@@julianaharrison4356 😀😀 mimi nimelisikiliza lote!! Na ukipata nafasi sikiliza masomo yafuatayo kutoka kwa josephati gwajima ufufuo na uzima - akili iliyologwa - kalenda za kichawi - amaleki wa maisha yako - kesho iliyopiga kona - vikao vya uharibifu - laana ya familia - njia anazotumia shetani - viwanda vya uharibifu
Ukimkiri yesu kwa kinywa chako na kuamini moyoni mwako kuwa alifufuka ktk wafu utaokoka tafta kanisa lolote lenye hofu ya dhambi na msimamo wa kukemea dhambi ujiunge hapo na tayari utakuwa umejiunga na kundi la waenda mbinguni
Sielewi kabisa. Nimesikiliza ushuhuda wa mwalimu kwenye PROMOVER part 3, alisema alianguka lakini hajawahi kwenda kuzimu, hajawahi kunywa damu za watu......naposikia haya anayosema sasa nachanganyikiwa.
Amen ndugu yangu ushuhuda katika promover TV ulikuwa wa siku Moja pekee na tulikubaliana na jaktan tungemalizia baadaye ikashindikana kwa hiyo sikumaliziaga unaweza kuwasiliana naye akakuhakishia hili na hata Sasa Bado sijamalizia
UKICHUNGUZA KWA MAKINI NDIO KATOA STORY YA KUFUNDISHA LAKINI WATUMISHI WENGI WANAOTOA STORY KAMA HIZI SIJUI KWANINI HUWA WANA SEMA WALIKUWA WAISLAM SASA NI ILI DINI YA UISLAM IONEKANE VIBAYA ?? LAKINI DINI HAINA SHIDA ILA YEYE NDIO ALIKUWA NA MATATIZO
The laughter... 🤔
Amina mtumishi wa MUNGU umenipa maarifa haya
Bwana Yesu nipe macho ya rohoni
Barikiwa sana Mtumishi Mwabukusi Mungu azidi kukulinda baba
Barikiwa
MUONGO MKUBWA SANA HUYO JAMAA MBONA MNALETA FASIHI SIMULIZI KWENYE DINI
Ohooooooo Mambo Ya Lipstick Hayo.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
TUNAMUHITAJI SANA MUNGU NA NGUVU ZAKE
Amina tunabarikiwa sana na hizi shuhuda.
Amen.. nimebarikiwa sana na ujumbe wa Mungu kupitia mtumishi wake.. Neno+maombi+sadaka=ndiyo itupasayo.
Mungu azidi kukuinua Mwl...
Amina mtumishi wa Mungu, ubarikiwe sana
Mtumishi nimekusikiliza miaka mingi sana Arusha leo nilikutafuta leo nakupata you tube huwa nabarikiwa sana na mafundisho yako
Kweli hata mimi nilikuwa namfuatilia sana nikiwa chuga
@@highzacknnko9685 huku somo refu na mb mama yetu zilivyo za mawazo 😅😅😅
@@julianaharrison4356 😀😀 mimi nimelisikiliza lote!! Na ukipata nafasi sikiliza masomo yafuatayo kutoka kwa josephati gwajima ufufuo na uzima
- akili iliyologwa
- kalenda za kichawi
- amaleki wa maisha yako
- kesho iliyopiga kona
- vikao vya uharibifu
- laana ya familia
- njia anazotumia shetani
- viwanda vya uharibifu
?!????
Thank you so much for the knowledge
Ongela kwa kuokolewa Mungu akufanye shuuda
AMEN.HAKIKA MUNGU YUPO NA BADO ANABADILISHA WATU WAKE WAKIMTAFUTA.
Amina mtumishi
Mungu tu sahidiye kweli
🤣 🤣 🤣 🤣 Watu wanaomba maombi makavu
So sad 😭 Mungu atu rehemu sana
Ndio maana mlokolè wa kweli hapaki lipustck
AMEEEEEEN
Sio kuzimu ulikoenda ni baharini kuzimu ni giza
Ubalikiwe nikomwanza mie
Mimi nasema kwamba mikorogo nitatizo tu bora mtu aache
Sio mikorogo tu,vitu vyote Nadia mbele za Mungu, ukivaa huwezi ingia mbinguni, mawigi Rasta kucha bandia suruali vimini hereni lipstick makeup cheni vyote havifai mbele za Mungu
Hili kanisa liko mkoa gani jmn nimetamani kupokea wokovu naombeni mwongozo watu wa Mungu
Daah leo nimekuona, siku nyingi sana Safina redio! Jamani kweli huduma bado ni moto Sana, ubarikiwe mwabukusi, uko mkoa gani?
Ukimkiri yesu kwa kinywa chako na kuamini moyoni mwako kuwa alifufuka ktk wafu utaokoka tafta kanisa lolote lenye hofu ya dhambi na msimamo wa kukemea dhambi ujiunge hapo na tayari utakuwa umejiunga na kundi la waenda mbinguni
Irine tafuta kanisa lolote la kiroho lililopo karbu na wewe hili linaweza kuwa mbali eagt au tag au fpct na mengine kama hayo
🔥🙏
kwanini kwenye ushuhuda lazima mtu aseme uongo wa kusisimua? Story za vijiweni hizi.
Sielewi kabisa. Nimesikiliza ushuhuda wa mwalimu kwenye PROMOVER part 3, alisema alianguka lakini hajawahi kwenda kuzimu, hajawahi kunywa damu za watu......naposikia haya anayosema sasa nachanganyikiwa.
🤦🤦🤦
😂😂
@@egospeltz9486 no! Am being serious. Sikiliza hii th-cam.com/video/ju7TQV-vz1Y/w-d-xo.html
dk ya 16:25 hadi ya 19 hivi. Sielewi.
@@mosesg.pendael8381 Asante hawa watu mimi mengine nachukuwa mengine naachana nayo. Nimegundua si kila ushuhuda ni ukweli mtupu.
Amen ndugu yangu ushuhuda katika promover TV ulikuwa wa siku Moja pekee na tulikubaliana na jaktan tungemalizia baadaye ikashindikana kwa hiyo sikumaliziaga unaweza kuwasiliana naye akakuhakishia hili na hata Sasa Bado sijamalizia
HILI KANISA LIKO WAPI WAPENDWA?
Hello hello
Naomba namba ya mchungaji Justin tafathali
Tatizo sauti ndogo
UKICHUNGUZA KWA MAKINI NDIO KATOA STORY YA KUFUNDISHA LAKINI WATUMISHI WENGI WANAOTOA STORY KAMA HIZI SIJUI KWANINI HUWA WANA SEMA WALIKUWA WAISLAM SASA NI ILI DINI YA UISLAM IONEKANE VIBAYA ?? LAKINI DINI HAINA SHIDA ILA YEYE NDIO ALIKUWA NA MATATIZO
Mwabukusi th-cam.com/video/uG__xhndt9g/w-d-xo.htmlsi=iFeeRXLYsIqwAW_d