KARUME DAY: MKE WA KARUME ASIMULIA MUMEWE ALIVYOUAWA KIKATILI - "NILIKUWA NATOKA SHAMBA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
  • KARUME DAY: MKE WA KARUME ASIMULIA MUMEWE ALIVYOUAWA, "NILIKUWA NATOKA SHAMBA"
    LEO Aprili 07, 2021 Tanzania inaadhimisha siku ya Mashujaa (Karume Day) , ambapo maadhimisho hayo yameongozwa na Rais wa Jmhuri ya Muungano wa Tanzania Marais wa Tanzania bara na visiwani, Samia Suluhu Hassan na Dkt Hussein Mwinyi.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 121

  • @hudaasaalim1333
    @hudaasaalim1333 3 ปีที่แล้ว +15

    Nae aliuwa watu walikuwa hawana hatia pia kisa mapinduzi. Kwa hio malipo pia ni hapa.hapa duniani ivo ivo kwa waliowauwa

    • @marygregory7566
      @marygregory7566 3 ปีที่แล้ว +2

      Muwe na ustaarabu kwenye mitandao sio kuropoka mambo mazito kama hayo na ikiwa huna ushahidi ...tambua hizo comment zinasomwa na watu wengi..hata kama ni kweli jifunze kunyamaza mambo mengine

    • @fey-oq4ro
      @fey-oq4ro 3 ปีที่แล้ว +3

      Tunyamaze kwavike waliouliwa sio wazee wako Ndiomana sisi mpaka saiv tuna majonzi kwa mauaji waliyofanyiwa mababu zetu Na mabibi zetu Na haitofutika daima Allah atatulipia kwa hilo

    • @hudaasaalim1333
      @hudaasaalim1333 3 ปีที่แล้ว +1

      Labda nayeye ni katika hao wauwaji. tunyamaze na wakati wazee wetu waliuliwa bila ya kosa.

  • @shamzone388
    @shamzone388 3 ปีที่แล้ว +5

    Nakumbuka tulikuwa wadogo mchana dhuhur tumekaa kula chakula cha mchana ikatangaziwa kwenye radio....

  • @ahmedaljabri1206
    @ahmedaljabri1206 3 ปีที่แล้ว +5

    Bibiyangu kumbe bado unakumbukumnbu mwenyezimngu akupe maisha malefu

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib4678 ปีที่แล้ว

    Mimi. Ni. Daudi. Khatibu. Nimependa. Ssnna. Hii. Habarii. Mulikuwa. Sijaifahamu

  • @saeedal-awen2190
    @saeedal-awen2190 3 ปีที่แล้ว +1

    Fatma karume mtupu

  • @osmandemebele3335
    @osmandemebele3335 3 ปีที่แล้ว +5

    Mama bado yupp na kumbukumbu kama kazaliwa mwaka 70 vile mie leo nina 24 lakin mambo mengi sikumbuki

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 3 ปีที่แล้ว

      Inawezakanabhii video ya miaka iliopita sio leo

  • @chidymswti3604
    @chidymswti3604 3 ปีที่แล้ว +6

    At her age...I just love how she explains the story...wow

    • @franklinalonzo3657
      @franklinalonzo3657 3 ปีที่แล้ว

      i guess it is kinda off topic but do anyone know a good site to watch newly released tv shows online?

    • @houstonbrysen7755
      @houstonbrysen7755 3 ปีที่แล้ว

      @Franklin Alonzo lately I have been using FlixZone. Just google for it =)

  • @fadiasly3048
    @fadiasly3048 3 ปีที่แล้ว +4

    Pole sana ma fatuma karume mwenyezi Mungu akupe umri mrefu bibi yetu kipenzi tunakupenda sana mwenyezi Mungu akupe umri said

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 3 ปีที่แล้ว +4

    Mungu atawalipa tu .kwani nao watakufa tu

  • @JamillahKihange
    @JamillahKihange 8 หลายเดือนก่อน

    Innalillah wainnaillahi rajuuun kull nafsi zakalltu mauti mbele yake nyuma yetu

  • @zakiaathuman3636
    @zakiaathuman3636 3 ปีที่แล้ว +20

    Dahh huyu mama ana mwili mzurii🙌na anakumbuka kila kitu

  • @hamishemed9396
    @hamishemed9396 3 ปีที่แล้ว +15

    Maneno mazito hayo mwenyezi Mungu akupe
    Maisha marefu

    • @lucyhussein7126
      @lucyhussein7126 3 ปีที่แล้ว

      Pole mama yetu mungu azid kukupigania amina

  • @jnovati3952
    @jnovati3952 3 ปีที่แล้ว +1

    Anaongea Kama mjukuu wake fatma

  • @anithaumukundwa2510
    @anithaumukundwa2510 2 ปีที่แล้ว

    Kuwa naadabu mama wawatu unamwita maraya kwanini

  • @subiramohd1895
    @subiramohd1895 3 ปีที่แล้ว +5

    Alomtengenezea mauti hakujua mbele yake ni nyuma yakee yuko wapi sasa atamlipa nafsi yake huko aliko vipi atamlipa mungu ndo anajua muhimu ni dua tuu

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 3 ปีที่แล้ว +2

      Kaua na yy kauliwa watalipana mbele ya safari huko.

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 ปีที่แล้ว

      @@alhamdulillah5796 mhmm

    • @masoudzanzibarali9994
      @masoudzanzibarali9994 3 ปีที่แล้ว +1

      Mkosha Ukoshwa vipi wale alokua akiwapeleka Kuchunga Ng’ombe alafu hajawarejesha tena na wao waliwacha Familia zao

  • @priscamedadi1108
    @priscamedadi1108 3 ปีที่แล้ว +10

    Kumbe kuuwawa. Viongozi bora hakujaanzaa Leo. Mungu dhihirisha watu waovu wanao katili ndoto za wanyonge kutimia

    • @dawaseif3699
      @dawaseif3699 3 ปีที่แล้ว +1

      Aamin

    • @yunusali9514
      @yunusali9514 3 ปีที่แล้ว +1

      Allah akutiye nguvu mama yangu,kweli inauma sana,

  • @Kidotii
    @Kidotii 3 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana Mama! R.I.P Mzee Karume

  • @abelmirwatu544
    @abelmirwatu544 3 ปีที่แล้ว +1

    Dah? Maelezo mazuri but mafupi.

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 3 ปีที่แล้ว +1

    Oooh mom pole 😭😭😭😭

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 3 ปีที่แล้ว +1

    Allah Amrehemu, Pole Mama.

  • @ayshaabrahaman6068
    @ayshaabrahaman6068 3 ปีที่แล้ว

    Allah atampa Rehema ktk makazi yake ya milele. Ametufanyia mengi mema kwa wazanzibari. Daima tunakumbuka mema yake. Mzee Karume RIP Alhamdulillah.

  • @josephjames3444
    @josephjames3444 ปีที่แล้ว

    Apumzike kwa Amani Mzee Karume

  • @mwanaidimuhindi6671
    @mwanaidimuhindi6671 3 ปีที่แล้ว +3

    Ina maana tangu mumewe afariki hakuolewa tena 🤔

    • @beautyibrahim8428
      @beautyibrahim8428 3 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂Kwan mke wa nyerere kaolewa

    • @mwanaidimuhindi6671
      @mwanaidimuhindi6671 3 ปีที่แล้ว +1

      @@beautyibrahim8428 sasa huyu mume wake alikufa tangu miaka ya 70 huko

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 3 ปีที่แล้ว +1

    Inaa lillah waina illayih rajioni

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 3 ปีที่แล้ว +2

    Mazito kama dhulma mtu kaifanya kesho atajibu

  • @jaqlinemanyama6705
    @jaqlinemanyama6705 3 ปีที่แล้ว

    Dah kifo hiki kisikie tu maana kikifika kwa mtu wa karibu utaona Kama umeonewa

  • @charlesgasper2243
    @charlesgasper2243 3 ปีที่แล้ว

    Afadhari wema hawangalipo. Maana huishia kuuawa tu na wawakilishi wa shetani!!!

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 3 ปีที่แล้ว +3

    Walimuuwa ili watutawale

    • @omaridarus8847
      @omaridarus8847 3 ปีที่แล้ว +1

      Wallah washenz wakubwa leo wana2buruza wazanzibar mungu atawalaan washenz hawa

    • @fat-hiyaharmisuleiman2907
      @fat-hiyaharmisuleiman2907 3 ปีที่แล้ว +1

      Mlimu wona muwarabu mbaya sasa wahadimu wenyewe kwa wejewe

  • @kingsuleiman7201
    @kingsuleiman7201 3 ปีที่แล้ว +2

    Jamani huyu Bibi Bado yupogo2 kwanini wanawake hawafi halaka?

    • @beautyibrahim8428
      @beautyibrahim8428 3 ปีที่แล้ว +5

      Hahahaa tykifa haraka watoto nan atalea sada mungu mkali bhn wanaume mnamambo mengi ndio maana mungu nae anawaondoa haraka anatuacha tuendeleee kulea watoto

    • @kingsuleiman7201
      @kingsuleiman7201 3 ปีที่แล้ว +1

      @@beautyibrahim8428 sawa bana wewe unapatikana wapi

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 3 ปีที่แล้ว

      We mjinga..video ya zamani..yawezekana kaolewa mdogo

    • @dashuusaalim1943
      @dashuusaalim1943 3 ปีที่แล้ว

      Kwa sbb tunakosha kosha vyombo

  • @jnovati3952
    @jnovati3952 3 ปีที่แล้ว

    Kumbe huyu Bibi ni mjanja sana

  • @anawa4326
    @anawa4326 3 ปีที่แล้ว +1

    Pôle sanaaa mama Fatma

  • @rehemaamony6835
    @rehemaamony6835 3 ปีที่แล้ว

    Kumbe aliuliwa!

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 3 ปีที่แล้ว +1

    Pole mamaangu

  • @kwayayamt.mariaconsolatasu4773
    @kwayayamt.mariaconsolatasu4773 3 ปีที่แล้ว

    R.I.P Our president

  • @rashidngwawile9062
    @rashidngwawile9062 3 ปีที่แล้ว

    Inasikitisha kweli

  • @fahyma46
    @fahyma46 3 ปีที่แล้ว

    Huyu mama anatema cheche

  • @AlesiusAndrea1991
    @AlesiusAndrea1991 3 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi Mungu ampokee kwenye Nuru ya uso wake

  • @shangwekamando2599
    @shangwekamando2599 3 ปีที่แล้ว

    Video ya Muda mrefu

  • @festuschunya7067
    @festuschunya7067 3 ปีที่แล้ว +1

    Walimzuia first lady!!

  • @iddothmani3273
    @iddothmani3273 3 ปีที่แล้ว

    Pole San Bibi etu

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 3 ปีที่แล้ว +3

    Dah pole sana mama mwenyezi Mungu azidi kukupa afya njema

  • @zuleajuma7297
    @zuleajuma7297 3 ปีที่แล้ว

    maneno hayo sasa

  • @nshimirimanabora180
    @nshimirimanabora180 3 ปีที่แล้ว +1

    Aliaca watoto wangapi ?

    • @darweshsaid2151
      @darweshsaid2151 3 ปีที่แล้ว

      Hutu bibi kazaa 2 laminitis Mzee Karume alpaca wajane 4 Katie ya has watatu wamezaa kill mmoja motor mmoja mmoja wa Mike laminitis historia imewafuta hawajulikani.

    • @junaytadarwesh4708
      @junaytadarwesh4708 3 ปีที่แล้ว +2

      Mzee Karume kazaa 2 na huyu bibi. Lakini alikua na wake wengine kati ya hao 3 walizaa kila mmoja mtoto mmoja mmoja wa kike wote. Lakini ndio hawajulikani historia imewafuta. Kuna Ahad, Asha na Aksa hao wa kike.

  • @lottekisawoi3038
    @lottekisawoi3038 3 ปีที่แล้ว

    Unafanana na mwanao Fatma mwanasheria

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 3 ปีที่แล้ว

    🎩🙏🏾

  • @khamismohd8616
    @khamismohd8616 3 ปีที่แล้ว

    Pole mama

  • @lidiaashu828
    @lidiaashu828 3 ปีที่แล้ว

    😕😕😣😕😕

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah

  • @imranndal9493
    @imranndal9493 3 ปีที่แล้ว

    Mbona hawezi kujistiri kichwa na network bado anayo,hii ni kiburi kwa dini

    • @danielmathias160
      @danielmathias160 3 ปีที่แล้ว

      Jistiri mjuavo hata ubaki macho tu ila Ukiwa mchafu wa matendo ni bure

    • @imranndal9493
      @imranndal9493 3 ปีที่แล้ว

      Matendo tumuachie mhukumu, Mwenyezi Mungu ila utaratibu wa dini ya uislaamu lazima ufuatwe

    • @danielmathias160
      @danielmathias160 3 ปีที่แล้ว

      @@imranndal9493 matendo umwachie Mungu? Haya sawa.

    • @emmanuelescabar7269
      @emmanuelescabar7269 3 ปีที่แล้ว

      Acha uduanzi wewe

    • @emmanuelescabar7269
      @emmanuelescabar7269 3 ปีที่แล้ว

      Kiburi ulimpa wewe

  • @ivaniavianarodrigo7201
    @ivaniavianarodrigo7201 3 ปีที่แล้ว +3

    duu hatari sana!!.

    • @aminaibrahim4148
      @aminaibrahim4148 3 ปีที่แล้ว

      Maneno mazito mungu akupe afya njema na mwisho mwema

  • @alphoncekagoshi941
    @alphoncekagoshi941 3 ปีที่แล้ว

    Huyu mama Mungu ampe faraja

  • @mustyboymaalim2070
    @mustyboymaalim2070 3 ปีที่แล้ว

    Poleni sana mama

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 3 ปีที่แล้ว +1

    Nashangaa sana marais wanakufa lakini mademu zao mpaka Leo wapo sijui kuna siri gani hapa aisee 😬😬😬

    • @baiaaa2809
      @baiaaa2809 3 ปีที่แล้ว +1

      Mipango ya mungu

    • @frediricknandonde1690
      @frediricknandonde1690 3 ปีที่แล้ว

      🙏🙏👍

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 ปีที่แล้ว +3

      Wape HESHIMA zao
      Hao sio MADEMU ni MAMA zetu

    • @dashuusaalim1943
      @dashuusaalim1943 3 ปีที่แล้ว

      Kitoto kukiolewa na mzee unataraj nin ww ingawa mauti hayachagui lkn uivao ndo uvunwao

    • @imranndal9493
      @imranndal9493 3 ปีที่แล้ว

      Wanaume wanakufa ovyo ovyo juu Wana majukumu mingi ya kutafuta dunia yao

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 3 ปีที่แล้ว +3

    HUYU BIBI YAKE FATUMA KARUME HAJUI KUJISITIRI KAMA MJUKUU WAKE VINYWELE CHWEEE

    • @annaheggidy7858
      @annaheggidy7858 3 ปีที่แล้ว +1

      Acha wivu

    • @ireneassey753
      @ireneassey753 3 ปีที่แล้ว +1

      Kamfunikeee

    • @fatmamakalo3068
      @fatmamakalo3068 3 ปีที่แล้ว

      Mwacheni mama wawatu kwanza hangalia humri wake bado yupo smati mzuri mashaa Allah mungu azidi kukupa afya njema

    • @mariamufungo9619
      @mariamufungo9619 3 ปีที่แล้ว +1

      Huyo ni mtu mzima na pia isitoshe alijiona kuwa yupo ndani kwake

    • @fatmamakalo3068
      @fatmamakalo3068 3 ปีที่แล้ว +2

      @@mariamufungo9619 kweli kbc usemalo

  • @samjuniortz2559
    @samjuniortz2559 3 ปีที่แล้ว

    Uyu inaonekana kwwnye ubinti wake alikuwa malaya sana.. !!!!!!!!

    • @shamzone388
      @shamzone388 3 ปีที่แล้ว +2

      Wewe jama nan unaesema kama yaonesha alikuwa malaya
      Muulize mama yako alibeba vipi mimba yako
      Mtukane mama yako halafu ndio umtukane mama wa mwenzako
      Maana woote ni mama

    • @safiyasafiya5014
      @safiyasafiya5014 3 ปีที่แล้ว +3

      Kweli huna adabu unawezaje kumtukana mama wa mwenzio hata aweje na ni dhambi kubwa kumdhania asio kua nayo astaghfirullah l adhiim

    • @safiyasafiya5014
      @safiyasafiya5014 3 ปีที่แล้ว

      Muogope mungu ndio atakae hukum sio wewe kwa maneno mabaya

    • @tahiraabdul1701
      @tahiraabdul1701 3 ปีที่แล้ว +1

      @@shamzone388 nastaajabu Kwa hii kauli,omba msamaha haraka,dah!

    • @sabraabdilnasir8826
      @sabraabdilnasir8826 3 ปีที่แล้ว +1

      Muogopeni allah usiseme tu unaushahidi