Mungu akubaliki unaongea vitu halisi ndio mambo yaliyopo kweli kabisa kuna siri kubwa imefichwa tunaambiwa ni watu wenye akili lakini wapo wanaofundishwa na hao viumbe na wao wanafundishwa na kunafanywa siri kuipata hiyo elimu wanaojipendelea sanaa
Hususani kitabu cha walawi,ni master key kwa mambo ya majini,na mapepo,,wanayoijua siri ya kitabu hcho ndo wanaouwezo wakuwatawala majini,,mfalme solomoni alifunuliwa mafumbo yote yakitabu cha walawi,ndo maana alikuwa gwiji wa hvyo viumbe
Yote unayosema UKISHIKAMANA NA QURAAN, MWENENDO WA MTUME KWA UFAHAMU WA WEMA WALIOTANGULIA (Salafy) hakuna wa kupotea. (Najua hata wewe unaafiki hilo) Hiki ndicho kipindi alichosema mtume kuwa ZISHIKENI/ZIUMENI sunnah zangu kwa magego. Yaani msiyumbishwe. Kwahiyo kwa mwisilamu wa kweli hapo hakuna jipya maana hatuabudu pesa,tamaa, chuki,kibri, fitna, roho mbaya, nk zote ni amali za shetwani, So ibilisi ni kiumbe dhaifu sana kwa mwenye imaani, Allah kasema ibilisi atawapoteza wenye imaani dhaifu na ndio ataingia nao motoni.
Kwani huna shehe wakumsikiliza hadi umsikilize mkristo ?tena uliza historia ya huyo unaemuita wamichongo ww kasome kuran iliyodondoka toka juu mkaona ni kitabu cha Mungu mana ht shetani alidondoka pia
hakuna muislam anae kubali mapepo,na uelewe mungu anasema ktk Qu-raan kuw nimeumba majini na wanadamu ili waniabudu lakn kama unavoona wanadamu kuna wanao muabudu mungu na wengne laa! hivyo basi hata majini wako hivo, ni elimu pana sana inahitaji mtu usome ili uujue ukweli.
Majini kote Wapo na tumekatazwa tusiwafate ndo maana iunaona hata Kuna manabii wanamtumia Lucifer..makanisa I basi na kwenye uislam hvyohvyo Kuna wanaowafata hao Majini lakin Quran imekataa ndo maana tunaanza Kwa kumlaani shetani
Vipi nabii wa michongo ilisema hijja haitofanyika Tena mpaka kiama kitasimama Acha kuwashota watu akili Zao utawadanganya hao hao makafiri na haleluya zenu sisi waislam tumesha kukataa kafiri mkubwa ww
Mungu akusaidie hauko mbali na Ufalme wa Mungu
Ubarikiwe sana mwl kwa somo zuri sana watu wa MUNGU Tunaendelea kufumbuliwa macho na mwl
Nabii Eliya uko vizuri sana kwenye hili somo
Amini asante muumba kutufunulia katika fahamu zetu kujua na kuamini kuwahuyu ndie nabii Eliya
Amen
Ni hatari Bwana Yesu kristo atusaidie kabisa, ju nihatari kwa sasa.
Nafatiria sana mtumishi lafundisho yako ndio maana yesunhakuzariwa Kwa mahusiano ya mke na mume😊
Amin
Shida hii ya ulawiti inatokea Maccer.
Kama wewe ni nabii wa Mungu sogea mbele za Mungu utajulishwa hili na mengi yatokayo Maccer
Amina
Asante mwalimu kwa Elimu hii nzuri,,barikiwa sana
Mungu akubaliki unaongea vitu halisi ndio mambo yaliyopo kweli kabisa kuna siri kubwa imefichwa tunaambiwa ni watu wenye akili lakini wapo wanaofundishwa na hao viumbe na wao wanafundishwa na kunafanywa siri kuipata hiyo elimu wanaojipendelea sanaa
Tunashukuru kwa SoMo zuri mtumishi wa mungu
You teachings are good
Unaposema Bwana wetu Yesu Kristo nasikia raha hadi kwenye mifupa
Ee
Uwo uwongo
@@ommydimpoz4391 Yesu ndiye Bwana wa yote duniani na Mbinguni
Majini yaliishi duiani kabla Adamu zaidi ya miaka millions 2 sio elfu mbili.
Assante nabii🙏🙏🙏
Hususani kitabu cha walawi,ni master key kwa mambo ya majini,na mapepo,,wanayoijua siri ya kitabu hcho ndo wanaouwezo wakuwatawala majini,,mfalme solomoni alifunuliwa mafumbo yote yakitabu cha walawi,ndo maana alikuwa gwiji wa hvyo viumbe
Yani rafiki yangu huyu bhana nafurahi sana anavyoongea
Nimekuelw sana Mtumishi
maelezo mazuri
Somo zuri
👊✌️
Alhadulilaah,
Nazidi kupata uzima wa milele.
M/Mungu akupariki umtumikie M/mungu wa haki.
Ufalme wa Mungu Usimame
Amin
Hakika huyu ni nabii wa kweli
Kwa hiyo kama wachungaji wanaponya kupitia majini na na yesu alikuwa anaponya kupitia nini
Mada nzito sana
WEE MWENYEO HANISI
Nikweri kabisa ao ndo wenye wanafundisha binadamu mambo yote mabaa
Mbinguni ni mahali pa utambulisho wa uhai wa kila kilicho hai duniani.
𝑺𝒂𝒏 𝒒. .𝒛 𝒏 . 😢
Umeanza vzr shekh hapo kwenye kufa yesu una uelewa 0% kwa mujibu wa Qur An
Yote unayosema UKISHIKAMANA NA QURAAN, MWENENDO WA MTUME KWA UFAHAMU WA WEMA WALIOTANGULIA (Salafy) hakuna wa kupotea. (Najua hata wewe unaafiki hilo)
Hiki ndicho kipindi alichosema mtume kuwa ZISHIKENI/ZIUMENI sunnah zangu kwa magego. Yaani msiyumbishwe.
Kwahiyo kwa mwisilamu wa kweli hapo hakuna jipya maana hatuabudu pesa,tamaa, chuki,kibri, fitna, roho mbaya, nk zote ni amali za shetwani,
So ibilisi ni kiumbe dhaifu sana kwa mwenye imaani, Allah kasema ibilisi atawapoteza wenye imaani dhaifu na ndio ataingia nao motoni.
Sasa mbona unamfatilia😂
Kwani kumfuatilia ni kosa😟😟
@@ramadhanmataba8116 kafatilie mashehe wk yaan waislam povu linawatoka kwa wakristo hadi basi hatuamini watengeza majini mapepi
@@ramadhanmataba8116 unamsikizaje nakumfatilia usiemuamini looh mnakz karibun Mwanamume Yesu atarudi kwamara ya pili wkt huo mtume kalala tu
Ambae amemsikia huyu nabii wa michongo akisema kwamba yesu ni mwanadam naomba like zenu
Kwani huna shehe wakumsikiliza hadi umsikilize mkristo ?tena uliza historia ya huyo unaemuita wamichongo ww kasome kuran iliyodondoka toka juu mkaona ni kitabu cha Mungu mana ht shetani alidondoka pia
Katika ujio wa kwanza, Yesu alikuja ktk mwili na ujio wa pili Yesu anakuja katika Roho.
Mwenyezi Mungu akusaidie kuelewa
Ni kwamba Manjini na Mapepo na Ibilisi Wana wivu kwa wanadamu nabii ?
Hauko sahihi muongo
Nani aliwaumba hao majini hiyo elimu wewe ulipata wapi
Subuhanallah Hamza upo kwani usha badili kuwamkiristo. Allah akurudishe kwenye uislam naona kama haukosawa eti jinalabwana
Kapata neema kubwa sana ya kujua Yesu ni Bwana
Kapata neeema mm nilipomtazama tu nikajua alikuwa kwenye dini ya majini
@@irenekaluse3213saiv atakua kaingia kwenye Dini ya ushoga
Kumbe walifanya uzinzi mm nilidhan walikula tunda kwer
Waliofanya ulawawiti ni majini, na waliokula tunda ni adam na eva
Huyu hamna kitu bwana mana haeleweki kama mkristo au mwislamu 😂😂, kwa mimi namuona mpiga zogo tu
Haikuhusu huna mashehe wakuwasikiliza hd umsikilize huyu kaumbe majini huko
Ninyi mnaye mpinga mna chuki binafsi za kuwazia udini ,hakika uislamu utawaueni na kuwaprleka jehanam
NINAKIU YA KUTAKA KUWA MSHIRIKA WAKO! NIKO MWANZA!
Amen nipigie +255714750521
@@nabiiilyaaseliya2551 ipi siku sahihi ya kuabudu kwa mkristo?
@@jacksonwaitoro7920 matendo 20:7
Sasa waislam wameyakubali majini na uku wanataka kuwachinja mashoga 😂😂😂😂
hakuna muislam anae kubali mapepo,na uelewe mungu anasema ktk Qu-raan kuw nimeumba majini na wanadamu ili waniabudu lakn kama unavoona wanadamu kuna wanao muabudu mungu na wengne laa! hivyo basi hata majini wako hivo, ni elimu pana sana inahitaji mtu usome ili uujue ukweli.
Majini kote Wapo na tumekatazwa tusiwafate ndo maana iunaona hata Kuna manabii wanamtumia Lucifer..makanisa I basi na kwenye uislam hvyohvyo Kuna wanaowafata hao Majini lakin Quran imekataa ndo maana tunaanza Kwa kumlaani shetani
@@sadikathumani1003 weeeweeee shetani kalaniwa toka zk munaandika vitabu kuumba majini kilasiku
Sikukuuvya ya kuchinja mwachinjia majini tunajua msituingize kwenye ujinga wa mtume wenu ambae hajui siku za mwisho atafanywa nn
@@irenekaluse3213 ok, mwisho wa siku kila mtu atahukumiwa kwa mtendo yake, as long as unaamini mungu yupo.
Vipi nabii wa michongo ilisema hijja haitofanyika Tena mpaka kiama kitasimama Acha kuwashota watu akili Zao utawadanganya hao hao makafiri na haleluya zenu sisi waislam tumesha kukataa kafiri mkubwa ww
Kafiri km ww muamini majini ambae hata mtume wako hajui atafanywa nn ck za mwisho
@@irenekaluse3213 nilijua2 makafiri watajibu na Uislam unasema asiekuwa muislamu huyo ni kafiri na wewe ni miongoni mwa makafiri
Kafir mkubwa wewe mwana wa majini
Amen
WEE MWENYEO HANISI
WEE MWENYEO HANISI
WEE MWENYEO HANISI
WEE MWENYEO HANISI
WEE MWENYEO HANISI
WEE MWENYEO HANISI
Amen
WEE MWENYEO HANISI
Muislam unavyotukana Mimi utanishawishi vip kuwa muislam?