Hakika mwenyezi MUNGU hunena na watu wake kwa nyakati na majira yake ,Asante sana Nabii Eliya baba yangu, Neema na Baraka zote za Bwana zizidi kukuangazia nyakati hizi.
Acha uongo wewe vita ya gogu na magogu haitapiganwa Bali yesu ataamuru Moto utashuka kutoka mbinguni na kuwachoma wa mataifa , na hapo ni baada ya miaka 1000 ya utawala wa Yesu shetani atakapofunguliwa kutoka kuzim
@@melkizedekiwiliam5533 kasome vizuri Acha kuongea utumbo vita itakayopigwa ni Almagedon, ILA gogu na magogu yesu ataamuru Moto ushuke nakuwachoma wamataifa
Ufafanuzi wake wa maandiko unavutia kusikilizwa ninakushauri utubu na usiwe vuguvugu uwe mkristo kamili ujifutie jina la unabridged ujiite muhubili na hakika unamtangaza yesu vizuri .ubalikiwe.hakika kwa mahubiri yako utaokoa wengi .Aliye na sikio na asikie
Hao wanaojiita manabii kwa agano jipya ndo hao waganga wa kinyeji ,lakini naona utapotosha wengi hasa waamini wako Ila unahitaji maombi makubwa ili uelewe bibiliaa binafsi naona kama kiki ya kupata pesa na sadaka za waamini
Jerusalem n mji mtakatfu makka ni kitofu cha dunia, wakat mtume Muhammad alienda kuchukua swala 5 za ulimwengu alipitia makka aliswal lakka 2 na roho za mitume wote ndipo alienda bingun, makka ni kitof
Israel wa Mungu wa siku za mwisho ni wale wakristo wanaoshika amri za Mungu Na Imani ya Yesu, ikiwamo Na Sabato ya Bwana, vita ya mwisho itajikita zaidi ktk Siku ya Kuabudu pale ambapo Upapa ukiongoza ulimwengu wote watapitisha sheria inayoitwa SUNDAY LAW Na hiyo ndiyo alama ya mnyama soma ufunuo 13 yote. Kisha tafuta Kitabu kimoja kinaitwa ," THE GREAT CONTROVERSY ", By Ellen G. White , zaidi sana ujikite ktk ile Sura yenye kichwa, THE IMPENDING CONFLICT.
Harmaggedon sio vita halisi inayotumia silaha. Ni dhifa ya Mungu mahali ambapo mipango yote ya uasi inawekwa kwenye Sinia, Waasi wote watakuwa kitoweo.
God is God who keeps His promise what he promise to Abraham and Israel was don't destroy still the chosen nation of God together with those who believe the message of messiah ungesema wokofu si tu ya waisraeli Bali ni ya wale wamwaminiye yesu kristo
Yesu au ISSA mtoto wa Maryam anasema na kuwaambia ndugu zake hivi ,wakujuwe wewe kwanza MUNGU wa pekee na Kisha mm yesu au ISSA ulienituma au mm ISSA au yesu mja wako Hapo tunajufunza kuwa muungu ni mmoja pekee hapaswi kushirikishwa na kitu chengine na hata huyo yesu anajitambua kuwa yeye si katika sehemu ya uungu ,yeye ni binadamu aliyechaguliwa na mungu kuwa mtume au nabii wa Wana wa Israeli kwa wakti huo na Kisha kabla ya kuondoka kwake kuchukuliwa na mungu alipomnusuru na watu wabaya alikuwa wanataka kumua msalabani ambawo walikuwa ni Dola ya Roma au roman empire waliokuwa wakishikulia nchi ya palistina au Israel ya Sasa wakishirikiana na wasaliti wa ndugu au wafuasi wa nabii ISSA
Wewe Unaejiita Nabii Eliya umekufuru hakuna unabii baada Nabii wa mwisho kutummwa na mwenyezimungu Nabii Muhamadi nahuyu alitabiriwa Nabii ISSA nahaya nnayosema yamo katika Biblia ya Asili nyinyi mnaujua ukweli lakini bado mnapinga nyinyi nyote ni wapinga kristo nyinyi ndio manabii wa uongo mlio tajwa na yesu kristo waislamu manawakataa Leo lakini ikosiku mtajua wao ninani
Kama umemsikiliza vizuri, kasema Israel maana yake ni Mtu au watu wanao amini kifo na ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo. Wayahudi ambao ndio ni wakazi wa nchi ya Israel hawamwamini Yesu Christo.
Vita ya gogu na magogu ni baada ya miaka 1000 ya utawala wa Yesu baada ya ufufuo wa kwanza gogu na magogu ni watu wasioamini hata baada ya kuhushudia ufufuo soma ufunuo 20 mbona muongo hivi.
Mwenyenzi Mungu akupe neema umuelewe huyu jamaa, kwamaana hutahubiriwa tena,Yesu Kristo alisema Eliya atatengeneza yote 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼Huyu ndiye Nabii Eliya aliye elezwa katika vitabu vya Mungu Soma Malaki 4:5-6, Mathayo 17:11 na Ufunuo 11:3🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼 Ufunuo 14:12 Hapa ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu na Imani ya Yesu
@@andrewnyenza we tumia akili Huyu amza ndo alisema Corona ni 666 sasa na nyie msiosoma mkakubali sasa Corona imeisha anatafuta ningine NENDA you tube tafuta bishop ngonyani usikilize uchambuzi wa bible
@@francisjoseph1074 hujui kitu nyenyekea tu, halafu ghadhabu ya nini sasa kwako wewe ,unakerwa nini kumbe Hamza ni mkweli na ni Nabii wa Allah 🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪truth will be revieled
Bwana ametoa,bwana ametwaa jina la Bwana libalikiwe 🤣🤣🤣 yaani vita itokee na Yesu ameshakuja??? Hujui kwamba lazima kanisa lipite ktk dhiki kuu ndio Yesu aje awakute waliogomea kumsujudia shetani na atatawala nao miaka 1000, 😁😁mbona ni akili ndogo tu ,
Ubarikiwe mutumishi wa Mungu
Asante, webale, thank you , merci
Umejua kunfurahsha! Uelekezaj wako uko GOOD huna PRESSURE upo fafanua! Bnafs nmekuelewa vzr! Bwana akubrk mno
Ongera sana nabii Elia umetufungua hakika MUNGU anawapa ufunuo watumishi wake
Hakika mwenyezi MUNGU hunena na watu wake kwa nyakati na majira yake ,Asante sana Nabii Eliya baba yangu, Neema na Baraka zote za Bwana zizidi kukuangazia nyakati hizi.
Amina ubarikiwe kutufumbua
Poleni sana kwa kukubali kudanganywa
Amen wwe umetumwa kwa wakati huu
Mungu akubarik nabii elya kanisa la sasa linatakiwa kufuata mafundisho co miujiza ,
Ulingoga ndipo kaka.roho mtakatifu alikuongoza Kwa hekima yake.hayo ya kweli pia UFUNUO.amina be blessed alot.
Nimekuelewa sana nabii eliya mafundisho yako mazuri Mungu atufunulie mengi tusiyoyajua kwenye ulimwengu huu Mungu tusaidie
th-cam.com/video/Q1093dFUdXs/w-d-xo.html
Atukuzwe Mungu kwa level yako ya ufahamu. Kuna baadhi hawatakuelewa kabisa, we are made children of God by Believing In Jesus. 🙏🏻🙏🏻
Unafundisha vizuri sana wabishi ndio huo ndio ukweli
Ubarikiwe ndugu
Somo zuri sana, Hongera sana mtumishi ila kukuelewa inatakiwa kutulia sana
Mzee baba piga pindi Mzee baba uwanja ni wako mzee baba.
Umetisha sana
Amen 🔥🙏
Nilikuwa nahis hivyo kumbe kwel mungu akubaliki
*✍🏿🇹🇿✍🏿Dr lugendo*
tumsikilize na kumuheshimu huyu mtumishi wa wa TANZANIA.
Mtumishi aliyeteuliwa kusaidia NCHI.
wakristo acheni mnachokifanya makanisani sikilizeni sauti hii.
Ahsante
Kongore Dr ,kwa hoja nzito
Aise nimekupenda hakika wowwww mama yangu!! Pamoja sana aise Yesu Bwana wetu Mungu mkuu!! Akubariki sana ndugu!! Hakika nakushukuru sana!!
Mungu wa bwana wetu kristo wewe unasema mungu mkuuu yesu
Asante sanaaaa Nabii Eliya 👍👍
Mtumishi wamungu kbs much respect 👏👏
Harakisha tafadhali hilo darasa next. Kazi nzuri sana nabii
Tunakufatiliya
Kwa kweli Mungu awe nawe nimekuelewa sana mwalimu, unafundisha vizuri sana
th-cam.com/video/Q1093dFUdXs/w-d-xo.html
Hii vita naiombea Urusi ishinde
Amina
Asante Mwalimu Mungu akubalk
Bravo
Naam
Mungu azidi kukupa Maharifa ili uzodi kutupa neno nyimpya🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
From d.r.c, ni Heri sabuni.hiyo kweli kabisa.
Daaaah hyuy jamaa anamaono Sana na MUNGU anamtumia ni mwalimu na Nabii
Baba yangu umetisha kinomanoma!
Aminaaaa!!! Exesallent
Ubarikiwe mtumishi was Mungu unayofundisha huwa yanatokea
th-cam.com/video/Q1093dFUdXs/w-d-xo.html
Very touching lecture.
Praise God,you can make a good bishop if you fully became a Christian....
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩nikiwa congo 🇨🇩 forget nakufata sana
Asante sana ubarikiwe mwalimu mwema
Asante sana na Bii Isa
Nabii chunguza mafundisho yako vizuri sana vita vya gogu na magogu vitapiganwa baada ya Ya vita vya haramagedoni na kanisa litakua limenyakuliwa
Woow. Profound
So deeeeep kaka umebarikiwa Sana
Thanks brother for your wonderful teacher of Scriptures, 🙏🙏🙏🙏
Urusi analinda sheria za Mungu / analinda amri za Mungu duniani
Urusi ndio gogu taifa la kaskazini
Kabla ya kumwamini mtu soma kwanza ndipo uweze kumwamini
Well done mtumishi nimekubali hata mie nilioneshwa
Mhm ulioneshwa wap mwenzetu
Sio kweli kasome vizuri au uliza,kanisa Halifax ondoka
Nimekuelewa
Daah nilkulupuka nimekuelewa mtumishi
✌️🙏
Acha uongo wewe vita ya gogu na magogu haitapiganwa Bali yesu ataamuru Moto utashuka kutoka mbinguni na kuwachoma wa mataifa , na hapo ni baada ya miaka 1000 ya utawala wa Yesu shetani atakapofunguliwa kutoka kuzim
Ngoja tukusaidie wew! Vita itapigwa. Ila Yesu ndie atakuja kuamua hiyo vita Kwa kushusha moto. Hivo acha mawazo ya kufikir hakuna vita.
@@melkizedekiwiliam5533 kasome vizuri Acha kuongea utumbo vita itakayopigwa ni Almagedon, ILA gogu na magogu yesu ataamuru Moto ushuke nakuwachoma wamataifa
@@francisjoseph1074 sas mambo ya utumbo yametoka wap? We nieleweshe nitakuelewa. kama utumbo hata unao. Nahis umejisemea mwenyewe. Ila nimekusamehe.
Ufafanuzi wake wa maandiko unavutia kusikilizwa ninakushauri utubu na usiwe vuguvugu uwe mkristo kamili ujifutie jina la unabridged ujiite muhubili na hakika unamtangaza yesu vizuri .ubalikiwe.hakika kwa mahubiri yako utaokoa wengi .Aliye na sikio na asikie
Nakupata visuri mtumishi
Great
Mtumishi yakobo ambae aliitwa iziraheli alipigana namalaikaka kijito Cha yaboki akapewa baraka Kama laanawatapigana hakuaatakae washinda Hadi yesu atakaporudi wapo hadileo
Hjuyu sio nabii sikiza tu anyoyasema
Hiyo gogu kwanini asiwe marekani , maana wao ndio jeshi lashetani maana hata Mambo yaliyolaaniwa wao ndio wanayahimiza sana
Hao wanaojiita manabii kwa agano jipya ndo hao waganga wa kinyeji ,lakini naona utapotosha wengi hasa waamini wako Ila unahitaji maombi makubwa ili uelewe bibiliaa binafsi naona kama kiki ya kupata pesa na sadaka za waamini
Hakika umenifungua akili kiimani
WAKINA MAZINGE HAWO WAPINGA KRISTO
Acha uwongo we mzeeee
Wendelea kuabudu majini utashia jehanam
Ameni endelea
Uje uelezee kwnn yehova aliuchagua yerusalame Kam mji wake af Allah aje achague Makkah Kam mji wake Kam kwl allah na yehov ni kitu kimoja
Jerusalem n mji mtakatfu makka ni kitofu cha dunia, wakat mtume Muhammad alienda kuchukua swala 5 za ulimwengu alipitia makka aliswal lakka 2 na roho za mitume wote ndipo alienda bingun, makka ni kitof
@@KAIPAAA3211 ok shukran
NAKUPATA SANAA MWALIMUU
Israel wa Mungu wa siku za mwisho ni wale wakristo wanaoshika amri za Mungu Na Imani ya Yesu, ikiwamo Na Sabato ya Bwana, vita ya mwisho itajikita zaidi ktk Siku ya Kuabudu pale ambapo Upapa ukiongoza ulimwengu wote watapitisha sheria inayoitwa SUNDAY LAW Na hiyo ndiyo alama ya mnyama soma ufunuo 13 yote. Kisha tafuta Kitabu kimoja kinaitwa ," THE GREAT CONTROVERSY ", By Ellen G. White , zaidi sana ujikite ktk ile Sura yenye kichwa, THE IMPENDING CONFLICT.
Mnaleta religious dorma ,tudeal na facts jamani.
Harmaggedon sio vita halisi inayotumia silaha. Ni dhifa ya Mungu mahali ambapo mipango yote ya uasi inawekwa kwenye Sinia, Waasi wote watakuwa kitoweo.
uyu mzee ni muogo ebu mueleweshe
God is God who keeps His promise what he promise to Abraham and Israel was don't destroy still the chosen nation of God together with those who believe the message of messiah ungesema wokofu si tu ya waisraeli Bali ni ya wale wamwaminiye yesu kristo
Asante kutufundisha mambo hao lakini biblia inasema kwamba wana wa Israel wamekua na kabila ya nyeusi sasa wale wazungu wanabadilikaje wana wa Israel?
Yesu au ISSA mtoto wa Maryam anasema na kuwaambia ndugu zake hivi ,wakujuwe wewe kwanza MUNGU wa pekee na Kisha mm yesu au ISSA ulienituma au mm ISSA au yesu mja wako
Hapo tunajufunza kuwa muungu ni mmoja pekee hapaswi kushirikishwa na kitu chengine na hata huyo yesu anajitambua kuwa yeye si katika sehemu ya uungu ,yeye ni binadamu aliyechaguliwa na mungu kuwa mtume au nabii wa Wana wa Israeli kwa wakti huo na Kisha kabla ya kuondoka kwake kuchukuliwa na mungu alipomnusuru na watu wabaya alikuwa wanataka kumua msalabani ambawo walikuwa ni Dola ya Roma au roman empire waliokuwa wakishikulia nchi ya palistina au Israel ya Sasa wakishirikiana na wasaliti wa ndugu au wafuasi wa nabii ISSA
Mbona bibilia inasema kwamba nyakati za mwisho mataifa yote yataelekea Israeli kupata mafunzo kuhusu njia za Mungu.
Uokoke tu Sasa na ubatizwe ubatizo wa Yesu ! Then uchape injili tu
Ulichokiongea nimekuelewa vzr na ndio maana wameshaleta dini moja Dora moja.
Nafahamu kuwa Mimi pia ni Israel lakini hao wayahudi uzao wao ulibarikiwa sasa nani mwenye nguvu zaidi?
fact
Wewe
Unaejiita Nabii Eliya umekufuru hakuna unabii baada Nabii wa mwisho kutummwa na mwenyezimungu Nabii Muhamadi nahuyu alitabiriwa Nabii ISSA nahaya nnayosema yamo katika Biblia ya Asili nyinyi mnaujua ukweli lakini bado mnapinga nyinyi nyote ni wapinga kristo nyinyi ndio manabii wa uongo mlio tajwa na yesu kristo waislamu manawakataa Leo lakini ikosiku mtajua wao ninani
BANTU people are the true Israelites my brother
Kweli???
@@amirinestory yes yes … ukweli mtu ndugu
Kanisa halijaondoka.
Achakudanganya watu waiziraeli wale sihawa
Uko deeper Sana mtumishi
🤣😆🤣Mungu atusaidie sana maana manabii wa uongo na WA ukweli ni wengi sana siku za mwisho
Nabii feki kava shati zee la kuvizia matukio
Ninakupata mtumishi
Tumia bibilia saa ya mafundisho
South Korea sio partner wa Russia. May be North korea
MUNGU azidi kukuongoza upeleke unabii kwa kasi zaidi
Mbona haukusema mapema
Mpaka itokee ndo uongee?
Kweli kabisa gogu ni urusi na nato ni magogu
Kweli
Kwa hiyo miaka 1000 ya utawala was Yesu imeshapita vita ya gogu na magogu no baada ya ufufuo was kwanza na utawala was Yesu
@@castrokassoga7271 hivi vitu havichukui muda mfupi ni mchakoto ukielewa hili basi utaelewa dunia inaenda wapi
ii haiwezi kuwa vita ya gogu na magogu kwakuwa hadi sasa ivi izelaeri haiuski na hii vita
Kama umemsikiliza vizuri, kasema Israel maana yake ni Mtu au watu wanao amini kifo na ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo. Wayahudi ambao ndio ni wakazi wa nchi ya Israel hawamwamini Yesu Christo.
Kuna sehemu umechanganya ,,,,,,,,,
Eti nabii 🤣🤣🤣🤣🤣😃😃😃
Paulo si katika banii Israel alikuwa mroma au Roman
Unaeleweka at the moment piga kazi wewe ni mtumishi wa Mungu
Ayo maneno unaongeya bado tungali mbali .nimaandalizi sasa.
Vita ya gogu na magogu ni baada ya miaka 1000 ya utawala wa Yesu baada ya ufufuo wa kwanza gogu na magogu ni watu wasioamini hata baada ya kuhushudia ufufuo soma ufunuo 20 mbona muongo hivi.
Yani Huyu ni mpotishaji nawapumpafu wanamsikiliza tatizo wabongo wanapenda story na sio kusoma
Mwenyenzi Mungu akupe neema umuelewe huyu jamaa, kwamaana hutahubiriwa tena,Yesu Kristo alisema Eliya atatengeneza yote 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼Huyu ndiye Nabii Eliya aliye elezwa katika vitabu vya Mungu Soma Malaki 4:5-6, Mathayo 17:11 na Ufunuo 11:3🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Ufunuo 14:12 Hapa ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu na Imani ya Yesu
@@andrewnyenza we tumia akili Huyu amza ndo alisema Corona ni 666 sasa na nyie msiosoma mkakubali sasa Corona imeisha anatafuta ningine NENDA you tube tafuta bishop ngonyani usikilize uchambuzi wa bible
@@francisjoseph1074 hujui kitu nyenyekea tu, halafu ghadhabu ya nini sasa kwako wewe ,unakerwa nini kumbe Hamza ni mkweli na ni Nabii wa Allah 🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪truth will be revieled
Bwana ametoa,bwana ametwaa jina la Bwana libalikiwe 🤣🤣🤣 yaani vita itokee na Yesu ameshakuja??? Hujui kwamba lazima kanisa lipite ktk dhiki kuu ndio Yesu aje awakute waliogomea kumsujudia shetani na atatawala nao miaka 1000, 😁😁mbona ni akili ndogo tu ,
Nataka nikuandalie semina?
Mbona israel ni shetani to siowatu wa mungu
Kweli kabisa makanisani mna wajinga wengi mna shabikia mafundisho ya uongo.
Wovu
Mwisho nimeelewa bwana
Usipotoshe watu kwa uongo jifunze vizuri unabii wa maandiko
Acha hivyo
Wasanii wameangukia kwenye uchambuzi🤣🤣🤣🤣🤣
Weendelea kuabudu majini utashia jehanam
Hapo nime kuelewa
Huyu ni mwongo hajui kitu
Unachanganya kiswahili na kiingereza umekuwa mswangereza. Ongea kiswahili fasaha.
Yaani unachokiongea niliwahi kukiongea sehemu watu wakanishangaa. Inakuwaje umkatae Kristo kisha uendelee kuwa mtakatifu?