Happy hueizi pata mama katika ulimwengu huu huyo ndio mamako alie kuleta duniani nakama angekua hakutaki asinge kuzaa sio vizuri kumuona mama analia 😢😢inaniuma sana natamani mamangu angekua hai Allah amfanyie wepesi Insha Allah
Mimi mwanangu kaondoka nyumbani 2019 kaniachia barua anaenda kusoma china na tukikaa nyumba moja hakuniaga na alipofika huko akaniblock nikawa sina mawasiliano nae akarudi 2021akiwa na mimba kubwa kafikia hotel nikasikia kalazwa anataka kuzaa nikaenda hospital kumtafuta alipoambiwa mimi nimekwenda akaambia manerse hataki kuonana na mie na mpaka leo kaniblock kuna siku nikakutana nae dukani na mwanawe akanikimbia hao ndio watt wetu
daaaaaah mpka nimeliaaa jamn msameheee tu jamnmdada afanan na mama sana kwakwel wazaz mnakosea san kuwatenga watot wenu mma kapg magoti msameh tu man hat ukiskia kafa leo utaumia zaidi ukaona bora ningongea nae tu hat mara mojaa
Wewe mtoto huyo ni mama ako. Ujue radhi za Allah zimeambatana na za wazazi. Chunga mdomo wako. Haihusu mzazi kafanya nini. Utaharibikiwa ktk maisha yako. Na iko siku akifa utajuta kwa nini hukukaa mkatatua tatizo. Huyo binaadamu usisahau hilo
Dah asee Kama hii n movie mmecheza basi mmecheza kwa hisia kali sana mwanzon niliona Kama igizo lakn mh🙌🙌🙌 mtoto unaeza kumtenga baba pengne lakn sio mama❤
Aiseee wanawake akili zenu mnazijua wenyewe wallah tena mm mwanangu nitakuja kumsimulia namna mama yake alivyonitenda kwa sabbu anamipango na mwanaume mwingine kiukwel inaniuma saaana na nitamuelezea ukwel wote
Mama ni mama hawezi telwkeza mtoto akawa na amani anampenda sana na hiyo miaka 4 sio mingi sana ni kama vile utafutaji tu naamini hilo huwezi jua alikuwa na changamoto gani ilove you mama angu
Kiukweli mnaoandika comment hapa hamjui maana ya mama kumkana mtoto wake kisa ndoa najua happy anamachungu mengi sana yakukataliwa na mamake mim ninachoshauri mpeni happy muda atamsamehe taratibu taratibu sio kumuhukumu maana najua maisha ya kukataliwa na mzazi yakoje hata wanaokulea pia ukifanya kosa tu kidogo wanakusimanga nakusema ndio maana mamako alikukataa acha kutusumbua mim namuombea tu happy kwa Allah ampe shifaa na amfungue moyo wake tena aweze kuungana na mamake🙏
@@DorisiZephania kabisa Doris mim mwenyewe namuelewa sana maana baba yangu hakuwahi nilea ila nilivyokua nimemtafuta na nimemsamehe pia na nimeolewa na mahari you angu kapewa yeye Soo namuelewa sana huyo binti wampe kuda tu kwanza atakaa tu sawa ❤️🙏
We happy acha kuonyesha dharau kwa mama yako kabla yeye hajakukosea ww ulimkosea na kumsumbuwa kuadhibu na kumgombanisha na majirani kwa sababu ya napenz yake kwako hakuna kosa ambalo mama anaweza kulifanya kwa mtto na mtoto akashindwa kumsameh
Happy 😢😢😢mdogo wangu Huyo ni mama yako amekukosea mno lkn usimuhukumu msamehe tu kama alivyojieleza kweli kakukosea. Kumbuka kuna watu wanatafuta mama km wako lakn leo hawana so nakusihi mdogo wangu mzuri msamehe bure ili Mungu akufungulie milango zaidi hakuna kama mama😢
Walio na mama hawajali nafasi walio nayo... tusiokuwa nao tunatamani angeamka hata mara moja niisikie sauti yakeee, Pumzika kwa amani mama nakupenda sana, nakuheshimu na kukuthamini ulionifundisha siku za uhai wako kamwe sitaziacha... najivunia kuzaliwa kwenye tumbo lako.
Usimruhusu mama yako akupigie goti hata kama amekosea kwanza mzazi hakosei hata kama amekosa lkn tufany3 hajakosa maisha mengine yaendelee, subhanallah, Rabbi rahamhuma kama rabayani swaghira😢
Mzazi atabaki kuwa mzazi no matter what,baraka zetu zipo kwao,na hata utoe sadaka kiasi gani kama humckilizi mzazi sahau kuhusu kufanikiwa,Samehe kama Mungu anavyokusamehe pale unapomkosea kila dk Love all mamas❤❤❤❤❤
Happy msamehe mama mdogo wangu. Mama MTAMU happy Kuna watu wanataman kuwaamsha mama zao wanashindwa msamehe ni mama huyo msamehe. Waheshimu baba na mama Yako Ili upate miaka mingi na heri duniani haijalishi wanamapungufu Gani bado neno halibadiliki na halirudi mbinguni bila kutimiza makusudi yake😢
@Mr_Uky Watu kama happy wapo wengi lakin wanakosa pa kuongea Ni jambo sensitive sana (childhood trauma) Happy ndo mwenye uchungu sana kisaikolojia Alaf kulia ndo ina hitajika mana ina toa uchungu moyoni trust me.
Kiukweli wazazi Huwa Wana kosea sanaaa na Huwa wanajisahau kiukweli kiatu Cha epiii Mimi ninakijua lakini heppy msamee mama na umuombe mungu akuondolee machungu
Umeniliza😢 sana kiledio jaman Yani nimeumia sana heppy msamehe mama mama ni mama tu nimelia sana na nimeumia sana sitaki kujua alikufanyia Nini ila msamehe mama I love you mama nampenda sna mama yangu mungu aendelee kuwaweka wazazi wote duniani ❤❤❤🇹🇿
Alafu kanafanana na Mama ake Msamehe tu Mama Anaraha yake bwana mm nimemjua Mama angu nikiw mkubwa na nadeka utadhni nimezaliwa jan na mm ndo binti yake wa kwanza nampenda kuliko chochote ❤❤ ata sikutak kujua kwann aliniacha
sasa ivi ndo vitu vya kupost bro, and GOD bless you cos umefanya kitu kikubwa sana, happy mama ni mama na mzazi cku zote uwa hakosei bali uwa anateleza tu,alaf mmefanana sana yaan nimeangalia mpaka mwisho lakn nais kama cjatumia bando sababu ni story nzuri sana,inatukumbusha tusichoke kusamehe.🙏🙏🙏
Jamani sijiwezi inaishia kutiiririsha machozi tu mm!! Happy!! Mdogo wangu anajua umepitia mengi!! Ila nakuomba samehee!! Mama amegundua amekosea ameomba msamaha'' asingekupenda asingekutafuta, samehee upone na mengi Happy!!!
Am writing this as a Mom but advice to you young girl a mother is the second God...nine months its not a joke find a place in ur heart to forgive her. Sending hugs from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Heshima Iko wapi leyo tumefika sehemu mama anamuomba msama mtoto wake hii laana kubwa mama ata afanye Nini kwa mtoto Hana kosa watoto wa zama hizi Dah Mungu mlaze pema mama Angu pamoja na watu wema😢😢😢😢😢😢😢
Kukataliwa na mzaz asa mama inauma Sana yani sana.ila Mama katambua kosa lake labda alikuwa na Asira kutokana na kuachana na babaake. Na mama hakutaka kuonekana Yuko karbu nae sana ili hasihalibu mazingira ya alipoolewa. Ila happy lazima Atajirudi tu na kumsamehe mama 🙏🙏
Jomonii miaka mi4 tu anakuwa hvyo wakti watu wanamiaka daaah nimeumia but mama ni mama,Mama angu nakupenda sana haijalishi utfnya kipi kwangu nitakupenda daima 🥰
Kilichonifurasha ni happy kulia...pole sana happy msamehe mamaako hata yeye ni mwanadamu tu kukosea kwa mwanadam nikawaida Asie kosea ni Mungu peke ake😭😭
Daah unaweza ukalia kumbe wanatuigizia aiseee 😂😂 ukicheki ile move ya (bravo dunia nyingine ) utalud apa kucheka na sio kulia tena😅 wapewe mauwa yao kwakutugizia mapicha pichaa
Nimeumia sana wazazi hawa yaani ninyi wazazi ninyi yote sawa Tunashukuru Mungu yupo tuu anatutetea watoto wenu lakini kama asingelikua Mungu huyu Dunia labda ingesema na si Mbingu Kukosa malezi ya mama na baba inauma na mpo its real pain tunapitiaga mengi magumu sana kwa kukosa uwepo wenu sijui mnakuaga na shida gani ila Sawa ngoja tuishike Amri ya Mungu KUWAHESHIMU NINYI tusikosee Mungu katika hili😢
Upendo wa mama kwa mtoto ni kitu mhimu sana, kinapokosekana mtoto hukosa mapenzi ya dhati kwa Mama yake.. Binafsi imenitokea nimeamua ku-move on na maisha yangu.. ila mambo kama haya huwa ni mazito na huwa yanapasua moyo..
Happy msamehe mama kumbuka amekuzaa akiwa na umri mdogo, kumbuka na yeye alikua mtoto alikua na akili za kitoto, kumbuka hata wewe unaelekea kwenye umama ebu sahau yote msamehe mama we happy iyo ni laana mama anakupigia magoti msamehe mama happy
Habari yako kaka samahani na Mimi natafuta mama angu tokea mwaka 2015 mpaka sasa sijaonana na mama angu na nilimpigia simu ili nikuone sehemu anayo ishi akakata simu tokea kipindihicho sijaongea nae tena Wala kumuona machoni pangu sijui kafa ama yupo hai ata namba ya simu Sina anaitwa rose rabson mlay naomba msaada wako plz 😭😭😭
Sasa mbona tunawaona wanaigiza wote kule kwa director bravoo (bravo genius)na pia kwa chibu wameigiza wote kwenye series ya (dunia nyingine)walikua mtu na wifi yake na zingine nyingi tuu yani I’m so confused !!! MAIGIZO📌
Weeh mdada sipoa hta kama mama amekoseya haipaswi mama kutowa machozi tena unaongeya ujasiri kabisa hyu sijuwi kama ni mamangu majozi ya mama ni chungu sana dada
Mimi nilijua ni ualithia kumbe mnaigiza uyo mnae mwita mama na uyo binti ni wasanii wa cram vevo na mwakatobe wanacheza pamoja wamecheza naile mwakatobe mchawi amempa mimba uyo bint ampi pesa ya kula nauyo mama anamfariji ni mdogo wake😂😂 kumbe mnaigiza 😂😂😂mimi nilijua ni vyaukweli seee
Binti unakuwa na hasira ya kumchukia mama yako seriously?kisa hakukupa mudaa tu wa kukulea ,watu wanatelekezwa wadogo na bado wanatafuta wazazi wao ww binti Acha maisha ya maigizoo aseeee😢😢umenikera Sanaa pia ww mwanamke ukikua utajuaa
Happy dunia nzima hutakuja kuona mm ako nakitu kingine mm ni mm unaonaje mm anakupigia magoti lana kwa mungu tena chozi Lake usije ukalizarau Happy chozi rinanitoka kweli ss tunatamani kuwona wa mm
Happy abwtakiwa amsamehe mama Ila wamama wajifunze kupitia hili mapenz ya mtoto na mama yanaanza tangu anazaliwa, kunyonya, kutembea Hadi kukua na upendo unakuwa ni wamikele Ila watoto wanajega chuki moyoni ambayo huwa haiishi kabisa, mama anapoolewa na mwanamume mwingine na kuwaqcha watoto nyuma upendo wake unakuwa na watoto ambao Yuko nao sasa Kwa mume mwingine yalishanikuta hayo na nilikuwa nalia Kila siku mpaka nilipoondoka kwake nilipitia magumu mengi ya kunyanyadika na kudimangwa mama aliogipa kusema kama ana watoto wengine Kwa mume wake na Kwa watu kuogopa kuonekwna mzee ukienda kwake anasema mtoto wa dada yake lakini Kwa sasa tumemsamehe na dada yangu ndiyo anamlea Kwa sasa tujifunze kuhusu hili
Mama kumtelekeza mtoto wa miaka 13, hajui anakula wapi analala wapi anapitia magumu gani coz of upendo mpya. Huyo dogo amepitia maumivu makali ndio maana hataki kuonana wala kuongea na mama. Mama alikosea, atafute njia sahihi za kuomba msamaha na sio thru content creators.
Good sana Broo kwa hakika umefanya jambo kubwa sana kwa hiyo familia na Mwenyezi Mungu atakulipa🤲
Braza nice job Mungu akujaarie nimefurahia kazi nzuri
Ooo😅😊
P😊mjo
Miaka 15 sasa toka nimepotezana na mama yangu naamini Mungu u mzima wa afya, popote ulipo jua nakupenda hata siku tukionana mm siwezi kukuchukia
Ni keel upo Kam mm sikuonna na mama tangu2011 nmekutana nae mwa Jana lakn nampenda t n mama
jamn pole
Daa ilikuaje nataman jujus pole sana
😢😢😢
Inshallah mama naimani alipo uko ni mzima 😭🙏ipo cku mtakutana
Mathayo 5:9
[9]Heri wapatanishi;
Maana hao wataitwa wana wa Mungu.
Blessed are the peacemakers: for they shall be called the children of God.
Point
Kabisa
Happy hueizi pata mama katika ulimwengu huu huyo ndio mamako alie kuleta duniani nakama angekua hakutaki asinge kuzaa sio vizuri kumuona mama analia 😢😢inaniuma sana natamani mamangu angekua hai Allah amfanyie wepesi Insha Allah
Mimi mwanangu kaondoka nyumbani 2019 kaniachia barua anaenda kusoma china na tukikaa nyumba moja hakuniaga na alipofika huko akaniblock nikawa sina mawasiliano nae akarudi 2021akiwa na mimba kubwa kafikia hotel nikasikia kalazwa anataka kuzaa nikaenda hospital kumtafuta alipoambiwa mimi nimekwenda akaambia manerse hataki kuonana na mie na mpaka leo kaniblock kuna siku nikakutana nae dukani na mwanawe akanikimbia hao ndio watt wetu
😢😢😢Mungu awapumzishe kwa Amani Wazazi wetu.
@@FatimaAli-of4gh pole mamangu ila msamehe kwani hajui afanyalo iko siku atakukumbuka nakutaka radhi
@@femidayahaya4882 Amiin yarabil Alamiin insha Allah 🤲🤲
Dah....maumivu uliyonayo hayaelezeki jamani hii dunia inamambo mengi sana
daaaaaah mpka nimeliaaa jamn msameheee tu jamnmdada afanan na mama sana kwakwel wazaz mnakosea san kuwatenga watot wenu mma kapg magoti msameh tu man hat ukiskia kafa leo utaumia zaidi ukaona bora ningongea nae tu hat mara mojaa
Wanafanana sana,, amsamehe tu mama yake tu Mungu ndo hakimu wa mwisho jaman
Asipomsamehe nae mwanae atakuja kumlipiza
Kabsaa asimuekee kinyongo
Wewe mtoto huyo ni mama ako. Ujue radhi za Allah zimeambatana na za wazazi. Chunga mdomo wako. Haihusu mzazi kafanya nini. Utaharibikiwa ktk maisha yako. Na iko siku akifa utajuta kwa nini hukukaa mkatatua tatizo. Huyo binaadamu usisahau hilo
😂😂
Ujawai kukanwa na mzazi wako ukajua uchungu uliyopo
Nimekosa cha kuandika maana naogopa nitamkufuru Mungu😢 Binti msamehe mama yako.
😢😢😢😢😢😢😢😢😢chango linaniuma kama kweli habari
Dah asee Kama hii n movie mmecheza basi mmecheza kwa hisia kali sana mwanzon niliona Kama igizo lakn mh🙌🙌🙌 mtoto unaeza kumtenga baba pengne lakn sio mama❤
We wasema.....wanatengana vzr tu
Yes hata mm nimeona hiyo ni igizo maana hako ka happy. Nakaonaga kwenye. Move nyingi hapo wametupiga kupatana hawawezi kuja mbele ya camera. Jamani
@@ebisomola9989 wamecheza kwa hisia sana.. ila2 mwanzoni happy ndipo alipohalibu ukiangalia vizur kunaseem utagundua happy alikua anajua kilak2
Ndo maan kumuacha mtto ili niolewe siwez kabisa kwanza sitalla uko usingiz mungu niondolee pepo la utenganish
Aiseee wanawake akili zenu mnazijua wenyewe wallah tena mm mwanangu nitakuja kumsimulia namna mama yake alivyonitenda kwa sabbu anamipango na mwanaume mwingine kiukwel inaniuma saaana na nitamuelezea ukwel wote
@@nasrinassor9178pole ila naona sio wanawake tu ila dunia imeharibika kila mmoja anamakosa yake pia anakasoro zake
@@nasrinassor9178 jamani pole sana usimwambie muache tu mungu atampa athabu mwenyew
Broo kazi nzuri sana umefanya appreciate for you bro
Pole mama.kwauchungu uliyo.sikiya
Mama ni mama hawezi telwkeza mtoto akawa na amani anampenda sana na hiyo miaka 4 sio mingi sana ni kama vile utafutaji tu naamini hilo huwezi jua alikuwa na changamoto gani ilove you mama angu
Ww kumbe ujaelewa
Kiukweli mnaoandika comment hapa hamjui maana ya mama kumkana mtoto wake kisa ndoa najua happy anamachungu mengi sana yakukataliwa na mamake mim ninachoshauri mpeni happy muda atamsamehe taratibu taratibu sio kumuhukumu maana najua maisha ya kukataliwa na mzazi yakoje hata wanaokulea pia ukifanya kosa tu kidogo wanakusimanga nakusema ndio maana mamako alikukataa acha kutusumbua mim namuombea tu happy kwa Allah ampe shifaa na amfungue moyo wake tena aweze kuungana na mamake🙏
Umeongea point sana
Niliwah kukataliwa na mama yangu ila mwisho nilimtafuta na Sasa maisha yanaendelea huyu bint anamaumivu sana ambae hajapitia hiki kitu hawez elewa
@@DorisiZephania kabisa Doris mim mwenyewe namuelewa sana maana baba yangu hakuwahi nilea ila nilivyokua nimemtafuta na nimemsamehe pia na nimeolewa na mahari you angu kapewa yeye Soo namuelewa sana huyo binti wampe kuda tu kwanza atakaa tu sawa ❤️🙏
Psychological happy hayupo sawa ila mungu ni mwema yataisha
Ndoa ikamfanya amsahau mtoto
We happy acha kuonyesha dharau kwa mama yako kabla yeye hajakukosea ww ulimkosea na kumsumbuwa kuadhibu na kumgombanisha na majirani kwa sababu ya napenz yake kwako hakuna kosa ambalo mama anaweza kulifanya kwa mtto na mtoto akashindwa kumsameh
Majirani wap
Happy 😢😢😢mdogo wangu Huyo ni mama yako amekukosea mno lkn usimuhukumu msamehe tu kama alivyojieleza kweli kakukosea. Kumbuka kuna watu wanatafuta mama km wako lakn leo hawana so nakusihi mdogo wangu mzuri msamehe bure ili Mungu akufungulie milango zaidi hakuna kama mama😢
Kusema ukwl mama amenigusa sn kwa kuomba msamaha happy naomba umsamehe mana ss wenzako tunatafuta fursa km hii ila mpk ss hatujaipata👏
Na hatuwez pata🫠🫠
Walio na mama hawajali nafasi walio nayo... tusiokuwa nao tunatamani angeamka hata mara moja niisikie sauti yakeee, Pumzika kwa amani mama nakupenda sana, nakuheshimu na kukuthamini ulionifundisha siku za uhai wako kamwe sitaziacha... najivunia kuzaliwa kwenye tumbo lako.
@@lilianchacha5576sio wote dada tupo ambayo tunamama na tunaogopa ata tuksikia anaumwa shogaa sema ndo hivy wengine Huwa hawajali kbsa
Kusema ukwel mtoto kakosea mama haistahik akuombe ww msamaha
Miaka 4 tu happy dah una moyo ingekua mika yako yote
Happy kaumizwa sana kakosa upendo wa mama lkn naomba msamehe tu ni mama bado kwako
Usimruhusu mama yako akupigie goti hata kama amekosea kwanza mzazi hakosei hata kama amekosa lkn tufany3 hajakosa maisha mengine yaendelee, subhanallah, Rabbi rahamhuma kama rabayani swaghira😢
Tunaomba mwendelezo wake tujue hatima, maana imenitoa machozi hakika
Sana
Mzazi atabaki kuwa mzazi no matter what,baraka zetu zipo kwao,na hata utoe sadaka kiasi gani kama humckilizi mzazi sahau kuhusu kufanikiwa,Samehe kama Mungu anavyokusamehe pale unapomkosea kila dk
Love all mamas❤❤❤❤❤
Hakika
Happy msamehe mama mdogo wangu. Mama MTAMU happy Kuna watu wanataman kuwaamsha mama zao wanashindwa msamehe ni mama huyo msamehe. Waheshimu baba na mama Yako Ili upate miaka mingi na heri duniani haijalishi wanamapungufu Gani bado neno halibadiliki na halirudi mbinguni bila kutimiza makusudi yake😢
@Mr_Uky
Watu kama happy wapo wengi lakin wanakosa pa kuongea
Ni jambo sensitive sana (childhood trauma)
Happy ndo mwenye uchungu sana kisaikolojia
Alaf kulia ndo ina hitajika mana ina toa uchungu moyoni trust me.
Mmmhh happy msamehe ijapokuwa ilikuumiza but mama ni mama
Kaka jitahidi Mungu akiongoze sana kaka hizi ni baraka tosha
Kaka ongera sana ❤❤😅na mtoto msamehe mama yako kakukosea sana.😂😂lakini yafanye yamekwisha .Mama ni mama .
Kiukweli wazazi Huwa Wana kosea sanaaa na Huwa wanajisahau kiukweli kiatu Cha epiii Mimi ninakijua lakini heppy msamee mama na umuombe mungu akuondolee machungu
Tupo wengi sana
Wengne mpaka leo baba zetu wametukashfu ba kutukanassc watotowao bila ht kosa
Umeniliza😢 sana kiledio jaman Yani nimeumia sana heppy msamehe mama mama ni mama tu nimelia sana na nimeumia sana sitaki kujua alikufanyia Nini ila msamehe mama I love you mama nampenda sna mama yangu mungu aendelee kuwaweka wazazi wote duniani ❤❤❤🇹🇿
Amiin
Amin
Alafu kanafanana na Mama ake Msamehe tu Mama Anaraha yake bwana mm nimemjua Mama angu nikiw mkubwa na nadeka utadhni nimezaliwa jan na mm ndo binti yake wa kwanza nampenda kuliko chochote ❤❤ ata sikutak kujua kwann aliniacha
Nimeipenda sana kaka yangu hi nzuri
Kaondok 2020 mpka sasa anamiak 17au 18 Mzazi ni mzazi tuu❤❤
sasa ivi ndo vitu vya kupost bro, and GOD bless you cos umefanya kitu kikubwa sana, happy mama ni mama na mzazi cku zote uwa hakosei bali uwa anateleza tu,alaf mmefanana sana yaan nimeangalia mpaka mwisho lakn nais kama cjatumia bando sababu ni story nzuri sana,inatukumbusha tusichoke kusamehe.🙏🙏🙏
Mmhh kweli wajinga ndo waliwawoo😂😂 ni wasanii hao kama huamini andika jina la movie inaitwa DUNIA NYENGINE utaiona apa u tube 😂😂
@@EddahBure-te7ft😂😂😂😂😂😂serious
Daaaaah Good job,,,GOD BLESS YOU Mr💪💪💪😭 Hii kitu ni kubwa sana Mungu awezi kukuacha
daaaaaa!!!! Inauma sanaaa, Wazazi tunachangia sanaaa tena sanaaaa kuongeza watoto wa mtaani.
Inauma sanaaa tena sanaaaa really. Hongera sanaaaa Mr. Uky kazi nzuri.
Happy msamee tu Mama ameshatambuwa kosa.
Jamani sijiwezi inaishia kutiiririsha machozi tu mm!! Happy!! Mdogo wangu anajua umepitia mengi!! Ila nakuomba samehee!! Mama amegundua amekosea ameomba msamaha'' asingekupenda asingekutafuta, samehee upone na mengi Happy!!!
Wee mkaka unajua Tena unajua Zaid
Mungu akukuze Zaid usaidie na wngn
Uko vizuri kazi inayoifanya niyakimungu munguakibariki
Broo mungu akubariki sna kungalisha mtu na mwanae ni jambo kubwa sna kuliko kitu chochote kile kwenye maisha una fungu kubwa kwa mungu"
Mahojiano manzuri sana kaka
Umefanya kazi nzuri lakini imekuwa fupi tunaitaji kujifunza
Hapy kitoto kizuri jaman akajaolewa nije kuchumbia jamani😘😘😘
Uky good akuzidishie
Dhuuu..... Happy please msamehee mama...
ilo chozii..... Sio poa dada etu uyo ni Mama
Usilie semeni wa kwenye swaumu ngumu ya chado films mungu akutie nguvu
Am writing this as a Mom but advice to you young girl a mother is the second God...nine months its not a joke find a place in ur heart to forgive her. Sending hugs from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Mzazi akosei happy hicho kiburi bila yeye kukuzaa usingesimaa na hao walioonyesha upendo baada🙏 shukuru mungu Kwa kila kitu
Aise aise aise kwani mzazi sio binadamu 😂😂😂anyways
Sema hatakama mnaect mko safi😅😅
Sio Kila kitu ni maigizo vitu vingine ni serious fuatilia vzr Kam we ni mfuatiliaj
Cjui ni mama na mwana lkn ninachojua mimi ni waigizaji wote hapo mmetupiga😂😂😂😂
Ndo na mim nashangaa hawa waigizaji wanatuigizia awa
tumepigwa kwel
Uyu si yupo kwenye kundi la chado la uigizaji
Wametpiga ao wote waigizaj wap kundi moja 😂
Namiye naamini wanaigiza maana sijaelewa
Mama mzuri kwel yaan kam mtot t❤
Bongo mvi huyu dada
Heshima Iko wapi leyo tumefika sehemu mama anamuomba msama mtoto wake hii laana kubwa mama ata afanye Nini kwa mtoto Hana kosa watoto wa zama hizi Dah Mungu mlaze pema mama Angu pamoja na watu wema😢😢😢😢😢😢😢
Mama mwenyew amejua kosa lake
@@user-lq2ey3vg4hhata kama ana kosa mzazi ni mzazi tu
Weee hujui kafanyiwa Nini, kikubwa wa patane tu waondoe sumu zote.
Kama alimtupaa Kwa ajili ya mwanaumee. Mnataka heppy afanyeje
Kwahy mama afanye makosa alafu mtoto ndio aombe msama kweli usiombe yakukute huyo mtoto najua maumivu yake
MUNGU akubarikii sanaa bro kazi nzuriii ❤❤
Kukataliwa na mzaz asa mama inauma Sana yani sana.ila Mama katambua kosa lake labda alikuwa na Asira kutokana na kuachana na babaake. Na mama hakutaka kuonekana Yuko karbu nae sana ili hasihalibu mazingira ya alipoolewa. Ila happy lazima Atajirudi tu na kumsamehe mama 🙏🙏
Jomonii miaka mi4 tu anakuwa hvyo wakti watu wanamiaka daaah nimeumia but mama ni mama,Mama angu nakupenda sana haijalishi utfnya kipi kwangu nitakupenda daima 🥰
Kilichonifurasha ni happy kulia...pole sana happy msamehe mamaako hata yeye ni mwanadamu tu kukosea kwa mwanadam nikawaida Asie kosea ni Mungu peke ake😭😭
Kazi nzuri sana kaka nakukubali
Daah unaweza ukalia kumbe wanatuigizia aiseee 😂😂 ukicheki ile move ya (bravo dunia nyingine ) utalud apa kucheka na sio kulia tena😅 wapewe mauwa yao kwakutugizia mapicha pichaa
Nimeumia sana wazazi hawa yaani ninyi wazazi ninyi yote sawa Tunashukuru Mungu yupo tuu anatutetea watoto wenu lakini kama asingelikua Mungu huyu Dunia labda ingesema na si Mbingu
Kukosa malezi ya mama na baba inauma na mpo its real pain tunapitiaga mengi magumu sana kwa kukosa uwepo wenu sijui mnakuaga na shida gani ila Sawa ngoja tuishike Amri ya Mungu KUWAHESHIMU NINYI tusikosee Mungu katika hili😢
Sana sana😢
Upendo wa mama kwa mtoto ni kitu mhimu sana, kinapokosekana mtoto hukosa mapenzi ya dhati kwa Mama yake.. Binafsi imenitokea nimeamua ku-move on na maisha yangu.. ila mambo kama haya huwa ni mazito na huwa yanapasua moyo..
Hata ukimkana sasa hivi ipo siku utamtafuta tuu usicheze na Mungu ,mama mlilie Mungu mtoto atalutafuta tuu.
Broo umefanya kazi nzuri moaka unatuliza na ss amakweli hakuna kama mama
Wow so nice man I'm proud of you my brother to make them happy this family🇿🇦🇧🇮
Happy msamehe mama kumbuka amekuzaa akiwa na umri mdogo, kumbuka na yeye alikua mtoto alikua na akili za kitoto, kumbuka hata wewe unaelekea kwenye umama ebu sahau yote msamehe mama we happy iyo ni laana mama anakupigia magoti msamehe mama happy
Yaaan shukuru mungu mama ako kaja kukutafuta wengne wanataman Ata kutafuta ivyo
Mnaambiwaga na wanaume wapya ukiwa na mimi sitaki kumuona mwanao nawe unakubali. Unaishije na m wanaume mbinafsi asiyempenda mwanao.
Katika contents nzuri ambazo umewahi kufanya ni Hii. Hongera sana
Mama nimama na wapenda sana love mom💞,,,,,, pumzika kwa amani mama angu💌penda sana mama.
Keep it up kazi nzuri sana
Habari yako kaka samahani na Mimi natafuta mama angu tokea mwaka 2015 mpaka sasa sijaonana na mama angu na nilimpigia simu ili nikuone sehemu anayo ishi akakata simu tokea kipindihicho sijaongea nae tena Wala kumuona machoni pangu sijui kafa ama yupo hai ata namba ya simu Sina anaitwa rose rabson mlay naomba msaada wako plz 😭😭😭
Broo unafungu lako kwa mungu sinaga shobo za kuandika comments ila hii brother imenigusa mungu akujaalie zaid broo big up sana broo
Bora ata huyu mam kajuwa kosa lake ....wengne ndo wazid kutuvunja moyo
Hawaoni makosa Yao zaidi ndio unaambiwa Mama ni Mama japo inauma mana unakuta hawanadiliki
Sitamani ata kuona chozi la mamaangu love more mamaa ,msamaha ni kitu bora sanaa ni mama uyo et happy
Sasa mbona tunawaona wanaigiza wote kule kwa director bravoo (bravo genius)na pia kwa chibu wameigiza wote kwenye series ya (dunia nyingine)walikua mtu na wifi yake na zingine nyingi tuu yani I’m so confused !!!
MAIGIZO📌
Yeah ni kwl
Aloooo inaumizaaa sanaaa ila boraaa kama wamekubalianaaa na kusameheana
Happy huyo ndio mama huwezi Pata mama mwingine katika hii Dunia 💖 ❤️ 💓
Weeh mdada sipoa hta kama mama amekoseya haipaswi mama kutowa machozi tena unaongeya ujasiri kabisa hyu sijuwi kama ni mamangu majozi ya mama ni chungu sana dada
Mama ni mama tu hata awe vp 😢
Dah sijui niseme nini ila hakuna kitu kizuri kama msamaha Mr uk mungu akubariki sana😊
Mimi nilijua ni ualithia kumbe mnaigiza uyo mnae mwita mama na uyo binti ni wasanii wa cram vevo na mwakatobe wanacheza pamoja wamecheza naile mwakatobe mchawi amempa mimba uyo bint ampi pesa ya kula nauyo mama anamfariji ni mdogo wake😂😂 kumbe mnaigiza 😂😂😂mimi nilijua ni vyaukweli seee
Nimetoa machozi walahii😭😭bro kazi nzuri
Mbona video imeishia apo Bado muafaka atujapata😢 Ila huzuni daah adi nimetoa chozi Mimi apa ooooh ❤❤❤
Dah mpaka machozi yamenitokaa mungu awepe maisha marefu wazaz wetu❤
Alfu huyu dada ni muigizaji na anajua kuigiza ❤❤❤❤
Binti unakuwa na hasira ya kumchukia mama yako seriously?kisa hakukupa mudaa tu wa kukulea ,watu wanatelekezwa wadogo na bado wanatafuta wazazi wao ww binti Acha maisha ya maigizoo aseeee😢😢umenikera Sanaa pia ww mwanamke ukikua utajuaa
Happy ukizaa na ck
Ukibeba Mimba,,,ukazaa utamthamini uyo Mama,,, Mama ako anapiga goti kwako binti
Watu hamuelewi happy kapitia Mangapi hamjui kwaiyo Mwacheni adi hasira zake ziishe kabisaa japokua mama naomba msamaha inabidi happy apewe mda
Mmmhhh huyu mama na huyo binti si ni wasanii hao niliwaona kwenye movie ya DUNIA NYENGINE nashangaa hapa kwa hilo 😂😂
hata mimi niliwaona huko
Hajamani simaigizo aya yupo mama yake happy ameigiza kama dada yake happy Kwenye sineik boy😂
Namm nashangaa
😢 sio mamaangu me jaman nisingethubutu apige ata goti all in all i love u all mama❤
Anaelaani nimzazi wakike mandiko yamesema
Mama kukubeba tumboni pasipokutowa mimba inatosha.happy epuka laana yamama kwakusamehe pasipo kuangalia nyuma
Happy dunia nzima hutakuja kuona mm ako nakitu kingine mm ni mm unaonaje mm anakupigia magoti lana kwa mungu tena chozi Lake usije ukalizarau Happy chozi rinanitoka kweli ss tunatamani kuwona wa mm
Bora ume kubari kosa mama saizi zingatia maisha ya happy Sasa
Kunawatu tunatamani kuwa na mama apa duniani lakin atuna daaaaah😢😢😢
Kweli kabisaa
Inakuaje mnilize na Mimi😂😂
Yaan acha tu ndugu yangu, Kuna maisha mtu unaweza pitia Hadi ukahisi unaota ndoto, maana huoni sababu yamsingi ila MUNGU ni mwema kwa yote.
Dah! Ndo maana mm nilikubari kwa lolote lile Bora niwe Na mtt wangu pembeni😢
niMeumia nimelia ... Allah tupe moyo mzuri na safi
Ukauzu WA kweny move Mpk Kwa mwanao daah SEm lkn saf mam ni mam❤❤❤
Hio ni movie 😂 huyo mama ni actor kwenye series 😂😂😂😂
Si kweli
Happy abwtakiwa amsamehe mama Ila wamama wajifunze kupitia hili mapenz ya mtoto na mama yanaanza tangu anazaliwa, kunyonya, kutembea Hadi kukua na upendo unakuwa ni wamikele Ila watoto wanajega chuki moyoni ambayo huwa haiishi kabisa, mama anapoolewa na mwanamume mwingine na kuwaqcha watoto nyuma upendo wake unakuwa na watoto ambao Yuko nao sasa Kwa mume mwingine yalishanikuta hayo na nilikuwa nalia Kila siku mpaka nilipoondoka kwake nilipitia magumu mengi ya kunyanyadika na kudimangwa mama aliogipa kusema kama ana watoto wengine Kwa mume wake na Kwa watu kuogopa kuonekwna mzee ukienda kwake anasema mtoto wa dada yake lakini Kwa sasa tumemsamehe na dada yangu ndiyo anamlea Kwa sasa tujifunze kuhusu hili
Kadada kazurii sana aisee,nimekapenda, kadada msamehe mama yakoo
Unapo samehe na mungu anakufungukia milango ya baraka.nadhani hepy thaman kubwa iweke kwenye kubeba mimba na kukuzaa basi kwailo unapaswa kumsamehe.
Huenda alivopata mume mpya akamwambia hajawahi kuzaa ...mambo ni mengi sana duniani
Mama kumtelekeza mtoto wa miaka 13, hajui anakula wapi analala wapi anapitia magumu gani coz of upendo mpya. Huyo dogo amepitia maumivu makali ndio maana hataki kuonana wala kuongea na mama. Mama alikosea, atafute njia sahihi za kuomba msamaha na sio thru content creators.