The biggest criminal nyerere in east Africa he killed Zanzibar people because of them country.
Hao wanao jita ccm ndo hao akina okello bado wapo zanzibar
like
That was the really aim of the revolution of Zanzibar ::: freedom!!!
Pastory.
Kawaulize.
Hanga. Saleh sadala.
Othman Sharif.
Twala. Jaha. Freedom gani walipata
Leo tunaletewa doza Nungwi jomba si ndo dhulma
Best of Zenjbar rest in peace
Karume alikua mjinga sana baharia kadanganwa NA nyerere nyerere ni mjanja sana mwehu tu
Naskitika damu za waislamu wengi zime mwagika kwa huyu jamaa
Karume alikua akipiga kofi kwenye harusi hakujua kama mshenzi mwana wa mshenzi fisadi Nyerere anamuoa.
Ah mwenyez mungu hakosei lakini kifo chako faza kei ndio pigo kubwa kwa wazanzibar na sijuw kama ipo siku tutapat mtu kama wewe
Kapoteza uhuru wazanzibari akaleta utawala wa tanganika ikapotea nchi baada ya kupata uhuru kamili kutoka ungereza sasa wanalia
BASI HATUNA UHURU MAANA DHULMA ZIPO KUOGOPA TUNAOGOPA KIUFUPI TUMERUDI KULEKULE NA TUNA ANGALIA TUU!
Mungi amlipe kwa amali zake adui mkubwa wa Zanzibar alipinduwa kwa tamaa yakutaka madaraka nae akapinduliwa mpinduzi kapinduliwa
Una kichaa wewe
Xx xx